ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 312

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s Місяць тому +12

    Masha Allah nakuombea Allah akuhifadhi

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Місяць тому +11

    Mashallah mashallah honger kwa msimamoo mwanaume ni kichwaaa cha familiaa

  • @user-cr6mn4ks5f
    @user-cr6mn4ks5f Місяць тому +7

    Dadaangu unapendeza sana ukivaa hivyo nakupenda kwaajili ya Allah❤

  • @user-wl8cq2rn8z
    @user-wl8cq2rn8z 14 днів тому +1

    It's all about psychological issue basing on faith ❤

  • @user-kq1sx1uc6z
    @user-kq1sx1uc6z Місяць тому +1

    Mashaallahh mashaallahh . hongera shekh inapendeza Sana ♥️

  • @ZenaOsman-mr7lj
    @ZenaOsman-mr7lj Місяць тому +1

    Congratulations,Dr.sulle. hongera tena.sitara ni Sunna ya mtume wetu Mohammad S.A.W.

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Місяць тому +8

    MashaAllah MashaAllah ukewenza raha yake wote muwe na dini na pia pesa iwepo (Sheikh Sule 1 akitoka naomba nafasi😅😅) hapo hakutakua na shida sio wengine wanajua suna ya kuowa tu huduma 0 matokeo yake ndio hayo kutesa watt wawatu na kuona ukewenza haufai

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s Місяць тому +2

      Ujakufika ukajua. Dk sule kwanza kawapiga kisomo apo awajielewi 😂

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Місяць тому +1

      @@user-gu1lg2zr8s hapanaaaaaaaaaaa bana ukewenza Raha yake mume awe na pesa na pia nyote muwe na Iman ndan ya mioyo yenu vinginevyo hamtoboi hata kama pesa iwepo

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu Місяць тому

      Wanawake wanaojiuza WANAWEZA KUKAA na bwana mmoja tena Kuna muda wanashea mabwana na mashoga kitu ambacho ni uchafu zaidi ya uchafu lakini huku kwenye kheri na barka mnaona jambo baya ndio maana masingo mother wamejaaa na wanazidi kila siku

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s Місяць тому

      @@BIGBOSS-hl3bu kumbuka wanawake wanaojiuza awajainvest mapenzi yao pale. Wanajua ile kwao kazi akija mteja mmemalizana hapa katika ndoa kuna jambo kama penzi tusiwe waongo kushare mapenzi kunauma, kumbuka uyu ni mtu alopanga nae maisha na vitu vingi, kuna watoto unaanzaje kuona mwanamke mwengine anapendwa na mumeo? Sio rahisi wanaume msioijua dini ndio mnaona rahisi dini yenyewe imesema wazi sio jambo la rahisi apo panatakiwa ushirikiano Mkubwa sana kutoka kwa Allah kuweza kuwatia wale wanawake moyo wa kustahimilia, kwa hio usiwachukulie wanawake Wabaya, angalia wanaume wengi waliobobea kwenye dini wanabakia na mke mmoja na sio kwamba hawana kipato, kipo lakini wanajua ni mtihani na pia wanaume wengi wanapata dhambi sana katika ndoa ya mathna, ni ngumu sana kupenda wanawake wote sawa lazima moyo utazama kwa mmoja. Walio na nyoyo za subra watavumilia wasio weza rukhsa kukata dini haijalazimisha uke wenza mnaolazimisha ni nyinyi tu

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Місяць тому +1

      @@BIGBOSS-hl3bu usitujumuishe tafadhali Sheikh 😅😅😅

  • @adijamuke8590
    @adijamuke8590 Місяць тому +4

    Allah akuhifadhi shekhe wetu.

  • @DjanatWatoto
    @DjanatWatoto Місяць тому +2

    ManshaAllah , Allah awape kila kizuri fidunia wari akhera, ukewenza nilaha ❤❤❤

  • @kuborashid9351
    @kuborashid9351 Місяць тому +2

    Dada yupo vizuri sana mahojiano yake anauliza maswali ya muhimu alafu sauti Masha Allah

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um Місяць тому +8

    Wewe unaesema hutaki ndoa za kushea huenda labda unae michepuko kibao Bora mmeo aoe kwani haki kuoa na kuolewa

  • @Fadhila-xk2sw
    @Fadhila-xk2sw 27 днів тому

    Mashaallah Allah akuzidishie uwadilifu

  • @aliakidiva7060
    @aliakidiva7060 20 днів тому

    Umesema ukweli bro sule Allah kisha ukuwe na namsimamo kama mume tuko pamoja Niko na wawili natarajia kuongeza In shaa Allah

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 Місяць тому

    MashaAllah , nikhere Allah awajaze kheri naupendo .

