Jinsi ya Kusafiri kwa Ndege

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 65

  • @jackcharles7218
    @jackcharles7218 Рік тому +1

    Hahahahahah ahsante bro kwa mwongozo wako mzr

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 6 місяців тому +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @JaphetJoseph-o9o
    @JaphetJoseph-o9o 25 днів тому

    Kaka nimetumiwa mizigo wangu kutoa London umefika Zanzibar naupataje

  • @stevekdaniel
    @stevekdaniel 2 роки тому +1

    Safi sana

  • @aj-gw1rl
    @aj-gw1rl Рік тому +1

    Asante kwa maelekezo mazuri

  • @nditondilito2510
    @nditondilito2510 Рік тому +1

    Safi

  • @macrinacaesar1564
    @macrinacaesar1564 2 роки тому +1

    Hi Chriss,asante kwa tips.ubarikiwe

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      Karibu, Like, Share na wengine wapata, pia Subscribe

  • @deveralymgaya978
    @deveralymgaya978 Рік тому +1

    Uko vizur

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 3 роки тому +2

    Safi sana ndugu kwa kutuelekeza

  • @rofinkitali3765
    @rofinkitali3765 5 місяців тому +1

    Uwe unaongea kwa kutulia.
    Ikiwezekana andika orodha ya utaratibu halafu usome taratibu.
    Mfano
    1. Pata tiketi ya kusafiri.
    2.kama ni safari ya ndani uwe na kitambulisho chenye picha.
    4..…
    Tumia maneno ya heshima. Usitumie 'atakupiga biti kali'

  • @RehemaSteve-k9v
    @RehemaSteve-k9v Рік тому +1

    Mimi kunamzingo nimetumua sas natuma pesa wanambia et pesa y tanzania ni ndog kwa kenya nifanye nini ili kupata mzingo wangu kaak😢

    • @Julie-bb6yt
      @Julie-bb6yt 5 місяців тому +2

      Sio wale matapeli wew 😂😂

  • @RehemaSteve-k9v
    @RehemaSteve-k9v Рік тому +1

    Samahani kaka naomba kuhuzulia je ukiangiza mzingo kukufikiavinabidi ulipie shingapi

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Рік тому

      Mzigo kutoka wap had wapi? Kwa njia gani? Wachek DHL,

  • @rommysandra1276
    @rommysandra1276 3 роки тому +1

    Mmmh

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 роки тому +2

    Asante

  • @nellytsuma7519
    @nellytsuma7519 2 роки тому +1

    Thanks bro

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому +1

      👍👍Share na Subscribe plz

    • @nellytsuma7519
      @nellytsuma7519 2 роки тому

      @@MazulaAbund where is party 11 and 12

  • @ghaosalsalum
    @ghaosalsalum Рік тому +1

    Ticket ya ndege wakesha kutumia unaenda kuitoa copy?

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 3 роки тому +2

    Jee unaweza kubeba perfume kwenye begi la chini

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 11 місяців тому +1

    Airport watu huwa wanatupa Sana vitu Asa oman 😂😂😂😂😂 MI ndomaana natumaga cargo afu naondoka na mzigo wa kilo zinazotakiwa

  • @hariethcostantine9777
    @hariethcostantine9777 2 роки тому +2

    Kwaiyo auruhusiwi kusafiri na parefum ya aina yoyote

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      Ndiyo

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      Unaruhusiwa ina unaweka kwenye begi linaloingia sehem ya mizigo, kwenye sehem ya abiria kuna shart la ujazo ambao ni ndogo sana

  • @vitymteysemere4777
    @vitymteysemere4777 2 роки тому +1

    Kaka naomba no yako

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      Naandaa namba afu ntaweka hapo kwa ajir ya watu wote watakao hitaji

  • @fatmahkhamis9510
    @fatmahkhamis9510 2 роки тому +1

    Kwa mfano kama uko kenya unataka kwenda Tanzania utafanya nn help me plz🙏🙏

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      Unatakiwa uwe na hata ya kusafiria ya mda mrefu au mfupi( pasport) pia naul ya ndege au busi ukifika mpakan watagonga muhuli kwenye pasipot na kukujuza siku za kuka tz km jirani

    • @fatmahkhamis9510
      @fatmahkhamis9510 2 роки тому +1

      Passport niko nayo nauli pia lakin hii hata inapatikana kama wap??

