Mung nisamehe mm nimasikin baado naweka baando kila siku kuangalia ujinga namafanikio ya wenzang nakuzid kujitia umaskn zaid bola niwe natowa sadak ela yang Wenda nami mung ataniinuwa inshallah
Dah eeh Mungu nione na mimi baba walau nipate tu hata kodi tu na pesa ya kuendesha maisha 😭😭😭 Nisingependa niwe na utajiri mwingi kama wa Nasibu mimi nipate tu zile za kuendeshea maisha
Kwanza hii siyo sahihi tambueni kwamba kuna watu wana wtt hawajui kesho watakula nini??mambo ya kutunza pesa kwa style hiyo ipigwe marufuku watafute njia nyingine ya kutunzana angalieni nchi jirani za kiafrika hakuna mambo hayo, kama unayo hela au huna maisha yanaenda kuliko hivi kuonyesha mashindano badala ya kuomba uje uishi vema kwenye ndoa
Esmaa una kiherehere Kama vilee wachagua mitumba soko kuu tulia bibii utachokwa pesa sio kituu utajiri sio kituu ulizaliwa ukavikuta na utaviacha muombee munguu akufanyie wepes wa ndoa na usiende kutixhia wake wenzaa na izo malii wahexhimu na uwe mwanamkee wa mfanoo
Amjengee babaake nyumba nzuri pesa mwisho zitayayuka km moto kuwa na mapenzi na watu wote unawasaidia maskini msaidie baba yko m.mungu atakupa kher zsidi
Kikubwa napata ya kula na kunywa zngne hzo ztaishia kutuzwa bank tuu Afu yang hata iwe ndog inanitosha na inanifarij maana naitafuta kwa njia sahihi ya KUMPENDEZA mungu
Kindly put some English Subtitles pliz we love u bt language is a barrier !!I still watched to the end bt cant understand wat u saying to yo sis and inlaw
Its a money battle, Simba started by putting on some foreign money, The pound, the USD, the Indian Rupia, and he was complaining that the opponent is only putting Randi which is not as valuable.. at last they agreed that when Simba puts they should provide Randi of the same amount! At last they gave up! But the last guy came and say he is ready for Tanzanian shillings battle
Jaman tafuteni hela, ooh saidia watto yatima Kwan amesaidia wangp ad leo???? Acha wafanye Kama wamepewa hela jmn,Shda zk wew n familia yk, Omba Mungu akupe hekima n pumzi yote tutayaacha apa duniani.......
Watali Tanzania Mr. Simba Mungu aweze kukurefushia misha ndugu yangu, kweli wewe huwa unani kuna kwa kweli Maisha yako kwako Mungu kwisha kupasulia njia kabisa. CEO and Film Producer Alex Bucunga Mr. Inzi Fly.
Leo family imependeza Sana yaani kuvaa dangote family Leo mmevaa vizuri hadi queen Darleen mtaalam wa kuchapia mavazi Leo katoboa. .mama D umependeeee saana na wanao wote... Sijamuona Mzee Abdul jamani
Naungana na nei kweli mungu yupo na nikweli watu wote no sawa ,dini ni zaukweli au nazo uongo nashindwa pata jibu mungu gawa liziki sawa kunawatu wanalala nje wanateseka kwa kukosa pesa ila kunawatu unawabariki mpaka watu wanashindwa kuamini km mungu yupo kweli
Tatizo wabongo wengi humu kwenye comment mna wivu, kila mtu anafuraahi kwa alichonacho ww kama huna uwezo kama wao usihumie roho acha maneno mabaya, acha hisia mbaya, waache wafanye walichojaariwa, wengine wanasema wanakufuru mara kuna masikini sasa yy ashindwe kuishi maisha yake sababu ya maisha ya watu wengine. Acheni ushamba wabongo.