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s Місяць тому +12

    Laiti wanaume wote wangekua kama wewe walah Kila mwanamke angekubali ukewenza

    • @fatmasaleh2707
      @fatmasaleh2707 Місяць тому

      😊

    • @user-jw7qq1rt4r
      @user-jw7qq1rt4r Місяць тому

      Ni sahihi kabisa

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 Місяць тому

      Na pia kaa wanawake wote wangekuwa kaa wanawake wake Kila mwanaume angekuwa na wanna na riziki ingeongezeka mara dufu.

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un Місяць тому

      @@aooshosho4255 jibu-limeenda-shule

  • @SharifaAthumani-ws5hv
    @SharifaAthumani-ws5hv Місяць тому

    Masha allah allah akulipe. Herry inshaallah

  • @nasrahalkanonasrahalkano
    @nasrahalkanonasrahalkano 16 днів тому

    Maashaallah mungu awahifadhi

  • @DaudMuhammedDjuma
    @DaudMuhammedDjuma Місяць тому +1

    Mashallah alhamndulillah ongera dr Sule hata mimi ninao wawili na Sina pesa ila alhamndulillah tumetulia nakushibana Allah mkubwa

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l Місяць тому +1

    Mimi pia kama ningekuwepo huko basi ningelisubiria nafasi ya mke mwengine akitoka ili nizibe pengo❤kwa Dr.Sulle.

  • @Nfffff
    @Nfffff Місяць тому +4

    Mimi muislam napenda uke wenza ❤❤😢xana

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Місяць тому +1

    Sawa sawa master Dr. Sule

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani6300 Місяць тому

    Mashallah hongera sana

  • @HassanMjaka
    @HassanMjaka 17 днів тому

    Allah awahifadhi

  • @MashakaRashid-fw3xu
    @MashakaRashid-fw3xu Місяць тому

    Mashallah dr sule❤

  • @georgeslupopo6215
    @georgeslupopo6215 Місяць тому +2

    Mungu akuokowe katika maisha ya uzinifu, umujuwe Yesu-Kristo kua bwana namokozi wamaisha yako

  • @selemanemomadeformassane3441
    @selemanemomadeformassane3441 Місяць тому

    MashaALLAH

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l Місяць тому

    Amiin Allah Wallahi unaweza ukawa umeolewa upo peke yako kwenye ndoa Lakini ukawa huna raha wala amani kwenye ndoa yako..
    Na ukawa umeolewa upo kwenye ndoa ya uke wenza na mukaishi kumdhibiti mume wenu na mukawa na umoja mukaishi kwa raha na Aman❤i❤

  • @shamsaalsalamy5159
    @shamsaalsalamy5159 Місяць тому +1

    Baba yangu aliishi na wake 4 tens nyumba 1 na mpaka wamehitimishana, inatakiwa busara za mume wao tu. Kwa hiyo si ajabu dr shule kuishi na wekeza 4.

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 Місяць тому

    Yawezekana Bora Tu upate Wenye Kuifahamu Dini vilivyo... Controller ni Mume siku zote MashaAllah Sunnah tul Nabii

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Місяць тому

    Masha Allah mungu awazidishiy mapenzi yenu

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l Місяць тому

    MaashaAllah Dr.Sulle ninamuamini kabisa ni mwanaume wa kikweli na yuko imara❤

    • @user-rs6tb6sv9m
      @user-rs6tb6sv9m Місяць тому

      Una muamini vp ume lala nae

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un Місяць тому

      @@user-rs6tb6sv9m tumekatazwa-kudhaniana-kwa-ubaya!naamin-hayo-ni-mapenzi-yake-tu!

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Місяць тому

    MashaaAllah

  • @HalimaAlly-dt5lm
    @HalimaAlly-dt5lm Місяць тому

    Mashaallahh ❤ mm nimwislam lakin uke wennza nauogopa sana kwasababu niliolewa nikateseka sana

  • @nancyenock5601
    @nancyenock5601 Місяць тому +3

    Naona wanaokataa ukewenza wote ni waisilam hapo ndiyo ujue mapenz hayagawanyki

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 Місяць тому +2

    Mimi nimeoa wake wawili na wote naishi nao kwenye nyumba moja ila kila mke ana chumba chake na wanapendana sana Allah aniongoze katika ndoa yangu

  • @user-ym6sh7jh2t
    @user-ym6sh7jh2t 13 днів тому

    Nimempenda hiyo mwanahabari

  • @ShabaniShabani-fg7rm
    @ShabaniShabani-fg7rm Місяць тому

    Nashukuru mungu Mimi Nina wata3 naishi nao pamoja tena Kwa amani kubwa ila wananisema sanaaaaaaa.

