LISSU ANG'AKA POSHO ZA WAJUMBE | AWATAJA AKINA MDEE KUREJEA CHADEMA | SERIKALI HAIJANIPONGEZA ...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 153

  • @AnaelRNasari
    @AnaelRNasari 10 днів тому +20

    Mhe Lissu, wananchi wanangojea tu neno lako kuhusu uchaguzi. Hongera sana kwa msimamo mara.

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 10 днів тому +23

    Ila Tundulisu kichwa sana mungu akupe afya njema mwenyekiti wetu Lisu

  • @tonyjr8720
    @tonyjr8720 10 днів тому +14

    Point point🔥🔥

  • @AnnaMwitega
    @AnnaMwitega 8 днів тому +8

    Asante sana Mwekiti wetu.

  • @JafarsimaouchuJumbe
    @JafarsimaouchuJumbe 10 днів тому +15

    Man of the match currently...

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 День тому

    Congratulations Hon.Tundu Lissu.

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 9 днів тому +10

    Lissu ni next level Mungu akutunze sana

  • @RenatusMatungwa-o7c
    @RenatusMatungwa-o7c 10 днів тому +16

    Jamaa namuelewa sana

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 10 днів тому +9

    Hongera sana Tundu Lisu.

  • @ErickMwendwa-n4i
    @ErickMwendwa-n4i 9 днів тому +6

    Lissu number 1 on trending Tanzania

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 9 днів тому +5

    Mwenyekiti

  • @MabelaBahati-m6e
    @MabelaBahati-m6e 9 днів тому +8

    Chadema kitakua chama bora sana kwa utaratibu na mtazamo huu

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 10 днів тому +12

    Hongera Mkiti kwa majibu mazuri kwa kila swali uliloulizwa. Tunaamini kwa kauli yetu ya Katiba kwanza na marekebisho ya sheria za uchaguzi. No reform no election.

    • @asinahussein2176
      @asinahussein2176 9 днів тому +1

      Iliyopo unaijuwa?

    • @belak999
      @belak999 9 днів тому

      Angekuwa haijui asingeiandika, tulia​@@asinahussein2176

  • @AthumanMitalami
    @AthumanMitalami 9 днів тому +4

    Nakukubali sana lisu

  • @josephnjau9544
    @josephnjau9544 10 днів тому +11

    Uyo mtangazaji Kila muda anamkatisha lissu kuongea mara Asante sana yanii aise mwache aongee utengeneze maswali zaid

    • @ceomomtz
      @ceomomtz 10 днів тому +4

      Na wewe umeliona hilo. Wanatakiwa kubadilika...kwa sababu nilikuwa nataka kusikilizaLissu anaongea nini . ngekuwa sio yeye nisingemaliza kusikiliza.

    • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
      @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 9 днів тому +1

      hawa watangazaji njaa,hawana professionalism
      ilo jamaa liliovaa kanzu nimesoma nalo shule moja ya msingi mbeya nililiacha nyuma madarasa kadhaa
      Si wamuige sammy awamy wa BBC.

    • @vincej9275
      @vincej9275 9 днів тому +1

      Kweli kabisa. Kila mara ana jaribu kumkatisha Tundu Lisu.

    • @melki-kabalu759
      @melki-kabalu759 8 днів тому

      Bogus journalism, mwandishi hana malengo. Waandishi wachache sana wanaweza ku-match rhym ya watu walio "ambitious and focused" kama Lissu!

  • @B23-i8p
    @B23-i8p 10 днів тому +8

    Africa Lion 🦁

  • @IzimaniSimwanza
    @IzimaniSimwanza 9 днів тому +2

    Hongera sana mwenyekiti wetu mpya

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 9 днів тому +2

    Lissu ni Mmoja Africa

  • @taaonlinetv1820
    @taaonlinetv1820 9 днів тому +4

    Huyu jamaa ni hatari sana 😂

  • @mossesmeyan
    @mossesmeyan 9 днів тому +2

    Lissu utabakia tu kuwa kiongozi imara na mwerevu, utaendelea kuwa role model wa wengi,nikiwemo

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 9 днів тому +3

    BRAVO KOMREDI LISSU.

