DIDA ACHAFUKWA, AMJIBU MR. NANA "NATAKA AJE AONGEE MBELE YANGU, SINA MUDA WA KUONGELEA MAPENZI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 372

  • @BbasuleBasule
    @BbasuleBasule 3 місяці тому +7

    Mungu Ailaze Roho Ya Dida Alikua M2 Mwema Sanaa ❤❤❤❤

  • @MariaCassian787
    @MariaCassian787 11 місяців тому +6

    Dida unaushamba flani hivi chunguza maneno yako kuanzia ugomvi wako na Jack mpaka hapa kwa Mr Nana ndio utajua huo ushamba wako na ulimbukeni wako

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Рік тому +72

    Dida kapanik kwann Mr Nana katoa siri ukweli ndy huo ushakua utulie uache kutembea na watoto rudi kwa Muheshimiwa hueshimike km wenzio kina Salma Dakota

    • @ShaymaaMlanza
      @ShaymaaMlanza Рік тому +10

      Atafute saizi yake co umshauri arudi kwa muheshimiwa unajua kilichowatenganisha mambo mengine cri tuwachie wenyewe

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Рік тому

      @@ShaymaaMlanza Miaka 7 uhawara ndoa miezi 3 kavumilia kuzini imshinde ndoa kuvumilia huyu hamuwezi mtu kwenye ndoa we binadamu gani kila mwanaume mbaya tu yy mapungufu yake wanayavumilia vp yy ashindwe kuwavumilia wenzie mtoto wa ki8slam hasifiwi kuolewa na kuachwa ht wazazi wetu walivumilia mengi hd wanazikana miaka 50 40 30 ndani ya ndoa ina maana walikuwa wanaishi vizuri bila mikwaruzano ndani

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Рік тому

      Hakika maana kuna watu wanajua maisha ya watu zaid ya namba za cm za watu 😂😂​@@ShaymaaMlanza

    • @RithaRitha-cj3ph
      @RithaRitha-cj3ph 3 місяці тому

      Mmmh makubwa

  • @mankamushi1374
    @mankamushi1374 Рік тому +19

    Dida nakupenda Sana dadangu usijali maneno ya watu wapo ili weseme

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu800 Рік тому +75

    Sina uzuri wa sura ila nina uzuri wangu mwenyewe ndo mana wana ni ng'ang'ania😂nipe hi kama unakubaliana na hii

  • @alexleo4863
    @alexleo4863 4 місяці тому +9

    R.I.P Legend (Oct 4, 2024 ulilala)

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Рік тому +19

    Knyoko, Nanuuu, hakuna mchaga fala , Asante dadaangu Didaa.

    • @JoshuaAizack
      @JoshuaAizack 4 місяці тому

      Mtapakwa mafuta mwishowe muoze kama mnapenda hela sana

  • @yusuphmruma1771
    @yusuphmruma1771 4 місяці тому +17

    RIP😢 DUU leo ni usiku wa 3 yuko kwny kaburi lake yarabi tupe mwsh mwm

  • @JudythAsiko
    @JudythAsiko Рік тому +17

    Love this woman ❤❤❤❤go girl 🥰

  • @alsam4881
    @alsam4881 Рік тому +19

    Dida analazimisha kuonekana kuwa msichana lakini ameshaanza kuzeeka hadi ngozi zimekunjika, kwahiyo sasa atubu kwa Mola wake na aache zinaa na avae nguo za stara zinazoendana na umri wake, Na kama anataka kuolewa tena basi atafute mzee mwenzake na aachane na vibenteni.

