“Prof Ndalichako si ungekuwa Waziri wa masifuri?” -Mbunge Goodluck Mlinga
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Goodluck Mlinga ambaye ni Mbunge wa Ulanga ni miongoni mwa Wabunge ambao siku zote wakisimama kuchangia Bungeni hawakosi kuacha headline, sasa leo alisimama kuchangia mapendekezo ya taarifa mbili zilizowasilishwa Bungeni ikiwemo taarifa ya kamati ya kudumu ya maendeleo ya jamii pamoja na taarifa ya kudumu ya Bunge kuhusu masuala ya UKIMWI. Sasa leo kashauri Bora Rais Magufuli ateue Waziri wa elimu ambaye hajasoma kabisa.
Leo Leo Leo umeongea mambo ya msingi tangu umeingia bungeni.Ushauri wangu kwako,jitambue ww ni kijana uliyepata nafasi hii kubwa na ya heshima simama kama kijana mwenyewe dhamira ya dhati kbsa kutetea vijana wa nchi yako.Utumie ujana wako bungeni kwa hoja mzito ukiwawakilisha vijana wa nchi hii.Acha na miongozo ya kuwapotezea mwenzio point,wangalie akina Zitto,walikuwa vijana wadogo kama ww walipoingia bungeni mpk sasa wamekulia bungeni wamekomaa kisiasa wanazo hoja zenye nguvu zilizo shiba zinazomfanya mtu asimama na jambo llte analofanya ili asikilize nn Zitto amebeba kwa ajili ya nchi yake.Wapi wengi Upendo Peneza n.k jifunze kutumia ujana wako vzr ndani bunge uweke ALAMA ktk nchi yako.Leo tunazungumza hbr vzr za Mwl.J.K Nyerere ktk ujana wake angekuwa kama hivyo na mizaha yako bungeni ninaamini ktk ulimwengu wa siasa tusingemfahamu hata kdg .Lkn machachari yake yalianzia Tabora Sec.Sch.Mpk Leo hayupo lkn Mwl kaacha ALAMA,Walikuwepo akina Edward Moringe Sokoine wameacha ALAMA ktk Taifa lao,akina Deo Filikunjombe wanabeba mioyoni mwao mambo ya msingi.Deo alikuwa ni kijana bungeni jifunze kwao lkn bado tunakumbuka dhamira yake kwa vijana na Taifa lake.Dhamana hii uliyopewa nitumie vzr nitumie vzr nitumie vzr.
inatakiwa uwe unongea vitu mhimu kama hivi good
Kiukweli leo umejitahidi tunataka wabunge wote wa ccm muongee point kutetea maslahi ya wanyonge
Nice
Yeye watoto wake wanasoma shule za pravet sisi wasendi kayumba tuta isoma namba
Mh... Mlinga mm huwa nakuelewaga sana, wasemee Basi na walimu wa Sanaa waliotelekezwa mtaani toka 2015
safii sana mwambiee
Martine Mpuya watoto wengi zamani waliuziwa mithihani sasa hapa Nazi, pia hatutaki vyeti feki. Hugo Mlinga afikiri
Sasa hivi wanatumia akili zao kwamwendo huo akuna vyeti feki
kiukweli umeongea maneno ya Hekima sana mheshimiwa
ni kweli ama jokking tu
Mlinga wewe unafaa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana nchini nakupenda sana ndio unaenifanya nisikilize bungee yani we we ni mkweli kabisa
Mlinga huwa unaongea ukweli Sema hawaelewi kwa kuhisi unachekesha. Halafu hii elimu bure ni kampeni ya tengeneza wajinga wengi tuendelee kuwatawala.
Ndalichako hafai maana marekebisho yake na maelekezo katika wizara ya elimu anatumia mihemuko tu kukomoa watanzania hususani wa hali ya chini.
Toka uwe mbuge leo ndio umeongea point
UPO VIZURI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA MBUNGE UMENENA VYEMA SANAAAAA
Mlinga Na bashe kwa wabunge wa upande wa ccm mnatambua nini kimewapeleka bungeni hongeleni sana.
umenena vema hakika, maana kunako sasa hakuna haja ya shule za serikali maana sasa Zero tu sasa
mlinga nakupendaga bureee mie si unajua eeee!!! walimu wanakaaga kama makomandoooo
👏👏👏👍bora ccm muamke mana ccm imepoteza muelekeo
kufeli lazima walimu mashuleni ni wachache sana harafu mtaa ni wengi sana hata masomo ya sayansi wapo mtaani lakini serikari inajili kama asernal inavyosajili wachezaji
Amos Mohono jaman mpka na timu yangu imetajwa tena humu asante
na Chelsea😀😀😀😀😀
hongera mbunge umeongea jambo la msingi sana wewe ni mtetezi wa wanyonge naomba uliyoyaongea kwa uwezo wa Mungu yawaguse watu na yatekelezwe.
ukweli mtupu, muna bunge bora watanzaini wezangu ,God will expose corrupt leaders...................
