‘Sina damu mikononi mwangu’ RAIS RUTO afunguka, adai KENYA sasa italazimika KUKOPA Trilioni 1.2

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 178

  • @suleysaid3927
    @suleysaid3927 4 дні тому +12

    Safi sana Sns Nawapata vizuri sana Munafanya kazi mzuri sana Mungu awabariki ❤

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 3 дні тому +5

    Poleni wakenya Mungu awafanyie wepes

  • @isamony58
    @isamony58 4 дні тому +6

    Asante kuongeya kiswahili 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 3 дні тому +4

    Asante kaka sisi tusiojua vingereza😂😂😂😂tumekuelewa vizuri sana

  • @pauloisso5815
    @pauloisso5815 4 дні тому +10

    Saut Tu ya mtangazaj inatamanisha kusikikiza moja ya best sound Tanzania

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f 3 дні тому +2

    Ooooh Lord stand with the People of Kenya to have peace?? From Tanzania

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 4 дні тому +12

    Sns is the best now tz

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 дні тому

      Exactly yan ktk online tv...hii ni atar na wakiendelea hiv watafika mbal mno

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 дні тому +6

    Kwa kiswahili Safi sana.

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 3 дні тому +4

    Hajahusika kwani polisi niwa nani hio damu haiwezi enda bure RUTO itakutesa sana hii kitu😢😢😢😢😢

  • @ismailabdalla7953
    @ismailabdalla7953 4 дні тому +19

    Umefanya vizuri kuleta kiswahili

  • @mohamedalnaamani9232
    @mohamedalnaamani9232 4 дні тому +11

    Umefanya vizuri kwa kuongeya kiswahili poleni sana kwa vifo vimetokeya na omba wakenya mpende Amani na mpende inchi yenu usalama nikitu muhimu kwenu usalama gusa kilammoja
    wenu

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 3 дні тому

      WaKenya wanapenda nchi yao kuliko yeyote yule na ndio maana wanapigania haki yao sio kama waTZ ambao uhuru wenyewe walipewa kwa sahani !

  • @saidbabaali9082
    @saidbabaali9082 4 дні тому +8

    Umefanya vizuri kuwatafsiria hao jirani zetu maana wengi wao ingewapita tu

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 4 дні тому

      😂😂Banaeee

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 3 дні тому +2

      Naiman hata hko kwenu kunawasiojua eng ko sishangai

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n 3 дні тому +2

      Mbona rais wenu alishindwa kuongea English huko ulaya😂 mnajifanyaga wazungu nyie

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 3 дні тому

      ​@@user-zs4qz4wm2nAliongea kizungu safi sana acha uwongo

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 3 дні тому

      Wewe hapo juu unayewaabudu waingereza ona sasa matatizo yaliyopo sell outs,King wa uingereza kukaribishwa na kutandikiwa zulia jekundumk.Kasumba
      .NI MHIMU KUIHESHIMU LUGHA YAKO KWANZA KAMA WAFANYAVYO WAZUNGU WENYEWE.RAISI ANAIHESHIMU LUGHA YAKE YA TAIFA NA WAINGEREZA WANATUHESHIMU KWA KUWA NA LUGHA YETU IMARA NA KUTOKUWA NA UKABILA🎉IAM PROUD OF MY NATION.GOD KEEP ON BLESSING MY BELOVED COUNTRY.NEVER KILL EACH OTHER.IN GOD I TRUST.