    • @rerisamba
      @rerisamba Рік тому

      Kumbukeni mafuta hufanyangozi kukunjika

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Рік тому

      ​@@rerisambamafuta yapi ya mgando au hizi crem zao

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Рік тому

      ​@@rerisambaau hizi roshen zakawaida

    • @UnicornAlw
      @UnicornAlw Рік тому

      Wewe tayari ushatubu😂😂😂😂😂 kutubu haitaki umri

    • @sawackoswald9322
      @sawackoswald9322 Рік тому +4

      Uchi hauzeeki nakuna wengine sura za kitoto ila huko chini niwazeee ivyouzee sio kitu kitu madini kichwani

  • @augustinenjagi6255
    @augustinenjagi6255 Рік тому +4

    Huyu Dida is very wise

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 5 місяців тому +5

    Dida i love you ❤ my role model 💕

  • @MwanaidiAthumani-y9k
    @MwanaidiAthumani-y9k Рік тому +17

    Duuuh umezeheka sura m aya

  • @Shadya-ju2el
    @Shadya-ju2el 3 місяці тому

    😢😢😢😢😢😢 aisee kifo ndo jeuri ya binadamu jmn Allah naomba mwisho mwema mm na family angu inshallah xx mbn uyo nana alikuwa analia na kuimba kumbe walikuwa washa achan

  • @TundaJr
    @TundaJr 4 місяці тому +5

    Rest in peace dida 😢😢😢😢

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 11 місяців тому +2

    Hahaha Didah kamchamba uyu mwandishi sema mwandishi kapotezea maumivu na aibu😂😂😂

  • @chany9950
    @chany9950 Рік тому +2

    Didaaaa Love you😘😘😘

  • @JennyJma
    @JennyJma Рік тому +2

    Jamani coment nyingi mnasema dida kazeeka sasa kwani siku zinarudi nyuma??? Ikiwa Anty ezekel kafanya birthday mwaka jana katimiza miaka 40 tena dida kaanza kuoneka kwenye maigizo na kina kanumba nakumbuka kaole group mwaka 2000 sasa kama mnabisha hebu kamwangalie johari kwenye tamthilia yake ya siri kwenye sinema zetu akiwa sura imeshakomaa sasa kwanini dida? Mimi nimeanza kuwaona dida docta chen johar nora rey nikiwa na miaka 12 ITV saivi nina miaka 34 sasa kwanini wasizeeke mtizameni docta cheni alivozeeka na ndio mwanaume kwanini hawa wanawake wasizeeke? Kamwangalieni monalisa vizuri sura imeshaanza kuzeeka na ndio hajawahi kujichubua na mikorogo

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os Рік тому +9

    Huzungumzii mapenzi mbona unawabana wenzio studio wazungumzie mambo yao ya ndani 😊

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Рік тому +1

      Ndo utofaurltshe ,akifnya ivo anatafta ugal yaan pesa kama anavxema

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 11 місяців тому

      So kama dokta anatibu nyeti za wagonjwa hospitali inamanisha nae aongelee nyeti zake???? Em jiulize then ujijibu mwenyewe

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Рік тому +23

    Mbona kama kapanic vile 😢😢 mapenz pia Yana nafasi yake, 🙏

  • @DayramGibson-x5b
    @DayramGibson-x5b Рік тому +1

    Akii kumbe dida ni mrembo ivyo❤

  • @buildinghope3817
    @buildinghope3817 8 місяців тому +2

    Dida nakupenda sana unaniosha loho

  • @aminamzuri9933
    @aminamzuri9933 Рік тому +1

    Mmmmh dida nana anakupenda

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Рік тому +13

    Bora umejijua huna sura nzuri 🙏 hapo nakusifia

  • @Charlesray-sv2lm
    @Charlesray-sv2lm Рік тому +2

    Mm naona nikuwa dida na huyo mr nana hiyi ni kk ili jamaa afahamike nasio kitu kingine this life now days too much kiki

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc Рік тому +6

    Mtangazaji bwana ety hoo mara dida ana kingast mwengine😅😅😅😅

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Рік тому +21

    Huyu mwanamke mzima akue sasa

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Рік тому +16

    Dada anaongea sana kuishi nae huyu ni ngum sana

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 місяці тому +3

    Pumzika kwa amani Dida

  • @RebecaRaphael-s5k
    @RebecaRaphael-s5k Рік тому +12

    Kwel sura dada 😢

  • @vero57
    @vero57 Рік тому +3

    Semaa didaaaa!!!!!

