Huyo ndiye aliyewatuma kubomoa ameona Aibu HOTEL ilikuwepo toka enzi za JAKAYA lakini hakuna aliyekuwa anamtishia SUGU Kubomoa hotel lakini baada kuingia huyu aliagiza wote waliyoupinzani mali zao ziharibiwe ,zinyang'anywe alianaza na SUMAYE ,MBOWE ,NK
Nitamkubali kama atamrudisha sugu na Rema na kuwatoa mashekhe gerezani kwani aliwezaje kumtoa babu sea na wanae akashindwa kuwatoa mashekhe kauli alio toa ya kutobomolewa hoteri ni nzuri sana sasa hiyo hiyo kauli aitumie kurudisha walio kimbia na walio fungwa.Nikwambie ukweli ndugu katika Rais ambaye yupo makini na uongozi wake ni magufuri ila amekabiziwa kijiti kilicho liwa na mchwa teali sasa anajitaidi kukiunga ili kikae sawa lakini hawezi bali ili aweze lazima atupuuzie kwanza kwa ajili ya pesa kakusanya pesa zote ili ajenge barabara lakini wananchi hatuna pesa.Sasa naomba wanao mshauli wa mwambie urais sio kujenga barabara ila aangalie ni jinsi gani biza kama chakula mafuta vina zunguuukaje nchini mpaka wanachi wanavipata bila kuwa bei juu mana naona kwa hili hali fahamu kabisa na kama litafumbiwa macho nchi hiii itakuwa mbaya na wanchi wataanza kulana wenyewe ninapo sema kula kuna maana nyingi sana.
Ashukuru Magu kapata huruma yake tu hapo haitakuwa kuwekeza hotel kwa mjengo huo hayapiti maji amshukuru Magu asijimwambafai huko kote alitoa Rushwa tu. Ndio maana kauli inakuja huko viongozi wate walikuwa wapi walikuwa hawaoni
Nae anajifanya hakua na wasiwasi badala yakumshururu rais kwani kama sio roho ya imani ya rais siingevunjwa tu na waliotoa vibali wote wangefukuzwa kazi sema asante rais Magufuli wewe acha ubabe
@@alimuhamed1830 Hakika anajielewa sana Ndg. Joseph Mbilinyi SUGU. Utaelewa na kujua tu kama hapo mkuu wa mkoa anavyo jikweza kwake kwa kujifanya ni mtu mwema sana wakati yeye na wenzake ndio walikuwa waratibu wa uovu na uhovyo huo.
Sio vizuri kwa tanzania yetu mtu ananyimwa haki zake kisheria mpaka rais aseme mambo gani hayo! Sheria zifuatwe na mtu wa kusimamia sheria ni mahakama sio rais.
Waliompa vibali kujenga sio Rais ni watu wa halimashauri ya mji wa mbeya inawezekana kilitolewa kimakosa lakini kama sheria inasema tusijenge kwenye vyanzo vya maji, Rais ametumia uungwana kuzuia kuvujwa kwasababu ni kosa la halimashauli ya mji kutoa kibali. Pia sugu kama anajua sheria za nchi. Hata kukiwa na watendaji wabovu mnataka kumuhusisha Rais huko ni kuto kuelewa. Hongera JPM.
@@husseinmkanga7794 hio halimashaur isio jua Sheria za nchi....mkurugenzi wake aliletwa na Nani!? Kwahio muwekezaji akija kuwekeza kwa sheria flani ya wazembi viongoz Mara badaa mtasema walitoa kwamakosa hivyo tutakosa wawekezaji,Ila hapo tunalo jua nikwamba hio no siasa mh lisu Alisha's sema ukitaka kua maarufu katik siasa tengeneza tatizo then litatue
Mnapongezana maigizo hahahaaaa yani MTU atume watu waseme wanabomoa halafu eti anajitokeza MTU kusema pasibomolewe kama amevunja sheria si mbomoe kwani hatujui maigizo yenu upuuz wa siasa za zamani nani hazijui na mtanyooka tu Tanzania saiv ni chadema tu wengine maharamia ya kura tu
Malaya wa ccm mshukuru wewe sio kwa niaba ya sugu maana hajakutuma kushangilia maigizo ya kipuuz ambayo watanzania wameyashtukia mazwazwa ndo wataamin huo ujinga
Mimi Rais wangu ❤️ namkubali,toka sikuyakwanza nilimkubali mno,ninasema huyuhuyu ndio nitamoakula yangu,hata Kama iwe moja roho ilimtamani sana ,niMpango wa Mungu kuwepo kwake,Minampenda mpaka mungu anajuwa.Manafiki yalitaka avunjiwe ili iweje?Tupendaneni dunia hiii tunapita PA.
