@@user-um6gg8zj5c Anawasaidia ulimbukeni wa kisomo kisicho na faida,kama mnaweza rudisheni grabbed land iliyoporwa na wanasiasa toka uhuru nitawaona wa maana..ardhi imekaa barely while majority mmebanana kwenye slams,bei ya mkate ikipanda mnachoma Kila kitu, kwetu mkate ikipanda naenda kulima viazi,shamba ninalo.Change your policies acha ubishi.
Kumbe Dudu ni mtu very understanding. Aliyoyasema ndiyo ukweli halisi na viongozi wanautumia umbumbumbu wa wananchi wengi kutojua lolote na kuamini kwao kuwa siasa haiwahusu. Itatuchukua muda mrefu sana.
VERY SMART DUDU BAYA. POLITICS HAS EVERYTHING TO DO WITH US ORDINARY CITIZENS. WE CAN'T BE IN A STATE OF I DON'T CARE. GOVERNMENT OFFICIALS AND PARLIAMENT IS MAKING DECISIONS AFFECTING OUR EVERY LIFE. EVERY TANZANIAN AS TO STAND UP AND ASK QUESTIONS ON GOVERNMENT MATTERS AND WHAT ELECTED MEMBERS OF GOVERNMENT ARE DOING 🇹🇿. OUR IGNORANCE IS SENDING US TO THE BOTTOM PIT OF LIFE AND DEVELOPMENT. WAKE ⏰ PEOPLE AND AFRICA 🌍. LOOK AT IBRAHIM TRAORE.
Umeongea vizuri sana salamu zikufikie kutoka Kenya,,umeongea vizuri mtu wa kuelewa ataelewa ila naona. Comment za wengine apa bure kabisa amkeni nyinyi
I'm a kenyan and I do agree to this guy.Us here in kenya,we are fully sensitized about our rights as citizens.Even when our stupid president is lying tutamwambia openly,pole unatudanganya.Tanzania tunawaomba mtafute wakati and fight for true democracy.
@@BavarianBlackGirl-vd2go mwizi na mwadamanaji anaingia kwa duka LA MTU anapora anatoka hapo anachoma gari LA MTU na ni LA mkopo labda.. Tofauti ya Huyo na Ruto ni gani sasa?!.
Umeongea sana kaka dudu ..tz ..bado tumelala usingiz mzito ndomana viongoz wanatuamulia ..kila kitu ....sukali tununue ekfu 10 kwa kilo sawa tu Petroli tununue 5000 lita sawa ....sisituko busy na yanga .na simba ...😂😂😂😂ila tz 😂😂
Huyo haijui Kenya vizuri katika mambo ya elimu. Kenya hawafuati chama wanafuata mtu .Ni nzuri sio kama kwingine mtu chama ndio kinamsaidia kushinda mwenyewe hajiwezi
Tanzania ni inchi tofauti sana hapa Africa mashariki yenye nguvu na nidhamu kutoka kwenye uongoz wake na hata raiya wake Sasa mnapo zungumzia kenya msifananishe na Tanzania. Amani na mshikamano ndio moto wa taifa letu. Kenya msiitaje jiholela Tanzania. Amani ndio msingi wa inchi. Wakenya ondoeni tofauti zenu kwa amani.
Mungu ibariki Tanzania. Akili nyingi huondoa maarifa. Ndio maana wakenya wote ni wakora. Kuanzia nusery school mpaka University. Mama mboga mpaka president. Acha tu na ujinga wetu. Sasa mbona nchi yao ni broke. Watanzania bado hatujafikia huko. Na wala hatutafika huko kamwe.
@@FridayMwassa Asante Mungu kwamba hatutakaa tufanane na Wakenya. Mungu endelea kuibariki Tanzania. Ila Mungu wasaudie majiranu zetu kwenye hichi kipindi kigumu.