  • @DoreenShuma
    @DoreenShuma 3 місяці тому

    R .i.p kipenzi cha wengi siamini naona kama bado upo dada najikuta naiogopa duni...kweli tumuogope mungu dunia mapito

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 Рік тому +2

    Dida Dida uko sawa

  • @mohameddikaluka3162
    @mohameddikaluka3162 Рік тому +16

    Na Angekua mzuri huyu! Domo Sasa,, Arafu Zee frani hivi

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e Рік тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @estertiffa-ew5id
      @estertiffa-ew5id Рік тому

      Eeeeeh 😂😂😂acha bhasi

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Рік тому

      😂😂😂

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi Рік тому +2

      Kwa hiyo tusizeeke so tusipo zeeka bibi mtampata wapi mbona hamuelewi Dunia jamani loooo et poleni mnao comment ambazo hazina busara wala hekima come onnnnnnnnn😒😒

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Рік тому

      Acha ishamba kwani yeye kasema mzuri

  • @DLBABY-BLESSb-OFFICIAL
    @DLBABY-BLESSb-OFFICIAL Рік тому +8

    Aisee dida amesha zeheka

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 Рік тому

    Dida anajifanyaga kutetea wanawake wanaolialia radioni na kuwasema vibaya wanaume, DIDA LEO LIMEMSHUKA SHUU

  • @Magie-c7w
    @Magie-c7w 3 місяці тому +1

    Waandishi nao akili hamna

  • @FonteniKamela
    @FonteniKamela Рік тому +1

    Mama Zima chefuuuu

  • @godymastermind9534
    @godymastermind9534 Рік тому +2

    Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu. Dida kuongelea wengine kwenye mashamsham anaonaga raha sana, leo kuhojiwa anapanic kama vita vile. Atulie kuimba kupokezana😅😅😅

  • @LovenessPeterMaka
    @LovenessPeterMaka 4 місяці тому +4

    Rip dida

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Рік тому +10

    Dida kazeeka

    • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
      @SmilingFreshwaterLake-tg5qp Рік тому

      Na wewe umeona ?

    • @emmajuma896
      @emmajuma896 Рік тому

      Kazeeka na anajigamba kwamba anatongozwa na wengi. Achukue kioo atazame

    • @SaidChilaza
      @SaidChilaza Рік тому

      ​@@emmajuma896wew uyo mzuri unaweza kumumba na wew weka sura lako jeusi tulione

    • @munamuna4621
      @munamuna4621 Рік тому

      @@emmajuma896 😄 🤣 😂 watu washukuru mek up

  • @chemstry409
    @chemstry409 Рік тому +2

    Ahhhhhhhhh....kumbe ndio maana huwa anavaa kofia leo ndio nimegundua....😂😂😂

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 5 місяців тому +1

    Mashaallah tabaraka Allah Akbar ❤

  • @mapachaproducts2475
    @mapachaproducts2475 Рік тому +8

    Yaani huyo nana sijui nani aache basi ushamba hivi why umepewa airtime then unaexpose mambo ya ndani

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Рік тому

      Sasa amefumania itakuaje DIDA amezeeka

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 11 місяців тому

      Mbona hajaongea mabaya kaka wa watu jmn

  • @WivinaFrance-xn3mk
    @WivinaFrance-xn3mk Рік тому +1

    Ukweli unauma

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Рік тому +1

    Huyo ndiyo Dida

  • @fatumamilimo7336
    @fatumamilimo7336 Рік тому +8

    mbona wewe unaongeleaga mapenzi ya watu😂😂😂😂umepaniki dada

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Рік тому

    Una nuksi tu bi dada ,eti huna muda wa kuongelea mapenzi!!? Ila una muda wa kuongelea mapenzi ya wenzako maana hadi mishipa huwa inakutoka 😂😂😂

  • @AliHaji-w1x
    @AliHaji-w1x 10 місяців тому +2

    Dida kizeee duh hafanani na uyo kaka

  • @khadija5761
    @khadija5761 Рік тому +3

    Umezeekaaa dada😢

  • @tobosha3236
    @tobosha3236 Рік тому +2

    Mungu naomba usimjalie binti yngu ukiniruzuku awe n sura yngu baba mtu

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Рік тому +4

    Sura

  • @FelistersMejumaa-fp6cc
    @FelistersMejumaa-fp6cc Рік тому +2

    Umezeeka kweli mamaa,, na hapo kwa sura ulivyo sema huna ni kweli umelitambua hilo

