Nampenda sanaa jinsi alivyo sio mtu wakujiweka mawigi sana na makope yupo sana natural hicho ndio cha kwanza nilichompendea anajiamini na uzuri wake,sura yake anavyoongea mashallah walah naumia.inshallah tunakuombea Allah atakuafu
Pole sana anae leta Marathi ni mungu na anaeuwezo wa kuondoa marathi ni mungu mimi na amini utapona kupitia uwezo wa mungu kama mungu alimtoa nabbi yunnus kutoka kwa tumbo ya samaki basi wewe hawezi kushindwa ya allah mmpe shiffa ya Karim mmpe shiffa ya wadud mmpe shiffa ya arhaman rahimm mmpe shiffa hakuna katika dunia hii inayo kushinda wewe ndie muweza wa kila kitu muhurumie yeye pia ni kiumbe wako na ana kuitaji ammin
Huyu dada toka ile nyimbo ya bobjunior daaah niliwahi kukuona uko beautiful lakini aliyekuloga au aliyechukua thamani yako na kukuletea hayo majini mauti Mungu atakusaidia kila jambo linamwisho. Daah ubinadamu kazi.YESU msaidie.
😂😂😂WAnahela za kuchanga 50 50 tatizo wanaish maisha ya kifek ndio kinawakost bongo movie wanavikund wakisema wachangishe kila mtu hela nyingi zingepatikana shida nao wanahal ngumu ila wanaigiza wanamaisha mazur
Mungu kama ni uchawi basi mwenyezi mungu ambainishi hiyu mchawi na watu water wamjue itakuwa ni ha hao bongo movie wana wivu na msichana w watu mwenyezi mungu nda hakim utapona ishaallah kwa uwrzo wa Allah
Ndio salha hata mkmi nilikuwa nampendaga hiyo story mpya sijaiona Zaman kwenye oyoyo ndo nilikuwa ndo nimeanza kumjuwa nilikuwa, nampendaga Sana, nilikuwa nasema uyu dada, mzur kwenye oyoyo ndo ulimtowa
Asalm alkm HAWA Sina chakukupa mwanangu ila na namlilia muumba mbingu akupe shifaa ishallh utaenuka mamngu mpenzi usife moto dawa ya mtu ni umri nakuombea umri ishallh na dawa utapata Kwa uwezo wake allh🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲alfu mara
Allah ampe shifah apo njo tutaona nguvu ya bongo movie inshaallah wajitoleye wampeleke India 🇮🇳 inshallah wakubali kuacha zile stareh zao wafanye kitu kikubwa tena cha muhimu zaidi katika jamii wasiwe natuonyesha tu mabata watuonyeshe uzalendo nakusaidizana kwa wakati huu wa muhimu anyway sorry nitakao wakwaza HAWA god bless you my sister sisi tunakuombea Dua kwa ALLAH
Hawa nakujua kwa jina Bilnda napenda uigizaji wako kwenye thamthilia ya kiu ya kisasi kumbe ni ww unaumwa maskin 😭😭😭😭😭😭😭Mungu akusadie upone haraka kweli uko kwenye wkt mgumu InshAllah utapona Mungu yko nawe.
Jukumu la kuchangia si kwa bongo movies tu ni jukumu la kila mcha Mungu mwenye iman yakutoa kwakusaidia alie na matatzo.. Sdhan km lazma atoe muigizaj mwenzke mana hata hao unaotegemea watoe nao niwatafutaj ndo mana hata matatzo yao yanahitaj misaada
Yaan bado mdogo sana huyu msichana hadi huruma 🙇Allah atakupa shifaa
Pole sana mpendwa muamini mungu utapona
Nilimfaham tukiwa vingungut,, mskitin,,, Allah ampe taufif lnshaallah,,
Mungu ata kujaliasister wangu ani pole sana sister kweli ani dadadadada pole sana 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲nakuombea nyingi sana kwa Allah kweli
Pole sana dada Mungu wa mbinguni akusaidie ,Imani kwanza masaada nyuma weka imani dada yangu Yesu kristo atakuponya Amen. Anaitaji ngapi?
