WANAUME WENGI TUNAJUA KUOA HATUJUI KUTUNZA || VYAMA VINGI"SHEIKH IBRAHIM MKONGOMANI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • #Mkongomani #Zvponlinetv #Tabora

КОМЕНТАРІ • 155

  • @rayaahamad5502
    @rayaahamad5502 3 роки тому +17

    Masha Allah shekhe unaelimisha km Marhum shekhe wetu wa Zanzibar Shekhe Hassan Husein Nyundo huchoki kusikiliza👏

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 роки тому +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭machozi haya niyafuraha shekh sahihi kabisaa mungu tungozee yaarab

  • @AzizaBanji
    @AzizaBanji 4 місяці тому

    Shekhe allah akulinde mawaiza mazuri

  • @adammjomba7112
    @adammjomba7112 2 роки тому

    Mashlla Shekhe upo Vizuri sana ujumbe umepiga kila upande sio mke sio mume Wote wamepata vidonge vyao

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Рік тому +1

    Mada nzury .....MashaAllah!

  • @rajabuibnally6054
    @rajabuibnally6054 Рік тому +1

    Allah akulipe kila la kher sheikh

  • @musaadinani5447
    @musaadinani5447 Рік тому +1

    Nimekupenda, shehe Kwa ajili ya allha 🙏

  • @gloryqueen6296
    @gloryqueen6296 3 роки тому +3

    Nimefurahi sn kupata hili somo...Mungu akubari sheeee

  • @ngushy8798
    @ngushy8798 3 роки тому +6

    Shekh umewakosha wanawak leo!!

  • @MariamuOboto-vc1sh
    @MariamuOboto-vc1sh Рік тому

    Sema baba semaa wambie wanaume haoo

  • @maryamasasin8190
    @maryamasasin8190 3 роки тому +2

    Mashalahu tabarakalahu mola akuhifadhi kwakweli mola atufishe usilamu

  • @kizurichristopher5946
    @kizurichristopher5946 2 роки тому +1

    Maashallah Asante shehk wetu nimekumsi sana Shee sikuhz upo wap jaman

  • @kuruthumshabanikuruthumsha1156
    @kuruthumshabanikuruthumsha1156 3 роки тому +4

    Mashallh shekhe kwel kabisaa umewezea mashallh 🥰🥰

  • @ayshahamisi1240
    @ayshahamisi1240 Рік тому +1

    Maa Sha Allah, asànte shekh kwa ukumbusho wenye manufaa

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 роки тому +3

    Mashallahu Allah akupe maisha marefu yenyeher na baraka kwako

  • @RasulyAbas
    @RasulyAbas 5 місяців тому

    Shee nimekuelewa sana

  • @AbubakarNdumbo
    @AbubakarNdumbo 6 місяців тому

    Mashallah nimekupend kwaajili ya Allah akuhifadh uzid kutujuz zaid

  • @mauman1380
    @mauman1380 Рік тому +1

    Jaman hii inamfaa mme wangu na nimeshere nae loo! Mie kabisa huyo

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 3 роки тому +3

    Sheikh shukran sana barraka allahu feek umegusa ndipo insha allah tutarekebisha

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 2 роки тому +1

    Uko sawa sheikh
    جزاك الله خيرا، الله سبحان وتعالي يستحم بركاته التي لا تنتهي عليك وعلى أسرتك الحبيبة.