We sugu acha kujifanya sugu maana hata sugu zikiota mwisho safari zinaisha tu. Cha msingi mshukuru rais maana ni mtu wa watu angekua mbinafsi na kuendana na uvya hiyo hotel ingebomelewa. Nikuombe tu usijione kwamba wewe umepasua mwamba jua kwamba hakuna linalo shindikana serikali ikiamua. Kwa hio basi mshukuru rais that's it.
Hongera sana mh Raisi wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, ndg John pombe Magufuli. Kwa hekima unayotumia ya wananchi wako. Ww ni kiongozi wa wananchi Wote . Kura yangu na ya watu wangu haijaenda bure. Mungu akuongezee miaka.
Umetumia hekima kubwa ya kutetea hoteli ya mwananchi wako sugu. Mungu alijua utatenda Haki. Barikiwa sana mh Raisi wetu. Tunakuombea kwa mungu wa mbinguni.
Pole kaka August Allah yupo pa.oja nawe, hukuiba ulitumia Maarifa na juhudi ukaweza kutengeneza kitega uchumi, congratulation bro pamoja sana.
Raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri pongezi nyingi Sana kwako 👏🏼👏🏼👏🏼
Pongezi gani unampa.kwa kubatilisha mpango wake wa aibu aliyotaka kuifanya?!
@U Online 😆😆😆😆😆
Safi Mh. President hii ndo Tz tunayoitamani
@@shabanhassan4272 🤯🤯🤯
Pongez za nn sas nyie angalien vityuu vya kuandika kwenye mitandao mmsisifu vityuu havisiviki
Huyu maguful ningekuwa na uwezo asngeondka madarakani ❤️❤️❤️❤️❤️💚💖saf San hii ndio Tanzania tunayoitaka
vitisho ivyooo kazi imeanzaaa
Hahahhaha... Magufuli.. anajua.. tunapata kodi
Kiki tu hizo
Huyo ndiye aliyewatuma kubomoa ameona Aibu HOTEL ilikuwepo toka enzi za JAKAYA lakini hakuna aliyekuwa anamtishia SUGU Kubomoa hotel lakini baada kuingia huyu aliagiza wote waliyoupinzani mali zao ziharibiwe ,zinyang'anywe alianaza na SUMAYE ,MBOWE ,NK
Usiwe mjinga ww ukitaka kupanda chati kisiasa unatakiwa utengeneze tatizo Kisha ulitatue.ndicho kilitengenezwa lazima kionekane
kama una mkubali unclee magu gonga likeeee❤❤❤
Nitamkubali kama atamrudisha sugu na Rema na kuwatoa mashekhe gerezani kwani aliwezaje kumtoa babu sea na wanae akashindwa kuwatoa mashekhe kauli alio toa ya kutobomolewa hoteri ni nzuri sana sasa hiyo hiyo kauli aitumie kurudisha walio kimbia na walio fungwa.Nikwambie ukweli ndugu katika Rais ambaye yupo makini na uongozi wake ni magufuri ila amekabiziwa kijiti kilicho liwa na mchwa teali sasa anajitaidi kukiunga ili kikae sawa lakini hawezi bali ili aweze lazima atupuuzie kwanza kwa ajili ya pesa kakusanya pesa zote ili ajenge barabara lakini wananchi hatuna pesa.Sasa naomba wanao mshauli wa mwambie urais sio kujenga barabara ila aangalie ni jinsi gani biza kama chakula mafuta vina zunguuukaje nchini mpaka wanachi wanavipata bila kuwa bei juu mana naona kwa hili hali fahamu kabisa na kama litafumbiwa macho nchi hiii itakuwa mbaya na wanchi wataanza kulana wenyewe ninapo sema kula kuna maana nyingi sana.
