MASHAALLAH shekhe walid.najifunza kupitia ww naherewa pia. natamani niwe mwanafunzi wako siku moja Inshaallah. ALLAH akulipe malipo bora Dunian na Akhera🤲🤲Nakupenda kwa ajili ya Allah ❤
Shukran saana sheik nimejifunza vituvingi ningeomba history Yako utujulishe elmu ya school ulisoma mpaka wapi Mimi napenda sana nanitamani watotowangu wawemasheke.nabado niwadogo wapo shule ya msingi naomba ushauriwako
Kabla ya kuumbwa binaadam walikua wanaishi majini sasa wakazid kufanya ufisad ktk ardhi Allah akawa tuma malaika wakawapige vita ktk kukimbia majini wakamuangusha mtt wa kijini ambae ndo huyo ibilis.Kalelewa huko amekua huko na malaika
Ibilsi nijina alilopewa baada kufanya kosa moja lililo mkasirisha mola wake na ndio sababu iliomfukuza kwenye pepo. Alikua mmoja wa majini na kilicho mpandisha daraja kuwa huko juu kuishi na malaika ni kule kuwa mtwiifu kwa mola wake wakati huo alipokua akisujudu kupita kiasi mpaka akawa amebandikwa jina la kwanza aba sijida baba wa kusujudu (mwenye kunyenyekea) lakini alipo umbwa binadamu kulimpa kiburi na kujiona bora hata kuwaliko malaika pale mungu alipo waamrisha wote kwa pamoja wamsujudie mwanadamu malaika walimsujudia ila iblisi alikataa amri hiyo na kuanza mabishano yake na mola wake. Alipo ulizwa mbona hujamsujudia mwanadamu nilipo kuamrisha, akajibu kuwa mimi ni bora kuliko mwanadamu kwalipi? Mimi umeniumba na moto na huyu kwa udongo. Ndipo alipo fukuzwa kwenye pepo na kulaaniwa!
MashaAllah, Allah azidi kukuhifadhi na akupe maisha mame apa duniani na kesho akhera Aamiin akuzidishiye ilmu Aamiin 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Maashaallah sheikh wng
Asante kwa Somo
Allah akuifadhi
mashaallah sheikh waliid naomba kusoma kutoka kwako niko Kenya vipi nitakufikia
MASHAALLAH shekhe walid.najifunza kupitia ww naherewa pia. natamani niwe mwanafunzi wako siku moja Inshaallah. ALLAH akulipe malipo bora Dunian na Akhera🤲🤲Nakupenda kwa ajili ya Allah ❤
W
😊😊😊
Mashaallah napanda darasa ziko sheikh wangu Allah amuhifad inshaallah
MashaAllah darsa nzuri sana
Maashaallah
Alhamulillah
MashaAllah
Shukran saana sheik nimejifunza vituvingi ningeomba history Yako utujulishe elmu ya school ulisoma mpaka wapi Mimi napenda sana nanitamani watotowangu wawemasheke.nabado niwadogo wapo shule ya msingi naomba ushauriwako
It is a nice hadith
Asalam Aleikum Warahmatullah Wabarakatuh . Sheikh napenda kuuliza kitu.. iblis alifikaje peponi
Kabla ya kuumbwa binaadam walikua wanaishi majini sasa wakazid kufanya ufisad ktk ardhi Allah akawa tuma malaika wakawapige vita ktk kukimbia majini wakamuangusha mtt wa kijini ambae ndo huyo ibilis.Kalelewa huko amekua huko na malaika
Ibilsi nijina alilopewa baada kufanya kosa moja lililo mkasirisha mola wake na ndio sababu iliomfukuza kwenye pepo. Alikua mmoja wa majini na kilicho mpandisha daraja kuwa huko juu kuishi na malaika ni kule kuwa mtwiifu kwa mola wake wakati huo alipokua akisujudu kupita kiasi mpaka akawa amebandikwa jina la kwanza aba sijida baba wa kusujudu (mwenye kunyenyekea) lakini alipo umbwa binadamu kulimpa kiburi na kujiona bora hata kuwaliko malaika pale mungu alipo waamrisha wote kwa pamoja wamsujudie mwanadamu malaika walimsujudia ila iblisi alikataa amri hiyo na kuanza mabishano yake na mola wake. Alipo ulizwa mbona hujamsujudia mwanadamu nilipo kuamrisha, akajibu kuwa mimi ni bora kuliko mwanadamu kwalipi? Mimi umeniumba na moto na huyu kwa udongo. Ndipo alipo fukuzwa kwenye pepo na kulaaniwa!
Sasa ibilis anakizazi je mke wake aliumbwa wakati gni