    • @StumaiIssa-nh8bo
      @StumaiIssa-nh8bo Рік тому

      Hahahahaha utaniuwa Kweli sura hana alafu ndo nina muona vizur

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Рік тому +6

    Ww tena umesahau ulivyokuwa unamsifia mpk ndoa pole

  • @fakihassan9021
    @fakihassan9021 4 місяці тому +2

    Nakaburini unatafutahela mama ulitamba sana mama mungu akupunguziye azabu ya kaburi

    • @Mamkubwa
      @Mamkubwa 4 місяці тому +1

      Wewee..... unasutana hadi na maiti. Astaghfirullah. 😢

    • @NoelMussa-k7o
      @NoelMussa-k7o 4 місяці тому

      Yani wewe hakiri huna mtu ameshakufa bado unatoa maneno kumbuka na wewe ipo siku utalala kama yeye mungu akusamehe hujui ulisemaloooo pumbavu wewe😢😢😢😢😢

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Рік тому

    Nakupenda Dida

  • @floridahbaltazary2502
    @floridahbaltazary2502 4 місяці тому

    rest in peace didia
    nanumuu didia aliwahi kusema kama utakuwa na mahusiano na mtuu basi ukiondok usimalize maneno haya Mr nana bakisha maneno

  • @mozaothman7530
    @mozaothman7530 3 місяці тому

    Jamani haifai kumsema keshafika mbele ya haki

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Рік тому +9

    Hili janajike Lina sura mbaya kwa mkorogo limekwisha margea juwa Lina zama Tena tubia Tena najua utanuna ila ujembe ushakufika

    • @NoelMussa-k7o
      @NoelMussa-k7o 4 місяці тому

      Wivuuuuuuuuu jamani wivuuuuuuu😂😂😂

  • @righitkileo
    @righitkileo Рік тому

    ❤❤❤Nipe tano Dida ,mchaqa orq,❤❤anashindania maqar mazur,nyumba nzur,s wanaume❤❤❤❤chaqqa hilo❤❤❤❤❤❤❤

  • @Barakatabudul
    @Barakatabudul Рік тому +2

    Shangazii Ajikuta Under 12 na Umbrii" ushasonga mpaka Sura' yavuka😂😂😂😂😂 Wasafii akutongozee nanii na Ushachoka, hivi watu wamuache Ammy girl" wakutongoze wewee😂😂😂😂

    • @Zuu673
      @Zuu673 Рік тому

      Uyu age goo ni Bibi mashangazi kina ant kajal na wengine

  • @FaudhiaWadongo
    @FaudhiaWadongo 5 місяців тому

    Woyooooooo wapeee dida wangu

  • @faidhacute
    @faidhacute Рік тому

    Dida bhana tatz unajikubali sana ndio maana huchelew kweny mahusiano😮

  • @Marjeby
    @Marjeby Рік тому +10

    Huyo Didaa mwenyewe kazeeka hatari na uso ulivyomzito aiseee

    • @chemstry409
      @chemstry409 Рік тому

      😀😀😀😀😀😀

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Рік тому

      Vip ww una ck 1 tangu ulipozaliwa?

    • @hamzaqaacm1869
      @hamzaqaacm1869 Рік тому

      Kazeeeka bwanaaa 😂😂😂​@@ruqaiamohammed345

    • @NoelMussa-k7o
      @NoelMussa-k7o 4 місяці тому

      Yakwako umeiona 😂😂😂 au kusema yawenzenu yakwenu hamuyaoniiiiiii😂😂

  • @AnnaLinus-x3r
    @AnnaLinus-x3r Рік тому +6

    Sura nzuri unayo sema tuy Umezeeka sister!

