Ohh my tell me this is not true😢😢😢😢 been listening to maunda since back then up to date still have some of her songs in my playlist condolences to the family.... Am her fan from #254🇰🇪 rip maunda ♥️♥️
Ni kweli angepata msaada wa haraka angepona duh niliwahi pata accident 2015 nikiwa na IST niligongana na basi asee miguu tu ndo iliumia lkn uso na maeneo mengine hata mchubuko hakuna, lkn miguu ilikua imevunjika mara kadhaa, wasamalia wema walivunja kioo wakaniwahisha hospitali kwa mapenzi ya Mungu nilipona na kutembea vizuri aft 2yrs.
Mashallah Allah is great...sali sana kwa ajilj ya Mungu wako na utoe sadaka..Mungu amekudhiirishia uwepo wake.asante Allah your the great .amina🙏 RIP MAUNDA.Allah hatukuki kwa aliempiga vita.please Allah forgive her n us.alhamdulilah.
Daaa jamani 😭😭😭pole sana kaka hakika kiatu chako ni kikubwa hata hakiwezi kunitosha Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P Maunda.
Kaka usijali mungu akutie nguvu kifo kipo na hakizoeleki kiukwel ila ikifika imefika tu zoote ni sabab ila kifo ili kikamilike lazima kiwe na sababu , kama ingekuw haijafik asinge fariki ila yote kwa yote ni njia ya wote na majaribu ni mtaji , hvyo mungu ampe kaka nguvu Amen
Baba umeniliza ,sjui mm nikifa mume wangu,Mara ya mwsho nitakuwa nimeongea naye sjui lini maana hata nichelewe vipi home hapigi simu kuniulza mke wangu mbona kmya Yaan ataskia nishazikwa ,😭😭..mm sjuagi Kama wanandoa wanapgiana simu
Mtu kafiwa na mke wake na yuko ukweni msibani bado wewe mwandishi wa habari unamuuliza et inasemekana haukuwa na mahusiano mazuri na marehemu??? Hili linatoka wapi waandishi wa habari muwe na staa na maisha ya watu hasa panapokuwa na tukio la kuhuzunisha kama hii
Mtu mnamwona kachoooka na msiba mnamuuliza maswali meengi...Akidondoka😐Si heri mngempa kiti basi akakaa kisha ndo mumuhoji...Mara mkewe alikuwa na mimba hiyo mimba mlimpa nyie😊
Ni ngumu sana kama imekutokea!!
Hakika mungu akujalie nguvu ktk maumivu hayooo@RIP maunda
This man has been facing a lot, I really feel sorry for him
Pole sana kaka, Roho wa Mungu akufariji
RIP Maunda Zorro 😭😭😭my condolences from her fans in Kenya. Poleni sana
Ohh my tell me this is not true😢😢😢😢 been listening to maunda since back then up to date still have some of her songs in my playlist condolences to the family.... Am her fan from #254🇰🇪 rip maunda ♥️♥️
Mpumzshen jaman. Kumuhoj uyu kaka. Amechokaa. Jaman anakidonda kikubwaa😭😭😭
Hongera sana Kaka Kwa Moyo wa Ushujaa Ulionao.. Inauma sana lakini unajitahidi kuyastahimili Maumivu. Mungu akutie Nguvu
Pole sana brother,poleni Sana wana ndugu!Mungu ampumzishe kwa Amani!Amina!
Sasa watu wanalaumu media ivi bila ya hizi media ,,, hizi taarifa mungeziona wapi acheni zalau ivi munajua kazi ya muandishi wa habari ninyi😞
fact
I'm speechless!! RIP maunda!!
Pole sana kaka yetu yote hii mipango ya mwenyezi mungu, sisi sote tunapitatu.
Huyu jamaa ni jasiri sana,pole sana kwa msiba.
Pole sana kaka yangu. Muombee tu mungu. R.I.P
Pole sana Allah akutie nguvu inauma lakini hamna namna
pole Sana ndugu Mungu akutiye nguvu
Pole saaana mme wa Elleni kuondokewa na mkeo na kaka yako pia Mungu akubariki,akujalie uwakuze wanao
Pole sana bro.ila ungekaa mbali na vyombo vya habari.umhifadhi mkeo.
