Mungu akutunze sana Pr. David. Hujui tu ni kwa kiwango gani unatubariki. Najifunza mambo mengi sana kutoka kwako. Natamani siku moja upate nafasi uje kuongea na vijana wetu wa TUCASA Chuo Kikuu Mzumbe. I know upo very busy ila naamini Mungu ataruhusu hilo siku moja. Ordinarily, I don't comment on these platforms ila leo imenibidi. May our Almighty God richly bless you.
Huyu pastor ni wabaraka sio kwangu tu ila kwa wengi Mungu akutunze na familia yako nimejifunza mengi kutoka kwako na maisha yangu ya wokovu yamebadilika sana God bless you abundantly
PR.DAVID Mungu wetu azidi kukubariki mafundisho yako unayotufunza yananibariki sana tena yananiongezea imani maana yanaamsha kilicho kuwa Kinalala ndani ya maisha yangu.
Kiukweli Mtumini nabarikiwa sana na mahubiri yako Mimi ni Anglikana lakini Mungu unaemuhubiri ndo huyu huyu anaehubiriwa Anglikana kwetu. MUNGU AKUBALIKI NA AKUPE AFYA
Asante pasta île unasema ni kweli ukifuturu unachiba sana inaweza ukaharishe tena damu matumbo yalikua hayatumike sasa unaitumikisha tena vilivyo vigumu ni shida.asante barikiwa
Nimebarikiwa Sana leo Mch Mbaga umenifurahisha Namwomba Mungu atujalie Mch nasi tuwe na nyumba za maombi Kama Korea, hapa wenzetu Wana nyumba za maombi Mungu Tupe neema
@@lydiamo2503Nyumba za ibaada ndizo nyumba za maombi. Lakini jua hili Lydia; mahali popote utakapotaka kukutana na Mungu kwa faragha, panafanyika mahali pa maombi maana hua Anashuka kukusikiliza. Hivyo tufanyapo ibaada jua Mungu yuko hapo. Fanya kwa unyenyekevu ukijua Mfalme wa mbingu na nchi uko naye. Ongea naye kwa ujasiri. Mungu awe nawe my dear.
Mtumishi wa Mungu Mbaga,Mimi sitaongea Mengi, ila Maadui wako wote wa angushwe chini warudi Nyuma,watanyike,wakimbie kwanjia zaidi ya saba,Nitafurahi nikibahatika ukasoma ujumbe wangu, Nitumie vitabu vyako vyote ulivyo andika, nijulishe gharama zake nitume Hera, Naitwa Andrew Paulo Mwakitwange ,Niko mbeya,Dr. Wa Tiba asiri wa (Afya kwanza) TUKUYU.
Naomba Uniombee plaster laana ya magonjwa na uharibifu wowote kwangu na uzao wangu nakataa Kaka yangu amekuwa rahibu wa pombe na uzinzi ,naomba ugonjwa wa presha kwa jina la Yesu
Yakobo 5:14 Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Marko 6:13 Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza.
Mungu akutunze sana Pr. David. Hujui tu ni kwa kiwango gani unatubariki. Najifunza mambo mengi sana kutoka kwako. Natamani siku moja upate nafasi uje kuongea na vijana wetu wa TUCASA Chuo Kikuu Mzumbe. I know upo very busy ila naamini Mungu ataruhusu hilo siku moja. Ordinarily, I don't comment on these platforms ila leo imenibidi. May our Almighty God richly bless you.
Mungu akubariki
May God bless you
Tusiache kumuombea sanaa, maana anatubariki.
Amen! Asante sana kwa maombi
Mimi ninashida na namba yako mchungaji
Huyu pastor ni wabaraka sio kwangu tu ila kwa wengi Mungu akutunze na familia yako nimejifunza mengi kutoka kwako na maisha yangu ya wokovu yamebadilika sana God bless you abundantly
PR.DAVID Mungu wetu azidi kukubariki mafundisho yako unayotufunza yananibariki sana tena yananiongezea imani maana yanaamsha kilicho kuwa Kinalala ndani ya maisha yangu.
Pr wewe ni peponi Moja Kwa moja Mungu akutunze mtumish wa Mungu
Mungu ndo ajaye aendaye peponi na wala si mwanadamu ndugu yangu Mungu njia zake hazichunguziki
🤣🤣🤣 Najua ni upendo tu, na ku onyesha msisitizo
Kiukweli Mtumini nabarikiwa sana na mahubiri yako Mimi ni Anglikana lakini Mungu unaemuhubiri ndo huyu huyu anaehubiriwa Anglikana kwetu. MUNGU AKUBALIKI NA AKUPE AFYA
Ubarikiwe sana. Ninyi ni ndugu zetu
@@MahubiriPrMmbaga Amina
Barikiwa sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana kwa mafudisho yako
Barikiwa sana nabii
Asante pasta île unasema ni kweli ukifuturu unachiba sana inaweza ukaharishe tena damu matumbo yalikua hayatumike sasa unaitumikisha tena vilivyo vigumu ni shida.asante barikiwa
Ki ukweli kabisa, Una ni bariki sana wajina Wangu, Mungu akutie nguvu
Pastor umenitoa mbali sana, umenijenga kiimani na kutokuogopa
Always blessed with your teaching
Nimebarikiwa Sana leo Mch Mbaga umenifurahisha Namwomba Mungu atujalie Mch nasi tuwe na nyumba za maombi Kama Korea, hapa wenzetu Wana nyumba za maombi Mungu Tupe neema
Wow!
