Halima Mdee Vs Goodluck Mlinga Bungeni
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Hii ilitokea bungeni Dodoma wakati wakati wabunge wakichangia bajeti ya Wizara ya TAMISEMI ambapo Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga aliposimama na kuwakosoa wapinzani baada ya kukosa nafasi ya uwakilishi wa wabunge wa Afrika mashariki, Mbunge wa Kawe Halima Mdee akalazimika kusimama kuomba mwongozo.
YAANI NAWAHURUMIA WATU WA JIMBO LAKE..YAANI WALIKOSEA SN KUMPA HUYU MLINGA UBUNGE...5YRS ANASHINDWA MUOMBA KILOMETA 70..ATAWEZA KUSHINDANA NA HALIMA???WANA ULANGA MJIFUNZE MSIKOSEE 2020..
Klara Green,duuuuh!?
Bunge bila ya upinzani ni bubu dhaifu
mungu hapendi kwakweli hivi ninyi wabunge hamjui kwamba BUNGE NI MAHALI PATAKATIFU SANA?HIVI TUMEWACHAGUA WA KAZI GANI?NDUGU ZANGU TUJIPANGE UCHAGUZI UMEFIKA TUSIWARUDISHE WAHUNI KAMA HAWA.
Hivi hawa wabunge watafundishwa mpaka lini?tuliwachagua mtuwakilishe matatizo leo ni upuuzi tu
Mlinga is best ever ....Kwan kaongea uongo hapo ? Genda NI muhimu Sana kuzingatiwa....
Mmmmh Aibu mno bunge la sasa...... Mmmmh mara kuchokonowa Duuuh hivi hizi kauli na mipasho ndyo tulivyowatuma. Mungu hakusaidie TANZANIAN
Hivi ndiyo bunge inafurahisha
yan nikitaka kucheka naingia zangu UA-cam natafta video za bungeni yan ni kama niko na kansiime live 😂😂😂😂😂😂😂😂
Km mimi dear😃😃😃
akiongea mlinga kaongea pumba wakiongea wengine Jambo hilohilo mnawaita magenious.... what a stupidity
fridge is my best friend when it's full of food
ongea ukweli
kilakitu mnaonewatu nyie nyumbu vipi
mijitu mingine bhanaa kama ........halima we songa mbele achana na huyo mla majan
Huyo Bekul ndio kalewa sasa wameshawachanganya vichwa vibovu, Huyu Mlinga ndo kabisaa hata lugha hajui ahahahaa
Masongatz_01 FC/0*'
Ndiomana ndugai atakaki mchezo maana hawa kama watoto vile
Wenye masikio tumemsikia Mlingwa na Halima.Mlingwa amechanganya mada
kumbe tulia ni.mwalimu wako.halafu unamuita kilaza hahaha.jabu sana kwa hiyo.mwalimu kakufundisha ukilaza
Wajinga nyie ndio tunawachagua nyie hakuna kitu
Bunge lilikuwa la moto mnoo😅😅😅😅😅😂😂😂
Muongo ww tumekuzoea angekuwa wa chadema ungeunga mkono kuwa amekosea acha upendeleo
Dah Naibu spika unachapa kaz sana 🤔🤔
mlinga una ubongo unaofanya kaz sana na unajua kucheza na akili za watu, mdee hakuwez kwa strong thnkng labda kwa matuc2
tuache upumbavu kwanini akiongea wa ccm ndiyo tatizo akisema wa chadema hata kama ni mwehu mnasema tu.
Mlinga itakuwa viti maalum, sidhani kama alipigiwa kura huyu!
Mlinga akuna mtuapo
kumbe mbowe ni form six zerooooooooo bashite
akiongea mlinga hovyo lakni akiongea mpinzani hata kama ni upuuz yes.....huu ni ujinga wa mawazo
Hakuna ccm anayeongea points hapo, alichosungumza mlinga kina faida gani kwa mfano?
if you listen carefully you will hear what mlinga says... kiukwel huyo jamaa akili nyingi sana...kawavuruga hapo wameshindwa kumuelewa...kagusa issue ya Nape mara kachange ghafla karud kwa Saanane , mbowe mara kubenea.... tunachokumbuka kaomba rami, daraja na shule zisajiliwe
😂😂😂 yuko vzur san huyu atapita 2020 bila jasho... lkn Kubenea atusaidie kuhusu Saanane jamn.