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 4 дні тому +9

    Brother Sky tunashkur kututasfiria Kwa kiswahili

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 4 дні тому +3

    Tatizo lako Ruto unaongeya sana Alafu ahadi zako ni hewa

  • @amanimtd3890
    @amanimtd3890 4 дні тому +4

    Support from Canada 🇨🇦 Asante sana SNS

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 4 дні тому +3

    Zakayo must go 😂😂😂😂

  • @samuelmlapwa7858
    @samuelmlapwa7858 4 дні тому +25

    Shida ya huyu bwana uongo ni mwingi

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 3 дні тому +1

      Huyu sio kiongozi ni mwanasiana tu

    • @aftapat5365
      @aftapat5365 3 дні тому

      kwani Magufuri si alikuwa kiongozi mzuri alivyofariki nani alie hoji
      nashangaa sisi wa tanzania tunakosoa sana kenya kuliko kuwaombea ili wasiingie kwenye vita
      ruto akitokw nani atakuwa kiongozi mzuri wakenya ni wazungu vuchani kama hauwajui

    • @samuelmlapwa7858
      @samuelmlapwa7858 3 дні тому

      ​@@aftapat5365ndugu yangu hivi unamsikia Ruto na tension yake kuhusu hayo maandamano?Halafu kuna namna unapaswa kuelewa Magufuli hakuwa mtu wa mikopo kaka huyu anakopa Sanaa hicho ndio kitu wakenya hawataki sababu inachochea ongezeko la kodi.

  • @blueboybajos6880
    @blueboybajos6880 4 дні тому +1

    asante sna kaka Sky na SnS yote kwajumla💝

  • @fanuellingson
    @fanuellingson 2 дні тому

    Nimependa waandishi wanavyo hoji TZ MKALE SHORT COURSE HUKO

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 4 дні тому +8

    Mnao shukuru kwa Sky kutafsiri hii inshu kwa kiswahili jifunzeni Lugha kujua kichina ,kirusi na kinyakole ni utajiri wa lugha wala sio ushamba kujua lugha yeyote ile.

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 4 дні тому

      😂

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 3 дні тому

      😂😂😂😂...Kweli kabisa

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 3 дні тому

      Kwani wao kujifunza kiswahili ni dhambi

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 3 дні тому +1

      @@yusufuheri6524 Muache kiburi cha upuzi, kiingereza ndio lugha ya mawasiliano ulimwengu mzima......Musiwe wajinga jamani

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 3 дні тому

      @@lenniefei6710 message sent

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 4 дні тому +5

    SNS media yetu pendwa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 дні тому +3

    duh aisee kumbe Kenya wanaletaga mswaada wa fedha kwa uma kwanza kisha wanarudisha bungeni kujadli? wanaraha kweli..51:08-55:13

  • @SamiiJymmy
    @SamiiJymmy 3 дні тому +1

    Ruto don’t care about life 😢😢Shem on him😢

  • @LatifaMusa-dy3id
    @LatifaMusa-dy3id 4 дні тому

    Mungu akubaliki sana simulizi na sauti

  • @animalchannel296
    @animalchannel296 3 дні тому +1

    I support Ruto by the way

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 3 дні тому +1

    Naomba Prof Jamal Mstafa the story book Tz help me to have him.

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 3 дні тому +1

    This guy ICC must visit him again

  • @GentleGiant-pj2rk
    @GentleGiant-pj2rk 3 дні тому +2

    Linus is incompetent to represent in that meeting he is too emotional and represents his own feelings, I real like the other two, are very objective and well equipped and accommodated

  • @Rachel02806
    @Rachel02806 3 дні тому +1

    He's nice president on my opinion

  • @aminaali792
    @aminaali792 4 дні тому +2

    SNS to the Top 💪🏼🤍🤍🤍

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 3 дні тому

    Sns to the world 🇹🇿💥💥💥🫡sound bora kutokea 🇹🇿

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974

    hiyo ndio kenya

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru 3 дні тому +1

    Huyu rais ni jeuri sana ataki kuwasikiliza watu wake alafu analinganisha mali pmj na watu waliofariki 😢 alafu yupo tayari kwa chochote yani mbwai mbwai wakati ajatimiza alivyoahidi 😢alafu anakua mjeuri kama watu wake 😢USHAURI WANGU NI..... WALE VIJANA WANAO ANDAMANA WAINGIE NA MOTO MTAANI TU.