  • @KhalifaMshana
    @KhalifaMshana 9 днів тому +3

    Hongera Mh mwenye kiti Kura zote za ubunge 2025 chadema

  • @FabriceChizere
    @FabriceChizere 8 днів тому +2

    mimi, tuko pamoja sana,

  • @GeofreySenka
    @GeofreySenka 7 днів тому

    Safi sana ndio tulimtaka awe mwenyekiti

  • @B23-i8p
    @B23-i8p 10 днів тому +9

    Huitaji nguvu nyingi kumuelea Lissu

  • @PhilipWiliam-o2q
    @PhilipWiliam-o2q 9 днів тому +8

    Nakukubari sana ira punguza maneno mengi watanzania utatukomboa kama Rais wa yure kijana arie Jenga ichi yake Kwa Mari za nchi yake taer

    • @belak999
      @belak999 9 днів тому +2

      Maneno yake ndio tunayataka, hauwataki usimfuatilie kokroch wewe

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 10 днів тому +6

    Lisu juuu

  • @geofreykyomola5319
    @geofreykyomola5319 7 днів тому

    Stan hatulii kabisa yaaan, sijui hyo skills ya ku hoji kajifunzia wap

  • @AzizaRamadhani-uh6ho
    @AzizaRamadhani-uh6ho 9 днів тому +4

    No reform, no election ❤

  • @devothabahati6548
    @devothabahati6548 9 днів тому +3

    inawezekana tuna rasimu ya katiba ya Mzee Waliorba

  • @IpyanaPaul-r1w
    @IpyanaPaul-r1w 9 днів тому +3

    Wewe ndiyo mwenyekiti tulie kuwa tunakutaka chadema

  • @hashimmandari8919
    @hashimmandari8919 9 днів тому +2

    Mwenyekiti Muongo kiasi hiki nihatari sana

    • @ChalesLukumai
      @ChalesLukumai 8 днів тому +3

      Tueleze huo uongo wake.

    • @natupe123
      @natupe123 8 днів тому +2

      Watu wa mbowe mnahangaika sn uchaguzi umeisha

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 8 днів тому

      Na qlimdanganya Mama yako mpaka akamsati baba yako!

    • @melki-kabalu759
      @melki-kabalu759 8 днів тому +1

      Mpaka muombe poo!

    • @ChalesLukumai
      @ChalesLukumai 8 днів тому

      @@natupe123 hata wewe huna tofauti na huyo hashimmandari

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 10 днів тому +10

    Nani aliyemfuata gerezani kumpa habari njema😂😂😂

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 7 днів тому

    yaani tumechelewa sana kimpata kiongozi jasiri kama lisu

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 10 днів тому +4

    Lisu hongela

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 9 днів тому +1

    Lissu ana akili nzuri mno,hivi viti maalumu ni lazima kuwe na ukomo

  • @alumetili3669
    @alumetili3669 9 днів тому +2

    Sio lazima uchaguzi mwaka huu

  • @FidelisPhilip-eo1jk
    @FidelisPhilip-eo1jk 9 днів тому +2

    LISU we ni mashine KUBWA

  • @DullahIweni
    @DullahIweni 8 днів тому +2

    Wale wabunge hewa hawatakiwi tena kupokelewa ni wasaliliti na wenye uchu wa madaraka wakikaribishwa watakuwa vibaraka.

  • @mussangalawa2403
    @mussangalawa2403 10 днів тому +3

    Kweli ubaya ubwela

  • @njanjimlwale
    @njanjimlwale 9 днів тому +1

    Kongole kwako mh. Lisu naiona CHADEMA mpya yenye nguvu ya hoja na chama ambacho kitakua mfano sio tuu Tanzania Bali Africa kwa ujumla.

