TOO EMOTIONAL - TAZAMA MAMA ALIVYOWALIZA BWANA HARUSI NA MDOGO WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 тра 2023

КОМЕНТАРІ • 187

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 9 місяців тому +17

    Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili

  • @kyuneshila6750
    @kyuneshila6750 9 місяців тому +8

    Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac8356 11 місяців тому +14

    Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana

  • @ChristopherDaniel-zk1lx
    @ChristopherDaniel-zk1lx 9 місяців тому +9

    Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Рік тому +7

    HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh 9 місяців тому +5

    Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hegikibaby1120
    @hegikibaby1120 9 місяців тому +13

    upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto

  • @rehemakenethi-tu2co
    @rehemakenethi-tu2co 9 місяців тому +4

    Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo

  • @beathagabriel8438
    @beathagabriel8438 8 місяців тому +2

    Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.

  • @jacintatheuri5372
    @jacintatheuri5372 8 місяців тому +3

    This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿

  • @BeibyBonny
    @BeibyBonny 8 місяців тому +2

    Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 3 місяці тому +5

    Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu

  • @shufaahmmmohamed1833
    @shufaahmmmohamed1833 6 місяців тому +3

    Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu

  • @firmakisika5073
    @firmakisika5073 3 місяці тому +1

    Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni

  • @evematinya6027
    @evematinya6027 8 місяців тому +2

    Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo

  • @user-oc7pc2db6f
    @user-oc7pc2db6f 8 місяців тому +1

    Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤

  • @nuratawadh1028
    @nuratawadh1028 5 днів тому

    Mungu ambariki sana uyu dada kwa malezi mungu akuzidishie sana sana

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms Рік тому +6

    Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l 7 місяців тому

    Sijawai ona upendo kama huu❤, mpka nimelia dah.
    Wenye nyumba, pamoja na watoto mjifunze kuishi na wadada kwa upendo. Na wadada muache jeuri na kiburi. Siku zote zote wenye kiburi na jeuri kufanikiwa kwao ni kwa shida Sana. Wanyenyekevu huwa wanafika mbali. Dada hongera my dear kwa kunyenyekea. Sio Siri you deserved🎉❤

  • @emmykishindo2852
    @emmykishindo2852 9 місяців тому +2

    Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 9 місяців тому +2

    Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 8 днів тому

    Dada aqwilina hongera sana mungu akubariki sana

  • @agneskaseya8473
    @agneskaseya8473 Рік тому +2

    Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,

  • @AgredaMoyo-ni2jp
    @AgredaMoyo-ni2jp Рік тому +5

    Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda

  • @BAYINAVALENTINE-lu3vl
    @BAYINAVALENTINE-lu3vl Рік тому +4

    AMAZING STORRY

  • @hannahtembo8280
    @hannahtembo8280 Місяць тому

    Baraka nikumbuke nami❤❤❤

  • @lydiawanjiru1259
    @lydiawanjiru1259 5 місяців тому

    Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today

  • @edwardwangombe2358
    @edwardwangombe2358 8 місяців тому +1

    So nice, i respect this lady and the family.

  • @mellenondieki6329
    @mellenondieki6329 5 місяців тому

    You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸

  • @NafisaJumanneMwanzalima
    @NafisaJumanneMwanzalima Місяць тому

    Mungu amtuze huyu dada😊😊

  • @deedee3614
    @deedee3614 9 місяців тому +3

    Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️

  • @elizabethmvumu1881
    @elizabethmvumu1881 11 місяців тому +3

    Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.

  • @marycelestin6586
    @marycelestin6586 9 місяців тому +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤

  • @simphrosaclavery4719
    @simphrosaclavery4719 6 місяців тому

    Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7

  • @FurahaMajilanga-ny8xj
    @FurahaMajilanga-ny8xj 3 місяці тому

    Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉

  • @heriethmozes8151
    @heriethmozes8151 11 місяців тому +1

    Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki

  • @naomindulu2306
    @naomindulu2306 7 місяців тому +1

    Wow. This is what we call real love. Yeah Jesus Christ Love . May God keep you and have Abraham,s grace to stay two hundred years for God, s glory ❤ guys listening 🎧🙏🙏🙏

  • @bokomapesa
    @bokomapesa 2 місяці тому

    Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina

  • @joankhalumi2564
    @joankhalumi2564 6 місяців тому

    This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi

  • @zuhurasaid
    @zuhurasaid Місяць тому

    Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana

  • @user-eq1xh3so2j
    @user-eq1xh3so2j Рік тому +3

    Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila

  • @user-id6fk9hr9q
    @user-id6fk9hr9q 3 дні тому

    Nimelia machoz ya furahaaa sanaaa

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Рік тому +3

    Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu

  • @user-um2wn9rm4i
    @user-um2wn9rm4i 6 місяців тому

    Its good to appreciate may God bless you

  • @user-dm4zn3ry6n
    @user-dm4zn3ry6n 9 місяців тому +1

    Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 9 місяців тому +1

    She did take good care of them God bless you Dads

  • @itikamlagalila1911
    @itikamlagalila1911 Рік тому +3

    Mungu na awabariki thoughtful kids❤

  • @anithasimon2830
    @anithasimon2830 2 місяці тому

    Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 8 місяців тому

    DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.