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Місяць тому +2

    Kama wana dini ndani yao wanakaa sana pamoja.

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Місяць тому

      Sio wote wenye dini na wanaroho safi,baadhi ya wenye dini wanajionesha nje wanadini"lkn niwanachoyo na roho mbaya kwa wenzie! Na utakuta hamuwezi mume na hayawezi yote ktk Ndoa

  • @makameJuma-ex3ps
    @makameJuma-ex3ps Місяць тому +2

    Dada etu mavazi usiyaache ayo yamekupendezesha mno

  • @user-th8bo9lu8n
    @user-th8bo9lu8n Місяць тому +1

    Sasa mm nashangaa ndo za waislam afrika wanajali Sana uke wenza ila Waarabu Sasa huwa nacheka wanavimba uwiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 kuna madam wangu hapa mwambie Sasa uke wenza umuone povu 😅😅😅

  • @MussaThomasmassawe-ji9hv
    @MussaThomasmassawe-ji9hv 10 днів тому +1

    Wewe ukubali ukeweza mbona yakobo alikuwa na wake mussa liowa wake wawili Kama unataka mume moja wewe sio mwanamke unaijuwa dini ya kislamu

    • @MussaThomasmassawe-ji9hv
      @MussaThomasmassawe-ji9hv 10 днів тому

      Mtume Muhammad SWA rasuulallah tutapata thawabu alikuwa na wake Bibi hadija aisha na wengine

  • @bijou5038
    @bijou5038 Місяць тому +1

    Huyu musimusikilize mwizi mukubwa muone😢😢😢

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 Місяць тому +2

    Chamsingi Amani na Upendo

  • @FatiuHussein
    @FatiuHussein 29 днів тому

    Mashaallah ❤❤❤❤

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Місяць тому

    Hongera sana dr sulle

  • @user-qk5tr8dt7j
    @user-qk5tr8dt7j Місяць тому +3

    Alafu et anajiita mtu wamungu wakati anaonekan kabsa ni muhun tu mungu atusaidie Sana Mana waislam weng wanamwamin hyu jamaa alaf nimganga wakienyeji daah mungu atuhurumie sanaa

  • @suleimansoud2783
    @suleimansoud2783 Місяць тому

    MaaShaaAllah

  • @maryamathman8917
    @maryamathman8917 Місяць тому +3

    Wallahi uke wenza wataka moyo kwakweli

    • @user-pf9mt2yt4l
      @user-pf9mt2yt4l Місяць тому

      Hamna lolote ukewenza ni mapenzi ya ndugu na madada kuishi pamoja..
      Ukiwa Muislaam wa kweli na ukiwa na imani ya kweli..
      Basi sio kazi
      Unaishi kawaida tu..
      Kwani imeshaamini kuwa mwenye kuruzuku ni Allah peke yake na hana mshirika..

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un Місяць тому

      @@user-pf9mt2yt4l inaonyesha-unaupenda?

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Місяць тому

    Saluti to u I'm coming there

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Місяць тому +3

    Wanajificha kwenye uislum uzinifu wa hali ya juu

  • @fatumamwande2833
    @fatumamwande2833 Місяць тому

    Mashallah,❤❤❤❤

  • @user-py1ob2ou2w
    @user-py1ob2ou2w Місяць тому +3

    Acha umalaya

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Місяць тому +2

    Ibilisi ni wewe kama mume anamsimamo make vizuli sana ilawengi choyo anaroho mbaya

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Місяць тому +2

    Pesa unazo bila ya pesa wasengelikaa hata sekunde 1

  • @sonofmary-ro2bt
    @sonofmary-ro2bt Місяць тому

    Huyu sule ni mchawi afadhali ndacha kafiri muhubiri wa kikristo

  • @KhadijaChogogwe
    @KhadijaChogogwe 20 днів тому

    Maashallah

  • @user-qh9jj5xz3p
    @user-qh9jj5xz3p Місяць тому

    Allah akuhifadhi sheikh

  • @user-we3ck6jv8o
    @user-we3ck6jv8o Місяць тому

    Hongera kaka ila wajengee kila mtu nyumba yake itapendeza zaidi.

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un Місяць тому

      Kwan-kuna-ubaya-gan-wakat-wenyiwao-wameshakubalian?

