Mimi nimesha kuliwa pesa zangu nyingi tu,eti wata zihondoa lakini una sikia kazi yako ningumu hongeza hela, kwahiyo na mwachia mwenyezi mungu tu ,kwa damu ya yesu nina himani ipo siku nita finguliwa,
Assallamu-Alleikum Sharif kuna mtu hapo anawaharibia jina...anachukuwa pesa kutoka kwa watu halafu dawa hatumi mimi Niko wingereza huyu mtu amechukuwa pesa zangu na dawa hajanitumia na sasa hataki kurudisha pesa zangu huyu mtu ni muongo sana anaitwa Rehani Zubair Faiz
Habari gani ,shekhe je wewe eliminate ya majini na dawa zake ulizipata wapi ,n pia nani kakupa eliminate hii kwani inamtiiani mkubwa sana n je wewe ushawahi kupata kupandisha ili kupata eliminate hii ,shekhe hebu tufahamishe
Jina la Yesu lashinda majina Yote. Bwana uokoe ulimwengu wote kwa dam yako takatifu.
Acha ushamba ww uliskia wapi watu waokoke kwajina layesu
We Kama unaona huko ukafirin umeokolewa. Ustake walio kwenye njia sahh kuwashawish.pambana nahiyo dam unayoiamn itakukomboa nasio M/Mungu
Ukweli shehe mungu akupe uwezo zaidi
Mashalah Daktar Njoo qatar 🇶🇦
Mimi nimesha kuliwa pesa zangu nyingi tu,eti wata zihondoa lakini una sikia kazi yako ningumu hongeza hela, kwahiyo na mwachia mwenyezi mungu tu ,kwa damu ya yesu nina himani ipo siku nita finguliwa,
Ashasema mateperi.ko uwe makini.hat mim nataperiwa lkn nuksi.nd.zinaongezekaa
Nitafute inbox nikusaidie
Njoo nikuombee na utakuwa sawa
Waaleykum salam warahmathullahi wabarakatuh
Walaikum.salam warah maturah wabarakatu. Allhamdulillah Allah shehe
mashallah mm bac nasumbuliwa
we we ni mwaminifu mwenye zi mu ngu akulinde
Ivi mimi huaga nikisoma Quran naenda mioyo sana, inkuaje hii ya sheikh
Mashallah
Mashaallah
Sheikh naomba uniombe nikona kigugumizi niombe iishe😢
Asant sheikh
Masha Allha
Mimi pia nasumbuliea na haya majini mpaka inaharibu mipango yangu yote hata sina chochote ma nimechoka nao. Nifanyeje
Walekum salam warahma tullah wabarakatu
Naam shukran
Assalam aleikum shekh Mimi nimuathiriwa,nitasaidikaje.niko Mombasa
Subuhana.Allah
WA alaykum salam warahmaturah wabarakatuh ❤
Asw Mimi nimukaaji wa Burundi nasumbuliwa na makini na mashetani naomba musaada wako
Km moja dalili unazo lakn huja wahi kupandisha je Una jini
Yesu ndio yote ktk yote anaweza mambo yote
Shukran
Assallamu-Alleikum Sharif kuna mtu hapo anawaharibia jina...anachukuwa pesa kutoka kwa watu halafu dawa hatumi mimi Niko wingereza huyu mtu amechukuwa pesa zangu na dawa hajanitumia na sasa hataki kurudisha pesa zangu huyu mtu ni muongo sana anaitwa Rehani Zubair Faiz
Polesana kuwa makini
Asalam alaykum ivi uganga wamajini Allah karuhusu??
Asalam alaykum sheikh kwema samahan naomba kuuliza jin sharif anaweza kurith yan kutoka kwa mama kuja kwa mtot na je akipanda anaweza dai kusomo
Naam
Mutaangaika sana kiboko ya majini ni jina la YESU
Hujaulizwa
Fata yanayokuhusu hasidi wwe
Kuma wewe
Yesu ndie suluhisho ya kila kitu mtegemee yeye
@@fwambamarkd5735, Asingepata mkunuto
Km huja wahi kupandisha lakn moja ya dalili unayo je unajini
Sheisha majin
💞💞💞💪
Ukweli
we mwenyewe tapaeli
Je Kama dua ikisomwa nasikia Raha baada ya hizo dalili kutokea Malian a kusikia Raha ya kisomo
Ukiota umejifungua jje nidalili gano
Habari gani ,shekhe je wewe eliminate ya majini na dawa zake ulizipata wapi ,n pia nani kakupa eliminate hii kwani inamtiiani mkubwa sana n je wewe ushawahi kupata kupandisha ili kupata eliminate hii ,shekhe hebu tufahamishe
Mimi nimeota nachimba vyambo { chambo }nin maana yake ??
Sheikh mimi natoa doto nipo shule maana yake nini
Ni kurudi nyuma kimaendeleo
Nilisikia huyu mtu ni tapeli .jamani nani mwengine ametapeliwa
Sasa shekhe gani huyu anashadidikia mziki siju mashekh wetu wanatufundisha nn
Kwa mtu ambae hajawahi pandisha umri wake wote inakuwaje
Matapeli watimue majini tuu
Wewe siyo shehe wewe ni muongo unasama vizuri lakini unapindisha unachanganya majini hawapandi kichwani hao ni mashetani majini ni wasafi hawapandi kichwani duuu
Ww usiseme ni muongo. unakosea. Huyo n binaadamu c mkalifu
Masha Allah