MATESO YANAPO KUSIBU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 148

  • @user-ps7fy2oj7i
    @user-ps7fy2oj7i 4 місяці тому

    Amen Amen

  • @jeromejoseph9127
    @jeromejoseph9127 2 роки тому +14

    Leo pasta, umeongea namimi asilimia 100.100% ombi langu kwako MUNGU akutie nguvu kwakila unachopitia pia. Akupe nguvu ya kushinda zaidi na zaidi. Kwa jina la Yesu.🙏🏼❤️

  • @perismuia6952
    @perismuia6952 11 місяців тому

    Amen

  • @estherchege9074
    @estherchege9074 2 місяці тому

    Amen navumilia hadi asubuhi kupambazuke..halleluyah

  • @estherchege9074
    @estherchege9074 2 місяці тому

    Amen...

  • @user-gk2qc8ds7w
    @user-gk2qc8ds7w 8 місяців тому

    Ahsante sana somo lina mwaka tayari lakini nimeliona leo katika wakati sahihi na nikiwa katika kukata tamaa na kuliacha kanisa mungu akubariki sana pr

  • @Grace-ts2rf
    @Grace-ts2rf 2 роки тому +5

    I love Ps D. MMBAGA
    He preaches the good news of Jesus Christ.

  • @estherchege9074
    @estherchege9074 2 місяці тому

    Hallelujah .. amen

  • @mwimamachumu6771
    @mwimamachumu6771 2 роки тому +5

    Amina Pastor Bwana akubariki kwa neno la uzima tunapata nguvu za kisonga mbele

  • @gelardjames2595
    @gelardjames2595 11 місяців тому

    Barikiw pastor Mmbaga....

  • @user-sc7md1es1c
    @user-sc7md1es1c 11 місяців тому

    Pasta ombea msichana wangu mungu amfungue kuroka minyororo ya umalaya na ampe mume

  • @zabronemmanuel-eo1om
    @zabronemmanuel-eo1om Місяць тому

    Amina

  • @dianarobert7953
    @dianarobert7953 Рік тому +2

    Huu ubongo sio wa kawaida kabsa,unajua kugusa maisha asilia tunayoishi.Mungu akutunze tuu pastor,ndilo ombi Langu kila siku,masomo yko yanaponya moyo wangu kila siku.ubarikiwe Sana.

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому

    AMINA

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 6 місяців тому

    Barikiwa sana mchungaji

  • @user-sd6bo1xs2z
    @user-sd6bo1xs2z 9 місяців тому

    Pastor Amen nikama umepiga picha ya maisha yangu niko na changamoto nyingi ela ninamuamini Bwana wa Majeshi unapoomba niombee boma yangu shetani amevamia kila kitu ela ninaamini nono laleo na maombi Mungu atanifungua❤🙏

  • @elishalidya4044
    @elishalidya4044 Рік тому +1

    AMENA KUBWA

  • @mginitabitha7814
    @mginitabitha7814 2 роки тому +1

    Ubarikiwe sana mchungaji,somo hili limenijenga Sana kumtegemea Mungu zaidi ya chochote.

  • @rosemarymallya4458
    @rosemarymallya4458 Рік тому

    Kweli 📌💯MUNGU ANAWEZA KUGEUZA USIKU MMOJA UKAWA MCHANA KWA MAISHA YA MTU YYTE🔥🔥Job:yote kujifunza💪💪
    I RECEIVE THIS🤲🔥🤲🔥IJMN🙏🙏🙏

  • @josetteirutingabo3621
    @josetteirutingabo3621 Рік тому

    Asante sana muchungaji.mungu akubariki sana

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal9748 Рік тому +1

    Amina mcungaji unaniponyakiroho Yesu mwenyewealigeukwa narafikiyake wakribu sembuse mimi umeniponyakirohonilikata tamaakabisa kumpenda mtuasiyekupenda pagumuu barikiwasaaana mungukutunze mchungaji .

  • @Trusingod1234
    @Trusingod1234 6 місяців тому

    Mungu akuongezeye siku zakuishi ila wendeleye kutulisha

  • @doricapeter545
    @doricapeter545 11 місяців тому

    Hakika nimekuelewa na nimenenepa ghafra na kujiona ninafaa na mungu yuko pamoja nami, barikiwa mtumish

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 Рік тому

    Asante Mungu Baba umesikia kilio changu umenijaza nguvu na utakuwa nami daima hata ukamilifu wa dahari kwa jina la Yesu Kristo Amina.