😄😄😄 coment zetu maskini utazijua tu hoo mungu atawa onyesha hoo kasaidie wasio jiweza hoo hana heshima acheni hayo mambo tutafute pesa acheni mawazo mafupi
Diamond naomba unifundishie mwanangu shule ameanza fom1 uwezo sina fungu lako utalikuta Kwa Allah anania ya kusoma sana naomba msg hii ikufikie ulipo inshaallah
Mfuate insta pia dada yangu. Mpaka Tiktok utume ujumbe huu kila siku. Naamini atauona dada yangu. Ata shule ya mil 1 kwa mwaka anaweza msaidia. Mwenyezi Mungu akuongoze na ufanikiwe na afanikiwe mwanao pia
Yn mungu ni waaajabu sana kweli akubariki kakubariki kuna wengine kod ya nyumba ikifika tunaanza kukimbizana lkn wao wanachezea km kamari😬😬 mungu nibariki na mm
Jamani wenye midomo, walizitafuta pesa ili wazitumieee ndio maana ukiwa huna unaona ni kufuru. Jaman ipate pesa ili ujue matumiz yake. Ninyi inawauma nn hata wakizitupa chooni ni za kwao walizitafuta kwa jasho lao msiwapangie matumizi. Tafuten na nyie zakwenu tuje tuwasikie mkiwa nazo.
HELA ZA WASANII HAZINA JASHO NDIYO SABABU WAKAFANYA MCHEZO NA HELA NA BIBI HARUSI ANAONYESHA NI MPENDA HELA SASA BASI MUME KUWA MAKINI USIFILISIKE,. MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI KARIBU KABISA NA MHESHIWA GAMBO
SubhanahAllah, yani venye mnafanya hii Nasseb na ww ni kijana wakiislam kweli dini inaruhusu mnafanya mmbo mengi mno baada ya miezi watengane japo mna hela hii ni Husda tu Allah hapendi
Onesmo anabeba begi la pesa la kichwani ana mawazo anawaza kodi ya baba mwenye nyumba anailipaje mitihani hiii begi la bossi lina mapesa mimi mshahara mdogo
Mnapo fanya haya mkumbuke kuna yatima,wajane,na watu wenye mahitaji mbalimbali ambao wengine hata mlo mmoja ni shida muwakumbuke na hao kwani ktk hao ndio tunamuona mungu,na hao ndio watakao tufungulia mlango wa mbingu mungu tusaidie kila mtu afanye kwa uwezo wake kwa hawa watu.
Allah anampa mja mali vile anataka yeye mwenyewe Mungu. Mashallah, nasisi Allah atujalie tupate pesä. Aameen
amin ss wengine twazipata kwa shida izo lkni wenzetu wanazipata vizuri tu ndio maana kuzitumia hawazionei uchungu
@@nafisaabdalla2599 una muomb mungu akup pesa kaziufny unazan utaziokt
Amiiin
Ameen inshaallah
ebony what >? ua-cam.com/video/u6NHRW13bN4/v-deo.html
Naomba sanaaaa Nasib ubaki na hizo nywele unakua sawa sana
Kafanana na nilan
Akusikii huyo
Kapendeza Diamond
Kabsa
Diamond style ya nywele imekutoa vizuri sana umependeza
Kampuni zinazofirisika kaombeni msaada kwa mondi anachezea pesa kama karata huku nyie mwafunga ofc
Gloria ATUPELE has I’ll oop p
Tena sana
kwel kuliko yale marac
Mwenyewe pesa sio mwenzenu jamani
Nasibu ukiwa na nywele hizo unapendeza zaidi mashallah
Kweli hata mimi napenda akiwa na nywele hizo
Exactly
Mnaona mbali sana,... nyie n wakali...
Huwa anajichanganya tuu lkn mbona yupo pw naanajielewa kbs
HB🔥😘
Mung nisamehe mm nimasikin baado naweka baando kila siku kuangalia ujinga namafanikio ya wenzang nakuzid kujitia umaskn zaid bola niwe natowa sadak ela yang Wenda nami mung ataniinuwa inshallah
Ameen..