Nampenda sanaa jinsi alivyo sio mtu wakujiweka mawigi sana na makope yupo sana natural hicho ndio cha kwanza nilichompendea anajiamini na uzuri wake,sura yake anavyoongea mashallah walah naumia.inshallah tunakuombea Allah atakuafu
Allahumma shfii maridhwana wamardhwa L-muslimiin (As-aluka llah rabbi an-yashfiaka..) Allah akuponeshe kwa haraka uendelee na shuhul zako
Mungu akupe wepesi na zaid iman juu yake utapona tu my 🙏🙏🙏
Pole sana anae leta Marathi ni mungu na anaeuwezo wa kuondoa marathi ni mungu mimi na amini utapona kupitia uwezo wa mungu kama mungu alimtoa nabbi yunnus kutoka kwa tumbo ya samaki basi wewe hawezi kushindwa ya allah mmpe shiffa ya Karim mmpe shiffa ya wadud mmpe shiffa ya arhaman rahimm mmpe shiffa hakuna katika dunia hii inayo kushinda wewe ndie muweza wa kila kitu muhurumie yeye pia ni kiumbe wako na ana kuitaji ammin
Allah akupe shifaa dada hawa dua nakuombea ameen❤❤❤
Pole sana dad utapona mungu yup pamoja na wew
Pole sana belinda nakupenda sana allah atakupatia shufaa utapoa mmmy🙏😭
Your so beautiful mungu akuponye love you
Oooohhh kumbe ni uyu mdada mskini Mungu ampe shifaaa na ampe subra katika marazi yak
Akh Belinda pole sana dadangu mungu akupe afueni ya haraka nakupenda sana kutoka 🇰🇪 🇰🇪 hasa kwa kiu ya kisasi ulivyo panda juu ya get
Huyu dada toka ile nyimbo ya bobjunior daaah niliwahi kukuona uko beautiful lakini aliyekuloga au aliyechukua thamani yako na kukuletea hayo majini mauti Mungu atakusaidia kila jambo linamwisho. Daah ubinadamu kazi.YESU msaidie.
MashaALLAH sauti laini ja ndimu kunyosha kikoromo tangu udogo
Pole Sana dada hawa mungu atakuponya kwa uwezo Wake
Mungu atakufanya wepesi Ameen inshallah🤲
Pole sana mungu atafanya wepes utapona dada
Nakuombea uponaji kwa jina la Yesu christu. Mungu akuponye. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tunampenda Sana jaman!!
Nilitokea kumpenda huyu dada kwenye nyimbo ya Oyoyo pia iyo crp ya kwanza nimeona watu wengi wakiipost kwenye status Allah ampe shifaaa 😍
Hawa my dear pole sanaa namini mungu atakusaidia kwa uweze wa mungu
Kumbe ndio huy dada jmn😭😭😭😭m
Bongo muvi msaidien mwenzenu, mpo wengi hat mchang 50, 50 itamsaidia jmn
Ndio mungu amponye
Ata wew unaluhusiwa nasio ww 2 ata mm pia
@@kidawaseif7801 kwa hyo
Sio bongo move tu Tanzania nzima umoja ni nguvu
😂😂😂WAnahela za kuchanga 50 50 tatizo wanaish maisha ya kifek ndio kinawakost bongo movie wanavikund wakisema wachangishe kila mtu hela nyingi zingepatikana shida nao wanahal ngumu ila wanaigiza wanamaisha mazur
Mola atakupa Shiffa ya haraka dda in sha Allah
