Allah akufanyie wepesi dada,ila naomba uende Kwa sheikh huenda unasibiwa na majini ya sihri mwilini mwako ndio wanakutesa hivyo,manake operation zote ushafanyiwa na Hali bado.sina uwezo wakukusaidia ila nakuombea du'a kwa Allah insha Allah🙏
Jamani neda ukaombewe kwenye makansa ya nayo mwamini yesu🎉❤ utapona hayo ni mateso ya nguvu za kiza kwa yesu hakuna linaloshindikana kwake pole sana Mungu akufanyie wepes kwajina la yesu.
Kila pito lina mlango wakutokea. Uyu bint huu ni ushuhuda wa maisha yake, MUNGU atajitukuza kupitia wewe. Maombi yangu BWANA atende jambo hili adui aibike kwa jina la YESU 🙏
Allaahumma salli wasallalim Alaa sayyidnaa muhammad waalaaali muhammad.😢😭😭😭😭Yaa rabb😭 .. Allah ni mkarim namuomba Allah akujaalie matokeo mazuri ktk subra yako Aaamin😭
Mungu pekee ndo kukuponya Dr jitahid uxiache kumuomba mungu kwakua hakuna kama yeye sifa na utukufu vyote anavyo yeye pia upendo mwingi katumwagia .utakua salama kpenz..🙏🙏🙏🙏
Alhamdulilah 😢 mungu akupe subraa zaidi na akujalie shifaa ya haraka ,kwa Allah si kitu kukuinuwa ila nimtihani tu akupa na akupenda sana dadangu, mwanao atakuwa na atakuja kukufaa inshaa Allah. Mama pongezi sana😢 Alhambra
Mungu tunaomba Toba yako Baba yangu MPONYE MTOTO WAKO MAANA SISI SOTE NI WATOTO WAKO TUREHEMU BABA MPONYE KWA JINA LIPITALO MAJINA YOTE KATIKA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI
Pole sana dada angu hawa mungu atakuponya inshallah na uwe na subra Zaid amini hili ni pito2 litapita zaidi fanya sana ibada mungu ana kusudi lake nakupenda sana 🥰🥰🥰
Anapata maumivu makali sana jamani😭😭😭😭 Allah amjaalie shifaa apone daah 🙏🙏😭😭😭
kateseka vyakutosha jamani tuione huruma
Allah akupe shifaa ya haraka dada angu usichoke kumuomba Allah
Kweli wew jasiri kipenzi Allah atakuponya my love❤utapona
Ugua pole mdogo wangu..kuugua c kufa in Sha Allah utapona tafutiwa ustadh akusomee rukiya in Sha Allah yataisha❤❤❤love u sis hawa
Hio muhimu sana Quran ni dawa
duuuuuh naamini hakuna ki2 kinaxhindikana kwa MUNGU BABA NI WA WOTE MUNGU AKUPE WEPESI AKUPONYE DADA
Hongela dahawa wamjuwa mungu very nice
Pole sana kipenzi changu mungu akupe maisha mafefu sana utapona 2 mungu yupo 😢❤🙏🙏🙏🙏🙏💖
Allah akufanyie wepesi dada,ila naomba uende Kwa sheikh huenda unasibiwa na majini ya sihri mwilini mwako ndio wanakutesa hivyo,manake operation zote ushafanyiwa na Hali bado.sina uwezo wakukusaidia ila nakuombea du'a kwa Allah insha Allah🙏
Jamani neda ukaombewe kwenye makansa ya nayo mwamini yesu🎉❤ utapona hayo ni mateso ya nguvu za kiza kwa yesu hakuna linaloshindikana kwake pole sana Mungu akufanyie wepes kwajina la yesu.
Kila pito lina mlango wakutokea. Uyu bint huu ni ushuhuda wa maisha yake, MUNGU atajitukuza kupitia wewe. Maombi yangu BWANA atende jambo hili adui aibike kwa jina la YESU 🙏
Allaahumma salli wasallalim Alaa sayyidnaa muhammad waalaaali muhammad.😢😭😭😭😭Yaa rabb😭 .. Allah ni mkarim namuomba Allah akujaalie matokeo mazuri ktk subra yako Aaamin😭
AMEEN AMEEN
Aamen
Allahumma Aamiin 🤲🏿
Pole xana Amin Mungu yupo
Allahuma amin😢😢
Maneno yangu mimi mwenyenzi mungu akufanyie wepesi naamini anaweza. Nakupenda mnoooooo mwenyenzi mungu akutunzie family yako Amen
Natamani siku niamke nione huyu dada amepona Eeh Mungu kaguse kwenye maumivu yake kila siku namuombea Hawa dada angu Mungu wetu muaminifu sana📿🤲🏽
Wallah ht mm nataman apone sana kwa uwezo wa allah atasimama
Kama bado upo ni mpango wa Mungu ni ushuhuda mkubwa kabisa duuh Mungu akukumbuke mtoto mzuri ❤
Biidhin laha Allah atakukufanyia wepes upon ishaallh
Mungu pekee ndo kukuponya Dr jitahid uxiache kumuomba mungu kwakua hakuna kama yeye sifa na utukufu vyote anavyo yeye pia upendo mwingi katumwagia .utakua salama kpenz..🙏🙏🙏🙏
Allah akupe shifaa.Akuondoshee mazito usiyoyamudu Yaarab..Akupe ushindi kila hatua zako iwe ni neema kw barka zake Allah Yaarab❤❤.