Dah eeh Mungu nione na mimi baba walau nipate tu hata kodi tu na pesa ya kuendesha maisha 😭😭😭
Nisingependa niwe na utajiri mwingi kama wa Nasibu mimi nipate tu zile za kuendeshea maisha
Uhakika
Achana nao tuu hapo ni kufuru tuu maana Kuna maskin hawana hata ya kununua unganwa uji wenyew wanatamba nazo ujinga tuuu
Jamani punguzeni sifaa mm natafta hata elfu 5 nyi mnachezea yaan duh: Inshahalah
Freemason ndg yangu
Angalieni msijikweze msije kwezwa
Diamond Brother mzuri sana,ajua kuchangisha pesa za harus zirudi kimpango.. good Job Diamond
Jana mm hapa tunagombana na Bos wangu kwa elfu tano .angalau nipate kula .wenzetu pesa wanazifanya kama karata
Hahahaha noma sanaaa
tupambane kutafuta pesa bana..
maestro jayysule daaaa achaaaaa tu maisha hayaa
@@happynessmarki2780 balaa tupu dada
😂😂😂
Waaa bibi harusi anapenda pesa waaa ona anavyotabasamu hadi anashika pesa
😂😂😂😂😂😂
Nani asopenda pesa?
Wewe hupendi pesa jamani
Sasa unataka ashike nini?
Nilijua nimeona peke yangu
Daimond nyoa ivyo ivyo u akuwa smat vizur good🤝
Kweli anapendeza sana
@@m.mmarckus6298 sana
ua-cam.com/video/NYNXJGzcF0c/v-deo.html
SANAAA
Zaituni Kweka ,Ni kweli👍🏾👍🏾
Mashallah mungu awape zaidi na maelewano pia ndio muhimu awape na watoto wenye hekima na kufuata njia zilizonyoka, nangaalia nikiwa udachini!
Kama umerudi kusebu zile pesa zilitajwa kwenye enteviw ya zamaradi gonga like😂🤣🤣👊
Hahhahahahhaaha
Ukiwa na pesa ni mtihani usipokuwa nazo pia ni mtihani. Allah atupe kila.lenye kheri na sisi.
Bando lenyewe ninalo tumia kuangalia aya mamilioni yanayomwagwa apa shida... Nikalale tu.... Congratulations esma😍
Hahahahaaaaaa! Nimekupenda buleee
Mwenyez mungu n mwema hakika ipo sku tulio chini tutainuliwa kama hawa alivyo kwisha wainua inshallah
Inshaaalaah
Daaa😭😭😭 inshallah habib mungu wetu sote🙏🙏🙏🤦🏿♂️🤦🏿♂️
Hakika hana hiyana
Wow it's so colorful,,, D..... ana look fyn with those outfit,, classy 😍😍
Hairstyle ya mondi imeweza.,anakaa fiti sana na hiyo hair cut......
Daah bibi harusi yuko kwenye pesa tuu anachunga pesa
😂😂😂😂😂😂😂
Naombeni elfu moja tuuuu
I always like diamond for one thing his original smiley 😃 always showing truly happiness face
This man is rich rich...that's why..see how they are battling with money
P
Kwanza hii siyo sahihi tambueni kwamba kuna watu wana wtt hawajui kesho watakula nini??mambo ya kutunza pesa kwa style hiyo ipigwe marufuku watafute njia nyingine ya kutunzana angalieni nchi jirani za kiafrika hakuna mambo hayo, kama unayo hela au huna maisha yanaenda kuliko hivi kuonyesha mashindano badala ya kuomba uje uishi vema kwenye ndoa
Ni nani asiyejua kuwa Diamond ana hela na anasaidia watu wengi na Mungu ampe zaidi na zaidi
@@hahmadhabibu2076 BYE
Kumependeza sana na mmependeza sana pia. Wenye wivu wajinyongeeeee
Mfyuuuuuu we mwenyew chawa tuuu
Esmaa una kiherehere Kama vilee wachagua mitumba soko kuu tulia bibii utachokwa pesa sio kituu utajiri sio kituu ulizaliwa ukavikuta na utaviacha muombee munguu akufanyie wepes wa ndoa na usiende kutixhia wake wenzaa na izo malii wahexhimu na uwe mwanamkee wa mfanoo
Hee kumbe kuna wake wenzie waliotangulia wala hatakaa huyo kaenda kuwa kivuruge
Jaman mm narudia baada ndoa kuvunjika ngonga like Kama na wewe mbea Kama mimi
Mm hapa😂😂😂
Amjengee babaake nyumba nzuri pesa mwisho zitayayuka km moto kuwa na mapenzi na watu wote unawasaidia maskini msaidie baba yko m.mungu atakupa kher zsidi
Nashauri wasiwasahau pia YATIMA na WAJANE pamoja na WAGONJWA wasiojiweza
MUNGU ATAWABARIKI ZAIDI
Bt mond anasaidia sana
Sio siku yao
Rizika na chako ulichonacho, uctamani vya watu, cz hujui asili yake.