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l Місяць тому

    Kwa hiyo kwenye kumuamini Allah na mwenye kuwa na imani ya kweli kabisa baai hawezi kuyapinga maneno ya Allah ambae ametuamrisha..

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l Місяць тому

    Kikweli kabisa maneno yako ya murua na ya imani ya kweli uke wenza ameujaalia Allah..
    Ameelezea kwenye surat Al Baqarah

  • @hemedisuleimani-po8ih
    @hemedisuleimani-po8ih 23 дні тому

    Daah.h0ngera.ila.ww muisla.vizuri.ila wapo.ambao wanakutia presha hadi imani hututoka

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092 Місяць тому

    The ayaat of marriage, the ulama have divided it into 4 interpretations:
    1) you can marry 4 women
    2) 9 wives
    3) 18 wives
    4) more than 18 wives
    As you know, all doctrines have their own opinions and evidence.
    No one can say that those who support the opinion of 4 women are right! In Islam, every opinion is taken into account, because all doctrines have endeavored to reach their decisions through probabilities!

  • @mohdbest5859
    @mohdbest5859 Місяць тому +1

    huyu sule alikuwa mpole Sana lkn kwa sasa media zimemteka na amini usiamini sule ukizidi kuendekeza hizi media utajishushia hadhi maana sasa hivi mara ona mjengo wa sule mara unamiliki vx mara natongozwa sheikh mzima unaongeaje pumba kiasi hicho‽
    sasa ushaanza kuongelea wake zako wakati kina mufti wapo kitambo hawaongei wake zao

    • @TpPt-do5vg
      @TpPt-do5vg Місяць тому

      Kwani Shida gani hapo kuelezea kuhusu Ndoa, mbona hata mtume Muhammad s.a.w. Imeelezewa wake zake au ujasoma weye,.

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 Місяць тому +2

    Comments zitaniua😂😂😂😂Dr sulle ayo ni maamuzi yake haimaanishii kila mwanaume aige mfano wake Laa wanaume watofautiana jamanii

    • @Bless-sk8uv
      @Bless-sk8uv 5 днів тому

      Lazima tuige coz ni jambo jema kuna elimu tunajifunza

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Місяць тому

    Jamani wallah napenda uke wenza kwanza mme kila siku humkinai na wala huwezi kumnyima usiku manaje ataenda kulala kwa mke mwingine akija lazima utamfurahia tu lskini kila siku mko wawili tu lazima mtachokana

  • @bintomar8653
    @bintomar8653 Місяць тому

    Nyie mnao sema kwa yesu kuna raha unaoa mke umevaa pete kidoleni na bado unatoka nje muogopeni mungu sio kuwasema waisilamu vibaya heri yeye kaoa wake wa nne kuliko wewe ulieoa mke mmoja na ukiviona vya nje mate yakudondoka.

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dy Місяць тому

    Swadakta 💯💯💯👏

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 Місяць тому +1

    Wanaume wengi wanaowa kwa tamaa tu km huna pahala pa kuwaweka kuna haja gani ya kuowa wanne kisha uwakusanye km kuku.kuowa zaidi ya mmoja ni uwe muadilifu uwapende na kuwatendea haki sawa lkn kuwakusanya km sardine hapana kwa kweli

    • @sheemaryam
      @sheemaryam Місяць тому +1

      Kama hawana shida ni sawa ata othman Michael akona wawili na wanaishi pamaoja

    • @user-th8bo9lu8n
      @user-th8bo9lu8n Місяць тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kati ya comment zote umetisha

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092 Місяць тому

    Dk Sulle,
    Aya ya ndoa, maulamaa wameigawanya katika tafsiri 4:
    1) unaweza kuoa wanawake 4
    2) wake 9
    3) wake 18
    4) zaidi ya wake 18
    Kama unavyojua, mafundisho yote yana maoni na ushahidi wao wenyewe.
    Hakuna mtu anayeweza kusema kwamba wale wanaounga mkono maoni ya wanawake 4 ni sawa! Katika Uislamu, kila rai inazingatiwa, kwa sababu mafundisho yote yamejitahidi kufikia maamuzi yao kwa njia ya uwezekano!