  • @rovenancewafula532
    @rovenancewafula532 2 роки тому +3

    powerful sermon pastor may God bless you

  • @luciashayo9896
    @luciashayo9896 Рік тому

    Pasta yehova mungu wetu akutunze na kukulinda siku zote za maisha yako chini ya jua

  • @BericKakule
    @BericKakule 11 місяців тому

    Yaani mungu muzuri kwetu mpaka yeye huturudiliya ,asante kwa mahubiri pasta

  • @rigarikemz
    @rigarikemz Рік тому

    congratulations p.r mungu hakusaidie zaidi unapoendelea na kupeana neno la bwana

  • @estherkahindo2994
    @estherkahindo2994 Рік тому

    Amina papa pasteur, mungu aendeleye kukupa hakili na hekima

  • @simonmuhune1697
    @simonmuhune1697 Рік тому

    Pasta, ninashukuru Mungu kwa kutumia kwa hali, isio ya kawaida, kweli Roho wa Mungu anafanya kazi kweli ndani mwako ❤

  • @ErishamaPetro-nf4lo
    @ErishamaPetro-nf4lo Рік тому +1

    Pasta umenigusa sana siku moja niritaka kumuuwa mkee,na nikanunuwa na kisu,nikakiweka Musegeni,rakin chaajabu niripotoka ndani nikakuta kire kisu hakipo nikakitafuta nikakikosa,namda huo ulikuwa Ndo mda wakumuua,rakini sikuJuwa ariekitoa kire kisu chamaajabu yure mwanamke Mungu aritengeneza mbinu yakuachananae mpaka leo huyo mwanamke nirishaachananae.jina RABWANA ritukuzwe,niko huru maana sjamuuwa.naomba maombi yako mtumishi.uenderee kuniombea.

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 10 місяців тому

    its well in JESUS .UMEONEA NIKAHISI NI SASA UNANIONGELESHA NA YESU AMEKUTUMA NAOMBA NEEMA YA KUMNGONJA BWANA MAANA NIMEELEWA SIO MUNGU ANAHUSIKA BALI NI ADUI AMESHIDWA KWA JINA LA YESU...NIOMBEE

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 2 роки тому +4

    Asante sana Pastor mahubiri yako yamenikuza kiroho kabisa najiona naelekea mahali pazuri mahubiri ya Leo yamenijenga,yamenionya nashukuru Mungu kunena nami kupitia mtumishi wake barikiwa sana Mungu akutende mema na jamii yako usipungukiwe🙏

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Рік тому +3

    I'm blessed pastor and I thank God always for your being there for us help innocent soul like you have done to me glory and honor be to God 🙏🙏

  • @IreneOwino-dn2ul
    @IreneOwino-dn2ul 5 місяців тому

    mimi napenda mahubiri ya pr mmbaga sana ni na nifarigi sana

  • @josephineogise4485
    @josephineogise4485 2 роки тому +1

    Amen I am Blessed

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому

    Ombi hili likawe langu AMEN

  • @doricapeter545
    @doricapeter545 11 місяців тому

    Nimebarikiwa nakupokea uponyaj wa kipekeee pasta😢😢😢😢 nimelia kwa uchunguu, nishike mkono bwana, napia kajidhihilishe wewe mbele ya huyu pasta kwamaa sio yeye bali ni wewe mungu wa mbinguni

  • @magrethbisaku3032
    @magrethbisaku3032 2 роки тому +1

    Pasta kweli Ili somo kimenijenga kweli Mungu mwenyewe hamuongelei vzr iweje mm na mm Ninan asantee Kwa somo nzr

  • @salamam8721
    @salamam8721 Рік тому +1

    Baba nilitaka acha unyumba sababu ya matatizo ila na shukuru Mungu sana kwaneno ili

  • @lovenessmarecha9065
    @lovenessmarecha9065 Рік тому

    Barikiwa sana pastor mmbaga nabarikiwa sana na mahubiri yako

  • @suzanaagustinookelo4953
    @suzanaagustinookelo4953 Рік тому

    Anajisaidiyaaa dama anavyo dai na ata akulii vizuri Mungu msaidiee

  • @miss_mshana5872
    @miss_mshana5872 2 роки тому +6

    Barikiwa sana Pastor Mbaga, Kuna vipengelee naona unaongea na Mimi kabisa, Mungu akutunze