Kweli kabisa ukijua zinapotoka unaweza tapika
Umeongea vizur, sema huyu aliyekuja kusema kutapika. Ni wivu unamsumbua
Hata maandiko yanasema hivyo
True
kweli kabisa
Kama mungu angekua anagombaniwa hivi ingekuwa laha sana 💞🙏🤲🤲
Nice sherehe japo jini mkata kamba alingiya kati from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤️❤️❤️❤️
Kufuru Kwa wenye nazo, wengine walala njaaa, mungu jamaniii 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Naomba kuuliza hivi hili sebene linalopigwa hapa mwanzo ni la msanii gani
MashaAllah M MUNGU awazidishie, nasi ALLAH aturuzuku pia
Akili kichwani,Mungu rohoni, pesa mfukoni alafu makaratasi.
Kikubwa napata ya kula na kunywa zngne hzo ztaishia kutuzwa bank tuu
Afu yang hata iwe ndog inanitosha na inanifarij maana naitafuta kwa njia sahihi ya KUMPENDEZA mungu
Kindly put some English Subtitles pliz we love u bt language is a barrier !!I still watched to the end bt cant understand wat u saying to yo sis and inlaw
Its a money battle, Simba started by putting on some foreign money, The pound, the USD, the Indian Rupia, and he was complaining that the opponent is only putting Randi which is not as valuable.. at last they agreed that when Simba puts they should provide Randi of the same amount! At last they gave up! But the last guy came and say he is ready for Tanzanian shillings battle
Very sorry dear
Unatisha simba
Bora ulivyokosa kuelewa maana ungeingiwa na Tamaa bure
Diamond Ni Mjanja Sana😁Anamtafutia Dada Yake Mtaji Wa Kwa Shemeji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ua-cam.com/video/dF4jW6AOoIM/v-deo.html
vf
😆😆😆 mamae
Kwelii kabisa
Mr. Simba Diamond naomba kabisa uweze kiimarisha my talents please kwakuwa wewe ndie BABA LAO Tanzania and beyond.
Kula pesa mama kaka unae ila respect mmeo napunguza macho kwenye pesa😂😂😂🔥😘
Kwakweli jamani mana bi harusu macho kodo
Kwakweli macho kwenye pesa
Isipoingia on trending hii ki2 utube wachawi👌
Trust me
Jaman tafuteni hela, ooh saidia watto yatima Kwan amesaidia wangp ad leo???? Acha wafanye Kama wamepewa hela jmn,Shda zk wew n familia yk, Omba Mungu akupe hekima n pumzi yote tutayaacha apa duniani.......
Jamni naomben namba za Diamond....
Watali Tanzania Mr. Simba Mungu aweze kukurefushia misha ndugu yangu, kweli wewe huwa unani kuna kwa kweli Maisha yako kwako Mungu kwisha kupasulia njia kabisa. CEO and Film Producer Alex Bucunga Mr. Inzi Fly.