Huyu sijui kwa nin akukimbia nnchi kama wale wenzie
@@emmanuelbonifase1114 Ana Akili
@@janekikoti2179 salute kwako
@@emmanuelbonifase1114 we ulitaka akimbie
Wallah muna Rais... Mungu awaekeeni
Halafu wanasema nchi haina amani wala uhuru #mungu azidi kukulinda rais wetu magufuli kwa moyo wako 💪💪💪
Millard Ayo habari za uhakika big up
Napenda confidence ya mwamba " sugu"
👐👐👐👐
Ashukuru Magu kapata huruma yake tu hapo haitakuwa kuwekeza hotel kwa mjengo huo hayapiti maji amshukuru Magu asijimwambafai huko kote alitoa Rushwa tu. Ndio maana kauli inakuja huko viongozi wate walikuwa wapi walikuwa hawaoni
Hongera mheshimiwa rais magufuli
Mzizi wafitina umekatwa
Hongera sana mr President Magu kwa hili
Kama umeckia haikuota kama uyogaa gusa like kwa Mh.SUGU
Nae anajifanya hakua na wasiwasi badala yakumshururu rais kwani kama sio roho ya imani ya rais siingevunjwa tu na waliotoa vibali wote wangefukuzwa kazi sema asante rais Magufuli wewe acha ubabe
Good enough!!!!
Utukufu kwa Mungu juu maana niliposikia habari hii roho iliniuma sana kweri Mungu yu mwema
Hongera muheshimiwa raisi magu
Ni sheria imezuia
Sasa unamsifia rais kwa kitu gani? Rais alikuwa afukuze watendaji wabovu wanaotaka kudhulumu raia haki zao
@@AhmedAli-gh1lm kaka nahapo rais anatakiwa atoe kabisa watu wenye roho kama hizo ili wajue kuwa vyama so vita
Yaani Maghufuli namkubali sana raisi wangu
Mwenyezi Mungu akubariki sana Mh Rais John Magufuli
Safi sana serikali yangu good tunyoosheni mambo hakuna unafiki hapa tufanyeni kazi tusonge mbele tupendaneni sisi n watanzania
Safi Sana mzee magu👏👏👏👏
Hongera sana sugu kwa uwekezaji kiukweli uliona mbali sana .
Mh magufuli Mungu azidi kumpigania
Asante mkuu asante Rais kwa hekima hii
Hii ndio Tanzania ya umoja na upendo maana ya upendo ni kujenga na si kubomoa hongera sana mh Rais wetu
Ingekuwa kenya, ingekuwa ishabomolewa. Tz oyeee. Napenda Sana Tanzania. From kenya
Safi sana sana mh.Rais unajua kutetea watu wako
Asante baba magufuri tutakuelewa tu asante
Safi Sana Mheshimiwa RAIS kwani HAKI sawa
Maamuzi yenye tija....safi sana, nimewapenda.
Rais wetu John Pombe Magufuli hongera sana kwa hekima zako hutaki kuumiza wananchi wako
Magufuli💞💞❤
Mheshimiwa Magu nakukubali sana
Hii nimeipenda.
Hii ni CCM mpya good mr.pre
Kama umesikia haikuota Kama uyoga like hapa🤣🤣🤣
😀😀😀😀
Hahahahaha
Kwakweli kuna upumbavu ambao unafanywa siku utaleta shida kubwa sana.
Huyu jama nakubali sana
@@alimuhamed1830 Hakika anajielewa sana Ndg. Joseph Mbilinyi SUGU. Utaelewa na kujua tu kama hapo mkuu wa mkoa anavyo jikweza kwake kwa kujifanya ni mtu mwema sana wakati yeye na wenzake ndio walikuwa waratibu wa uovu na uhovyo huo.
Wewe ndio Rais aongezewe muda miaka mitano tena good magufuli
Mh.magufuli wewe ndiye Rais unayotakiwa ktk Tanzania mpya .Hongera kwa maamuzi mazuri
Mkuu wa mkoa kaongea vizur Safi Sana! Viva Mbeya ! Asante mh Rais !
Daah magufuli Mungu akubariki
Mtoka mbinguni, JPM. Mungu amubaliki saaaana 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Magufuli Mungu akubariki
Sio vizuri kwa tanzania yetu mtu ananyimwa haki zake kisheria mpaka rais aseme mambo gani hayo! Sheria zifuatwe na mtu wa kusimamia sheria ni mahakama sio rais.