  • @lakisuleimani9112
    @lakisuleimani9112 Рік тому

    Manshallh yaani

  • @khadijamussa8214
    @khadijamussa8214 3 роки тому +3

    Mashaallah yani napenda sana lmawaiza yako wewe

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 3 роки тому +4

    Maa Shaa Allah maneno mazito hayo shukran sana 👂🙏

  • @user-nt8jj6bs4v
    @user-nt8jj6bs4v 5 місяців тому

    Manshallah

  • @sadammwazara8869
    @sadammwazara8869 Рік тому +1

    Mashalla

  • @zainabuibrahimu2691
    @zainabuibrahimu2691 3 роки тому +1

    Uko vizuri shekhe madda zako nzuri na unaeleweka mno mno

  • @jaredorangi5725
    @jaredorangi5725 2 роки тому +1

    Maashallah ukweli mtupu

  • @barkyabdallahsuleiman7069
    @barkyabdallahsuleiman7069 2 роки тому +1

    Mashaallah shekhe

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 роки тому +3

    Mashallah mtetezi wetu

  • @AminaMustafa-bc4bu
    @AminaMustafa-bc4bu Рік тому

    Walahi asante

  • @somoemchilowa187
    @somoemchilowa187 2 роки тому

    Hongera shehe unacho kiongeya ni sahihi kabisa kuhusu wanaume tunashindwa tu kiongeya lakini Hari siyo mzuli

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm 3 роки тому +1

    Masha Allah shekhe maneno kuntu sana tufunguwe

  • @Oman-ik1be
    @Oman-ik1be 3 роки тому +1

    Mashaallah shekh wetu kweli wanaume wengi wapo ivyo

  • @daleylahabduldaleylahabdul6586
    @daleylahabduldaleylahabdul6586 3 роки тому +4

    MashaAllah😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 2 роки тому +1

    Maa shaa Allah

  • @mwanamisakulembwa1147
    @mwanamisakulembwa1147 3 роки тому +3

    Swadaqta,✍️

  • @user-kr1dh3lr1c
    @user-kr1dh3lr1c 10 місяців тому

    Haswaaa.

  • @user-mn1wl3tw5p
    @user-mn1wl3tw5p Рік тому

    Mawaidha mufti kweli.Allahu akbar

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h 2 роки тому

    Masha Allah sheikhe apo kwenye simu mm ilinikuta wallahi sina amu simu yangu mm alikuwa anatoka nayo anatembea nao ila simu yake nikiishika ty ugomvi mkubwa na nilikuwa sishiki simu yake wallahi nikikumbuka naumia sana alivnifanyia mume wangu sina amu nao mpaka nilikuwa nakfulu niliwai sema rahiti ningejua nisinge kubali kuolewa nao

  • @mariamogao6274
    @mariamogao6274 2 роки тому +1

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 3 роки тому +1

    Shekhe Nyundo jamani tumempata jamani maana tulikua hatuna tena wa kutupa radha hizi na tunaelewa saana shekhe tupe daawa unaziponya nafsi zetu Allah akujalie afya uzid kutuelimisha.

  • @maishajuma6647
    @maishajuma6647 2 роки тому +1

    Kweli kabisa kk mungu akuzidishie 🙏🙏😁

  • @nasrahkaura1877
    @nasrahkaura1877 3 роки тому +1

    Mashaallah shekh waambie

  • @alimasimariam1821
    @alimasimariam1821 3 роки тому +1

    Asate allah akulipe kila laheri

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 2 роки тому +1

    Nmpenda sheikh Masha Allah hakuna dislike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @raphaelsimutenda4786
    @raphaelsimutenda4786 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @khadijamussa8214
    @khadijamussa8214 3 роки тому +1

    Shehe. Naomba uje uniowe hata wanne nipo teyali mahali yangu unifune. Kuruani na mawaiza tu

  • @khadijaomarkhadijaomar6271
    @khadijaomarkhadijaomar6271 2 роки тому

    Maashaallah shehe yundo wa2 hahaha

  • @user-bd6ku6je1f
    @user-bd6ku6je1f 3 місяці тому

    ❤❤

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 роки тому +2

    maashaallah maashaallah kweli shekhe wanaume siku hizi mtihan kwanza wanataka mwanamke mwenye pesa wakati yy anashindwa kutafuta pesa hajiulizi

  • @barakaomari8899
    @barakaomari8899 7 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @user-rp3ll6ko5t
    @user-rp3ll6ko5t 2 роки тому +1