Ameen
Ameen
Inshallah mwenyez mungu atakuponya
Pole Sana Dada hawa Allah atakuafuu in Sha Allah
Alhamdulilah 😢 mungu akupe subraa zaidi na akujalie shifaa ya haraka ,kwa Allah si kitu kukuinuwa ila nimtihani tu akupa na akupenda sana dadangu, mwanao atakuwa na atakuja kukufaa inshaa Allah. Mama pongezi sana😢 Alhambra
Mungu Ni mwema atafanya kwa wakati,mungu amponye,,
Mungu tunaomba Toba yako Baba yangu MPONYE MTOTO WAKO MAANA SISI SOTE NI WATOTO WAKO TUREHEMU BABA MPONYE KWA JINA LIPITALO MAJINA YOTE KATIKA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI
Amen Amen Amen
Ameen🙏🙏🙏
Pole dada mwenyezi Mungu akuponye
ALLAH akuponye kwa Rehma zake
Pole sana dada
Mungu mwema atakufanyia wema
Utapona kwa ajili ya utukufu wake.
Inshallah utapona mpz,hiyo ni mapito yatapita kwa uwezo wa allah
Duu.pole sana dada kwa tatizo lako mungu akupe nguvu upate kupona.pole sana!
Pole sana dada na Mungu atakusaidia na utasahau maumivu unayopitia now. nakupenda mungu akutie nguvu
ALLAH AKUJALIE PONYO LISILOACHA DHARA MY SIS, HAKIKA ALLAH YUKO PAMOJA NA WANAO SUBIRI
🤲🤲🤲🤲
Mung ata kuafu insh allah..
Please nenda kanisan Carolina
Utapona kwa uwezo wake Mungu dada usichoke kuomba Mungu 🙏❤️
Binti ananiuma sana, jamani dunia haina huruma nimeanza muda mrefu sana kuangalia habari zake, jamani dada hawa, I see!
Jaman mungu muone na huyu dada mateso aliyonayo 🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi mungu akusaidie umeteseka sana dada yangu pole kipenzi utapona🙏🙏🙏🙏 amin
Mama yetu kipenz raisi samia msaidie huyu dada mungu atakulipa
Allah akufanyie wepesi dadangu utapona inshallah
Mwenyezimungu akufanyie wepec kwa unayopitia inshaallah
Nimeshindwa kuangalia mbka mwisho mungu amponye inshallah....anapitia maumivu makubwa mno....😢😢😢
Mwenyezi mungu akusaidie dada angu mwenyezi mung akufanyie wepesi uridi kwenye hali yako 🙏🙏❤️
Allah akupe shifaa akufanyie sahali na mtihani wako
Nilitaka number yao niwaunganishe na mtu mwenye yuko.kenya awasaidie naninajua atawasaidia
Nakuonea huruma sana maskini dahh 😢😢😢pole sana yanamwisho tuu
Pole dadahagu 😢😢😢😢mwenyezimungu akufanyie wepesi inshallha
Assalaam Aleykum, Allah Akufanyie wepesi ,inn Sha Allah. Na akutie nguvu , uweze kuswali ukiendelea kumbuomba Allah
Pole sana dada yang
Mung akufanyie wepes utapon umpitia meng pole sana
Pole sana dada Mungu atakuponya , utainuka tena
Allah akupe uzima dada ake ❤❤❤❤love
Pole Sana Mwayamungu akuupewepesi yaanimpaka tumbolinaniuma
Ooh jaman namfikiria sana.. Sijawah kumaliza vdeo zake adi mwisho.. Mungu amponye..