Mteueni msemaji wa matukio yote ya huu msiba bila hivyo utasumbuka sana.
ewe mungu wangu nakuomba iweke roho yake helen mahali pema peponi amina amina tumuombeeni dua kila siku tumeumia sana poleni sana famiia yake yote
Pole Sana ndg yangu. Tumwombee apumzike Kwa Amani
Ni kweli angepata msaada wa haraka angepona duh niliwahi pata accident 2015 nikiwa na IST niligongana na basi asee miguu tu ndo iliumia lkn uso na maeneo mengine hata mchubuko hakuna, lkn miguu ilikua imevunjika mara kadhaa, wasamalia wema walivunja kioo wakaniwahisha hospitali kwa mapenzi ya Mungu nilipona na kutembea vizuri aft 2yrs.
Mashallah Allah is great...sali sana kwa ajilj ya Mungu wako na utoe sadaka..Mungu amekudhiirishia uwepo wake.asante Allah your the great .amina🙏 RIP MAUNDA.Allah hatukuki kwa aliempiga vita.please Allah forgive her n us.alhamdulilah.
Pole sana kwa mapito uliopitia
Pole sana
Ahadi nayo siku ikishafika hakuna chakuzuia kikubwa tushukuru tu kwa yote japo kuondokewa kunauma
Praise the Lord
Pole sana kaka, daah najua inauma ila jipe moyo mungu ndo mpangaji wa kila kitu
Kaka hayo maumivu sio mchezo kbsa, Bora aumwe tuuguze kuliko tyu gafra biniVuu😢.Tar 15 /12/21 nimempoteza namimi wakwangu kwa ajari ya bodaboda.😭😭😭😭
Pole sana
Pole kaka Allah akupoze moyo wako pamoja na watoto na family
Pole sana bro
ewe mungu wangu nakuomba sanal msamehe helen
pore sana kakaangu mungu_akutie_nguvu
Pole sana kaka tunajua ulivyoumia
Poleni sana Allha akufanyieni wepesi na awape subra
Pole sanaa kakaangu mungu akupe subrah
Rip maundaaaaa🥲🥲🥲🥲💟💟💟💟
Pole sana
Poleee jaman
Polee kaka jamaniii!😭😭 Pole Pole poleee sana na watoto wadogo jamaniii
Pole brother mungu akusimamie akupe nguvu kaka
Pole Sana Kaka na familia yote kwa ujumla, Mungu kampenda zaidi
Mbona skumsikia mama yake Maunda??
Mungu akutie. Nguvu broh
Kifo kiskie tyu jamn mungu amtie nguv hyu dada mungu n mwema
Daah pole sanaa kaka,Mungu akutunze kipindi hiki kigumu
Pole sana kaka kwa msiba mkubwa mungu akufariji
Pole sanaa kaka
Daaa jamani 😭😭😭pole sana kaka hakika kiatu chako ni kikubwa hata hakiwezi kunitosha Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P Maunda.
polle sana kaka:::
Poleni sana...
Mungu awape ujasiri kwasababu pekeyenu sirahisi
Waandishi hamna adabu sijui mkoje hivi mnakosaga maswali?muangalie na maswali na muda wa kuuliza
Pole mdogo Mungu atakupa nguvu upate kulea watoto Rambi Rambi zangu kutoka kenya
Inna lillah waina ilaih rajiuun
Dar pole sana
Daaaaaa.......h. Mungu akutie nguvu... Kaka....jmn. ...anajikaza sana..lakin ..ni ngum sana..
Pole sote wa Tanzania kwa msima wa msani wetu maunda
Pole sana kakaangu
Pole Sana baba yangu jikaze futa machozi mpendwa
pole sanaa
Pole kaka
!!!
Pole sana
Eeeeh mungu akutie nguvu kaka pole sana sina lakusema kiukweli poleni sana
Pole Sana kaka
Mungu akutangulie
Mungu akutie nguvu
Kaka usijali mungu akutie nguvu kifo kipo na hakizoeleki kiukwel ila ikifika imefika tu zoote ni sabab ila kifo ili kikamilike lazima kiwe na sababu , kama ingekuw haijafik asinge fariki ila yote kwa yote ni njia ya wote na majaribu ni mtaji , hvyo mungu ampe kaka nguvu Amen
ila media za bongo yan azijiheshimu kabsa..