    • @Wazir-y5k
      @Wazir-y5k 4 місяці тому +1

      Uliyemtukana leo katangulia kabulin je unajisikiaje?

    • @RachelMakalanga-du2oj
      @RachelMakalanga-du2oj 4 місяці тому

      ​@@Wazir-y5kimagine nyie maisha ni mafupi.

    • @Wazir-y5k
      @Wazir-y5k 4 місяці тому

      @@RachelMakalanga-du2oj noma sn!!

    • @MiliamNgozi
      @MiliamNgozi 4 місяці тому

      We hutazeeka

    • @MonicaMkombwe
      @MonicaMkombwe 4 місяці тому

      Kwani kazeeka Nini mdada wa nini

  • @bettybetty8717
    @bettybetty8717 Рік тому +4

    Dida ushakua bibi tulia achana na vijana wadogo

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Рік тому +8

    Hili ni gume gume wachaga weka pesa mezani tumalizane

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Рік тому

    Hiyo ndio shida Dida nywele Mahusiano yenu private. Ona mmeachana mnapata kazi ya kujieleza. Mngekuwa hamuonyeshi yangeishia huko. Kuachana sio uadui. Mkiachana mnaweza mkabaki marafiki sio kutokwa na povu lote hilo.

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 Рік тому

    Nakubali dada sawa ❤️❤️❤️👏👏👏👍

  • @pendo8082
    @pendo8082 Рік тому

    Huyu didah hatari 😂😂😂didah sio maskini wa wanaume 😂😂😂

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc Рік тому +8

    Kikubwa mwana ameshapiga😂wewe ndio umeloose hapo.

    • @saidissa4741
      @saidissa4741 Рік тому +1

      Hahaha hahaha

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 Рік тому

      Ameloose nini? Kwani kaondoka na k yake

    • @EmmanuelZenda-ji5gc
      @EmmanuelZenda-ji5gc Рік тому

      @@rose_Winchester86 Umeshawai kusikia wapi mwanaume malaya dadangu?Ila mwanamke ndio anakua malaya hapo tayari wanaume wengine wanamdiscredit watapiga wanaondoka heshima lazima ishuke ila mwanaume heshima lazima iongezeke😄

  • @YunisJerald
    @YunisJerald Рік тому +5

    😂😂😂😂dida unajiamini😂😂

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 4 місяці тому +5

    😢😢😢amekufa dida😢😢😢

    • @RayChausa
      @RayChausa 4 місяці тому +2

      😢😢😢😢kifo ni mlango na kila mmoja ataupita😢😢😢

  • @antonyjuliz9348
    @antonyjuliz9348 Рік тому +7

    Kazeeka ety

  • @MadinaAbduKyabazinga
    @MadinaAbduKyabazinga Рік тому +3

    Aseee didah anaongea akupi ata muda wakumuuliza kitu amepanic

  • @Jowelia
    @Jowelia Рік тому

    Sina uzuri wa sura kwani unajijua kama hauko mzuri😢😅😅

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Рік тому +3

    Waandishi wachonganishi jamani mbwa hawa,

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f 3 місяці тому

    Huyo Mr Nana hakuwa akimtaka uchumba gani huo miaka 2

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Рік тому +2

    Mbona umezeeka dida

    • @gracewairimu800
      @gracewairimu800 Рік тому

      Kwanini asizeeke na miaka inapita?au wewe bado upon na miaka miwili hadi leo😅

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Рік тому

      @@gracewairimu800 mimi nimezeeka na nimejikubali hawa wenzetu hawajikubali hapo bado anajiona ni msichana wa miaka 20

    • @NoelMussa-k7o
      @NoelMussa-k7o 4 місяці тому

      ​@@gracewairimu800😂😂😂

  • @Hapygideon
    @Hapygideon Рік тому

    Watu wanajiaibisha jamani tulia mama yetu utapata saiz yako hivi visharo viachage tuu vinipitishe,ila kama alikua anakamia shoo unazeeka😂😂😂😂😂

  • @derrickoliwa8506
    @derrickoliwa8506 4 місяці тому

    Sai kamwacha Mr Nana anaponda Raha nenda kawasalime huko!!!nenda kajigambe sisi Kenya tuna stress hatuna Deputy hatuna mda wa ujinga