  • @user-tr7ty6jz2f
    @user-tr7ty6jz2f 4 дні тому

    Heko 💪 our journalist

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k 3 дні тому

    Hongera mwandishi kutujuzaa

  • @HansChuma
    @HansChuma 3 дні тому

    Mm nasema hv Bado tanzania

  • @ilmoprince4655
    @ilmoprince4655 3 дні тому

    I support #ruto must GOO am a kenyan

  • @Telesphole
    @Telesphole 3 дні тому +1

    This prizo he’s talking nonsense, he should wait this Tuesday and save the rest

  • @reginaldephraim1708
    @reginaldephraim1708 3 дні тому +1

    Mbali na yote, waandishi wa habari wa Tanzania wana kitu cha kujifunza hapo kuwacha uwoga nakuhoji vitu vyenye maslai mapana ya Taifa.

  • @samuelmlapwa7858
    @samuelmlapwa7858 4 дні тому +1

    Inapaswa kuwa funzo kwa nchi nyingine za Africa especially East Africa,watu wanaimba Democracy lakini kuitekeleza inakuwa ngumu kwa kuwa wanajali interest zao..Ona sasa huyu anajikanyaga tu anashindwa kujibu kama kiongozi mkuu wa nchi every answer he give contains numbers of what he call facts but they are not sensitive indeed,Poor Ruto.

  • @kgchippy
    @kgchippy 4 дні тому

    😢😢

  • @ShomariAbdallah-x2q
    @ShomariAbdallah-x2q 3 дні тому

    Matokeo. Yaufaransa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 дні тому +1

    Afadhali angaliomba msamaha na siyo kujikosha.Wale waliouawa wapate fidia tena kubwa. Ni binadamu na siyo kuku😢😢Tanzania tusije tukajiingiza
    Kwenye balaa kama hili,maongezi ni mhimu na amani kama ilivyo kawaida yetu na msingi wetu Lema na upumbavu wake wa kutoka ughaibuni kutaka vijana wafanye fujo ni wendawazimu.mtupu bila kusahau kuwa Lema ni mjinga fulani😢.

  • @roselynealima3618
    @roselynealima3618 3 дні тому

    Ruto must go
    We don't want him anymore

  • @FredNdundulu
    @FredNdundulu 4 дні тому

    Safi safisana kwa kutafsi kiswahi

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 дні тому

    Now he is calling all those Kenyans in maandamano criminals? Shame on you Ruto. No empathy, no emotions, nothing.
    Zakayo must go

  • @felixefeza6783
    @felixefeza6783 4 дні тому +3

    Malaika anayesema uongo huwa hana tofauti na shetani anayesema ukweli huyu bwana aliwatumia polisi kuua wakenya githurai Mimi mwenyewe ni shuhuda

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 3 дні тому

      Wakumbuka mwaka 2007 wakikuyu wengi walichomwa kiambaa katika kanisa bila huruma

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 3 дні тому +1

    Tunamjua yeye ni muuwaji toka zamani na ni mwizi toka tumboni Mungu anisamehe kwa hili huyu anamdomo sana na kiburi

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels 4 дні тому +1

    RUTO MUST GO ZAKAYO SHUKA shaitwan 👹👹👹👹👹👹👹👹

  • @TmkeLaiza
    @TmkeLaiza 3 дні тому

    Mlad ayo🎉🎉

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 3 дні тому

    Mr President mungu halali utalipa tu kwa njia yoyote ile damu ya MTU haimwagiki bure.

  • @KajokaTanzania
    @KajokaTanzania 3 дні тому

    He can't even reply the first question. WTF ???😜😜😜 Kweli Ruto must go.