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому +1

      @@fatmahkhamis9510 sijaelewa? km una naul na pasport. Tz na kenya kuna ujiran mwema hivyo visa/ ruhusa ya kuingia tz unapewa mpakan sasa nenda kituo cha basi au online au kw wakala wa ndege then kata tiket kwenda Tz. unatakiwa uwe na tiket na pasport utakapofika mpakani( cheki pia masharti ya covid km yapo)

    • @fatmahkhamis9510
      @fatmahkhamis9510 2 роки тому +1

      @@MazulaAbund Asante sana kwa kunieleweshua vizur 🙏🙏

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому +1

      @@fatmahkhamis9510 Karibu, Subscribe, share hizo video na wengine wafaham zaid nk

  • @Glorie711
    @Glorie711 2 роки тому +1

    Maybe fire ya kwenda Tanzania ni kama ngap ni kiwa kenya

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      check online ila siyo ghali sana

    • @Glorie711
      @Glorie711 2 роки тому +1

      @@MazulaAbund Asante kakangu 🙏🙏

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      @@Glorie711 Karibu, Subscribe, Like and Share na wengine wapate kujua na kuona

  • @lizzydiy4590
    @lizzydiy4590 2 роки тому +1

    Kaka je unaweza pata ticketi hapo hapo airport ile siku ya safar?

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому +1

      Inawezekana km ndege ipo au zipo pia kuwepo na nafasi ila mara nyingi siyo za nje ya nchi pia bei inakuwa kubwa kwa tiket ya siku hiyo hiyo na mda mfup tu safari

  • @QueenIrine
    @QueenIrine 8 місяців тому

    Nisaidie nataak kusafiri kwa ndege na sina kitambulisho chochote mpenziii 😢😢😢

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  8 місяців тому

      Tafuta kitambulisho kwanza

    • @QueenIrine
      @QueenIrine 8 місяців тому

      @@MazulaAbund nakitambulisho Cha mpiga kura tyu jomni na natakiwa niende kesho kutwa ntafanyaj na naenda dar natokea dom

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 2 роки тому +1

    Kuna watu wanao kuelekeza if you need support ukiwa upo airport na haujui utaratibu

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому +1

      kuna wafanyakaza mara nying wamevaa unifom unaweza wauliza, au kuna sehem( dawati) la maulizo nk

    • @LyonWalker_
      @LyonWalker_ 2 роки тому

      @@MazulaAbund but kuna ugumu kupata pass ya kusafiria na precess zipoje na ghArama kwa ujumla

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      @@LyonWalker_ ua-cam.com/video/vwiYJtXHqZY/v-deo.html

    • @camillahamis1069
      @camillahamis1069 2 роки тому +1

      Me niliuliza palepale wakat nakaguliwa mabegi

    • @camillahamis1069
      @camillahamis1069 Рік тому +1

      hahah Kama mm wakat naenda Denmark kha nyie hapana🤣🤣

  • @tinapius6795
    @tinapius6795 2 роки тому +1

    Mmmh nimeogopa nyie hakuna kusemeshana tunafka tumenuniana tu

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      Usiogope ni tahadhari za kiusalama tu

  • @kokubanzaedi9573
    @kokubanzaedi9573 2 роки тому

    Ivi nauli ya kwenda Nigeria Sasa ivi nishingapi

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  2 роки тому

      Km dola mia tatu hiv ila ulizia kwenye hizo wakala wa safar z ndege au chek online kupitia ethiopian airways