    Mashaaallah

  • @frolajoseph7770
    @frolajoseph7770 3 роки тому +1

    Mashallahu

  • @mariammussa6323
    @mariammussa6323 3 роки тому +1

    Ukweli mtupu shekhe

  • @user-kr1dh3lr1c
    @user-kr1dh3lr1c 10 місяців тому

    Sheikh Ahsante 😂😂😂😂😂

  • @oqmoqmn5492
    @oqmoqmn5492 3 роки тому

    Mbwaa koko

  • @fadhiliadamu4553
    @fadhiliadamu4553 2 роки тому

    Hapo sawa

  • @evamacha7896
    @evamacha7896 3 роки тому +1

    Ya kweli kabisa.

  • @gloryqueen6296
    @gloryqueen6296 3 роки тому +2

    Kweli kabisa

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t 4 місяці тому

    Nikweli kabisa unacho kusem

  • @ksaksaksa5545
    @ksaksaksa5545 3 роки тому

    Hilo neno,shekhe umenena

    • @rizikisuleiman1457
      @rizikisuleiman1457 3 роки тому

      MashaaAllah Allah akujalie kila lenye kheri na wewe sheikh

  • @claudettezainabu2162
    @claudettezainabu2162 3 роки тому +1

    Sheikh nalia ungefika kwangu😥😥😥

  • @maliamhaluna9212
    @maliamhaluna9212 2 роки тому

    Abujadamwi

  • @asiyajuma3135
    @asiyajuma3135 Рік тому +1

    MashaAlla shekhe kweli umeweza MashaAlla 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 3 роки тому +1

    Naaam chekh

  • @mahijahkipingu7272
    @mahijahkipingu7272 2 роки тому +3

    Manshallah ❤️❤️

  • @KILLER-rh3bt
    @KILLER-rh3bt 3 роки тому

    mashallh

  • @user-ki6nw6ve7p
    @user-ki6nw6ve7p 3 роки тому +1

    Asaalmwalekm, waambie chh

  • @lwegelefistonnjoku1955
    @lwegelefistonnjoku1955 3 роки тому

    Shehe swadta

  • @hadijatambwe9194
    @hadijatambwe9194 2 роки тому

    Ur right

  • @henrysalim3985
    @henrysalim3985 2 роки тому +1

    Good advice

  • @rehemarachide4085
    @rehemarachide4085 3 роки тому +3

    🇲🇿🤲🤲🤲🤝

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 3 роки тому +4

    Allahu Akbar

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  3 роки тому +1

      Walillahil-hamdu shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @salmarashid3492
    @salmarashid3492 3 роки тому +1

    Mume wa kher yuko wap,, mwnye dini yke ambae tutacmamisha kalima ya Allah,,, aje anipe nusra😘😂😂😂

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 роки тому

    Ni kweli hawana pakwenda kama ndiyo hivyo mimi sikubali yano mimi

  • @abedmziria1303
    @abedmziria1303 2 роки тому

    Sheh mwanaume anakutwa hafmaniwi

  • @leilajarso870
    @leilajarso870 2 роки тому +1

    Ha ha ha wallai huyu kiboko waah tumekukubali shekhe

  • @fat-hiyaali4723
    @fat-hiyaali4723 3 роки тому +3

    shk nyundo part 2😂

  • @jameelhm528
    @jameelhm528 3 роки тому

    asant

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 роки тому

    Radhwiyallwahu anhu

  • @kalimmimbi2743
    @kalimmimbi2743 3 роки тому +3

    Mashaallah

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  3 роки тому +1

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

    • @neemamochiwa7611
      @neemamochiwa7611 3 роки тому

      Kabisa

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana8135 3 роки тому

    Umesema.ukweli

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 роки тому +1

    Yani nikweli kaka

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 3 роки тому +3

    🙏🤝🙏🤲🙏🤲🙏😂😂😂🙆🙆😭😭💕💕💞😘😎❤️❤️❤️tusaidiyee

  • @monyzobery4011
    @monyzobery4011 3 роки тому

    Hakika tusaidie

  • @zawadiramadhan6720
    @zawadiramadhan6720 3 роки тому

    Umenikosha

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 3 роки тому

    😃😃😃😃😃

  • @MADRASATISWADAQALLAHUNYARUGUSU

    Poa

  • @sadickmbwambo786
    @sadickmbwambo786 3 роки тому

    Duh Shekh umetisha hivi we umeoa wangapi?

