upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto
Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.
Sijawai ona upendo kama huu❤, mpka nimelia dah. Wenye nyumba, pamoja na watoto mjifunze kuishi na wadada kwa upendo. Na wadada muache jeuri na kiburi. Siku zote zote wenye kiburi na jeuri kufanikiwa kwao ni kwa shida Sana. Wanyenyekevu huwa wanafika mbali. Dada hongera my dear kwa kunyenyekea. Sio Siri you deserved🎉❤
Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,
You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸
Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7
Wow. This is what we call real love. Yeah Jesus Christ Love . May God keep you and have Abraham,s grace to stay two hundred years for God, s glory ❤ guys listening 🎧🙏🙏🙏
DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.
HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE
Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili
Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe
Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana
Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤
HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada
Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto
Hakika inahisia kali jamani
Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo
Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.
This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿
Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏
Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu
Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu
Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni
Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo
Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤
Mungu ambariki sana uyu dada kwa malezi mungu akuzidishie sana sana
Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia
Sijawai ona upendo kama huu❤, mpka nimelia dah.
Wenye nyumba, pamoja na watoto mjifunze kuishi na wadada kwa upendo. Na wadada muache jeuri na kiburi. Siku zote zote wenye kiburi na jeuri kufanikiwa kwao ni kwa shida Sana. Wanyenyekevu huwa wanafika mbali. Dada hongera my dear kwa kunyenyekea. Sio Siri you deserved🎉❤
Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo
Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina
Dada aqwilina hongera sana mungu akubariki sana
Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,
Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda
AMAZING STORRY
Baraka nikumbuke nami❤❤❤
Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today
So nice, i respect this lady and the family.
You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸
Mungu amtuze huyu dada😊😊
Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️
Me too my tears come out.❤
Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.
❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤
Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7
Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉
Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki
Wow. This is what we call real love. Yeah Jesus Christ Love . May God keep you and have Abraham,s grace to stay two hundred years for God, s glory ❤ guys listening 🎧🙏🙏🙏
Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina
This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi
Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana
Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila
Nimelia machoz ya furahaaa sanaaa
Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu
Its good to appreciate may God bless you
Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani
She did take good care of them God bless you Dads
Mungu na awabariki thoughtful kids❤
Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏
DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.
Wema hauzi nikwer❤
❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri
Nawapenda jmn mmelelewa Kwa upendo wa Hali ya juu saan, mbarikiwe na mungu
Mungu awabariki❤
Be blessed❤
Mungu akubariki sana
Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha
Imani huzaa upendo wa kweli
Duuh Mungu ambariki huyo Dada maradufu kwa moyo huo mzuri.
Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali
Great surprise and this is unique
Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa upendo
Wow God bless u mum
Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako
Daah nimejikuta nalia wallah
Mashallah ❤❤❤
HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE
Uliwalea vizuri sana
Omg mashaallah ❤️😢
Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu
Hayo ndiyo matunda ya kusoma seminari kujengewa moyo wa upendo na kuwa kioo chema ktk jamii. Hongera kwa kumuibua Nicolina.
Ni kweli ata nilikuwa na boyfriend alisoma shule za seminali alikuwa na upendo xana na imani ya kupitiliza na ustarabu wa hali ya juuu aixeee
Mmenifanya nimelia jmn ni binti yangu Eliza Mungu amtunze tu kwa kweli kasimama vyema katika kulea wanangu
Masha allaah
Mungu awabalik😂😂😂💓💓💓
Mmh hongera kaka Kwa kukumbuka aliekuosha
Kaka NDOA yako owe ya baraka sana kwa kukumbuka dada aliyewalea
brought me to tears... lovely 🥰
Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana
Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu
Mungu andelee kuwabariki sana sana
Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.
Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana
Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho
Heart touching
Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya
Ni wachache sana kukumbuka fadhira
Kwa marayakwanza kuona mungu akubariki.
sanaaa nimependaaa
Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ilinga
Just respect❤❤
What kanitoa machozi Mungu ambariki mwanadada huyo
Namfananisha na marry
Beautiful
Hakika mungu awabariki
Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional
Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa
Asante santeee sana
Bi harusi iyo heshima usivunje tafadhali ❤❤❤❤❤
Anastazia muema
Wema ni hazina 😊😊
Mmeniliza sana😢
Ni upendo wa ajabu asanteni sanaa
Mashallah