Jamanie Hawa wabaya wapo kila Kona upitapo Kuna mashambulizi nyuma yako d zauza amukahao woooteni wabaya kwako Kaka nawe Kandi toka usingizini acha yoote yapite ili ujue wakwako anamsimamo na wewe Dada usikubali kuvu ja mahusiano kwa kusikiliza tuu
Pesa ndokilakitu lkn pesa hiyoo haiwexi kuridisha uhai wamtuu.huyu rafiki wa heri akubali AMA asikibali sawa lkn akumbuke upendo wakweli unadumu fanyeni uharibifuu wenu lkn najua huyo heri na kandy damu damu
Maskini Heriii..acha tuonebitakuaje..thanks director ❤
Hawa majàmbzi wawili wakifunga ndoa jamiiii imeharibika 😂😂😂😂Jacklin😂😂
Nimekaa pale nangoja sehemu ijayo Kheri akianza kulia nimsaidie
Herrri wetu mungu atakupigania pambana na masomo usije kutoka kwenye mstari elimu kwanza mapenzi yasikutoe hapo ulipo yatakuja tuu baba
Wakwanza jamani naombeni likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Zena mambo uko Milan au...
@@realdone ndio we uko wapi?
Mmmmhhhh ilaa yote yatapita 2
Hakika simlizi hii ni hatari kweli kweli ngoja tufurahi
Daah herry mtalaam wetu hana bahat candy ndan ya siku tatu kamnyima jumba😅na lugiko nae anamsaliti kwa sabb ya pesa haya ngoja tuone itakuwaje
Lugiqo ameniqumbusha qauli ya matayo anasemaga unatoa wp jeuri ya qusema quwa furani hawezi qufanya hivi😮
EID MUBARAK UAE 🇦🇪❤❤
Taqabal allegedly minna waminkum
Jamani kunawatu naviwatu kweli 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Jamanie Hawa wabaya wapo kila Kona upitapo Kuna mashambulizi nyuma yako d zauza amukahao woooteni wabaya kwako Kaka nawe Kandi toka usingizini acha yoote yapite ili ujue wakwako anamsimamo na wewe Dada usikubali kuvu ja mahusiano kwa kusikiliza tuu
Kama kawa kama dawa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pesa mlimpa msimamizi wampira mwisho mwamba alicheza mpiraasasa hiii yapili toeni pesayenuu sijui kama mtafauluu huyu geiko nimekuta nimemchukia gaflaaa mnafikii kweli...hiyoo peas simungepeleka kwanayatima
Lugiko Lugiko Lugiko nakwita3 Allah Anakuona masikini Heri usirorijuwa sawa usiku wajiza mapenzi yako yananyemerewa wakiña lugiko muace😭😭😭
Kendy umesahau heri alikuambia usiamini maneno upandee mmoja kendy naona moyo wako ukodhaifuuu ba heri utamkosa usipo kuwa makini
Pesa ndokilakitu lkn pesa hiyoo haiwexi kuridisha uhai wamtuu.huyu rafiki wa heri akubali AMA asikibali sawa lkn akumbuke upendo wakweli unadumu fanyeni uharibifuu wenu lkn najua huyo heri na kandy damu damu
🥺🥺🥺🥺🥺
Mh!! Hv mtu kama Baissa kwnn anangangania mapenzi
Wanne❤