Naona baada yakokosa uwaziri ameamuwa kufunguka
Msione aibu teueni waziri wa elimu kutoka upinzani yapo majembe ya kutosha tena msije mkathubutu kutuletea msukuma na lusinde hao waacheni wapige kelele hukohuko
Jamni, sante kaka, ndalichako ikuguse basi...., uonefuuu kweli me nimeonewa
nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali
Hizi ndio hoja za msingi bila kujali itikadi ya vyama huyu mbunge ana hoja za msingi zinazolenga kulijenga taifa bora.
Walimu wanaishi kama makomando mh mh kweli
Catherine John 😁😂😂😂
Sasa hivi mlinga upo kitaifa zaidi, yaan upo vizuri sana dah!
Hahahhahahaha aiseee ni zaidi ya makomandooo daaah!!! VIVA BABA VIVAAA
Peter Dominick hahajs
Ndalichako umeharibu elimu sana,aibu tupu
Ha ha ha wanafunzi wasikaririshe madarasa WANAKUHUSU NINI....kaazi kwel kwel
kwa Leo umejitahid
wanakuhusu nn
Hata saa mbovu hufika wakati ikasema kweli..
muhammed abdulla hahahahahahahaha
haaaaaaaaaa
Hahahahahahahaha
Leo nimekuelewa tangu umeingia bungen
Leo nimekuelewa sana
Mi Nasemaga Uongozi na Kuwa na Elimu kubwa siku zote ni Vitu viwili Tofautii. Ndio Maana Mwl Nyerere alitengeneza mfumo wa Elimu mzuri ndio mana hata vyyo. Vilikuwa vinatoa Kozi Maalum mfano Kuanzia Uongozi Mpaka Watendaji.. Vyuo kama. Mzumbe, sua na Mzumbe nk.. ila sikuizi kila. Mtu anataka Kuwa Bosi..
manyumbu mmeanza kupunguka bungeni
Mbona ya kawaida tu haya, maana kama ni utekelezaji wake labda baragumu likilia, na wafu wakifufuliwa ndipo ziro, na madai yatakaponishia hapo
Leo umeongea kwa kweli
Ndalichako naha jipya kazi kybdili gred kila kukicha anashindwa kusimama imara yaan waziri wa ma 00000
Leo umeongea points
Uyu mzinguaji sana. Ila leo atleast umetema fact..
Walim wnzangu gonga like hapa
TIBA ZETU: ua-cam.com/play/PL_DSXHfkoymy4oJyCRzfM9atrIwMgXRVz.html
Kumbe wewe ninoma good for you
umesema vizuri sana kaka,kwa kweli umefanya wajibu wako kama Mbunge,hayo ndiyo mambo anatakiwa mbunge kuyasema bungeni
Kwamara yakwanza umekaa kwenye sens
Umeongea point .umeongea na umeona waziri mzigo. Kama kunawaziri mzigo ndalichako mzigo na hatoshelezi kabisaa katika nafasi hiyo. Alistahi awe mwalimu mkuu wa Shule ya Sekindari
jichunguze waziri so busara
Mlingaaaa! duuuuh! nimecheka sana leo,,,,
HONGERA kwa mtazamo na kuwa muwazi.
Fact mheshimiwa umeongea Kama mtanzania
Goodluck Leo nimekukubali.Kipindi kingine waeleze walivyodanganya Taifa kuwa wangepandisha walimu madaraja badala yake wakapokonya walimu madaraja ya 2015 na kuwafanya wapande 2018 ili walimu hao wasilipwe madai ya nyuma.Kwa hiyo hakuna Mwl yeyote aliyepandishwa cheo.Tunaumia sana rohoni.
Safi sana
Mheshimiwa Mlinga hii ni fact...
GOODLUCK UMEONGEA VITU VYA MSING SANAA NA SERIKARI ISPO YAFANYIA MTAONA ZAIDI YA HAPO.MAANA WALIMU WAMEKUWA WATU KUDHARILILISHWA
Naomba namba yako nikutumie vocha ya buku..haki ya Mungu wwe ni mkweli mtupu....Elimu yetu kanga la macho
Daaah kweli ccm wanaanza kuwa na akili mungu awabariki mujue kutetea haki na kujua jukumu lenu....musiwe watu was ndio sasa munajifunza kujenga hoja.....
Ipo haja yakuangalia malipo ya wabunge na wafanaykazi wengine ili tuboreshe mishahara na posho za walimu.
nimekubali
Huy Mbunge Anaongea Kama Masihala Ila Ujumbe Umefika
Ndiyo maana hujarudi Bungeni kwa kuongea ukweli pole Kaka ukweli wako umekuponza
walimu bhna ndo each and everything kwanza ilistahri walimu kupewa mshahara mkubwa maana ata mprofesa amewafundisha yeye sema ata wasomi tunakua na negative attitude toward teachers instead of fighting against negative attitude kwa ushauri tu ni kuwa kila MTU atafakri Nani alimtoa ujinga na mpaka now anaitwa profesa ....ni hicho tu
Leo nimekuelewa kumbe wewe ni mzima ila unajifanyaga chizi
Mbunge naomba naomba namba yako nikutumie Vocher hakiamungu
Leo umetoa point za kutosha safi sana
nchi I aishi bila Sera.mtanzania angalia yangu jins elim inavoyumbishwa tangu nchi inapata huru.kila wazir anakuja na ya kwake.hatuwez kufanikiwa hata siku moja.
