Mke wa Maalim Seif azungumzia pengo la mume wake.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • Wiki hii, Tanzania bara na visiwani Zanzibar itaadhimisha mwaka mmoja tangu kufariki kwa kiongozi na mwanasiasa mashuhuri katika siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad.
    -
    Huku kukiwa na maandalizi ya siku yake ya kufariki ambayo ni Februari 17, mwandishi wetu Aboubakar Famau amemtembelea mke wake maarufu kama mama Aweina na kufanya nae mahojiano nyumbani kwake Unguja na kwanza alimuuliza ni kitu gani hasa ambacho wanamkumbuka nacho Maalim licha ya kwamba hamko nao?
    #bbcswahili #zanzibar #tanzania

КОМЕНТАРІ • 31

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 5 місяців тому

    Mama yetu bi Awena Allah akuhifazi nyote familia ss bado tuko pamoja naww inshaallah ipo siku juhudi za kipenz chetu malim sefu itatimia kwa om inshaallah

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 2 роки тому +7

    Allah ampe kila la kher na alifanye kabur lake liwe moja katika bustani za peponi ya rabb

  • @maimunashaban9538
    @maimunashaban9538 2 роки тому

    Kweli kabisa

  • @saidmselem6605
    @saidmselem6605 2 роки тому +7

    Alihhamdu lillah kilanionapo akitajwa mtuhuyu maalim sefu machoyangu humiminikwa na machozi miaka 20 niliomfahamu aliniingiasana moyoni kwangu niliamini mawazo yake fikrazake nautu aliokuwanao kuwa nimtumuhimu kwajamii ya watu wa Zanzibar mungu amrehemu sikumoja tutayatimiza alioyaanzisha isha Allah

    • @ummusamira3518
      @ummusamira3518 2 роки тому

      Pole sana hilo ni donda la maisha halipoi kwa wazanzibar tuliowengi
      Amin yarabi takabali dua

    • @hemedali7057
      @hemedali7057 2 роки тому +1

      😭😭😭🙏🙏🙏

    • @mundhiribrahim6292
      @mundhiribrahim6292 2 роки тому

      Kazi ya allwah haina makosa lakini maalim katuwachia simazi jamani tunaona Kama kaishi sikukidogo tu mm naumiya nilisikiya hata sauti yake bi awena nakuhisi una machungu sisi hivi je wewe

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 роки тому +5

    Mama wa taifa.la wa zanzibar people for rever we miss maalim seif sheriff hamadi

  • @shamisahmed1425
    @shamisahmed1425 2 роки тому +3

    Watu aina ya Maalim Seif huendelea kuishi hata baada ya mauti yao!..huwa hawafi!

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 2 роки тому +7

    Kwa hakika atakumbukwa kwa Mchango wake mkubwa, Allah amrehem huko alipo ameen!!

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 2 роки тому

    Alhamdulillah bint Masoud sinani uko vizuri tumuombee dua baba wa taifa la zanzibar

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 роки тому +4

    Mm nikikumbuka maalim nahis kama ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu wazanzibari ambayo hatukuitumia vizur inavyostahili

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 2 роки тому

      tutamkumbuka daima kipenzi chetu Allah kampenda zaidi tumkumbuke kwenye dua zetu tujitahid kila tukisali

    • @swahifaabdijuma2782
      @swahifaabdijuma2782 2 роки тому +1

      Kweliii umeongea kabisaa.
      Walomdhulumu na hawakumuomna radhi Ipo sku watajutaa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому +5

    Subra ndiyo nguzo yako Mama

  • @zainabkombo1724
    @zainabkombo1724 2 роки тому

    Innallillah wainailah rajiun kwa kwel tumepoteza kiongozi shupavu wala hawezi kutokea tn km maalim seif nuru Allah aliompa ni ya kipekee....pole Aunty Awena tunalia sote mm juzi nimeenda kaburin kwake kwa kweli hali ilikua ngumu unauhusu moyo unashindwa kuhimil uzito wa kulala kwake ple

  • @abdullahomarabdullah6921
    @abdullahomarabdullah6921 2 роки тому +1

    Allah amraham na atuzidishie subra kwa hakika Maalim n zaidi ya kiongozi...

  • @issamohd1688
    @issamohd1688 2 роки тому +3

    Allah awepe subra inshaallah

  • @khalfansuleiman6206
    @khalfansuleiman6206 2 роки тому

    ALLAAHUMMA GHFIRLAHU WARHAMHU....

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 2 роки тому +1

    Mama mzur pamoja Na mume wake

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 2 роки тому +1

    Yoot ulio ongea mama Wetu ni kweli

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 роки тому

    😥😥😥

  • @w4058
    @w4058 2 роки тому +1

    Naaam sawa sawa sawa

  • @a.856
    @a.856 2 роки тому +1

    Allah amlaze pema na wema... amin

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 2 роки тому

    Yaani imetuondokea tunu wengi kila tutakukumbuka tunaumia sana mioyoni mwetu