Diamond nibalaa kiukweli nimependa pia umetokelezea sana gonga like kama unaona katokelezeaa
Mwanamke anatamaa yapesa sanaaaaa
Huyu jamaa hakua fala kumbe Alisha wasoma namba kitambo. Mwanamke alitaka mipesa apite hivi. Nani mwingine ana angalia baada ya Esma kuachwa. Kamati roho chafu tujuane 😂
Mungu nitumiku na mm walau niwe na uhakika tu a kula hata chakula Cha kawaida
Mwenzio akipat muombee kwa mung
Chuk haz saidii chochot
Umeona alie pewa kapewa
K
P
N
Mond nakukubali lakini hichokitendo Alla akipendez jifunze kabra mwenyezimungu aja zaririsha. Take care
Leo family imependeza Sana yaani kuvaa dangote family Leo mmevaa vizuri hadi queen Darleen mtaalam wa kuchapia mavazi Leo katoboa. .mama D umependeeee saana na wanao wote... Sijamuona Mzee Abdul jamani
this is the original diamond we used to see in ''mbagala'' and ''kamwambie''
Jmn diamond ana sifa hd anatia hasira kha!!!🤦🤦🤦🙆🙄. Hela hz mweh
umeona we anaona anajifananishaa na wezake
Here yaan mpako nimechoka cc kupata laki ni kaz jaman hasa wanaume tutafutane pesa
Naungana na nei kweli mungu yupo na nikweli watu wote no sawa ,dini ni zaukweli au nazo uongo nashindwa pata jibu mungu gawa liziki sawa kunawatu wanalala nje wanateseka kwa kukosa pesa ila kunawatu unawabariki mpaka watu wanashindwa kuamini km mungu yupo kweli
Bi harusi nae anapenda pesa kama mcheza kamare
🙆😂😂😂😂
@@aminamarie2387 Hahhah ata mimi pesa nazipenda kwa kweli
@@brobabuu3973 😋😋😋🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@@aishatanzania1194 ww hupendi naona 😂
Kabisa na kiherehere
Tatizo wabongo wengi humu kwenye comment mna wivu, kila mtu anafuraahi kwa alichonacho ww kama huna uwezo kama wao usihumie roho acha maneno mabaya, acha hisia mbaya, waache wafanye walichojaariwa, wengine wanasema wanakufuru mara kuna masikini sasa yy ashindwe kuishi maisha yake sababu ya maisha ya watu wengine. Acheni ushamba wabongo.
😄😄😄 coment zetu maskini utazijua tu hoo mungu atawa onyesha hoo kasaidie wasio jiweza hoo hana heshima acheni hayo mambo tutafute pesa acheni mawazo mafupi
🤣🤣🤣
😂😂😂
Bwahaha
Umenena
Diamond naomba unifundishie mwanangu shule ameanza fom1 uwezo sina fungu lako utalikuta Kwa Allah anania ya kusoma sana naomba msg hii ikufikie ulipo inshaallah
Mtafute in DM Instagram au upige simu kwenye the switch show...
Mfuate insta pia dada yangu. Mpaka Tiktok utume ujumbe huu kila siku. Naamini atauona dada yangu. Ata shule ya mil 1 kwa mwaka anaweza msaidia. Mwenyezi Mungu akuongoze na ufanikiwe na afanikiwe mwanao pia
Safi!
Mwenyezi mungu atakujaaliya umpate akusaidiye Kwa uwezo wa Allhah
Naamin inawezekana mond anajitoa sana
wechen jamn achen roho mbay kama ushamb ni wake nyiny yanawausu nin waachen wafurai na familia zao
Kweli acha wafuraie dada ake wa tumbo 1 ni Esma tu peke yke ❤
Kodi ya nyumba inanizingua, wengine wanamwaga pesa kama makaratasi
😆😆😆
Yaan acha tuu
@@gloriouslameck6909 nakesha nasali usiku kucha, Mungu nibariki ,Mungu nibariki nipate kodi.