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar1623 9 днів тому +3

    Mtangazaji jifunze kutulia unamkatisha katisha sana mwenyekiti mwache mwenyekiti atoe maelezo ya kutosha. Wewe Kila saa asante sana asante sana ya nini

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 9 днів тому +1

    LISSU UKO SAHIHI WATANZANIA TUMEKUWA WAJINGA SANA! ETI WAKURUGENZI WANASIMAMIA UCHAGUZI HAPO HAKUNA HAKI

  • @Mrs0marsaid
    @Mrs0marsaid 9 днів тому +2

    Kichwa cha Tundu lissu 1 ni Sawa na wakuu wa CCM 700 , wengi vilaza wamepitishwa tu serekalini, Majambazi ndani y Suit. Vibaka 😂😂

  • @GalatiaYunison
    @GalatiaYunison 9 днів тому

    M/kit uko powa Sana/tumia busalazako zote wale wabunge19 walud tujenge chama chenyenguvu zaid,tuliwazaa wenyewe chadema tutakuwa waovyo Sana tukizid kuwaddmiza,slaaa alud,ikiwezekana na zito,msigwa ingekuwa pw

  • @benjaminbrighton336
    @benjaminbrighton336 9 днів тому +1

  • @BARAKAKinana-n4y
    @BARAKAKinana-n4y 9 днів тому

    baba shikamoo Mimi ni baraka kinana ninakuomba baba tundu lissu Hawa wakina alima mdee na wezake woto kumi na tiza 19 wazamehe tu baba ninaomba tu baba lissu mwenyekiti wetu ila wape waonye kivikali sana ili tuweze kujenga shama shetu baba wazamehe tu baba

  • @MwitaMarwa-s6u
    @MwitaMarwa-s6u 9 днів тому +1

    HAKIKISHENI MNALINDA KULA ZISIIBIWE SWALA LA KUPIGA KURA TUACHIENI SISI

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 9 днів тому +2

    Ktk upande wawaandishi wa habari hapa hamna kitu kabisa.

  • @noelwandera8617
    @noelwandera8617 10 днів тому +9

    This fellow-journalist needs to relax and let TAL speak. In journalism, sometimes you relax and let the newsmaker roast himself.

  • @devothabahati6548
    @devothabahati6548 9 днів тому +1

    kwa Miezi 7 inawekana tuna Katiba ya Mzee wetu Waliorba

  • @edgaremmanuel3197
    @edgaremmanuel3197 8 днів тому

    Huyo jamaa kushoto kwa Lissu anakera kumsikiliza, Hawapi wenzie nafasi, hatoi nafasi kwa mlengwa kujibu maswali

  • @MorganLulandala
    @MorganLulandala 8 днів тому

    Halima fisadi

  • @Leodimk-n5c
    @Leodimk-n5c 9 днів тому +1

    Hao civid 19 wasirudishwe dhambi waliyoitenda na iwahukume wenyewe

  • @muchunguzimissingo5662
    @muchunguzimissingo5662 10 днів тому +2

    Ubaya Ubwelaa.. Mbombo Ngafuu..😂😂😂

  • @bubaelly5922
    @bubaelly5922 9 днів тому +1

    huyu mtangazaji hafai anakatishakatisha saana

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 9 днів тому +1

    NI UKWELI NA USAHIHI WA MAMBO YOTE KATIBA MPYA NA TUMEHURU YA UCHAGUZI SAWA KABISA MKUU

  • @edgaremmanuel3197
    @edgaremmanuel3197 8 днів тому

    Hili limtangazaji hata halina busara ya kuhoji, Arudi darasani

  • @stephanomwalongo2328
    @stephanomwalongo2328 9 днів тому +2

    Chama hakikuwa na fedha, watu wa Mungu walijitowa ili kufanikisha mkutano. Lakini wewe Lissu pia ulikuwa sehemu ya waratibu wa hizo nauli, hivi basi unamlaumu nani.
    Mapungufu mliyokuwanayo tatua kwa vitendo si maneno