  • @sarafinawanja8549
    @sarafinawanja8549 3 дні тому

    Plz do all the recommendation of the genz and resign mr president

  • @AlbertWafula-k3i
    @AlbertWafula-k3i 3 дні тому +1

    Ruto ruto toka tu kwa amani toka toka wewe NG'ombe ata uongeee toka

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 3 дні тому +1

    HUYU JAMA NI MUONGOO HATUMTAKII TUSHACHOKANAYE ALIKUA WAPII MIAKA MIWILI YOTE KUTENDA ANAYOYASEMA

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 дні тому +2

    POLENI JIRANI ZETU NA KIUKWELI BAADHI YA VIONGOZI WETU WA KIAFRICA
    BADO WANAENDESHA NCHI CHINI YA MATAIFA MAKUBWA

    • @birianination7097
      @birianination7097 4 дні тому

      Kila nchi Africa lazima iwe na nchi kubwa inayo isaidia kimaendeleo na kiusalama.

  • @stanleymadata8767
    @stanleymadata8767 3 дні тому

    wamepangwa wamtafute kiongozi wa waandamaji ili awepo nae waojiwe

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 3 дні тому

    Hakuna mtu anamini ruto kenya.Ruto akikuambia leo ni jumapili na calender ameshika chunga sana anaweza kuwa anakuonsha calender ta 2020. Hiki ndick kiwango cha urongo ruto yuko nayo.

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836

    Huyu ruto ana chake....
    Ndio ngoma inaaza.....

  • @namungolubala1788
    @namungolubala1788 3 дні тому +1

    HUYO HASTAHILI KUWA RAIS KABISA AONDOKE AKAFIYE NAHUKO ALIBADILIKA WAKATI ALIENDA KUKUTANA BIDEN ASI WADANGANYE HAKUNA KITU ATA SAIDIA IYO NI UONGO🎉🎉🎉🎉

  • @Dar_es_salaam156
    @Dar_es_salaam156 4 дні тому

    SnS 🎉

  • @Kingwendu85-q4l
    @Kingwendu85-q4l День тому

    Makosa makubwa kuunguza mali za nchi,hivyo basi waombe wanavyovitaka kwa amani bila uharibifu

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 4 дні тому +1

    lakini mbona hawakumuuliza kuzarau mahakama ambayo ilitoa hukumu polisi kenya wasiende Haiti lakini kawapeleka. ukweli hakuna la maana waandishi walichomuuliza

    • @birianination7097
      @birianination7097 4 дні тому +1

      Wewe unachanganya mchanga kwenye chakula, hapa wanauliza kuhusu matukio ya mgomo kenya, haiti wapi na wapi

  • @omyboy6550
    @omyboy6550 3 дні тому

    So, the criminals mobilized youths and killed them? What was the motive?

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 3 дні тому

    Kuua wandamanaji wa amani ni jambo baya sana,Ruto amezingirwa Hana pa kwenda na hata Marekani kwa hili watamtosa.
    Atubu ndio shida ya kutaka Urais kwa gharama yoyote.
    Hatapata amani Hadi anaenda kaburini

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer 3 дні тому +1

    Tanzania hayupo wa kuhoji Rais kama huku Kenya.

  • @namungolubala1788
    @namungolubala1788 3 дні тому

    Huyu anaiga ulaya kutia tax na inchiyake ni africa watumusiitike hiyo ulaya ni ulayatu na africa ni africatu ulaya ni inchi tajiri na africa ni inchi masking kwanini huyumwizi aige ulaya kutia tax????

  • @Briliant-vd8vp
    @Briliant-vd8vp 3 дні тому

    Mr president weka jeshi kila Countys tunataka amani

  • @Critikize
    @Critikize 4 дні тому

    He is concerned of those whose lost businesses but the same individual is merciless of those homes he demolished. Douvlble speech

  • @DamianUlaya
    @DamianUlaya 4 дні тому +1

    Yaani luto anawaza kukopa tirion 2 tu anaona nying Kati Kuna mtu kalamba za wakorea kusin kama 4

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 4 дні тому

      Hiyo trillion ya ksh unajua ni ngap kwa Tsh??

