SIMULIZI YA SIN - PART 01
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- Kila mwanachuo ndoto zake ni kuweza kupata ajira nzuri sana kwa kile alicho kisomea kwa miaka mingi sana kipindi alipo kuwa chuoni. Ila mambo ni tofauti sana kwa kijana Evans Shika. Elimu ya Masters of Business Administration - International Business aliyo isoma katika chuo cha IFM, inamfanya azidi kutesaka sana katika swala zima la kutafuta ajira. Kila ofisi aliyo weza kupeleka maombi ya kuajiriwa, ana kataliwa na kujikuta ana zidi kukumbana na maisha magumu sana yaliyopo katika jiji la Dar es Salaa.
Asante kwa kusikiliza stori zangu X na hii SIN By Eddazaria G Msulwa
Wacha weee..wewe kiboko
MashaAllah mungu akupe uwezo wafkra Zaid
Upo vizur Sana brother naamini hiki pia kigongo Cha maana Kama Cha akina Eddy simuliliz ya X
Mwamba huyu hapa🎉🎉🎉
Hakika wewe ni genius mzuri sana wa kutuburudisha na simuliz tamu ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Akoj 😂😂😂😂umenivunja mbavu hapo kwa baba mchungaji kukemea pepo la mapenzi kweli ww nkiboko ya wapenzi wako ❤❤❤❤❤kwako ankoj tunakuenzi sana wale tuko pamoja gonga like
🤣🤣nimecheka kwa nguvu eti Pepo Toka Pepo Toka🤣🤣🤣
❤
AnkoJ kina ss twasahau hata kula Kwa kusikiliza simulizi, Asante Kwa SIN ushatuweza
Woow asante brother kwa sin namba 1
Wowo sijachelewa sana leo asante uncle j kwa kutuletea mzigo mpya wa sin 🎉🎉😊😊❤ tunakupenda uncle j mapesa mungu azidi kukueka🎉🎉
Waooo,,anko j mungu azidi kukuweka hai jaman
Guys hamlali duuuh jaman nlikua naisubir kwa ham sana hii ngoma ubarikiwe sana ankojay ❤❤❤❤❤
Nmkua top 10 na nlvyo na furah sku ya Leo wadau mskose kunwesh birthday 🎂 🎂 tuenjoy pmja huku tukilwazk na SIN
hapo Sasa ankojeii hongeraa muuno kwa hadithi hii tamu ya sin tuko bamoja hadi mwisho
Heeee
Tupo kitako kusubiri SIN tunakuamini Ankojay
Hakika ni safari ndefu tupo pamoja 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻❤❤❤
Leo wakwanza jamani naombeni like 👍 zenu wapedwa 🎉❤
Tuko dani
Weweeeeeee mambo hayooo🎉🎉🎉
Ila sikuchelewa nimewayi wow 🤩
Ndio tuko apa Anko twasikiliza sin km sin ❤❤❤❤ from saudi
❤❤❤(1) wadaue njoon anko huyuhapa anatimiza ahad ya sin mungu akubalik🙏 wewe na mwandshi nawapeni nyote, like zeu naziomba ote mlioisubli kwa ham.🌹🌹👏🏃
@@user-rc3om5hs9i 🥰🥰🥰
Ankoo apo kwa nabiisanga, Dunia shilaaaa😂😂 heeee!?
Waoooo
Umekuwa wakwanza eeh
@@user-qm9rr8fr1j yeah
Mumbi Wa Naivasha ako Ndani, Twende kazi
Wooooow! The sin is sinning🎉🎉. Haya nipeni like zangu nisinike mimi😊
❤❤❤weeeeee timu Eddazaria tujuane
Waooo Leo na me nimewah watu hawalali jamn
Asante anko tuko pamoja sana mama sam
Chake Pemba sote ni famly
Woyoooo wakwanza nipeni like zangu 🎉🎉🎉🎉
Hii simulizi ni nzuri sana nainaonekana ni chuma kikali sana ancle wetu ametujulia jamani kama we ni shabiki wa ancle jay weka like hapa 💪💪💪
Daah nimechelewa mwezenu mambo nimampya kabisa. Akubaliki na ww Anko jay 🇴🇲 Ahasante sana kwakutuletea simulizi tamu🇴🇲🇴🇲🇴🇲🤸🤸♥️♥️
Ok umeamua Anko kutupelekesha safari hii thanks❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kimeumana hukuu❤️❤️❤️❤️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️asnte anko mapesa wetu
Eti anko mapesa mbaya weye😂😂😂
@@ashaabdalla924 🤣🤣🤣c ndo anko wetu mapesa ana balaa huyoo😇😇
@@UmayyaNkya-ze3ri namjua na hii simulizi haifiki popote itauzwa😂😂
@@ashaabdalla924 fresh tuu tushazoeya🤣🤣tutangoja hapa hapa sie team viporo 💯💪💪
Wow hatimae wanaviporo tumekumbukwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 shukrani tunakupenda 🎉🎉🎉 acha tusikilize sin munanini
Asante sana ankojy kwa simulizi mpyaa 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Wakwamza naombeni like na mm leo
Sawa Kaka asante kwa ahadi
🎉namba 1🎉😂❤❤
Wakwanza jmn nipeni like zng team kadama😂😂😂
😊😊😊 nimechoka hata kutoa like nashindwa
Weeee ebu tuanze nusu ya pili ya mwaka na kigongo kipya❤
Ankoakeeeeeeeeeee jaman mbona mie inachelewa kufika ila nipe I like
Weuweeeeeeeee Anko jay tunakupendaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤
Love this❤❤❤
Waaakwaaaanzaaa🎉🎉
Jamani nyie watu😊😊
Wooooooohy🥳🥳🥳🥳
Wakwanza mm hapaa❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri Kaka listening from Kenya much love.