@@joycelinelyimo-fenske8745 but ata tukifanana sioni shinda mbona Kuna ndogo flani tunafahamiana nayeye wa bongo na hananga ishu jamaa anaelewana na Kila mtu Yani Ako vizuri tusikumbari kuchonganishwa na mambo yenye Haina maana
Tanzania is also doing well and growing gradually. The difference we have is education system and economic hub. Cost of living is unbeatable. One day Kenya tutarudi nyuma tukiendelea na siasa duni. Asanti
Tanzania is a real Nation State. Keep up your Unity and Non TRIBAL nature. Your country is in a good place under a clear leadership philosophy. Hio elimu ya Wakenya inayo zungumzwa hapa - INA FAIDA GANI ikiwa UKABILA TELE na Daamu kumwagika kila siku?
Umenena ingawaje nahofia jinsi wakenya tumesoma sana but twafanya kazi ya vibarua kweli hakuna kazi but anything to do with law kika mkenya ni msomi. Hatudanganyiki virahisi . Shinda kubwa iko hapa sasa wen every one is educated then the leaders cant do anything the way they want sababu walio chini wanaelewa wanafinyiliwa. Heli wanjinga kwingine at least .but we thank God 🙏 alitupea hekima tu. Hope hivi vita vitakoma siku moja . Wakenya hooooeeeee👊💪💪
Kenyaaaan people where are you come here Tanzanian 🇹🇿 talking about gez 😁😁 guys let's countinue to get z team 😁😁😁😁🇰🇪🇰🇪🇰🇪 sisi wakenya hatutaaki kuonewa alaaaaa 😂😂😂😂
President Samia Suluhu Hassan - Tanzania akiwa na President Samoei Ruto - Kenya..hawa wawili walikuw Manaibu Rais..ni wapambanaji sana. mie nawakubali kweli Marais hawa. tuwaombee Mungu Awapatie Hekima ya kuongoza nchi zao...Kenya Jirani oyeeee!!! Tanzania Oyeee!! Uganda/Sudan/Rwanda/Burundi Safiiiii!!!!
Kenya n inchi ya wajaja viogozi n wakora,kubuka hustlers vs dynasty na yenye Yana fanyika sahi,katiba yetu Ina ruhusu serikali kuwajibika,Kama sahi Kuna Vita Kenya wabuge Wana pitisha bill ambazo zina tugandamiza,ndo tunasema #ruto must go
Your contribution is realistic Andrew from Kenya.
THANKS SO MUCH FOR SPEAKING GOOD ABOUT KENYA 🇰🇪 NI KWELI KENYA'S WE ARE DIFFICULT
Dudu baya njoo upo Sawa baba kaka upo sawa all from Kenya
😂😂😂 wakenya tushakupata karibu Kenya ndugu yangu ❤❤
Dudu mbaya unajua siasa ya kenya tena unajua viongozi wote thanks bro
@@user-um6gg8zj5c Anawasaidia ulimbukeni wa kisomo kisicho na faida,kama mnaweza rudisheni grabbed land iliyoporwa na wanasiasa toka uhuru nitawaona wa maana..ardhi imekaa barely while majority mmebanana kwenye slams,bei ya mkate ikipanda mnachoma Kila kitu, kwetu mkate ikipanda naenda kulima viazi,shamba ninalo.Change your policies acha ubishi.
Team +254 let's gather here. 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 #HAKI IWE NGAO.
Kumbe Dudu ni mtu very understanding. Aliyoyasema ndiyo ukweli halisi na viongozi wanautumia umbumbumbu wa wananchi wengi kutojua lolote na kuamini kwao kuwa siasa haiwahusu. Itatuchukua muda mrefu sana.
VERY SMART DUDU BAYA. POLITICS HAS EVERYTHING TO DO WITH US ORDINARY CITIZENS. WE CAN'T BE IN A STATE OF I DON'T CARE. GOVERNMENT OFFICIALS AND PARLIAMENT IS MAKING DECISIONS AFFECTING OUR EVERY LIFE. EVERY TANZANIAN AS TO STAND UP AND ASK QUESTIONS ON GOVERNMENT MATTERS AND WHAT ELECTED MEMBERS OF GOVERNMENT ARE DOING 🇹🇿. OUR IGNORANCE IS SENDING US TO THE BOTTOM PIT OF LIFE AND DEVELOPMENT. WAKE ⏰ PEOPLE AND AFRICA 🌍. LOOK AT IBRAHIM TRAORE.