    • @birianination7097
      @birianination7097 4 дні тому

      Kenya wapo na 73% debt cap Tanzania mpo na 34% debt cap inshot mnafanya vizuri sana

  • @KhamisBeja
    @KhamisBeja 3 дні тому

    Ile siku wazungu wataacha kutuchagulia viongozi ndio itakuwa wakati wa africa kuendelea huyu alikuwa hajakuwa tayari kuwa raisi coz amepatikana flat footed hana majibu hana watu wakumpa information anabaki akibahatisha majibu...

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 3 дні тому

    Kwahivyo Rais Ruto na Makamo wake hawaivi kwenye chungu kimoja.

  • @patriciamuchemi7772
    @patriciamuchemi7772 4 дні тому

    Why does he always lie? Then what happened in Githurai and why did it happen?

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 4 дні тому

    Shetani huyu yu must go hatukutaki full stop

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 13 годин тому

    Kibongo bongo umuhoji Rais hiyo mzee nyote mnatupwa ndani, wa Tz tunachakujifunza.

  • @birianination7097
    @birianination7097 3 дні тому

    Ukipunguza hasira na chuki utajua Kenya ipo kwenye tatizo zito na one way or another lazima nchi ilipe either leo au kesho, Ruto anamakosa yake kweli ilabado anajitahidi kwa kweli.

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu 4 дні тому

    Yaan apa africa kazi ipo yeye anakodi ndege anatumia pesa nyingi alafu anaawambia watu kuwa lazima wakope kwa ajiri ya nini au safarizako za marekani na kujiongezea posho na vyakula vizur bungen

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 3 дні тому

    Tumieni busara kumaliza migogoro bila vifo

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 3 дні тому

    Hata anadanganya hadanganyangi. Usijefanya mieleka na nguruwe. Nyote mtachafuka lakini nguruwe anapenda hivyo sana

  • @jaybajay9973
    @jaybajay9973 4 дні тому +2

    I still believe Ruto is the right man for the job. He only needs someone to advise him to resign!!!

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj 4 дні тому

      Kwenda zako nenda ukaishi nae kwake

    • @jaybajay9973
      @jaybajay9973 4 дні тому

      @@MuniraShughuli-kc7vj try to understand usilete makasiriko kua mpole coz ujanielewa

    • @jumakibwana1810
      @jumakibwana1810 3 дні тому

      Very true but only if anaweza sikiliza hao advisers coz ruto anaubabe wa kujua kila kitu

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 3 дні тому

    Anaetangaza mtz mswahili sio mzungu mweusi wakenya 😂😂

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 3 дні тому

    Sasa Kuna picha zilikuwa zikinyesha watoto wanatupa mawe sema kosa ni kutumia risasi za moto

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 дні тому

    Thats what am talking about 1:08:1:12:43- his trips to foreign countries has potential impact to the growth of Kenya's economy- USA- he came back with a $1billion Data center facility to be built in Naivasha. Also the CHIPS manufacturing has set Kenya to be part of it. Then China - Roads, Technical equipments kwenye vyuo vikuu. Duuh aloo...Jamaa sio mchezo Rais wa Kenya kongole baba

  • @user-ic1fs9bf1v
    @user-ic1fs9bf1v 4 дні тому

    Waafrika tunapenda ubabe siutoke upunguze mauaji au Kama nataka Amani Mwite Railla Mujenge nchi chukuwa mifano ya waliokutangulia

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 3 дні тому

    Yani Kuna uchochezi nyuma ya pazia na chuki pia

  • @user-ng5xe7ze3j
    @user-ng5xe7ze3j 3 дні тому

    Translate to Arabic

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue 3 дні тому

    Imemponza marekani aache kihelehele Cha kwenda nchi za ulaya

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 дні тому +1

    Kinachomponza tuu huyu Rais wetu jirani ni matumizi mabaya ya pesa na viongozi wake. hiyo ndo shida kubwa na ndomaana hizo tozo zikawafanya w/nchi wakasirike na kutaka mswaada mzima upeleke kwnye jalala