  • @KilimoMichael
    @KilimoMichael 9 днів тому +1

    Mgombea uraisi simama wewe mwenyewe una tosha na Mungu wa mbinguni akushindie

  • @HenryInyasMrema
    @HenryInyasMrema 8 днів тому

    Waandishi wa habari ningewashauri walao kwa sasa uchaguzi umekwisha salama niwaombe mumwache Lissu afanye kazi za kiti chacke kwa vile naona atakosa muda . Maswali ni mengi mno jamani !

  • @ommymsangi9182
    @ommymsangi9182 9 днів тому +8

    Covid 19 hata wakirudishwa wanatakiwa wakae benchi mhula mzima na tuwaone wakipambania chama kwa vitendo.

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 9 днів тому

    CCM wanajua sana kua chadema wanaitaji tume huru na katiba mazungumzo kupoteza muda

  • @abubakarindila1951
    @abubakarindila1951 9 днів тому

    Samehe na sahau, Bado mnahitaji watu zaidi covid 19++++

  • @ceomomtz
    @ceomomtz 10 днів тому +5

    Ndio mara ya kwanza kukutana na hii channel ila sijapenda uulizaji wenu wa maswali. Mnamkatisha sana akiwa anajibu swali ili muulize maswali mengi zaidi remember is not about the quantity but the quality. Mjirekebishe kwa hilo...it is really annoying...

  • @MwangaSA
    @MwangaSA 9 днів тому

    Mbona basi hamkumuondoa John Mnyika idealism na Realism ni mbingu na anga tuwape muda

  • @Piscesblair
    @Piscesblair 9 днів тому

    Naukimpa asije😂

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 9 днів тому +1

    COVID 19 wa nini wa mufuate musigwa wawe chawa wa ccm vibaraka wa nakufa kifo kibaya

  • @MohamedShaksi
    @MohamedShaksi 9 днів тому +1

    Uso unaonesha rushwa kwa wajumbe.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 10 днів тому +2

    Mtangazaj unaogopa nini sasa unauliza maswal.mtu anajibu unakatisha.sasa unataka wewee majibu au wananchi.

  • @hajilubwaza3412
    @hajilubwaza3412 9 днів тому +1

    Katika watu si waamini ni Samia rais wa sasa ila huyu ni kibaraka mkubwa sana wote sina shinda nao ila lisu hapana heche msigwa is okay huyu alikubali magufuli afe na lema pia il kama wameweza kumuua magufuli anaefuata ni wewe trust me I don’t trust you at all

  • @AnaelRNasari
    @AnaelRNasari 10 днів тому

    Msimamo imara

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 9 днів тому

    Lambati acha ujinga upinzani wakiingia kwenye uchaguzi kwa hali hii ccm inatumia majeshi na vyombo vyote vya dola kuhakikisha wapinzani hawapati viti bungeni

  • @KhamisAbdallah-ki3zr
    @KhamisAbdallah-ki3zr 9 днів тому

    Halima mdee wachaneni na hiyu jamaa mtata jiungeni na ACT mkapiganieni

  • @Dr.MUGISHAKAZIMOTO-ng3gf
    @Dr.MUGISHAKAZIMOTO-ng3gf 9 днів тому

    Chama kifua mikononi mwako kawa Hali hii

  • @happinessshilie4019
    @happinessshilie4019 10 днів тому

    😂❤

  • @KhalifaMshana
    @KhalifaMshana 9 днів тому

    Mh lisu point tupu

  • @B23-i8p
    @B23-i8p 10 днів тому

    Hakika

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 10 днів тому

    Tunaanza hapa tutauzuia

  • @JaliaBahat
    @JaliaBahat 9 днів тому

    Je ukimrumia na kumbe kinachomleta nihela huoni kama mnaweza kupoteza wajumbe

  • @devothabahati6548
    @devothabahati6548 9 днів тому

    Katiba ndo kikwazo cha uchanguzi wa wizi.na mbovu.