I'm Kenyan... I like your reasoning
Wonderful Dudu Baya, noted
Ni kweli Kenya wako vzr saana kielimu,ss tuliwafukuza waingireza baadae ya kupata Uhuru,,kwelirieee
😂😂😂wakenya hoyeeeee❤❤❤❤❤❤❤
Tanzania hatujuwi chochote kuhusu selikar lakini laiya wa Kenya Masha Allah ❤
Kenya mtoto anaaza kusoma shiria na miaka kumi ama nane hapo sas uwezi imba chochote
@@user-id1me9ve1o unaweza kusoma ukakosa busara akili ni ywele kila mtu Ana zake,na kusoma sio kufaulu maisha
@@user-id1me9ve1o Tanzania ni nchi ya amani na serikali ni wewe ulieandika hii meseji hamasisha upendo maisha ni hayahaya wakenya ni wavivu itawakost
@@user-ic7felix sio shiria ni sheria
Kenya unaeza pata shamba boy ni University Material
😂😂 dudu Baya the great, ATI hata mama ntilie Yuko na digilii ....siasa ngumu duniani 😂😂😂 Thank you bro
Kenya we are hero's,wapi nduru weweeeee.........
Salute you, I like your transparency, we Kenyan citizens we know our rights & responsibility v well
Karibu Kenya ndugu bado unanuka na itanuka zaidi, heri tufe wote.
Mimi ni Mukenya nakubalian nahuyu ndugu amesema ukweli mtupu tena anaelimu kubwasana.
Kumbe jamaa anaakili Sana big up big brother
Ukweli kabisa kaka karibu Kenya
Umeongea vizuri sana salamu zikufikie kutoka Kenya,,umeongea vizuri mtu wa kuelewa ataelewa ila naona. Comment za wengine apa bure kabisa amkeni nyinyi
Dudu BAYA ❤❤❤❤
Wewe ni darasa tosha kabisa bro!!!
Uko vizuri jamaa yangu tusaidiane kuwaamsha waliolala
I'm a kenyan and I do agree to this guy.Us here in kenya,we are fully sensitized about our rights as citizens.Even when our stupid president is lying tutamwambia openly,pole unatudanganya.Tanzania tunawaomba mtafute wakati and fight for true democracy.
Its true brother from Tz tell them to know there right ✅️
🎉cheka kidogo nione wako mwanya umenikumbusha mbali sana dudu baya bigup kwako
Aiseee upo vzr Sana kamanda sie bongo Bado sana na hatujui haki zetu
Safi sana Dudu .. huku kwetu elimu huru na inshallah Mungu atatunusuru kwa kila shari kenya.
That's true am from Kenya we know our rights pass the message
Very tru dudu unaielewa kenya vizuru msanii
Dudu baya uko sahihi sana !! Kweli kabisa dudu baya nimekuelewa kabisa!! Big up brother!! Kenya ni Nchi pekee yenye siasa ngumu duniani!!
True. I'm in Kenya and i support you.
Well said RUTO MUST GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO mwizi
@@BavarianBlackGirl-vd2go mwizi na mwadamanaji anaingia kwa duka LA MTU anapora anatoka hapo anachoma gari LA MTU na ni LA mkopo labda..
Tofauti ya Huyo na Ruto ni gani sasa?!.
Mtuache sisi wakenya tung'oe Ruto kwenye ikulu kwanza. Tutafika TZ baadaye tuwafunze katiba.
Tanzania kwa sasa wengi hawasomi chuo wanaishia form six kwa sababu ya karo hawana
That is very true you really know what 🇰🇪 is l agree with you 100%
Following frm kenya 🇰🇪
Am proud to be a kenyan kile naomba ni amani kwa inchi na mnatuelewa sana
napenda this conversation, listening from Nairobi capital city
😂😂😂😂Kenya my best mother land 🎉🎉🎉proud to be a kenyan
Uhuru una gharama zake, , , , mwanadamu asipowekewa mipaka ya maisha ni vurugu, , , , ,
@@CharlesJackmushi hiyo mipaka yafaa kuwa katiba nzuri Kama ya Kenya.