    • @ZulumanSulesh
      @ZulumanSulesh 4 дні тому

      Nakukopa ili aibe then analazimisha watu walipe kodi ilihali watu awana kazi

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 дні тому

      Hivi hiyo miradi ni ya bure, tujitoe akili ila Africa bila mikopo hakuna kitu.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 дні тому

    Watanzania hatuamini amani katika kumwaga damu.Hiyo ni mbegu ya ubeberu,colonialism walituua na kututawala kimabavu.Mwafrika kwa ujinga wetu anafikiria kuwa kuua ndiyo sifa😢Hata polisi anafikiria kuua ndiyo ushujaa.
    Kumbukeni south Afrika.
    Wazungu wenyewe polisi haruhusiwi kuua.Afrika tunauana kama kuku,kwa vile akili yetu ndogo kama kuku😢wanaopenda fujo na vifo waende Gaza au Ukraine

  • @kayklein1201
    @kayklein1201 3 дні тому

    Hadui yetu alikua uhuru ruto alionya akabadingwa jina la mwizi ila twamwona mmbaya kwa sasa lakini yeye ndio masiah wetu

  • @YasiniMkakile
    @YasiniMkakile 3 дні тому

    Ruto umekanyaga moto

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 4 дні тому

    Hafai hata maongezi yake hayakuwa na tijaa tutamtuwa 2027 Insha'Allah
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

  • @millymack1370
    @millymack1370 3 дні тому

    Kesho tunaenda maandamano upya..lazma huyu jamaa ashuke.

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 4 дні тому

    Wana SNS sisi ndio wakenya na tunajwa Kila ambacho kilifanyika Kenya uyu RUTO ameongea uwongo yote kama anasema mtu Mmoja ndio alifariki Githurai na ni watu wengi walipigwa risasi... Atupatie paybill ya china tujilipie deni wenyewe

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 4 дні тому +1

    Kenya there is no respect for the president at all. How can you corner him like a kid on camera like this.

    • @kiatu
      @kiatu 4 дні тому +1

      They democratically more mature than most other countries

    • @Hassan_Mengi
      @Hassan_Mengi 4 дні тому +1

      Who cares?! No respect for a narcissist Zakayo.

    • @birianination7097
      @birianination7097 4 дні тому

      ​@@Hassan_Mengi punguza hasira, msikilize vizuri

    • @patrickochieng79
      @patrickochieng79 3 дні тому +1

      This is the fruit of democracy baba😅

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 дні тому

      @@patrickochieng79 na nivizuri wish they will be more.

  • @sarafinawanja8549
    @sarafinawanja8549 3 дні тому

    Ruto must go with his taxes

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 4 дні тому

    Kamahawezi KunyongaWafisadi ,walanguzi wamadawa yakuleviya Aondoke.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 дні тому

    Jamani tukumbuke kuwa tumerithi capitalism,ni hatari.Viongozi wanajisahau kuwa wao ni wananchi mzungu alikuwa anakula nchi tu.😢After all Ruto is a billionare ,he can easily use his moneys to travel to anywhere without using taxpayers money😅😅

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 дні тому

    Huyu shetani bado anatuma watu kuwauwa wananchi nakuwateka nyara,bado anatmia vibaraka wake kiwaumiza wakenya, kiufupu huyu hajabadilika, ruto hujui kuongoza achilia kiti uende zako,maana unazidi kujihaibisha na dunia inakushangaa

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 4 дні тому

    Huyu Ruto wakenya wangemshulikia kumuondoa madarakani bilahivo atakuja kuivuruga nchii kueni namakini kunawatu nyumayake wanae muendesha akili kusambaratisha wakenya 😂😂😂😂