Hapo point ccm mkiwa hivi tutawakubali
Mwambie ukweli huyo, kwanini shule za private zinafaulisha vizur alafu za serikali zinafeli alafu angezisapoti hizo zinazofaulisha hata kama ni za private
Yupo sawa maaana wenyetaluma yakufundisha mliwatumbu nawatu haoa walikua wanajituma saaana sasa wamebaki wenye vyeti nahawana taluma yakufundisha😆😆😆😆😆
mungu atusaidie tulomaliza vyuo maana hali ya ndalichako so yenyewe
safi sana Mlinga!...leo nmekukubali umeongea point!...hahahahaaaa....eti wazir wa masifuri!..
PR Ndalikacho Wenda akawa waziri mwenye busara wanaomwangusha ni wabunge wa CCM ambao hawataki kusimamia serikali,wanatumia wingi wao kutoa hoja za kinafisi balada ya uzalendo,kwa unafiki huu walaumiwe wabunge hasa wa chama tawala ambao hawataki kusema ukweli
Hhhhhhhhh shkamooo brother leo umezungumza aseee kwa mtazamo wangu wa elimu kusoma sana ama kusoma mmbo mengi si kuelimika ila kuelimika Ni kutenda kwa ubora zaid kutokan na maarifa uliyonayo . Shkamooo brother msalimie mama tumemsom bhn
lelu guyowera sana mtuwa hongera .
Mbona umeacha kuzungumzia swala la kutelekezwa kwa waalimu wa arts kuhusu suala la ajira wakati huitaji bado upo!?
mabosi hadi madiwani
Point Tupuuuuuu Bro Mlinga
Ibra-Da Husler
Hongera sana Leo umenifurahisha sana mhesjimiwa
kweli kwanza walimu hakuna kwasababu kaweka macredit mengi eti mi nipate three niende ualimu naumwa lakini mwanzo ilikuwa poa four walimu kibao Leo nisiende zangu advances level eti niende nikafe umaskini pumbafu waziri
Umezungumza Hoja Nzuri #Mlinga.
hahahahahahaha bora badhi ya ccm mmeanza kupunguza undezi hongera mbunge
Jane Suma 😂😂😂hili jamaa shida leo sijui limekuwaje leo lakn haliwezi acha undezi wake
jamani Leo mbunge wetu kidogo ameongea point
Samson Kusupa hahahahahahahahah ujue ivyo nae katandikwa na baba jeska wataisoma namba waliyo kua wanaitambia kwa mbwembwe zote
Jane Suma wameanza kujitambua
Waalimu wanaishi kijijini Kama COMMANDOO
duuuuu, imepenya hyo
kweli kaka,elimu ya Tz inasikitisha sana.
hata wewe unaemwita PR waziri wa masifuri ni mnafiki namba moja maana ungeaza kusema serikali imepuuza kero za walimu,kwa unafiki wako huu we jimboni kwako msaidie waziri kwa kusema umefanya nini ndo maana jimbo lako elimu ipo juu.
Kunywa Pepsi nalipia Wametumbuwa Walimu ,Tumehamia pravite Mta2bu tu,Ndalichako Umeishauri Vibaya searikali
Ndalichako fikiria vizuri kabla ya kutenda
Mbunge anàsema heri drs LA saba awe waziri elimu mbunge wa ajabu
daaa;;;;waziri hana jipya kidato cha sita wanaanza upyaaa waziri w masifuriii
hongera mbunge umeongea jambo la msingi sana wewe ni mtetezi wa wanyonge naomba uliyoyaongea kwa uwezo wa Mungu yawaguse watu na yatekelezwe.
Mheshimiwa amenena haswaaa asante kwa kututetea baba
Uko sawa mh. Mlinga
nimeipenda nimekuelewa;; ww ni prof hata kama hawataki
Kumbe sometimes unatoa hoja nzuri
leo umesomeka
we genous mzee mbunge fundi
Angalau Mh.Mlinga leo umeongea point sana kaka..Daah
Sawasawa umeongea pointi sana maamuzi ya ajabu ajabu tu
Aswaaaaa!!anatutia hasira sana toka tunasoma....kila siku kubadili Grade.😯😯😯
naona huyu ajuzuru wizara imemshimda
jembe anaropoka lakn yuko sahihi kabisa
kweli ndalichako ni waziri wa masifuri
leo kidogo naona kichwa kimerudi
Itakuwa wahojiwa walikunya mavi siku hiyo
we we jamaa nomasana njoo uwe mubunge wetu saluti kwako
Waziri wa masufuri kabx tena kweli