Umeongea sana kaka dudu ..tz ..bado tumelala usingiz mzito ndomana viongoz wanatuamulia ..kila kitu ....sukali tununue ekfu 10 kwa kilo sawa tu Petroli tununue 5000 lita sawa ....sisituko busy na yanga .na simba ...😂😂😂😂ila tz 😂😂
dudu baya big up umesema kweli
Nakukubali mtu wngu❤❤❤Dudu baya uko juu
kabisaa our brothers from TZ✊
Am proud Kenyan..we are the voice
Njoo Kenya dudu 🇰🇪
Watanzania wote maiti hawana ujanja watakandamizwa mpaka kiyama, Mwigulu karibu ataleta kodi ya kujamba
@@Gamba177 maiti niwewe nyau
Sisi Kenya Kila kukicha akili inaongezeka,,ss tunasoma Kila cku😂😂,sio lazima twende shule,akili ya kuzaliwa tunayo😂😂
I salute you with respect 🫡🫡🫡, ni kweli haki yetu twaijua, hadi Katiba tunazo hata watoto wanasoma, so kila mtu Kenya Anajua haki yake
Kwendeni kwa ujuaji sasa wakenya wabishi kama ngozi ya ,,au basi
Very true that's what's happening in Kenya
yaani huyu dudu-baya 😅😅 hya baba. Mungu akubariki..tuombee sie watanzania. Ila Mungu awafunike jirani yetu Kenya..
🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂 Kenya, tunajielewa hakuna kulala
🇰🇪Sisi tutapambana mpaka tupate hki yetu🇰🇪Tumechoka kunyanyaswa sisi so tunao unyounyo mpaka watii amri yetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dudu mbaya anajua siasa za Kenya 🌹🌹
Dudu umesema ukweli ss kenya kila kitu serkali ili ifanye lazima tukipige msasa
Asante sana kwa complementary brother Dudu..hivio ndio tuko Sisi hapa Kenya 🇰🇪
Tuko macho😂😂😂💪💪🔥🔥🔥..
Dudu kumbe yup vzr
Am a Kenyan I support your words and respect
Huyo haijui Kenya vizuri katika mambo ya elimu. Kenya hawafuati chama wanafuata mtu .Ni nzuri sio kama kwingine mtu chama ndio kinamsaidia kushinda mwenyewe hajiwezi
Dudu Afafanua Vizuri Watanzania Mkenii
Nikweli kabasi kenya wamesoma they know there Rights
Very true, we know it
Big up kenyans mkenya hapendi ujinga
I'm from Kenyan my brother that is true 😂😂😂😂😂😂😂😂
Dudu baya yuko sawa anaielewa siasa ya Kenya
Tanzania ni inchi tofauti sana hapa Africa mashariki yenye nguvu na nidhamu kutoka kwenye uongoz wake na hata raiya wake Sasa mnapo zungumzia kenya msifananishe na Tanzania. Amani na mshikamano ndio moto wa taifa letu. Kenya msiitaje jiholela Tanzania. Amani ndio msingi wa inchi. Wakenya ondoeni tofauti zenu kwa amani.
@tunzaahmad278 KATIBA YA 1977 ALAFU UNASEMA AMANI DO YOU REALY KNOW YOUR POSITION THINK POSITIVE!!
Kweli kabisa most of Kenyans are learned , madigiree madigiree
MUNGU IBARIKI TANZANIA ,AMANI IENDELEE
Mungu ibariki Tanzania. Akili nyingi huondoa maarifa. Ndio maana wakenya wote ni wakora. Kuanzia nusery school mpaka University. Mama mboga mpaka president. Acha tu na ujinga wetu. Sasa mbona nchi yao ni broke. Watanzania bado hatujafikia huko. Na wala hatutafika huko kamwe.
@@joycelinelyimo-fenske8745 Mungu atuepushe Tz toka enzi za ukoroni hatujawahi taka ujinga tena utawale kwetu Alhamdulillah
@@joycelinelyimo-fenske8745 punguza jazmba uishi miaka mingi
tanzania mashallah magumu kwa.wananchi lakini.wengine nikuvimba matumbo . tu na.familia zao . safari haziishi.kazi kuuza . sura tu.bs.