Hatarii Sana'a
Yaan huyu esma lol..anaangaika kama si biharusi ukituzwa ushiki pesa ajatuliaa
🤣🤣🤣🤣ashuhurika atareeee
Yaaani ndobiharus ty Ila duuuuh hana hata haya usoni
Simba Kama Simba bip up to Diamond platnumz you are always on point. All the way from Zambia Western province
Like zenu kwa aliemuona msimulizi wa story book jamal april
Mm bro namtafuta 😂😂
ua-cam.com/video/dF4jW6AOoIM/v-deo.html
Esma.... pole sana.
Bi harus acha kuonesha hisia zko ktk pesa
Hahahahaha
Kweli kbs
Wee hujui kua pesa ni sabuni ya roho😂😂
Kwa raha zaooo hadi raha jamaniii na kawivu kamenijia tutafute pesa jamaniiiii
😃😃
Wanaume wenzangu,tutafute ela
Tuzitafute kakaangu
Ongeza volume hawajackia
😅😅😅😅
😂😂😂👍
@@auntiemylee3157 mi nimesikia natafuta wa kubatle nae
Naomba nisomeshee mwanangu mwanangu akipata kazi tukakulipa inshallah 🙏🙏
Imeniuma hii kauli
Kama na wewe umesikia current badala ya currency gonga like.
😂wengine wamelike bila kujua unaamaanisha nini🙄
Ila me nimekuelewa😂😂😂
Nilifikiri nimesikia peke yangu
Khadija Mzee 😂😂😂
Una like bila kujua kama yuko kwenye grammar. English anaijua Mond juuuuu
Nikiskia million nimeshtuka nilidhani ni mita ya hapa kwetu kumbe mita huko ni 46k za hapa home 😂😂😂😂
Sasa hizo 46K za hapo kwako wewe unazo?.
Izo pesa Daimond ungeli nipa japo kidogo usingeli jutia ningekumwagia madua usiku kucha Mungu akazibarikiwallahi
Hahaha
Mashallah yani leo nacbu umependeza kiukweli na izo nywele wacha mambo ya kusonga
Wanaume wenzangu tutafute pesa aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yn mungu ni waaajabu sana kweli akubariki kakubariki kuna wengine kod ya nyumba ikifika tunaanza kukimbizana lkn wao wanachezea km kamari😬😬 mungu nibariki na mm
Bi harusi alikuwa na wengee😂😂😂hatulii
Mwamke kaolewa ana kiherehere na hela za kaka yake 😂 😂 wanawake wanapenda hela aisee ckuizi nomaa kama huna hela usioe 😂😂😂
Aibu sana
Haahaa ukweli
Esma anaziokota zikianguka 😂😂😂😂😂
ua-cam.com/video/NYNXJGzcF0c/v-deo.html
Mama Tee 😁😁😁😁😁😁😁
Nassibu mwenzio cna hata unga we unachezea hela kama karatas jmn
😂
Ume nyowa vizuri sana safi
Bob
Utafirisika, achana na Mond ni kiwango kingine
kwani mond ana pesa nyingi sana.
Cham kubwa
@@msetikebwasi6895 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Frank umeongea ataka kushndana na Mondi na hyo akilala akiamka hela injaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
yes diamond ni tajiri mkubwa sana kwasasa
Hayakuwa maisha ya dunia ila ni starehe idanganyayo.
Exactly
Naam na maisha ya dunia nimafupi sana
Unapo patanafac itumie
Ukitafuta pesa ukazipata hauta pata muda hata waku coment kwenye maisha ya wengine wala huwezi jua kama wanamkosea mungu tutafute pesa ndugu yangu
Nani kakudanganya Kuna maisha mengine hehehe ama ni waarabu
Jamani wenye midomo, walizitafuta pesa ili wazitumieee ndio maana ukiwa huna unaona ni kufuru. Jaman ipate pesa ili ujue matumiz yake. Ninyi inawauma nn hata wakizitupa chooni ni za kwao walizitafuta kwa jasho lao msiwapangie matumizi. Tafuten na nyie zakwenu tuje tuwasikie mkiwa nazo.