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Місяць тому

    😂😂 Pretend, Shekhe naona kimagharibi kwa sana😂😂

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Місяць тому +1

    Iyo moja mm sitaiweza ata km niko muislamu siwezii uke wena

  • @SababuChinunga-ff8ul
    @SababuChinunga-ff8ul Місяць тому

    Yuko Sawa shehee wangu mimi mwenyewe mwaka waa12 atujawai gombana atuna pesa ira tunaishi kikubwa kuondoa umbea wauku kupereka uku

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400 Місяць тому +1

    Mmh minapenda kweli ila hio yakukazwa nyumba moja hapana kweli uongo zambi sintoweza

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Місяць тому +1

    Gig up dkt sule,mimi nipo nyuma yako saiv nna wawili napambana nipate 3😂😂😂

    • @user-pf9mt2yt4l
      @user-pf9mt2yt4l Місяць тому +1

      MaashaAllah nakuomba uchukue mafunzo kwa wenye uzoefu ambao wamekutangulia kama Dr.Sulle.
      Ninamuomba Allah akuwezeshe na akupe nguvu na imani..
      Amiin yaarab Amiin

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Місяць тому

      @@user-pf9mt2yt4l amin amin amin.
      jazakallahu khairaaa

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Місяць тому

    Mapenzi bila ya pesa kwanawaka wasasa sahivi hawa sio wanawake hawa wanawaka

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116 22 дні тому

    Niumalaya 2 huo

  • @user-my4dr5oq6v
    @user-my4dr5oq6v Місяць тому +1

    Hao ni wake au mananau jamani

  • @yankanafamily
    @yankanafamily Місяць тому

    Don't trust anyone in this world.be careful

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b Місяць тому

    Huez elewa life style kwa siku moja 😂😂😂

  • @TpPt-do5vg
    @TpPt-do5vg Місяць тому

    Nampenda huyu dokta suley yaani sio muoga

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Місяць тому

    Raha sana

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ru Місяць тому

    Ahsante

  • @MustafaAlly-su4dp
    @MustafaAlly-su4dp Місяць тому

    Mmh huyu shee ana shida,hapendi kusoma dini ila anapenda kuongea sana.Atwambie Mtume swalallahu alyhiwassalaama alifanya hivo au lifundisha hivo, kuwaweka wanawake w4 nyumba1

  • @RamadhaniOmary-hn4my
    @RamadhaniOmary-hn4my Місяць тому

    Sheikh wang nakukumbusha usiache mavaz ya Snna

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 Місяць тому

    Shekhe anawapiga kamba Mkubwa anakaa peke ake bhana na wale wengine wanakaa wawili huyo mmoja sijui kaoa lini

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Місяць тому

    Unataka pesa kaoe bengi🇰🇪🇰🇪

  • @SalmaBashingwa
    @SalmaBashingwa 28 днів тому

    Mm ninamke mwenzangu hatujahi kuongea toka nimeolewa mm nickel mdg

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Місяць тому

    Wasafi ebu muibeni huyu mdada naona anakuja vizur katika kufanya mahojiano

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Місяць тому

    Namimi naitajiii kuongezaaa Mk eee nimepataaa fundishoooo kakaaa

  • @yahfatmudswiddiq2271
    @yahfatmudswiddiq2271 Місяць тому

    hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! kama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa

  • @jumaramadhan5903
    @jumaramadhan5903 Місяць тому

    Sister nakupenda na ninataka ku kuoa je tuna weza kuongea kuhusu hili

  • @ImaMohd-lp3cs
    @ImaMohd-lp3cs Місяць тому

    Na mm mung anijaliye niwe kama shehe sule

  • @yahfatmudswiddiq2271
    @yahfatmudswiddiq2271 Місяць тому

    hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! jama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa

  • @ashaomari1404
    @ashaomari1404 Місяць тому +1

    Wenimuhuni tu

  • @user-rj4cd7oc4x
    @user-rj4cd7oc4x Місяць тому

    Munguanipe mume kama huyu ila nataka nimwe wa3

  • @user-yt3nb3uc9i
    @user-yt3nb3uc9i Місяць тому

    Kujiendekezaa tuu na kuendekeza nafsi Kila unachokitaka kwenye nafsi yako we inataka ufanye hio ni sw shirki

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 Місяць тому

    Wake wote hao wa nini ni tamaa tu

  • @khadijaamiri6629
    @khadijaamiri6629 Місяць тому

    Lait mngejua ndani ya nyumba ya dr sulle msingeaongea

  • @abudalaabdumalik9362
    @abudalaabdumalik9362 28 днів тому

    Masheeee bwana mnatupa wakati mgumu wewe ulikuwa unamesema msanii mmoja
    Kuhusu pete
    Apo naona vile vidole ulivyo kataaa kikiwemo cha shahada naona kina pete
    Ya nn iyo

  • @madamshifaa8503
    @madamshifaa8503 Місяць тому

    😢😢😢yarabi nisaidie, nina moyo mwepes jaman nitashindwa mie

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 Місяць тому

      Pia mie😂😂 cyawezi mungu nisamehe