Waislam! Bora kujitambua tulicholetewa hapa Duniani kabla ya kuvikwa sanda na kuenda kuishi nyumba yenye chumba kimoja na ukumbi (Kaburi na mwanandani)
Wallah umesema jambo ambalo Jana nimesikitika Sana, halafu wengi ni sisi waisilamu, yaani tunakesha mitandaoni kutizama uchafu, nimemuuliza dadangu laiti yangekua ni mawaidha Ata kusingefika watu elfu Moja, subhanalah. Wallahi Allah atuepushie na anasa za Dunia
@@joharijj2164 Johari! Tumuombe Allah atuhidi. Nnakumbukumbu ya magazeti. Nikiyapitia naona wengi kati ya majambazi sugu ni majina ya Waislam. Wasanii wengi waislam. Matapeli wamo waislam. Malaya tumoo! Hatujabakisha kitu. Yarabi tujaalie mwisho mwema. Amiin.
hizi ni zama zilee zilizotajwa na wema waliotangulia kwa hio hatushangai sana . malezi bora ni malezi ya kiisalam tu hakuna mengine, kumuogopa ALLAH S.W NA KUYAFATA ALIOTUAMRISHA NA KUYAACHA ALIOTUKATAZA.
Ww manara ni msenge sana yaan zuchu amelelewa kwenye maadili ? Afu unasema ni muislm ,muislm wa kweli haende pale!!/hizo milioni 7 kuna masikini kuna watoto yatima
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ua-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/v-deo.html
Wewe manara wewe unamwambia naseeb akupe zuchu umuoe huku na yeye anampigia hesabu ya kumtafuna na mifupa yake mtoto mdogo mbichi hajatumika sana kwa akili yako diamond atamuacha aliwe na wengine subutuuu niko pale nimekaa huko mbeleni lazima utakuja kujua diamond anamla zuchu wewe manara wewe acha zako kabisa diamond hawezi kukupa wewe zuchu huku yeye mwenyewe yupo 😂 😂 😂
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ua-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/v-deo.html
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ua-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/v-deo.html
Jux mm uwa nakupenda sn ww si mnafiki kbs yn hongera broo
Manara umependeza sana
Ha yo sio malezi bora kaka Manara we we ni muislamu unajuwa mfumo wa Malezi yetu
Huyu jamaa nimbwange moja tu
Mmmh hizi ni Kali bhana.. Angalia ukicheka tu bonyeza subscribe ua-cam.com/video/uN5vigp2fwE/v-deo.html
Kwa kweli,malezi bora ni ya kufuata maelekezo ya dini
akuna watt walio alibika kam wa mashehe au bab zaoau familly yao wanajua din san kizazi chake utashika kichw
We nawe kwaiyo wt wasi afanye maisha au ww unayafahta hayo daini
Ww manara mungu anakuona malezi bora ya kumchukiza allah duh
Nini inakuchukiza!!!!
Waislam!
Bora kujitambua tulicholetewa hapa Duniani kabla ya kuvikwa sanda na kuenda kuishi nyumba yenye chumba kimoja na ukumbi
(Kaburi na mwanandani)
Tunaishi kiduniaa zaidi akhera tumeweka mgongon hakika tutalia na kusaga meno siku ya mwisho
Wallah umesema jambo ambalo Jana nimesikitika Sana, halafu wengi ni sisi waisilamu, yaani tunakesha mitandaoni kutizama uchafu, nimemuuliza dadangu laiti yangekua ni mawaidha Ata kusingefika watu elfu Moja, subhanalah. Wallahi Allah atuepushie na anasa za Dunia
@@joharijj2164
Johari! Tumuombe Allah atuhidi.
Nnakumbukumbu ya magazeti.
Nikiyapitia naona wengi kati ya majambazi sugu ni majina ya Waislam.
Wasanii wengi waislam.
Matapeli wamo waislam.
Malaya tumoo!
Hatujabakisha kitu.
Yarabi tujaalie mwisho mwema.
Amiin.
Kazi nzuri WCB FOR LIFE
hizi ni zama zilee zilizotajwa na wema waliotangulia kwa hio hatushangai sana . malezi bora ni malezi ya kiisalam tu hakuna mengine, kumuogopa ALLAH S.W NA KUYAFATA ALIOTUAMRISHA NA KUYAACHA ALIOTUKATAZA.
G
Na Mimi Niko singleeee
Kwahiyo unataka Manara akuoe pia au??
Manara hoyee🇰🇪🇰🇪❤️
Shout out sana mnyama jux uko simple sanaa
Manara acha upumbavu wako Hugo anakaa uchi pumbavu
🔥🔥🔥🔥🔥 WCB4LIFE
Haji Manara Msemaji wa Taifa✌️
Piga kelele kwa manara wake kum love Zuchu akeeee
Malezi gani anavaa uchi
Malezi bora yakuimba kweli wewe umeyumba
Na mimi niko single 😂😂😂😂
😁😁😁😁 wana jirahcixha xana wadada wenu uko
Unani faaa
Am coming
Iyo kauli ya manara jmn msini misquote 😂🙌
@@princessfa9048 me nakutaka kweli hata kama ni maneno ya manara
Ndoa ya diamondi na zuchu
Jamani dunia iko kinyume nyume kweli malezi bora?
