RC MAKONDA ACHUWANA NA MWANAJESHI ANAYE TEMBEYA NA SILAHA YA MOTO ARUSHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 чер 2024
  • #AdilTV

КОМЕНТАРІ • 36

  • @bizimungumgassa4455
    @bizimungumgassa4455 3 дні тому +9

    Kwa kweli mungu akutie nguvu mh Makonda unatatua matatizo ya wanyonge!

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i 3 дні тому +7

    Mungu akubariki sana kiongozi wetu shujaa wetu. Kaza buti songa mbele

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 2 дні тому +5

    Shikamooo kaka makonda ❤❤❤❤kazi njema

  • @luganokasongwa1677
    @luganokasongwa1677 День тому +2

    Hivi ndivyo viongozi wanavyo pasawa kuwajibika kwa wananchi wake mungu amuongoze ktk kazi zake

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q 3 дні тому +7

    Mie nawambia uyo makonda ni mtume katumwa namungu tunakuomba mama samia makonda uyu umlete kila mkoa akae miez sitasita ili anyooshe Dunia mama

  • @user-fp9ei8gg8s
    @user-fp9ei8gg8s 3 дні тому +8

    Muheshimiwa makonda
    Nakuaminia ww nizaid ya kazikaz
    Ww ilitakiwa uwe rais wa tz tunakutaka sana watanzania
    Ujekua kiongoziwetu wa taifa❤

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha 2 дні тому +3

    Ubarikiwe mnoooo mtumishi wa haki

  • @user-nt3tx6cq8i
    @user-nt3tx6cq8i 20 годин тому

    Kila kiongozi awajibike, hongera mhe.Makonda Mungu akutunze.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 дні тому +6

    SASA HUYO MENEJA WA BANK NAYE, . WATANZANIA YAANI UNAFHULUMU MPAKA MZEE? . MUNGU AWALAANI KWA KWELI.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 3 дні тому +6

    Makonda MUNGU azidi kukulinda,

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 День тому +3

    Mwandishi niboya Askal anae chuana na makonda yukwapi chanel zinashindwa kukua sababu ya uongo boya mwandishi

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 3 дні тому +5

    Jembe Makonda

  • @MsafiriMsafiri-dm9pb
    @MsafiriMsafiri-dm9pb 22 години тому

    Poul mungu ampe nguvu mamlaka zaidi na muda zaidi uyu bro mana hua hatuduma watu kama sisi

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 2 дні тому +1

    Hv mama samia uliwaza nini kuturudishia bro makonda..ukwel kabisa kupitia makonda umepata kupendwa hata ww mwenyewe ukituletea watu wenye hofu ya mungu hata taifa unaloliongoza litampendeza MUNGU kwakwel japo misukosuko ni mingi ila tutacmama tu imara

  • @AbdalahAlly-pw4dt
    @AbdalahAlly-pw4dt 2 дні тому +1

    Hongeramkuu nakuwaminikwaziyako

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i 3 дні тому +3

    Una wachapakazi wawili slaa na makonda tu wengine ni vichomi tu

  • @MauBonde
    @MauBonde 3 дні тому +2

    Huyu jamaa tunafanana misimamo kuhusu utamaduni wa mwafrika ila kuna kuna busara na uchunguzi kwa sababu hatuko utawala wa Nyerere,kila kitu kiko wazi kupitia technology uongozi ni wito,mimi nashangaa viongozi wengi wa taifa wanakimbilia fedha ,kuna kifo,namkubali huyu jamaa kupinga ushoga afrika ila mambo mengine anahitaji mafunzo ya kiutawala zaidi......

  • @maliyusiosika9457
    @maliyusiosika9457 2 дні тому +1

    Uko vzr

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i 3 дні тому +3

    Mama samia fukuza wakuu wote wa mikioa hawana jipya

  • @ShiningLightChurchTz
    @ShiningLightChurchTz 18 годин тому

    Tanzania tunatakiwa kuwa na viongozi kama hawa,sio wanasiasa

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 2 дні тому +1

    Huyo ni zaidi ya makufuli

  • @user-pz1qn7re3b
    @user-pz1qn7re3b День тому

    Mimi naomba ugombee Urais mwaka 2025 tumekufatilia sana mitandaoni upo vzr tupo nyuma yako makonda

  • @ausog3696
    @ausog3696 10 годин тому

    AFI sana

  • @VeronicaMsenga
    @VeronicaMsenga 2 дні тому

    Lazma nikaonane na MH Makonda walah

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 2 дні тому +2

    Makonda jembe jeshi

  • @zachariaobama8616
    @zachariaobama8616 День тому

    Huyu mwambq akigombea urais atapitq moja kwq moja

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 дні тому

    💔

  • @EnikoSanga
    @EnikoSanga 2 дні тому

    Makonda nakuombea mpaka uwe rais

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 дні тому +2

    Bank haizulumu mtu. Tabia za wateja kupeana namba za siri wanaibiana wenyewe.

    • @GreysonMheni-ln9rm
      @GreysonMheni-ln9rm 2 дні тому +1

      Kwahyo hizo walizorudisha wao benki ndo walipewa namba za Siri au unamaanisha nn

    • @sarahpallangyo4076
      @sarahpallangyo4076 2 дні тому

      Na alikua muajiriwa

    • @user-oy9wr2zc6x
      @user-oy9wr2zc6x 2 дні тому +2

      Sasa kama wanapeana namba za Siri, hizo walizorudisha zimetoka wapi?na alivyosikia yupo kwa makonda amempigia simu asiongee kwa nini? Kama watu wanaibiana wenyewe?

  • @ShaqharMagram
    @ShaqharMagram 3 дні тому +3

    Wakuu wamikoa wegine hawamuoni makonda kumaamaezao