Umeongea ukweli mtupu dudubaya nimekubali sisi tanzania tumenyimwa elimu ndomaana hatujui hakizetu
We choko tu nenda kaishi Kenya pia usifosi tufanane 🇹🇿🇹🇿🌹
Huwezi kufanana na wakenya hata siku moja,
@@FridayMwassa Asante Mungu kwamba hatutakaa tufanane na Wakenya. Mungu endelea kuibariki Tanzania. Ila Mungu wasaudie majiranu zetu kwenye hichi kipindi kigumu.
@@joycelinelyimo-fenske8745 but ata tukifanana sioni shinda mbona Kuna ndogo flani tunafahamiana nayeye wa bongo na hananga ishu jamaa anaelewana na Kila mtu Yani Ako vizuri tusikumbari kuchonganishwa na mambo yenye Haina maana
Tanzania is also doing well and growing gradually. The difference we have is education system and economic hub. Cost of living is unbeatable. One day Kenya tutarudi nyuma tukiendelea na siasa duni. Asanti
Tanzania is a real Nation State.
Keep up your Unity and Non TRIBAL nature.
Your country is in a good place under a clear leadership philosophy.
Hio elimu ya Wakenya inayo zungumzwa hapa - INA FAIDA GANI ikiwa UKABILA TELE na Daamu kumwagika kila siku?
Very true brother 👏👏👏👏👏👏👏
Dudu baya unaelewa kweli siasa yetu asante
Umenena ingawaje nahofia jinsi wakenya tumesoma sana but twafanya kazi ya vibarua kweli hakuna kazi but anything to do with law kika mkenya ni msomi. Hatudanganyiki virahisi . Shinda kubwa iko hapa sasa wen every one is educated then the leaders cant do anything the way they want sababu walio chini wanaelewa wanafinyiliwa.
Heli wanjinga kwingine at least .but we thank God 🙏 alitupea hekima tu. Hope hivi vita vitakoma siku moja . Wakenya hooooeeeee👊💪💪
Mimi ni Mkenya acha nicheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ilove Tanzania
He is right
Umeongea kweli, wanaiji ndiyo serekali na serekali ndiyo watumishi hapa Kenya 🇰🇪
Kenyaaaan people where are you come here Tanzanian 🇹🇿 talking about gez 😁😁 guys let's countinue to get z team 😁😁😁😁🇰🇪🇰🇪🇰🇪 sisi wakenya hatutaaki kuonewa alaaaaa 😂😂😂😂
But in every thing peace is important than anything else
Your so clever dudu kweli wewe ni dudu! Afu mbaya!
Hahahaha,ni kweli tupo nyuma watanzania hatujui mambo mengi
Very tru dudu 😅😅❤❤
Yaani hua ckuzote nilikua nakuelewa kwa mbaaali ila Leo nimetambua umuhimu wa mazungumzo yko
This dude is sharp upstairs
Kwer uricho sema kabisa dudubaya elim apa bongo ndio tatizo
Sisi kwetu tuko mandugu kumi naTano.
Tukiwa kumi tumemaliza UNI.
Na sisi ni wakenya Wasomali
President Samia Suluhu Hassan - Tanzania akiwa na President Samoei Ruto - Kenya..hawa wawili walikuw Manaibu Rais..ni wapambanaji sana. mie nawakubali kweli Marais hawa. tuwaombee Mungu Awapatie Hekima ya kuongoza nchi zao...Kenya Jirani oyeeee!!! Tanzania Oyeee!! Uganda/Sudan/Rwanda/Burundi Safiiiii!!!!
Kenya n inchi ya wajaja viogozi n wakora,kubuka hustlers vs dynasty na yenye Yana fanyika sahi,katiba yetu Ina ruhusu serikali kuwajibika,Kama sahi Kuna Vita Kenya wabuge Wana pitisha bill ambazo zina tugandamiza,ndo tunasema #ruto must go
SPICE FM SIKIZA TU YALE MAZUNGUMZO YAMO HUMU UTAJUA HUYU MSANII ANASEMA NINI.
Ahsante sana namkubali ndungiyangu dudu baya kuwamaasisha ndungizetu watanzania kuhusu Kenya
#Huyu ni mkenya come home bro
Leo umeongea point
Uko vizuri sana
You're right
All Kenyans let's gather here
😂😂😂😂nakukubali sana Mr Dudubaya pia naunga mkono wakenya 😅😅
We ni legend