Nassari kalewa konyagi 😄😄😃😃😅
BurtonSat Shop
BurtonSat Shop
.
ninyi mlikulikuwa na uhakika na mkuu wa mkuu wa mkoa kutokuwa na vyeti. ....chadema wakiguswa hadi hurumaaa wanavyotoa milio
Huyu naibu mbn anapinga taarifa
Ndio Halima kusoma kuzuri Dada.
mulinga yupo sawa
Mweu tu uyu
Nyhama Pagi mbowe alipata division zero(0) form six(vi) Ihungo sekondari- Bukoba. Baada ya hapo akafanya kazi night club(bilicanas) akakwepa kulipa kodi majengo ya NHC hadi alipofilidiwa mali na kuondolewa hapo. Mbowe uenyekiti wake chadema aliupata kutoka kwa baba mkwe wake Edwin Mtei ambaye alianzisha chadema. Mbowe amejigeuza mfalme hataki uchaguzi hadi leo.
jmn embu tuachieni Mlinga wetu khaaaa Kwan vepeeeee sas kama kacngzwa acweke waz ili aeleweke inahuuu kuweka kitu moyon.
Baba komaa wakatujengee madaraja yetu na umesahau maji yamebeba mahindi njaaaaa 😢😢 wenyew tunakukubali hakuna cha kiki wala pumba
😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤
Aisha Abdion chokonn
kavaa viatu vya mama ake
daimondi panam
yani huyu mbunge mlinga kama anakuwa jimbon kwangu simchagui
kumbe mlinga unaongeaga point sometime well done
Mbna huwa anaongeaga
Kwaiyo mboe Ana zero
kwel nyie nyie ndio mliowashauri bongo movie waandamane, Goodluck unaweza ukawa ulkua unafaulu kuanzia kinda gate mpaka chuo kikuu ukatoka na jpa nzuri lakin usiwe na influence ya kutete hoja yako! unaweza ukawa umehtm fom four ukawa unaweza ukashawish wananchi zaid ya ww uliehitim chuo
Thomasi. Korneli
naibu spika kwa mtazamo kama anakiburi!! ila ukweli Huyu sister anajitahidi sana na ana busara sana
Yaap
Mbona mnamchokonoa Halima ?
kiingereza sasa cha kusoma unasua ivoo je kuongea si ndo kitakuuua
kikubwa vyeti anavyo ?
chanzo chafulug bungeni nikutozingatia utaratibu unaotakiwa 1 .Hakunanidham 2.Hawatoi hojakamaipasavyo bainayachama cha ccm nachadema inatakiwa wapingane kwapoint 3. Mheshimiwa naibsipika inatakiwa uendeshebunge kamainvyotakiwa 4.Kitukingine inatakiwa utaratub wabunge ufatwe msiendeshebunge kimzahamzaha!
humo ndani mkumbuke mnatumia kodi za wananchi
ƴani huƴu mlinga ameƙua ƙomedi ɓungeni siƴo mchangiaji
Hoja kali
Vyeo vya kupew mama kafa mpeni hana lolote
Ukiona mbunge anaongea pumba bungeni ujue hata waliomchagua nao ni pumba tu.
ukiona mbunge anaongea matusi ujue kachaguliwa na wavuta bangi na walevi.
Mlinga nikilaza haijawahi tokea chini ya jua.Naibu spika anaharibu bunge
kumbe mbowe nae ni six ziro ...haya.
Kuna bunge hapo
Alima ni jembe kubalin wadau
Changamoto tupuuu???mlinga un educated shida iko hapo sasa ndicho kilichopo katika mijadala ya bunge kwelii aisee!!!!ccm wanalopoka ujinga lakin hakuna anaetolewa njee ila so upinzani hii nch bana🚶🚶
Bunge letu hili
Mjinga ovyoooooo
huyu jamaaa hajawahi kuongea point hata siku moja zaidi ya nonsense na sizani kama alipita huko bungeni
mlinga weeeh ni less point huna jipya cjui waliokuchagua wamekutoa wapi weeeh ndo unaongoza kwa kulewa ndo maana huna point.kilaza mkubwa huna jipya
Winifrida Mungure opo sawa
Kwa kweli huyu mlinga chama kinatakiwa kimuangalie sana cdhani kama ni mtu sahihi
Katuni
Daaaaaah daaaaaaah bora hamuoneshi bunge live aiseeeeeeee bora makonda mmoja kuliko ujinga wenu bungeni.
ingawa sio wabunge wote pole sana mh naibu spika kuwaongoza haooo watu watakulaza na viatu kwa ujinga wao.
kumbe wananchi wako wana matatizo lukuki afu unatanguliza ujinga badala ya kuwatanguliza waliokutuma.
TUTABADILIKA LINI??
mmmh bunge letu la tanzania hili eeh Mungu tusaidie....wanamsumbua huyu mama jamani chaaaaaaaaa.
anaongea kama anaongea na watoto wa la kwanza kumbe watu wazima jamani.