    • @omaryrajab9862
      @omaryrajab9862 3 роки тому

      Sio kila anachoongea anatekeleza kumbuka kuna theory na practical kuongea rahis utekelezaji sasa

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 3 роки тому +1

    Masha Allah 😅😅😅

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yasni sheikh umenifurahishaa nillikuwa nastres zimepoa mungu akulipe

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t 4 місяці тому

    Ha hahahaha,😂😂😂😂😂

  • @leilacat4976
    @leilacat4976 3 роки тому +1

    Masha Allah 🤣🤣🤣

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 роки тому +4

    kuwen na adabu wanaume nyie 🤣🤣🤣🤣🤣waambie shekhe wetu

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  3 роки тому +1

      Hahaaaaa duh

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому +1

      hakuna cha duh ndivyo walivyo wanaume

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  3 роки тому +1

      @@heyumi2340 Haya bwana nimekubali

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому +2

      @@zvpOnlineTv muendelee kutuwekea mawaidha ya huyu shekhe maana nimefurahi mpaka uchomvu umeisha maashaallah yupo vizuri

  • @saidsaid-oj6qx
    @saidsaid-oj6qx 3 роки тому

    Ubaya wa Hawa mashekh nimatapeli wanajivisha vazi la dini kumbe siy kabisa wanauza madawa na watakuambieni Kuna Kitu Yani dawa tunatowa kwa kwanzia watu 100 kwa Bei ya 10000 Kisha wakiona watu wengi wamechukia watashusha Bei mpk kufika kusema hata yule mwenye 1000 moja naye tumsaydie

    • @shkibrahimmbarouk1183
      @shkibrahimmbarouk1183 2 роки тому

      Shukran kaka mm ndio shk ibrahimu endelea kutusi watu lkn mila anaona ipo cku utanilipa kwa hii idhilali ambayo umenifanyia ya kunitusi bila kuwa na ushahidi wowote

    • @zilfamoustafa2287
      @zilfamoustafa2287 2 роки тому

      Allah akusamehe

  • @halimasalim3985
    @halimasalim3985 8 місяців тому

    😂😂😂😂😅😅😅

  • @ameenamohammed4413
    @ameenamohammed4413 Рік тому

    😂😂😂😂

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 2 роки тому

    Hapo umeyumba shekh Sim ya mwanaume ukiishika utajiumiza bure maana anawezakua yupo ktk proses za kuongeza mke, sasa unadhani akizikuta txt hizo inakuaje? Na jee hapo utaongeza mke kweli??

  • @bachwahferuzi4590
    @bachwahferuzi4590 3 роки тому

    Shekh unajua kama wanaume wengi wanamtihani wa kipato wenyekipato niwachache nawanawake wanatamaa ya maisha ya kifahari hili hujui?.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 роки тому

      Kabisa!!

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Рік тому

      @@jumakapilima5674 Wanaume wengi walivyo ni wazinifu wanashindwa kutoa huduma kwenye familia yake pesa wanazipeleka kwa malaya haya yapo kwa kiasi kikubwa sana ,kipato chako unajua kuwa ni kidogo lakini unahangaika na wanawake wengine nje badala ya kuijali familia yako .mtu akisema ukweli tukubali kuwa amesema kweli ,shehe amesema kweli kabisa .

  • @mesaunimwasene9660
    @mesaunimwasene9660 Рік тому

    Maneno kuntu .....yako huku kwetu