Mtu anayeshitaki ni jamhuri mahakama mpaka iletewe shauri
wakina tundulisu kukimbia sio wajinga kazzi imeanza
Mungu ambariki sana Mhe Rais.
safi sana ,huo ndio ukomavu wa siasa
Hiyo inaitwaga cheza na akili zao 😂😂
Huyu. Rais anatembelea kiki
Pumbavu kabisa
Anatembele je kiki acha umasikini wafrika
Daaah!!!! Siasa bhana ....
Andaaa tatizo then litatue!!!
Kweli
Hapakuwa na sababu ya kupoteza muda na kuunguza mafuta kuja hapo kwa sababu hapakua na tatizo,
Hahaaaa Kaka ushaaaa Iona hio Ila niwachache Sana wanao jua kilicho tokea
Waliompa vibali kujenga sio Rais ni watu wa halimashauri ya mji wa mbeya inawezekana kilitolewa kimakosa lakini kama sheria inasema tusijenge kwenye vyanzo vya maji, Rais ametumia uungwana kuzuia kuvujwa kwasababu ni kosa la halimashauli ya mji kutoa kibali. Pia sugu kama anajua sheria za nchi. Hata kukiwa na watendaji wabovu mnataka kumuhusisha Rais huko ni kuto kuelewa. Hongera JPM.
@@husseinmkanga7794 hio halimashaur isio jua Sheria za nchi....mkurugenzi wake aliletwa na Nani!? Kwahio muwekezaji akija kuwekeza kwa sheria flani ya wazembi viongoz Mara badaa mtasema walitoa kwamakosa hivyo tutakosa wawekezaji,Ila hapo tunalo jua nikwamba hio no siasa mh lisu Alisha's sema ukitaka kua maarufu katik siasa tengeneza tatizo then litatue
Nimeipenda sana
Ayo safi sana kichwa cha habari kinafanana na yaliyomo natamani media zile nyingine za kijingajinga zijifunze toka kwako big up
Vizur mzee baba magu
Magufuri respect
Kwa kweli rais wetu mh Magufuli anayemubeza ujua naye ana lake moyoni
Millard Ayo Safi Sana huna story au habari za uongo big up sana
Asante rais
Ni sawa na mwalimu kuandaa mitihani lazima aandae marking scheme
hongera sana napenda maamuzi km haya ,huu ndio uongozi unaotakiwa
Magufuli Rais mzuri sana.
Safi Sana. Raisi wetu
Asante baba
viongozi wa ccm mpunguze kujikomba kwa mzee meko
Nampenda sanaa rais wangu. Mungu azidi kumpa afya na maisha marefuu.
Ndo hvo washamfanyia tangazo la biashara
Umeonaaa eeee
Live bila ya chenga
Kwahiyo unaumia au?
Tena pakubwa
Mind set. Siasa za kibongo ni shida hapo kimetengenezwa kitu ni vigumu kwa mburula kuelewa twende kazi
Asante Rais wetu
Nina watoto wa kiume wawili nikipata wa tatu nitamwita John Pombe Shauritanga Magufuli leadership makes me extremely happy.
Kwa cku ya kwanza leo Magufuli nmepa hongera ya kwanza maana amefata sheria
Mnapongezana maigizo hahahaaaa yani MTU atume watu waseme wanabomoa halafu eti anajitokeza MTU kusema pasibomolewe kama amevunja sheria si mbomoe kwani hatujui maigizo yenu upuuz wa siasa za zamani nani hazijui na mtanyooka tu Tanzania saiv ni chadema tu wengine maharamia ya kura tu
@@emmapaul1766 nakuunga Mkono
@@emmapaul1766 😂😂😂
@@emmapaul1766 na kwel umenena baba mjinga hawez kuelewa
@@emmapaul1766 wewe jamaa una matatizo.
Bora masikini wamuache hoteli yake ni nzuri sana. Hongera umewekeza
Safi sana yapasa kuitizama Tanzania kwanza kimaendeleo na si fitina zakichama Akili safi
Asante RAISI KWA niaba ya Sugu ni vizuri kusema Asante
Malaya wa ccm mshukuru wewe sio kwa niaba ya sugu maana hajakutuma kushangilia maigizo ya kipuuz ambayo watanzania wameyashtukia mazwazwa ndo wataamin huo ujinga
Hapo sawa
Safi kabisa mh. Rais wewe ni kiongozi wa kuigwa dunia nzima kwakwel.... Tunakupenda Sana mungu akuongoze vyema....Ameen
Pongezi sana mkuu wa mkoa Mbeya, kwa ukomavu wa kisiasa 👋👋👋
Nimekuelewa Sana Mzee Wa Viboko Tuache Sugu Aendelee Na Biashara
Unatengeneza tatizo kisha unalitatua (safi sana.)