Mpare Nakupendaaagaa sana Umeongea poa Halima,. Mlinga jiangalieeeeh Nini unaongea pumba kabisa
Me ni ccm but halima nampenda Sana..anaongea points kbs Tena with evidence
Sidharau bunge lakini nadharau wabunge,wanachokifanya mungeni nikuonyeshana mabavu ya kujua katiba na hila tu
MmHg! Halima nayee pumba vilevile. Mhe. Naibu Spika mbona naye kaelezea sasa.
Hajasagana tangu juzi
duh mlinga aeelewiii!!!!?je jimbo kwake jama walizingatia nn hadi kumchagua
Alirithishwa huyo
Walikosea sn
Hii ni aibu BUnge letu hakuna mpangilio kila mtu anapiga kelele wanatukanana hadharani tatizo hapa sio vyama ni system nzima... hata debate zetu za shule ya msingi hazikua na kelele zote hizi wala matusi kama hawa waliochaguliwa ku represent our image as a nation.. tuachane na ushabiki tufanye kazi
ssa dogo unaleta mbwembwe wakati jimbo lako lina matatizo lukuki .
naibu inaonekana upinzani anamkubali Halima peke yake
mlinga anatakiwa ajiunge comedy hana lolote
Acha unga we
Nasari kalewa
mlinga amnakitu
Hili ndilo bunge sasa
Wewe Halima huna hoja unatupotezea muda huna mpango wowote nenda KAPIKE
Mlinga ahsante kwakuwapa ukwel sema wenyewe kazi nikupinga tu
Hii ni chaos inayotokana na naibu kushindwa kudhibiti Bunge. Naibu anafurahia baadhi ya maneno yeye binafsi anageuka shabiki na kuharibu kazi ya kitaifa.
hawa bunge wa ccm wengi ni bendera hufwata upepo
Naibu spika nampenda sana
Raymond Felician
Safi sana.
kuna wanaume wa ccm hapo wana mambo ya kike eti 👌
hahaha...safi sana hii! :)
Jamani bungeni wanachokonoana kumbe , alomchokonoa mdee ninani tena
Unacho ongea molinga unakielewa kwel?
Kumbe na mwenyekiti wa chadema ana ZERO Hahahaha
yeye hata akiwa form six zeroo afadhali maana kasomea jina lake lakini siyo kwa kusomea majina yawatu
Nani kasema ana zero, bora yeye ana zero tena six kuliko hao wenye zero tena lasaba na jina sio lake😏😏😏😏
Dah amakweli kazi ipo huyo ni naibu speaker sio bhana
jamani Hawa wabunge wetu wanapenda kuendekeza mambo yaliyopita badala watumie fursa kutuwakilisha vyema wananchi wao wanazungumzia mambo yaliyopita wanabore
Huyo mwenyekit wenu phd kaipata lini na WAP😏😏😏 yani wakaz Wa ulanga nawahurumiaaaaa maana co kwa kilaza hicho.
Umenifurahisha
Umenifurahisha wabunge bado tusifanye makosa 2020
Halimaaa
Yaniiii mbunge haelewek anataka kuongeaa nn mara maswala ya jimboni kwake mara upinzani Yanii haelewek anazungumzia nin Hana point kbsaaa
halima mdee ongea kweli katka hilo
Mlinga oyooo hahaha
kumbe mbowe ni form six zerooooooooo bashite
hakika bunge ingekuwa live tungefikia pabaya. lkn in normal sense kwel kuna kanuni zinafatwa kuruhusu miongozo na taarifa bungen? na je kama zipo zinzfatwa ? mm kiukwel napata waswas
Huyo kichwani hamna lolote Mlinga
huyu mlinga pumba tupu hakuna kitu kichwani..
yaan huyu mlinga hakna kitu hawa ndo walioshinda kwa gori lamkono yaani duh
yaan huyu mlinga hakna kitu hawa ndo walioshinda kwa gori lamkono yaani duh
yaan huyu mlinga hakna kitu hawa ndo walioshinda kwa gori lamkono yaani duh
Milinga kajikoroga
mlinga zero nyingine kama zero nyingine kwakwwli
hii battle imekolea..
halima miaka 10 nyuma ilikuwa unaongea vzr na kutoa hoja nzito hadi tunakupenda ila sasa kazi yenu ni kutoa hoja na kupinga tu aaaaaaah mnaboa
Kumbe kusema uongo ni kosa mbona hawa upinzani wanaongeaga uongo
TUTAKUMISS SANA HALIMA MDEE....BUNGE LITAPOOZA SANA
form six zero lakini anawapeleka mchakamchaka mpaka mnakosa usingizi
Happyness Shayo
😄😄😄😄
hao wanao zomea ni vibaka. endelea mdee
Umeona eee
bunge hili rubish bora wakati wa piusu msekwa wabunge wote wahuni
hamna kitu hapo nafasi yenyewe amekaimu kwa mamake yake marehemu kapewa kura ya huruma kwa angekuwa chokoraa