Nyumba za maombi zipo ila ni za madhehebu mengine
@@lydiamo2503Nyumba za ibaada ndizo nyumba za maombi. Lakini jua hili Lydia; mahali popote utakapotaka kukutana na Mungu kwa faragha, panafanyika mahali pa maombi maana hua Anashuka kukusikiliza. Hivyo tufanyapo ibaada jua Mungu yuko hapo. Fanya kwa unyenyekevu ukijua Mfalme wa mbingu na nchi uko naye. Ongea naye kwa ujasiri. Mungu awe nawe my dear.
Kazi nzuri mchungaji, naomba kujua tofauti ya moyo na roho????
Mtumishi wa Mungu Mbaga,Mimi sitaongea Mengi, ila Maadui wako wote wa angushwe chini warudi Nyuma,watanyike,wakimbie kwanjia zaidi ya saba,Nitafurahi nikibahatika ukasoma ujumbe wangu, Nitumie vitabu vyako vyote ulivyo andika, nijulishe gharama zake nitume Hera, Naitwa Andrew Paulo Mwakitwange ,Niko mbeya,Dr. Wa Tiba asiri wa (Afya kwanza) TUKUYU.
Ubarikiwe poster mungu ni nimwaminifu amen
Soma zuri sana la urahibu asantee nimebarikiwa sanaa.Mungu akutunzeee
Asante pastor kwa fundisho sahii mungu akubariki
Nabarikiwa sana Mungu anisaidie nataman kumcha Mungu kweli kwel
Nabarikiwa sana Pastor, all the way from Moshi Central
Pastor sahihisho kidogo tu,Ni 2 Corinthians 5:17 wala sio 1 Corinthians 5:17,
Hallelujah, Bwana apewe sifa
Asante sana tuombee hapa nyumbani na uraibu kwa kweli MUNGU atushindie
Pastor niombee sababu chana niliambiwa napossy nakubeleka kasi tena akanirudisha naomber niombee
Asante mchungaji nimebarikiwa mno nasikia nimepata nafuu wa Imani
Nataka uniombee nibate madam musuri Amen
Amina ubarikiwe pastor
I pray to God one day I can visit Tz just to see you. God bless you all the from 🇰🇪 Kenya.
Amen
Amina mtumishi tunabarikiwa sana sana kila siku tunapiga hatua
Mchungaji kwakweli mimi kubet kunanigalimu sana.
Amen
Amina
Mchungaji na betting pia imekuwa mzigo,mwombee mume wangu,
ameni mtumishi wa mungu nabarikiwa sana
Barikiwa
Nabarikiwa sana na somo la leo MAOMBI YA VITA
Mtumishi mahubiri Yako ni mazuri Naya hekima sana barikia sana
Mungu atukuzwe
Ameen Mungu akubalik mtumishi
Mungu abariki Neno lake na abariki nawewe mchungaji🙏🙏
Nashukuru mchungaji kwa kunibadilisha vitu vingi kwenye chakula na mahubili mazuri Sana Asante Sana
Siku yakikukuta
Pastor je Nikifuturu na matunda je?
Ameen,,nabarikiwa sana
Jambo mtumishi wa bwana.kweli nabarikiwa sana kwa somo la maombi ya vita. Mungu azidi kutiya nguvu. Neema ya bwana hikukumbatiye.
God bless everyone
Amen 🙏🏿
Nabarikiwa Sana
Amen 🙏 🙏 🙏
BWANA akulinde na kukufadhili
Leo nimepata madini ya kutosha kutoka kwako Hadi nashangaa
Naomba Uniombee plaster laana ya magonjwa na uharibifu wowote kwangu na uzao wangu nakataa Kaka yangu amekuwa rahibu wa pombe na uzinzi ,naomba ugonjwa wa presha kwa jina la Yesu
Ndiyo kamari urahibu
Amen Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana
Saaa yaja
Mchungaji na wali
Amen 🙏
Uhakika tumekuwa wahanga kwa hizi simu
It's James.who said.about anointing the patient not mark.
Yakobo 5:14 Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
Marko 6:13 Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza.
Mungu akubariki
Pasta tunabarikiwa mnoooo
Amen
Mutumishi wa Mungu huishi milele
Amen
Amen
Very true indeed I'm Daniel from Nyahururu Kenya 🇰🇪..kindly find time n come here to take more souls to christ through gospel
Amen
Mimi ni mukongomani naitaji oponyezi waaroho namwili.
Mchungaji Mungu akubariki sana,umenisaidia sana mtu wa Mungu.Mungu aitunze familia yako