Mungu kama ni uchawi basi mwenyezi mungu ambainishi hiyu mchawi na watu water wamjue itakuwa ni ha hao bongo movie wana wivu na msichana w watu mwenyezi mungu nda hakim utapona ishaallah kwa uwrzo wa Allah
Dah mwenyezi Mungu amtie nguvu aweze kupona 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akuponye kwajina layesu
Pole sana hawa wewe ni mrembo❤❤❤❤
Jaman mungu msaidie dad huyu ,eeh mungu wew nde daktari mkuu ,msaidie jaman watanzania tumuombee
Maskin Hawa pol sana Wangu Allah akufanyie wepes inshallah
Allah akupe shifaa Dada ang nakupenda sana utapoa inshaallah
Pole sana dada yangu Mungu atakushindia dada yang Mungu atakuponya dada
Allah amfanyie wepesi Kiukwe 🙏
Huy anaumwa muda mrf sana tanga nione kwa flora nitetee ss hv inafka hata miaka miwil aisee pole sana sis
Mwenzi Mungu amponye jaman I love her ntamuombea
Pole sana dada mungu atakusaidia utapona inshallah
Jamani kumbe uyu mdada nampenda mnooh 😘😘😘allah atamfanyia wepesi atapona🙏
Ndio salha hata mkmi nilikuwa nampendaga hiyo story mpya sijaiona Zaman kwenye oyoyo ndo nilikuwa ndo nimeanza kumjuwa nilikuwa, nampendaga Sana, nilikuwa nasema uyu dada, mzur kwenye oyoyo ndo ulimtowa
Kwenye oyoyo alikuwa mdogo mdogo sasa kakuwa kumbe alikuwa anahekt na filam
Ndio nilisikia Carolin
🤔🙄Tumbo lake linatoka usaa da maskin pole
Napendaga kusaidia watu. Nikamkumbuka yule hawa wa kwenye nyimbo ya nitarejea ya, dai Sema dai alimsaidia
Odo hawa muamini mungu ndenda utakapo sikia pana uponyaji ila soma yat kulusiyu ukiamka na ukilala mungu yup pamojanawe pole odo haw
Pole sana dada mungu akufanyie wepesi
Mungu akuzidishie uwai mlefu
Masiki kumbe Ndio huyu dada Allah akupe shifaah Amiin🙏😿
Amin
Alifanyaje
Amiin
@@sharonchristian3711 hata sijuwi maradhi yake ila naskiya tu kafanyiwa upasuwaji mara 5 😔
@@mauwapremice7080 du mackini wee
Allah atakufanyia wepesi carolin
Asalm alkm HAWA Sina chakukupa mwanangu ila na namlilia muumba mbingu akupe shifaa ishallh utaenuka mamngu mpenzi usife moto dawa ya mtu ni umri nakuombea umri ishallh na dawa utapata Kwa uwezo wake allh🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲alfu mara
Pole my jamani ulivo mpole. Napenda kumwomba mwenyezi mungu akupe uponyaji
Pole Sana dada angu jamani Allah akufanyie wepesi
Uyu dad mrembo Sana mungu amponyeshe
Ahaa Belinda nilikuwa nampendaga Sana, mzur
Mwenyezi mungu akuponye haraka
Allah akuwekee wepes dad mzur
Mwambie Mama yke ampeleke kwenye maombi kivure kwa msugure pia maana ugonjwa wke atariii Mungu amsadie michango bila Kumwomba Mungu tu aitoshi
Kivule matembele ya pili kwa nicolausi suguye dar
Pole sana mungu atakuaf inshaa Allah
Mungu akuponye
Aki huyu dem namjua😭😭😭😭 mola amjalie shafaa huyu dem dah....