Mwenyez mungu atafanya wepes ,inshallah
Ewe nyezi mungu mpemoyo wa ujasili kipindi ichi anachopitia mjawako umponye 😭😭
pole sana hawa nakuonea uruma sana mungu akupe uponyaji akuondolee na mabaya yoye😢
😢😢😢pole sana mungu anatakujaalia utapona allh The Best 😢😢😢
Kweli hujafa haujambika huyu bidada aisee kaumwa Allah ukupe shifaa ndugu yangu na pia subra😢😢
daaahhh yan nataman kungekuwa na wakumuongelea naona anachoka maskini daahh
Pole sana dada mungu atakufanyia wepesi utakaa sawaaa kipenzi ❤
Duuh pole sana dad haw mung atakufnyia wepes inshallah utakuw sawa pole sana
Dada pole mungu akupe uponyaji mwema 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana dada angu hawa mungu atakuponya inshallah na uwe na subra Zaid amini hili ni pito2 litapita zaidi fanya sana ibada mungu ana kusudi lake nakupenda sana 🥰🥰🥰
Pole dada allh atakufnyia wepes utapona ❤❤❤❤❤
MUNGU atakusahalishia IN SHA ALLAH utapona na Ramadhan hii IN SHA ALLAH dadangu ALLAH yuko pamoja nawe usikate tamaa ❤
Nakuombea dada mungu akusaidie 🙏🙏
Mpka nmelia jaman😥😥kunawa2 wanajua kutesq wenzao
Pole sana dada angu mungu atakusaidia 🤲🤲🙏
MWENYEZI MUNGU ATAKUFANYIA WEPESI..pole sana dear
Pole my dear Mwenyez Mungu akufanyie wepes utapona mumy
Da pole sana dada mana unapitia maumivu makal mungu atakuponya
Mungu msimamie uyu dada apate kusimama ewe mungu baba muinue uyu dada apate kuilinda familia yake
YHWH Ni mwenye huwezo lazima atakuokoa tu dada yngu kipenzi 🙏🙏🙏
Allah akupe ihasan ya rabbi mpe moyo wa uvumilivu umponye dadaangu 😭😭🥰🥰🙏🙏
Yesu chritu aku ponye dada hawa.
Da hila huyu dada anateseka jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Allah atamfanyia wepesi inshallah kwa kudra zake atapona
Mama afunge kil week cku 3 mungu atasaidia pia n maombi n allah akujalie shifaa y harka🤲🤲
Inshaallah mungu akuponye dada angu ila mutumainie mungu utapona
Allah akuponye inshallah utasimama Tena🙏🙏
Pole mwenyezi mungu nimwingi wa rehema atakujalia tunakuombea mpenzi
Mung atakuponye dad Ang, adi apo mungu mwenyew ametenda, na atazidi kutenda, mungu ni mwenye haki
Allah akufanyie wepec ishaallah kwa uwezo wake utapona
Polee sanaa Allah atakupa afya ila ukapate kisomo kwa mashekh
Pole may utapona inshallah Kwa uwezo mungu pekee❤🤲
Allah akufanyie wepes ishallah
Pole sana nduguyangu ilausijali mungu atasikia kiliho chako 😢😢
Dah hujaf hujaumbika dahc,😥😥😥😥😥😥
Mungu akutetee dada utapona kwa imani mungu ni mwema.
Duh mola akupe shifaa dada duh pol
Mungu atakusadia wangu utapona umepitia mengi hayo ni majaribu atapona usiogope kitu mungu atakupa wepes
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kipenz unateseka sana nenda kawe mamy utapokea uponyaji
Dada nikushauri nenda kwa mwamposa
Really
Pole dada naamin mungu atakuponya amin hivyo tunakupenda watanzania
Pole sanaaaa dada Allah akufanyie wepec inshallah utapona inshallah
Mpaka ulipofika Mungu amekuponya kipenzi. Pole sana
Pole sana dada Allah atakuponya insha Allah
Hakuna kitu kigumu kwa mungu believe and you will testify the good work of God.
Pole sn mpendwa mungu atakufanyia wepesi utapona insha'Allah sote tunakuombea 🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana,dada angu usijali Mungu atakuponya dada angu
Pole sana dada mungu atakusaidia utapon 2
Mungu akuponye kwa ushauri wangu naomba ufike kwa kuhani must kimara temboni naamini uponyaji utapata pale amina
Pole sana Dada hawa mungu atakuponya Iman yako impe mungu utapona
Pole sana careen M MUNGU akuponye dear
Dah unaiyaji maombi dada Caren Mungu akutie nguvu
Pole sn dada mungu atakuponya unapitia wakati mgumu pole sn kpnz mungu atakufanyia wps🙏🙏
Huy dad ananiumiza San roh inaniuma😭😭😭😭
Pole sana dada angu allahu atakufanyia wepesi utapona inshaallah
Pole dada ang mungu atakusaidia kipenz 🙏🙏🙏🙏🙏 nakuombea upone my sister
Mnamsumbua Sana ,, huo muda mnamhoji mngekuwa mnafaya maombi ,,,Duhhhh Mungu akuponye akuvushe kwa Hilo jaribu