Haka kamchezo kabaya sana
Pongez sana kwa rais wetu
Make and solve .....inasomeka
Hahaha theory of leadership
Safi sana mh Rais
Bigup mkuu wa mkoa
Mkuu wa mkoa nimekuelew San
Chezea magu wewe ni ☈☇🔥
Mimi Rais wangu ❤️ namkubali,toka sikuyakwanza nilimkubali mno,ninasema huyuhuyu ndio nitamoakula yangu,hata Kama iwe moja roho ilimtamani sana ,niMpango wa Mungu kuwepo kwake,Minampenda mpaka mungu anajuwa.Manafiki yalitaka avunjiwe ili iweje?Tupendaneni dunia hiii tunapita PA.
Wajinga mmenasa kwenye maigizo Lumumba bhana hahahaaaa ndio maana mlipigwa kila kona kwa akili zenu uchwara
Ety ulimpenda tangu mwazo. . Sasa si angekuoa
Nimekubali kwa lais wetu
MAGUFULI NI RAIS WETU MSIKIVU MFUATILIAJI HONGERA RAIS
Msikivu wa wananchi🙏🏾
#MobyMedia
Nyenyekevu
Mnyarukolooo upo vizuri chalamila
Hongera Rais wetu mtetezi wa wanyonge mungu akupe umri mrefu
Hongera rais wangu. Kazi iendelee na Mungu akupe afya njema ututumikie watanzania.
2025 aondoke
Mungu awabariki wote jaman.hoteli nzuri kias hicho jaman.
Tulikuwa tunaitaji mambo yaende hivi sisi tusio Na upande wa kichama. Hongera sana JPM
We sugu acha kujifanya sugu maana hata sugu zikiota mwisho safari zinaisha tu. Cha msingi mshukuru rais maana ni mtu wa watu angekua mbinafsi na kuendana na uvya hiyo hotel ingebomelewa. Nikuombe tu usijione kwamba wewe umepasua mwamba jua kwamba hakuna linalo shindikana serikali ikiamua. Kwa hio basi mshukuru rais that's it.
ALHAMDULILAH raisi nimuadilifu.
@U Online Sasa isiwe tiketi ya kuingia CCM kuunga juhudi
Rais wa wote watanzania
Mungu akutunze mzee wetu
Safi sana magufuli wawekezaji wa ndani wapewe vipaumbele kama hivyo sugu kawekeza ahalibu ongela baba magu
Hao wanaleta kutaka kupandishwa cheo Sasa mzee wetu kangundua🙏🙏🙏
Safi san umeongea point U-ccm na U-chadema tupa kwel maisha yaendelee Asante Rais wa watanzania kwa kusimamia Haki Mwaaaaah
Haikuota kama wiyoga😆
Mtu mwenye hekima yake Uncle Magu God bless you 🙏🏻🙏🏻
Safi kabisa MH magufuri tunashukuru
MAGUFULI BABA LAO 🇹🇿 kwa maendeleo ya Watanzania
Mm lais wangu nampenda sana lais wangu asante mkuu wa mkoa uwo ndo ubinadam sugu ajifunze na ikiwezekana uludi nyumbani kumenoga
Hongera sana mh Raisi wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, ndg John pombe Magufuli. Kwa hekima unayotumia ya wananchi wako. Ww ni kiongozi wa wananchi Wote . Kura yangu na ya watu wangu haijaenda bure. Mungu akuongezee miaka.
Umetumia hekima kubwa ya kutetea hoteli ya mwananchi wako sugu. Mungu alijua utatenda Haki. Barikiwa sana mh Raisi wetu. Tunakuombea kwa mungu wa mbinguni.
Jamaa mnafiki huyuu
😂😂😂😂 kafanyaje
@@deelissa2746 kwann amtishie alaf ampooz e
Acheni kutengeneza matukio na kuyatatua wenyewe.
Asante Rais kwa kuliona hili kwa huyu Rais wa Mbeya, na ijulikane kuwa Sugu anakukubari sana.
Safi sana mheshimiwa amenyoosha maelezo, sio kama wengine wanaowaza siasa tuu hata kwenye maendeleo.