  • @raysoneustace6359
    @raysoneustace6359 2 місяці тому

    Wema hauzi nikwer❤

  • @user-iz5uq8qo6r
    @user-iz5uq8qo6r Рік тому +1

    ❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri

  • @user-wu7dn6fb9x
    @user-wu7dn6fb9x 7 місяців тому

    Nawapenda jmn mmelelewa Kwa upendo wa Hali ya juu saan, mbarikiwe na mungu

  • @user-mi6dn2ez3f
    @user-mi6dn2ez3f 9 місяців тому +2

    Mungu awabariki❤

  • @ElizabethOmutanyi
    @ElizabethOmutanyi 9 місяців тому +1

    Be blessed❤

  • @PauloKasimu
    @PauloKasimu 2 місяці тому

    Mungu akubariki sana

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Рік тому +1

    Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha

  • @herriethchamuriho5289
    @herriethchamuriho5289 9 місяців тому +1

    Imani huzaa upendo wa kweli

  • @malangwandekeja6116
    @malangwandekeja6116 7 місяців тому

    Duuh Mungu ambariki huyo Dada maradufu kwa moyo huo mzuri.

  • @stanleymsenga2436
    @stanleymsenga2436 3 місяці тому

    Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 місяці тому

    Great surprise and this is unique

  • @FELISTAKAIMBI
    @FELISTAKAIMBI Місяць тому

    Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa upendo

  • @nancychiboi7133
    @nancychiboi7133 4 місяці тому

    Wow God bless u mum

  • @EsterMbukwa
    @EsterMbukwa 2 місяці тому

    Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako

  • @Stephaniealphonce
    @Stephaniealphonce Місяць тому

    Daah nimejikuta nalia wallah

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Рік тому +1

    Mashallah ❤❤❤

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 місяці тому

    HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 Рік тому +2

    Uliwalea vizuri sana

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 Рік тому +1

    Omg mashaallah ❤️😢

  • @khadijatanzania7817
    @khadijatanzania7817 Рік тому +2

    Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu

  • @marysona9999
    @marysona9999 9 місяців тому +3

    Hayo ndiyo matunda ya kusoma seminari kujengewa moyo wa upendo na kuwa kioo chema ktk jamii. Hongera kwa kumuibua Nicolina.

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 9 місяців тому

      Ni kweli ata nilikuwa na boyfriend alisoma shule za seminali alikuwa na upendo xana na imani ya kupitiliza na ustarabu wa hali ya juuu aixeee

  • @magrethlucas5505
    @magrethlucas5505 8 місяців тому

    Mmenifanya nimelia jmn ni binti yangu Eliza Mungu amtunze tu kwa kweli kasimama vyema katika kulea wanangu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Рік тому +1

    Masha allaah

  • @user-lb9ek2qf7d
    @user-lb9ek2qf7d 6 місяців тому

    Mungu awabalik😂😂😂💓💓💓

  • @RaysMerige-cn6xg
    @RaysMerige-cn6xg 4 місяці тому

    Mmh hongera kaka Kwa kukumbuka aliekuosha

  • @NeemaStephanomjengi-xq4dg
    @NeemaStephanomjengi-xq4dg 7 місяців тому

    Kaka NDOA yako owe ya baraka sana kwa kukumbuka dada aliyewalea

  • @salomekwilasa3892
    @salomekwilasa3892 9 місяців тому +2

    brought me to tears... lovely 🥰

  • @DaudiSita-rg3us
    @DaudiSita-rg3us Місяць тому

    Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana

  • @marymwandandila9327
    @marymwandandila9327 4 місяці тому

    Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu

  • @user-xy5nc7hp7j
    @user-xy5nc7hp7j 3 місяці тому

    Mungu andelee kuwabariki sana sana

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 7 місяців тому

    Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 Місяць тому

      Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana

  • @user-gj6mv4ko4h
    @user-gj6mv4ko4h 6 місяців тому

    Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho

  • @reggiemuzikira6269
    @reggiemuzikira6269 Рік тому +1

    Heart touching

  • @user-jg9nd9jd9n
    @user-jg9nd9jd9n 7 місяців тому

    Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya

  • @ShamsiaMuhagama
    @ShamsiaMuhagama 2 місяці тому

    Ni wachache sana kukumbuka fadhira

  • @user-nh9ql5fx7s
    @user-nh9ql5fx7s 9 місяців тому

    Kwa marayakwanza kuona mungu akubariki.

  • @IsabelaLeonard
    @IsabelaLeonard 4 місяці тому

    sanaaa nimependaaa

  • @user-ql7to3rm3p
    @user-ql7to3rm3p 9 місяців тому +3

    Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AnnoyedCrow-kt8lq
    @AnnoyedCrow-kt8lq 5 місяців тому

    Just respect❤❤

  • @brianoduor1118
    @brianoduor1118 6 місяців тому

    What kanitoa machozi Mungu ambariki mwanadada huyo

  • @JullianaBoaz
    @JullianaBoaz 2 місяці тому

    Namfananisha na marry

  • @dorsaonyari9124
    @dorsaonyari9124 3 місяці тому

    Beautiful

  • @user-tq3cf9rg8s
    @user-tq3cf9rg8s 3 місяці тому

    Hakika mungu awabariki

  • @fidelisluvanda3585
    @fidelisluvanda3585 Рік тому +6

    Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 9 місяців тому +1

      Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa

  • @user-di3pd9lw3k
    @user-di3pd9lw3k 6 місяців тому

    Asante santeee sana

  • @rosebarasa8456
    @rosebarasa8456 11 місяців тому +2

    Bi harusi iyo heshima usivunje tafadhali ❤❤❤❤❤

  • @EmanueliBoi
    @EmanueliBoi 2 місяці тому

    Anastazia muema

  • @greenandriano6118
    @greenandriano6118 3 місяці тому

    Wema ni hazina 😊😊

  • @ruthkavafi-ws2qn
    @ruthkavafi-ws2qn 9 місяців тому +1

    Mmeniliza sana😢

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 Рік тому

    Ni upendo wa ajabu asanteni sanaa

  • @fatmanassor2331
    @fatmanassor2331 Рік тому

    Mashallah