  • @samweljonas9252
    @samweljonas9252 9 днів тому

    Hik chuma kweli

  • @OmaryRajabu-g7r
    @OmaryRajabu-g7r 9 днів тому

    LISU LENGO LAKO TUUWANE ILI TUWE WAKIMBIZI WEWE UMESHATANGULIZA WANAO KWA MABWANA ZAKO,,,HUFAI HUFAI KUWA RAIS HATA KIDOGO

  • @MohamedShaksi
    @MohamedShaksi 9 днів тому

    Sheria bila uchumi ni ukichaa

    • @OscarKasalile
      @OscarKasalile 9 днів тому +1

      Utapataje uchumi bila kuwa na sheria bora?

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 9 днів тому

    Sisi wafuasi wa mbowe lazima tukate rufaa,maanake huyu lisu daah,,chuma zitakaza sana

  • @salomeurio560
    @salomeurio560 9 днів тому

    Lakini siku zote si mlikuwa mnawagawia wakifika kwenye eneo la MKUTANO ?

  • @johnsonmshana4180
    @johnsonmshana4180 9 днів тому

    Nina shida nao sana!!!😂

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 10 днів тому +1

    Kile nilichokifikiria ndio kinaenda kutokea ila wacha tuone

  • @leomika8473
    @leomika8473 10 днів тому

    Mi naisi awawezi kurudia watahamia kwenye chama kingine

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 10 днів тому

    Jamaa anaongea kama JPM

  • @tanzaniashinyanga454
    @tanzaniashinyanga454 9 днів тому +3

    Huyu tundu ni muongo sana muda utamuunbua

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 8 днів тому

    Achelewi kukimbia huyu hapo alipo ana uraia pacha wa Tanzania na ubelgiji nyie kajamba nani mfate tu akuingizeni chaka

    • @melki-kabalu759
      @melki-kabalu759 8 днів тому

      Umeamua kuwa comedian, HADHARANI! 😂😂😂😂

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar1623 9 днів тому

    Hao wabunge 19 wasikubaliwe kabisa

  • @MitiroNyantire-b7n
    @MitiroNyantire-b7n 9 днів тому

    Uchanguzi umeisha tujenge chama kulubana

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 10 днів тому +2

    Mpambeni sana humu ukweli hamna kiongozi humu

    • @emanuelsam1543
      @emanuelsam1543 10 днів тому +2

      Mbogamboga hamjapenda eti

    • @ProsperReuben-fg6uh
      @ProsperReuben-fg6uh 9 днів тому +1

      Ni sawa maana kiongoz wako ni wasira

    • @SoudRwakyaya
      @SoudRwakyaya 9 днів тому

      ​@@ProsperReuben-fg6uhhuyu tindu lisu Hana tofauti na walioko milembe maana anasema atakataa uchaguzi kufanyika Yeye kama nani

  • @melki-kabalu759
    @melki-kabalu759 8 днів тому

    Bogus Journalism..Mmezoea kuhoji watu wajingawajinga, ndio sababu.Mwandishi hayupo focused, hana malengo,mbaya zaidi hajui anamuhoji mtu wa aina na hadhi gani.

  • @mamalange2277
    @mamalange2277 9 днів тому

    Ndugu mtangazaji, umetumwa?

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 10 днів тому +1

    Atatupotezea muda tu

  • @MushiGodfrey
    @MushiGodfrey 10 днів тому +2

    Kwani hiyo cash ilikuwepo?? Mbona naskia mlitembeza bakuli??

  • @JamesAbel-ig8wb
    @JamesAbel-ig8wb 9 днів тому

    Mh. Acha kufukua makaburi Anza yako tuko nyuma yako