Hv mama samia uliwaza nini kuturudishia bro makonda..ukwel kabisa kupitia makonda umepata kupendwa hata ww mwenyewe ukituletea watu wenye hofu ya mungu hata taifa unaloliongoza litampendeza MUNGU kwakwel japo misukosuko ni mingi ila tutacmama tu imara
Huyu jamaa tunafanana misimamo kuhusu utamaduni wa mwafrika ila kuna kuna busara na uchunguzi kwa sababu hatuko utawala wa Nyerere,kila kitu kiko wazi kupitia technology uongozi ni wito,mimi nashangaa viongozi wengi wa taifa wanakimbilia fedha ,kuna kifo,namkubali huyu jamaa kupinga ushoga afrika ila mambo mengine anahitaji mafunzo ya kiutawala zaidi......
Sasa kama wanapeana namba za Siri, hizo walizorudisha zimetoka wapi?na alivyosikia yupo kwa makonda amempigia simu asiongee kwa nini? Kama watu wanaibiana wenyewe?
Kwa kweli mungu akutie nguvu mh Makonda unatatua matatizo ya wanyonge!
Mungu akubariki sana kiongozi wetu shujaa wetu. Kaza buti songa mbele
Shikamooo kaka makonda ❤❤❤❤kazi njema
Hivi ndivyo viongozi wanavyo pasawa kuwajibika kwa wananchi wake mungu amuongoze ktk kazi zake
Mie nawambia uyo makonda ni mtume katumwa namungu tunakuomba mama samia makonda uyu umlete kila mkoa akae miez sitasita ili anyooshe Dunia mama
Muheshimiwa makonda
Nakuaminia ww nizaid ya kazikaz
Ww ilitakiwa uwe rais wa tz tunakutaka sana watanzania
Ujekua kiongoziwetu wa taifa❤
Ubarikiwe mnoooo mtumishi wa haki
Kila kiongozi awajibike, hongera mhe.Makonda Mungu akutunze.
SASA HUYO MENEJA WA BANK NAYE, . WATANZANIA YAANI UNAFHULUMU MPAKA MZEE? . MUNGU AWALAANI KWA KWELI.
Makonda MUNGU azidi kukulinda,
Mwandishi niboya Askal anae chuana na makonda yukwapi chanel zinashindwa kukua sababu ya uongo boya mwandishi
Jembe Makonda
Poul mungu ampe nguvu mamlaka zaidi na muda zaidi uyu bro mana hua hatuduma watu kama sisi
Hv mama samia uliwaza nini kuturudishia bro makonda..ukwel kabisa kupitia makonda umepata kupendwa hata ww mwenyewe ukituletea watu wenye hofu ya mungu hata taifa unaloliongoza litampendeza MUNGU kwakwel japo misukosuko ni mingi ila tutacmama tu imara
Hongeramkuu nakuwaminikwaziyako
Una wachapakazi wawili slaa na makonda tu wengine ni vichomi tu
Huyu jamaa tunafanana misimamo kuhusu utamaduni wa mwafrika ila kuna kuna busara na uchunguzi kwa sababu hatuko utawala wa Nyerere,kila kitu kiko wazi kupitia technology uongozi ni wito,mimi nashangaa viongozi wengi wa taifa wanakimbilia fedha ,kuna kifo,namkubali huyu jamaa kupinga ushoga afrika ila mambo mengine anahitaji mafunzo ya kiutawala zaidi......
Uko vzr
Mama samia fukuza wakuu wote wa mikioa hawana jipya
Tanzania tunatakiwa kuwa na viongozi kama hawa,sio wanasiasa
Huyo ni zaidi ya makufuli
Mimi naomba ugombee Urais mwaka 2025 tumekufatilia sana mitandaoni upo vzr tupo nyuma yako makonda
AFI sana
Lazma nikaonane na MH Makonda walah
Makonda jembe jeshi
Huyu mwambq akigombea urais atapitq moja kwq moja
💔
Makonda nakuombea mpaka uwe rais
Bank haizulumu mtu. Tabia za wateja kupeana namba za siri wanaibiana wenyewe.
Kwahyo hizo walizorudisha wao benki ndo walipewa namba za Siri au unamaanisha nn
Na alikua muajiriwa
Sasa kama wanapeana namba za Siri, hizo walizorudisha zimetoka wapi?na alivyosikia yupo kwa makonda amempigia simu asiongee kwa nini? Kama watu wanaibiana wenyewe?
Wakuu wamikoa wegine hawamuoni makonda kumaamaezao
Hahahahahahahahahahaha
Wanaona aibu kupiga na hapo ndio wanapo zidi kufeli