Ovyo sanaaa yaani 😔
Brother pole sana msiba unauma hasa kwa mtu wa karibu Yani siwezi kuvaa viatu vyako najikuta machozi yananitoka tu 😢
M/Mungu Pekee Ndiye Faraja Nguvu Na Tumaini Lako Kwa Sasa
Pole Saana Kakaetu
Mungu akutie nguvu kaka unaumia mno nahis maumivu maana nimewai kufiwa
Pole kaka
Jamani munge muekea kiti presha jamani waandishi muwe munafikiria mwili mkubwa uyo mtu
pore sana kaka
Mungu awatie nguvu familiya
Jmn jmn roho inauma watoto wake jmn
Pole sana shemeji yetu
Poleni Sana
Pole
Allah akupesubra pole sana
Bac ata hanjif mnashindwa kumpa mhh
Daah😭R I P dada maunda ,tulikua tunaufanyia sana mazoez Sanaa ule nafurahi kuwa nawe daah 😭😭😭
Baba umeniliza ,sjui mm nikifa mume wangu,Mara ya mwsho nitakuwa nimeongea naye sjui lini maana hata nichelewe vipi home hapigi simu kuniulza mke wangu mbona kmya
Yaan ataskia nishazikwa ,😭😭..mm sjuagi Kama wanandoa wanapgiana simu
Pole Kaka😔
Miandishi mingine ovyo kama Hilo lililoulizaujauzito halijielewi pole Sana kaka
Pole sn kaka,Mungu akutie nguvu.
Poleni sana wafiwa wote.
inasikitisha
Kaka Mungu wa mbinguni akutie nguvu , kila jambo linasababu na hii ni safari ya wote
RIP ,,,maundaa,, Mungu akupe moyo wa subla kaka.
Mtu kafiwa na mke wake na yuko ukweni msibani bado wewe mwandishi wa habari unamuuliza et inasemekana haukuwa na mahusiano mazuri na marehemu???
Hili linatoka wapi waandishi wa habari muwe na staa na maisha ya watu hasa panapokuwa na tukio la kuhuzunisha kama hii
Pole sana kaka angu😭
Jamani mwacheni😭😭😭
Jamani muacheni huyu kakawatu apumzike msimuulize maswali ya ajabuajabu muacheni mapaparazi wetu bwana awe Namibia asiwe na mimba inahusu nini jamani da mpumzishen namaswali please🙏🙏
Pole kaka 😭
Mtu mnamwona kachoooka na msiba mnamuuliza maswali meengi...Akidondoka😐Si heri mngempa kiti basi akakaa kisha ndo mumuhoji...Mara mkewe alikuwa na mimba hiyo mimba mlimpa nyie😊
😭😭😭
Mwandishi mjinga kabisa
Rip
R.I.P MAUNDA
😢so sad
Ata kama walikuwa awaelewani jamani ndoa ya malaika iyo bado ni mke wake miaka kumi na tatu waandishi acheni kumuhoji mfiwa taarifa za umbea sio sawa
Pole sana😭
Kwanini huwa hamuharakishi ndoa mapema?? Unakaa na bint wa watu unazaa naye watoto watatu bado tu hufungi ndoa na mtoto wa watu?!? Why??
Swali lako la kipumbavu wala halina mantiki yoyote wakati huu wa majonzi, hicho ndo umeona cha kuuliza!! non sense
mnazingua kumuuliza mume wa marehem yan wakat amefiwa
Kama mwamba alikuw keshatoa Mahali basi Marehemu alikuwa mke wake katika mila zetu
💔💔💔🙏it is well
Jaman msiba usikupate usikie t sisi tuiiotokewa na msiba na watu wa karibu mno tunajua msiba unavyouma huo ndo ukweii msiba
Unauma asikuambie mtu
Pole sana Mume wa Marehemu
Mungu ndo faraja kuu na sivinginevyo poleni wafiwa wore maumivu yake nayajua
Kwenye ndoa au mahusiano ??