    • @kwambokakwamboka8382
      @kwambokakwamboka8382 2 роки тому

      God bless pastor,nimejifunza something big from this sermon,I watch from Saudi Arabia🙏🙏

  • @MildredShinali
    @MildredShinali 11 місяців тому

    Amen nimebarikiwa Kwa neno

  • @elizabethnaftali8921
    @elizabethnaftali8921 Рік тому +1

    Ubarikiwe sana pastor mbaga

  • @mwitamwita4500
    @mwitamwita4500 2 роки тому +1

    Amen sana mtu wa mungu mafundisho matamu sana

  • @salamam8721
    @salamam8721 Рік тому

    Amen and amen

  • @pendonyakiha9051
    @pendonyakiha9051 Рік тому

    Mchungaji Bwana adumu kukutumia. Bwana ameongea nami kupitia wewe. Pokea sifa Bwana. Ahsante. Nisaidie kubaki nawe hadi mwisho.

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 2 роки тому +1

    Pastor tunamshukuru Mungu kwa ajili yako,Mungu aendelee kukutumia Shambani mwake

  • @johnbitati4680
    @johnbitati4680 2 роки тому +1

    Asanti kwammahubiri nime yasikia leo yamenisaidia nirikuwa mbari mungu akubariki uzidi kuniombea niko canada

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Рік тому

    Amen am soo blessed nice courageous and powerful message God bless you pastor

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 Рік тому

    Amen and Amen be blessed pastor

  • @eustina837
    @eustina837 2 роки тому

    Nshukur Mungu pastor tangu nianze kusikiza mahubir nabata nguvu zaidi nikirudi kenya niko naushuhuda wakutosha kwa Mungu anayo nitendea

  • @TeleziaSimbeye-fm3zw
    @TeleziaSimbeye-fm3zw Рік тому

    Mungu akubariki sana mchungaji

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Рік тому

    Amen ubarikiwe pst

  • @lilianmugyabuso8908
    @lilianmugyabuso8908 Рік тому +1

    Mchungaji umeongea na mimi ibada ya leo yote ni yangu, Mungu Anisaidie kuwa na mwisho mzuri, ni kweli kuna wakati napita mapito mengi mazito na magumu na kukata tamaa, lakini kwa ibada hii nimetiwa nguvu na natubu na naanza na Bwana Yesu Tena Na Mungu Anisaidie sana!Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

    • @damamwelu4321
      @damamwelu4321 Рік тому

      Mchungaji nikependa kuuliza kufuka unaweza kutuma maji pekee

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 Рік тому

    AMEN 🙏🙏🙏

  • @rovenancewafula532
    @rovenancewafula532 2 роки тому

    hallelujah hallelujah hallelujah

  • @saphinacuthbet1343
    @saphinacuthbet1343 2 роки тому

    Barikiwa Sana Mchungaji Mmbaga.Umenibariki Sana na somo hili

  • @nampee66
    @nampee66 2 роки тому

    Yaani nimebarikiwa sana. Asante Yesu kwa kuwezesha sisi tulisikilize neno lako kwa urahisi hivi.

    • @christinamichael1772
      @christinamichael1772 Рік тому

      Amina Pastor Mungu akubariki sana maana umenisaidia sana. Mungu akulinde na kila mipango wa adui

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 2 роки тому

    Amen amen and amen

  • @Promessemashauri
    @Promessemashauri Рік тому

    Nashukuru pasta kwa mahubiri

  • @esthersimiyu2276
    @esthersimiyu2276 Рік тому

    Amina 🙏🙏

  • @chrismtavangu8438
    @chrismtavangu8438 2 роки тому

    Asante sana Mchungaji somo limenibariki na limenigusa. Naamini yote ni kwa Utukufu wa Mungu. Bari,iwa