Kumbe ni uyu Dada😭😭😭Allah akupe shifa
Allah ampe shifah apo njo tutaona nguvu ya bongo movie inshaallah wajitoleye wampeleke India 🇮🇳 inshallah wakubali kuacha zile stareh zao wafanye kitu kikubwa tena cha muhimu zaidi katika jamii wasiwe natuonyesha tu mabata watuonyeshe uzalendo nakusaidizana kwa wakati huu wa muhimu anyway sorry nitakao wakwaza HAWA god bless you my sister sisi tunakuombea Dua kwa ALLAH
ALLAH akufanyie wepesi upone dada
Duuu amka carolain mwite mungu yupo kwajili yako mungu akupe wepesi upone kwani Hadi nalia ulivyo pia nikikumbuka unaumwa duuuu
Mwenyez mungu atakuponya kipenz
Allah akujarie shifaa hawa maskin Allah mponye hawa🤲
Masikin Hawa nlimfaamu mbagala k.maji kabda ya kuamia vingunguti alikuwa swahiba angu sana mungu atakuponya amen🙏
Anaendeleaje sasa alipona
Mwekumbe ni huyudada mungu amsaidie jaman apone nampenda ameigiza vizuri kwenye kiu ya kisas
Mungu anakutosha kipenzi changu dua tunakuombea mungu atakufanyia afueni inshaallah
Mungu. Akufanyie wepesi. Inshalla. Yarab
Allah afanye wepesi Inshaallah
Allah akupe nguvu, akuponye
Yah Allah mpe tahfifu mja wako kwan anaptia maumivu makali sn 😭😭😭
Mungu akuponye mama
Mungu amfanyie wepesi apone araka
Mungu akulinde
Mungu amponye jaman🙏
Pole sana mdogo Wangu
Jamani tunaambiwa uchawi upo lkn tusiuwamin sana tupambane sana kumuombea dua my sister
Allah atamponyaa in shaa Allah 🙏🏽
Pole sana sana sister mungu akupe wepesi Ameen
Oh my sister God is good all the time 🤲🤲🤲
Mungu AKULINDE we bint. Daaa jamani. Machungu mno
Hooo lala kumbe ni yeye mungu atakuponya
Mungu akufanyie wepesi upone
Mungu akufnyie wepes upon
Mungu akusaidie upone
Pole sana mdogo wangu
Mungu atamsaidia atapona Inshaa Allah
Aaanh ndomn nilikuwa nasem uyu dem nishamuon sehem na sio muvi kumbe kwa bob junior oyoyo poleyke
Belinda maskin mungu akuponye haraka dadangu
Daah kweli bhana, nlimuona hata kwenye dakika moka ya binam na Ay ft had mad
Shifaa ya haraka Hawaa, Allah akupe afueni ya haraka mpenzi
Mungu amfanyie wepes
Plz akuje Mombasa ama atazame WE TV plz
Hawa nakujua kwa jina Bilnda napenda uigizaji wako kwenye thamthilia ya kiu ya kisasi kumbe ni ww unaumwa maskin 😭😭😭😭😭😭😭Mungu akusadie upone haraka kweli uko kwenye wkt mgumu InshAllah utapona Mungu yko nawe.
Mungu mpeuponyaji
Mungu baba mponye mja wako 🙏
Eeeh mungu tusikilize tuomba msaidie
Hawa ni mrembo sana jaman kunamtu anamchezea kabisa mungu anamuona
Dah huyu Dem ni kitmbo jamani ,pole mungu atakuponya
Jukumu la kuchangia si kwa bongo movies tu ni jukumu la kila mcha Mungu mwenye iman yakutoa kwakusaidia alie na matatzo.. Sdhan km lazma atoe muigizaj mwenzke mana hata hao unaotegemea watoe nao niwatafutaj ndo mana hata matatzo yao yanahitaj misaada
*SIKUJUA KUWA NDIO HUYU AISEE NAMPENDA SANA HUYU DADA NITAJITAHIDI KWENYE NAMBA ILIYOTOLEWA NITOE CHOCHOTE*
Mungu akupe uzma
Inshallah mung atamfnyia wepesi
Twamwombea apone🙏🙏🙏🙏
Allah akupe.shifa dada hawa😭😭