Wakwanza❤❤❤❤
Nipeni likes tafathari
Ankoooooo we kiboko kk naitwa Joseph kk salut
Duuuh! Anko J, kongolee kwako, Mungu aendelee kukutunza
Asante dear anko Jay hongera yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤ ila mm hata kama itachukua mwaka pia ntasubiri naamini utatuwekea tu ulindwe na Mungu kipenzi cha wengi
Weeeeeee nimeisubiri kwa hamu sana hiiii simuliz❤❤❤❤ atimae shauku yangu imetimia😊🎉
❤❤
Shukran sanaa kaka jay,kama ulivoahidi,umetiza anko Jay shukran sanaa kaka Jay, Alhamdulillah
Ahsante anko jay kwa kigongo kitamu ubalikiwe kipenzi che2❤❤❤🎉🎉
Wakwanza mm anko j mauwa yako kaka❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo ni leo asemye kesho umechelewa wandau nipeni htakma ni moja tu na ankojey chukua maua 🎉🎉🎉yko kwa simulizi nzuri pamoja na mwanishi eddazaria G msulwa
Waooo weeeeeeee🎉🎉🎉🎉
Naombeni like zenu Leo ningekuwa kwanza🎉🎉
Waoooooh tuseme bismillah ❤
Hello am hereeeeee❤❤❤❤ tunaanza sasaaaaaaa
Atimae mzigo unefika❤❤
Wow nimewahi 🎉🎉🎉❤❤
Tunatoka Kwa simulizi ya lisa ya tamaa, mapenzi na visasi sasa tumeingia Kwa pambano Aya sasa ni kweli yaliomo Yamo
Inaonekan simulinzi ni nzuri sana
Ngoja tuone, kazi mpya ya edazaria Kama Ni moto kushinda Lisa ya jomba wajo
W 1 leo
Safi sana
Asante kwa simulizi mpya ank. Ila naomba kama unaweza kupunguza sauti ya mus kidogo. Ningeshukuru sana
One number 😂❤
Wakwanza leo❤❤❤❤
Ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤
Jmn wtu mpo vzr sjuw mm.wa kwnz au folen imejaa😂😂😂😂😂😂
Oyooyooyooo mzigo umeachiliwa hakuna kulala wadau
Mwanangu umetisha kinyama yani
Wooooow!❤❤❤❤❤❤❤nice
Wakwaza na wamusho naomba like leo
Waoooh ❤❤ penda sana ww anko wetu 🎉🎉
Hatimaeeeeeee mau yako bro 🎉
Hello dear tuanze maisha Mapya
Simulizi hii ya sin ni murwa,tamu kama kitu kingine
Tuko dani ya yumba ya Ankojay naomba like poa mm😊😊😊❤❤❤🎉🎉🎉
MashaAllah kitu kipya kwa muda sahihi ❤ shukrani sana
Anko j unapromise za kweli tunakupenda sana ❤
Mbn kipandee chapilii hakitokii
Aisee 😊😊 daaah yakwaza sasa ❤❤❤wacha tuone yaliyoomo yamoo 😊
Niwa mwisho jamani naomba mau yangu 🎉🎉
Hatimahe imefika
😮♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 pamoja sana Ankojay 💃
Wow nice story 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hatimae mzigo tunao🎉❤
Shukrani sana anko jey na kwa lisa pia😢😢😢❤❤❤ tumeinjoy sana aendeleze ingine lisa, mmwaaaa
Finally imeletwa asante sana ankojay wetu good job may God bless you🙏❤❤
Wamwisho 🇺🇸 ❤❤❤❤🎉🎉🎉
0:20 nyie nyie familia ya ankojay simulizi njoeni tuaze mambo matamu❤🎉
Mambo poaaa❤❤❤
Asnte sana anko Mungu akubariki na uwe na afya njema❤❤❤❤❤
aweeee anko j twakupenda sana ❤
Wakwanzaaaaa mnipe likes zakuwai jamaniii😢 anko maua yako hayaapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nyieeee hatimaeee
Mbona hamna sauti
Waooooo nimesubiri hatimae imetufikia hongela sana edazaria❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ pongezi zako kipenzi changu anko jey 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Yako
Dud watu wote wako macho😂😂hamulali
Mashaallah Ankojay mungu akubariki sana nakubali kazi yako
𝙰𝚒𝚜𝚎𝚎 𝚠𝚊𝚔𝚠𝚊𝚗𝚣𝚊😅😅
Oyooo❤
Jmn kumekucha 😮😮😮😮😮😮
Oyooooooo🔥🔥🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mimi natakareyana kwanza