  • @rosemarylihawa6547
    @rosemarylihawa6547 2 роки тому

    Powerful message be blessed Pastor

  • @alineriziki6756
    @alineriziki6756 2 роки тому

    Ubarikiwe sana na Bwana Mungu

  • @edithaetanga760
    @edithaetanga760 2 роки тому

    Nabarikiwa Sana'a pastor naposikiliza mahubiri yako

  • @sarahezekiel3301
    @sarahezekiel3301 Рік тому +1

    Spoke into my heart

  • @joychan5859
    @joychan5859 2 роки тому

    May God bless you ,may His will be done now and forever Amina

  • @messagerkambale5830
    @messagerkambale5830 2 роки тому

    Mungu aku bariki,

  • @maureenperfumeandblazers908

    Nimebarikiwa sana…Somo limenigusa na kunipa nguvu mpya🙏🏽

  • @amnamax8676
    @amnamax8676 2 роки тому

    Hallelujah,blessings pastor

  • @jeanneriziki638
    @jeanneriziki638 2 роки тому

    Amen.MUNGU atusaidiye

  • @hekimamwashambi6143
    @hekimamwashambi6143 Рік тому

    God bless you pastor.unanibariki from Mombasa kenya

  • @mugaboj.baptitse3277
    @mugaboj.baptitse3277 Рік тому

    Nashukuru sana pastor Mungu azidi kukubariki

    • @user-mg2dy4zc4r
      @user-mg2dy4zc4r Рік тому

      Umesema nami Mtumishi was Mungu/mteule was Mungu.

  • @mbarikiwambarikiwa6479
    @mbarikiwambarikiwa6479 2 роки тому

    Barikiwa sn mtumishi.

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 роки тому

    Mungu akubariki Mchungaji

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash6163 2 роки тому

    Bwana akubariki sana Mchungaji, umekuwa Mbaraka kwetu

  • @MrKichinda
    @MrKichinda 2 роки тому

    Barikiwa pastor

  • @joycemaxmillian4909
    @joycemaxmillian4909 Рік тому

    Pastor ombi langu Mungu akutunze na aendelee kukutumia

  • @sifagubandja1589
    @sifagubandja1589 Рік тому

    Ameeeeen

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 роки тому

    Amina. Kufunga ndiyo kabisa

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 роки тому

    Ahsante Mchungaji umenipa nguvu

  • @user-mg2dy4zc4r
    @user-mg2dy4zc4r Рік тому

  • @timothykyalo3497
    @timothykyalo3497 Рік тому

    Nakufuatilia kwa makini ni Israel 😢

  • @petermbwambo5353
    @petermbwambo5353 2 роки тому +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA PASTOR MMBAGA

  • @lucknesschiragwile954
    @lucknesschiragwile954 2 роки тому

    Nabarikiwa sana kutoka arusha

  • @Conjethamtende-vc8pu
    @Conjethamtende-vc8pu Рік тому

    Pasta naumwa naomba uniombee

  • @floraa4928
    @floraa4928 2 роки тому

    Jaman huyu baba mungu amtunzee

  • @denisebasheka1047
    @denisebasheka1047 Рік тому

    asante sana,lakini mutu anawezaje kuongeya na pastor in private

  • @fazilabahati1562
    @fazilabahati1562 2 роки тому

    Amen🙏🏿

  • @julianaisakwisa8697
    @julianaisakwisa8697 Рік тому

    Aminaaa

  • @ngodozimalulu6766
    @ngodozimalulu6766 Рік тому

    Hearts speak with hearts

  • @user-zk8my3tt7z
    @user-zk8my3tt7z Рік тому

    Natamani sikumoja utaalikwa makambi huku kwetu

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 2 роки тому

    Amina mchungaji

  • @DickisoniNgendamenya
    @DickisoniNgendamenya 26 днів тому

    Mngu akubaliki

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd 2 роки тому

    Mchungaji umeongea kama ulijuwa napitia wakat mgumu ktk kaz yngu

  • @liberataelisha9786
    @liberataelisha9786 2 роки тому

    Ubarikiwe kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣mchungaji nimekuelewa.....napitia mengi na mimi sielewi nashindaje sina formula pia

  • @sostentiltai9431
    @sostentiltai9431 Рік тому

    Hello pastor nakufuatilia Kila mara kutoka Kenya nipe namba zako za simu

  • @wattsonsila9056
    @wattsonsila9056 2 роки тому

    Mchugaji Mungu akubariki. Mahubiri yako yananisaidia sana kiroho na kunifungua akili