Lily omy suite yake safi
Simba baba lao
jux yupo kumbee safi sana
Hayo malezi gani kukaaauchi
Huyu manara anajuwa kucheza na maiki kweli
Love u haji
Aaaaah Haji mwanao huyo
Wewe wataka Vita na simba
Ww manara ni msenge sana yaan zuchu amelelewa kwenye maadili ? Afu unasema ni muislm ,muislm wa kweli haende pale!!/hizo milioni 7 kuna masikini kuna watoto yatima
malezi bora ataimba mziki na kutembea uchii
Buggati dela boss basi basi basi basi
unapenda sifa sana wewe,mkeo amekushinda Zuchu utamuweza?kwenda zako wewe...
We mzee kafie mbele uko tafuta mzee mwenzko boya ww
Budweiser zimefanya kazi🤣🤣🤣🤣
Huu mzee bana😂😂😂
Kweli manara c
Manara
Hapo si mahali pa kuongelea habari za Mikia
Mbona umekuwa babu
😂😂😂manara acha tamaaa
Hawa ndo wale mnaobaka watoto wenu shenzi kabsa
Ila kumbuka malezi bora ya dini yetu ya kiisilamu si unayajua yanavyotakiwa?
Haji manara hapo panamalezi bora kweli?
Huyo chukua tu
Fact bro
Jaman mm mpenzi wa Simba lkn huyu si Haji manara ni Haji Misifa
kwan unateseka
😂😂🤣😅😅😅😅😅Manara uko single eti
Manara acha kusifia uozo malezi gani hayo ya kukaa uchi mbele za watu?
Kumbuka wewe ni mwalimu wa madrasa halafu unaongea ujinga mbele za watu.
Kumbe manala n mwalim duuuuh
Hata kama asingekuwa mwalimu hizi ni anasa za kidunia kisha linasifiaa mbele ya umma mungu amufungue ubongo wake
Aisee huyo no mwanamziki ko razima awe anavaa Kama mwanamziki ko ulitaka aende stejini kaji still Kama anaenda ku swali..??
Tumsamehe
@@pendondossy2158 manara ni aalim sijui kakwama wapi hiyo m7 angepeleka madrasa ingekuaje?
Semaji la dunia
Simba oyeeeeeee😜😜
😂😂😂😂😂😂😂mashaallah
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ua-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/v-deo.html
unasema hao sasa hivi badae yumzwia yasiimbe tena kwa sababu wivu utakushika
Ujana wako umekula na nani .utuuzima wako umalize na mtoto wa mwenzio
Hao wasanii wanaliwa na wazee kama Baba yake kwa tamaa za pesa
Wanaendana
Hili jamaa xilikubli ata kidogo linajifanya shee sana kumbe senge tu msukule wa simba
Wee cyanga
Mwamba unakosea sana mimi ni yanga kindaki kindaki lakini kwa upande mwingine namkubali haji manara kwa sababu anaichangamsha ligi yetu
@@abasialimussa5372 ttzo sio uyanga au usimba ttzo ni mwalimu wa madrasa but Anglia mambo anayofanya
Mm pia niko single pia Siku hizi afadhali uwe single .🤣
Dah huyu ms*ng* sana hahahaha 🤣🤣
Naili haji Manara chadema Eee.?
Wewe ni mpiga kelele wa simba na mziki wapi na wapi?
Na wewe ni mpiga kelele wa wapi
😂😂😂😂
Umezeka
Nimecheka sana huyu baba eti yuwataka zuchu ajioni kuwa yeye nimtu mzima zuchu nikama mwanawe
KAMA BADO HAUJATAZAMA USHUHUDA WA MAMA ALIEPONA KANSA YA ZIWA KARIBU KUTAZAMA LINK HII CHINI ua-cam.com/video/NEpJOZ1FsCM/v-deo.html
Wewe manara wewe unamwambia naseeb akupe zuchu umuoe huku na yeye anampigia hesabu ya kumtafuna na mifupa yake mtoto mdogo mbichi hajatumika sana kwa akili yako diamond atamuacha aliwe na wengine subutuuu niko pale nimekaa huko mbeleni lazima utakuja kujua diamond anamla zuchu wewe manara wewe acha zako kabisa diamond hawezi kukupa wewe zuchu huku yeye mwenyewe yupo 😂 😂 😂
Zuchu hapendi mazeluzelu
Usiseme hayo naye pia nibinadam
Mm
🤣🤣🤣❤️niko single
mmh
Mmj
Saf
Oyeeeeeee
Afu uyu manala wmefanana na magufuli
msemaji WA simba
Haji manara kuna wakati hajui anachoongea,lakini watu wanaona kila anachoongea nisawa
Eeeee baba weee ushazeeka ww
Misifa ya kifira
😂😂😂😂
No views
Hapo ndo umeharibu mbwa we hapo ni starehe za watu ww unapeleka usimba wako
Haha
Mnajifanya wengn mnajua maadili mnaingia hum kutfta nn
nashangaa na mimi
Hahaha
Manara ujielewi iyo dini umesoma wap tufatilie labda umesoma kwa mashia! Mtu anakaa uchii! Mziki ni haramu unasifia ujinga alafu unajiita umesoma dini
Rudi madrassa
kama umri huo ujaowa basi bora uolewe tu
Follow account yangu kwa cartoon animation movie fanya kusubscrible hizi ni kwa wote wakubwa kwa watoto. 🔥🔥🔥🔥
Anakaa uchi mbele za jamii unamsifia Aiseee Muislam wewe
ww
Angeanza mama mtu kujistiri anaonekana hakumlea vizuri ktk mavazi ndio maana anatembea uchi
Acha ujinga huyo simwanao
Huu mzee bana😂😂😂
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ua-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/v-deo.html
🤣😂😂😂😂
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ua-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/v-deo.html
😂😂😂