Umenena
Vizuri sanaaaa
Sahihi
Una ongeya ukweli sana
HELA ZA WASANII HAZINA JASHO NDIYO SABABU WAKAFANYA MCHEZO NA HELA NA BIBI HARUSI ANAONYESHA NI MPENDA HELA SASA BASI MUME KUWA MAKINI USIFILISIKE,. MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI KARIBU KABISA NA MHESHIWA GAMBO
Tamaa ya pesa ya mwanamke inajionyesha wazi wazi
Ta6b
Hakuna ndoa hapo...maigizo matupu...ila ndo tujifunze maisha ya anasa hayana baraka kwa Mungu bali ubatili mtupu..ndoa za siku hiz bas tu....
Diamond umenyoa vzur safi kabisa👌👌👌
😂😂😂😂😂 yuda kwa ela balaa anachekelea hadi mwisho. Umejua kunifurahisha
Am here after Esma interview
Same🤣🤣🤣🤣😭
😂😂😂 after break up
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂oh my god
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
I love this family nasib baba Lao 😍😍😍😍
Walikuja kurudia kuangalia baada ya kusikia maji yamezidi unga
SubhanahAllah, yani venye mnafanya hii Nasseb na ww ni kijana wakiislam kweli dini inaruhusu mnafanya mmbo mengi mno baada ya miezi watengane japo mna hela hii ni Husda tu Allah hapendi
Simbaaaa tumia pesa baba lao umetafuta kwa shidaaaaaa kabisa mzee baba
Sana ❤❤❤❤🔥🔥🔥
Onesmo anabeba begi la pesa la kichwani ana mawazo anawaza kodi ya baba mwenye nyumba anailipaje mitihani hiii begi la bossi lina mapesa mimi mshahara mdogo
Diamond umenyoa nywele umependeza sana
Mmmhhh jaman . Munguu nibarikii na Mimi nmiliki pesa za nchi zoote ameee
Diamond nywel nzur so smart
huo ni ushamba wa pesa... sytle za kizamani zama hizi watu hawatembei na cash... kuna vitu vyenye thamani zaidi tena vya maana... hapo hakuna ishu
Mbwa wewe, huna pesa kaa kimya. Wivu ni kidonda mbwa koko wewe
Mi nimemuona Aristote tu hapo😂😂😂😂
Utulivu wa diamond jamani roho safi wasafi
Comments nyingi za chuki wengi maskini unataka maisha yashida watu wote wayaishi 🤣🤣tutafute pesa tuache maneno jamani na kupangia watu waishi je
Point
Kweli acha wafurai ❤❤❤
Umenenaaaaaaa sana,,,,,,
Agiza kinywaji popote ulipo nakuja kulipa unaakili sana 😘😘😘
Tell them
Mnapo fanya haya mkumbuke kuna yatima,wajane,na watu wenye mahitaji mbalimbali ambao wengine hata mlo mmoja ni shida muwakumbuke na hao kwani ktk hao ndio tunamuona mungu,na hao ndio watakao tufungulia mlango wa mbingu mungu tusaidie kila mtu afanye kwa uwezo wake kwa hawa watu.
Wanaume tafuteni pesa Jmn ohooo😂😂🤸🤸🤸🤸
Kwel waambie😅😏
IKO SIKU ZITAKWISHA NAMTAJUTA HAKIKA; Amen
Waaw Diamond
Mi naomba milion tatu tuu Diamond, Wasafi
Pumbavu
Hapa ndo tujue queendarleen hajulikani katika hela ya chibu ukimueka ESMA na mama dangote
Inauma sanaa lkn queen anajikaza tyuuuu
Undungu wa kalibu ni wa tumbo moja tu
Kwani darini ndo wa baba mmoja au sio ausiki mama ni mama
@@julihanjosephyjs6361 yeah dorini n kwa baba kisha esma kwa mama