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Рік тому

    😂😂😂😂 Aki dida nakupendeya hapo tufunze didaa

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 Рік тому +5

    Kwa hyo kwenye kipindi chako kule unvoongelea mambo ya wenzio yako mbn miship inakutoka

  • @righitkileo
    @righitkileo 4 місяці тому +3

    Maskini dida alikuwa anajiami sana na Alikuwa mpambanaji sana R,i,p kwani mkiachana sikuzote hakuna qa ukweli uzushi tu

  • @mwantumjaff1602
    @mwantumjaff1602 Рік тому +2

    Mtihani dunia hii wallah😢E' Mungu tupe mwsho mwema

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Рік тому

    Yaani dida akiolewa akikaa na mwanaume miez 3 nipo paleee tatizo dida anajiona vijiela anavyo shika ndiooo mme

  • @jenipherjackson3826
    @jenipherjackson3826 Рік тому

    Lkn kapanick sana inaonekana anaumià na ndio maana maneno yanamtoka ya shombo siuliona mwenzake nana venye anaongea ame relax 😅😅😅😅

  • @elizabethnguma3379
    @elizabethnguma3379 Рік тому

    Aliongea vizuri sanaa,niliona interview 😂

  • @chemstry409
    @chemstry409 Рік тому +1

    Sura duuuuuuhhhh mtihani....😂😂😂

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Рік тому +2

    Kaongea hata mimi nimesikia ongea bw ana dida mbona ya wenzio unasema

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 Рік тому

    Huyu mwandishi ni mchonganishi sana,,hayo maneno jamaa ata hakuyasema kuwa dida anampandikizia wanaume

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo Рік тому

    Ila dida Kwa hicho kibwana ulijichanganya.pole japo ni kawaida katika maisha kukosea.yani huyo wala sio aina Yako. Pale Kwa mea.ndio mie nilipenda usimame imara

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Рік тому

    Nime kubali Ile kauli ya NANA MFANO wake wa nywere na kucha juu yake akaweka MWANAUME kuhusu pesa zipo kabra yake angekua anatafuta pesa angebaki bikra mbaka Leo atafute pesa muuuzi huyu Malaya tuu

  • @BethaMartini
    @BethaMartini Рік тому

    Bdo haujathemaa mpka utheme😜🤣🤣🤣🤭ifike time mjijue kuwa tiyari ninyi n watu wazima utabadilisha wanaume km nguo mpka lini

  • @NourAlBarakah
    @NourAlBarakah Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @frankghati-zq1bi
    @frankghati-zq1bi Рік тому

    Wee mwanamke kwenye mambo ya wengine unajikuta mshauri , lakini ya kwako domo linafunguka sana..

  • @mesukanku6016
    @mesukanku6016 Рік тому +8

    DIDA EST UNE FEMME INDÉPENDANTE LIBRE ELLE FAIT CE QU'ELLE VEUT DE SA VIE

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Рік тому

      True

    • @TheoMukenga
      @TheoMukenga Рік тому +1

      Aza ndumba ba femme tanzanien bazalaka na respect epa mobali te.ata soki oza tati wata bako cheet yo kaka

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Рік тому +1

    DIDA TULIYA SASA NDOA NGAPI UNAZO??HELA HUA ZINAKWISHA ILA HESHIMA INABAKI

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc Рік тому +10

    Uyu mzee anazeeka vibaya sasa mana kila siku kuachika tu mpaka waheshimiwa wamemshindwa,mpaka vibenteni navyo vimemkimbia akitulize sasa

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Рік тому

    Dida Tulia Sasa khaaaa umeupiga mwing hela. Anatafuta hela. Mmmm mbona unapendankila. Siku 😅😅Mr Nana Kawa Mr limao😂😂

    • @KhadijaAmour-b9y
      @KhadijaAmour-b9y 11 місяців тому

      Hivi anajitangazia ana hela hajui wanaume wa Dar wana njaaa 😂😂😂