271190 جاء في "صحيح البخاري" عن أبي بكرة أنه قال:" لما بلغ النبي صلى الله عليه وسلم أن فارسا ملكوا ابنة كسرى قال: ( لن يفلح قوم ولوا أمرهم امرأة) ، اخوكم من الصومال
Mama mjifunze hapo Oman nchi kavu jangwa inayotegemea petrol lkn ina uchumi mzuri miundo mbinu mizuri Pesa stable inayozidi thamani dola na Euro kwa miaka mingi sana,kusafi kuzuri hakuna rushwa huduma za faya pia wako vzr sana ...sisi tunakila kitu madini mengiiii tunawazidi na nchi yetu kubwaaaa kuliko wao lkn NCHI yetu hufananishi na Oman hata kidogo ..mjiulize Jua Kali hapo joto Kali hapo lkn Ac kila NYUMBA na umeme haukatiki.basi sisi tuhamie oman wao waje hapa wakae miaka 50 wabadili kisha sisi turudi.
Sahihi kabisaa lakini kumbuka ukitaka kujenga nyumba madhubuti lazima iaziye kwenye msingi kwanza ndio nyumba itakuwa madhubuti sasa tz hao viongozi wenyewe ndio wamwanzo wa kuihujumu nchi vipi tutasonga mbele nawala hofu ya Mungu hawana kabisaa ndiokwaanzaa wanahofu ya kupungua malizao nakufilisika wapo imara kuiba hata mtu akiwa swalihina vipii lakini nikiongozi mwizi hatusongi mbele na fitna ndio haisemekii huko Muhimbili ndio balaa mgonjwa ukienda majina lingine maiti sababu pesahuna utashangaa ndio inaitwa hospital kubwaa Mungu tuteteee walalahoi sasahivii ndio wanakifanyia wanavyotaka wao
Two African's kidney was stolen in Jordan....... Alot of innocent Africans who come to work in your country are being killed and tortured mercyless every day by you people . Does Allah accept this? Does Islamic teach us to do that? BLACK OR WHITE.... MUSLIM OR CHRISTIANS ARE ONE PEOPLE WORSHIPING ONE GOD IN THIS WORLD! May Allah forgive you people because YOU do not know what you are doing! ("CLEAN OUTSIDE BUT INSIDE ARE EVIL AND WICKED!")😭😭😭😭
Dah Kama kugekua na tunzo ya kuzurura huyu mama ageshida huo urimbukeni unafuja pesa za walipa Kodi jitaidi umpite kikwete kwa kutembea uchukue tuzo uvuje rekodi
Na bado sio wewe tu yupo mtu alimkejeli Magufuli alimuita majina yote mabaya, na alipokufa alifurahi sana cha kustaajabisha amerudi Tanzania amekaa miezi mitano tu ameondoka juzi tumekutana cha kwanza kuniambia ni nakisikia bibaya sana mpaka sasa, Magufuli kweli alifanya kazi kubwa sana na mpaka leo angekuwepo Tungekuwa mbali sana maana nimetembwa Tanzania nimeona alikuwa na nia njema mno na Tanzania.
Wacha Ujinga kwani yeye ndio wakwanza Raisi wa Tanzania kwenda Oman Nyerere alipo kwenda muliuzwa Kikwete chuki zenu kwa Samia tu roho mbaya na ujinga uliopindukia ndio zilokugandeni
Chuki Yako Kwa aiwezi fanya wote tumchukie Amefanya kazi kubwa sana na anajitahid mnooo ukitaka kujua Ilo jaribu kuwaza Angekuwa Mama Yako Angeweza usisahau Kama yeye ni Mwanamke ukipata jibu litunze .
Moaka aimalize dunia yaani aisee kiukweli alikuwa hajafaidi ndege Sasa anazifaidi na kwa kuwa no mwanamke kila nchi itamwita sisi nhoja tuangalie tuu mwezi tz mwezi ulayaa
Huyu mama anaimaliza hii nchi, unaweza kukuta huyu mama si Raia wa Tanzanie,, jeshi mtusaidie mali za nchi, anazilimaliza, mbona marais wenzake hawaji tanzanie,toka kawa Rais
Kwakweli mapokezi yaliyofanywa ni mazuri sana tena sana tunamwombea RAIS WETU MAMA SAMIA MWENYEZI MUNGU MPATIE HEKIMA ZOOOTE AWAPATE WATU MASHUHURI KWETU KUFANYA YALE WALIYOKUBALIA .MUNGU WALINDE VYEMA VIONGOZI WOOOTE WARUDI SALAMA .
Mimi ni muoman nime changanyika na mtanzania. Naipenda sana Tanzania. Naipenda sana Oman. Kote ni kwetu. Naziombea dua hizi nchi mbili, tupendane na tuelewane. Na tuwe na subira. Tanzania itainuka tu. Kwa uwezo wa ALLAH. Sichagui, cbagui. Nawapenda wote. 💕🇹🇿🇴🇲
@@jitukorofi9517 ifunguliwe na nini kwa kusafiri nchi za watu kila siku anafata nini kwenye nchi za watu anaacha kutatua matatizo ya nchi yake ana kazi ya kusafiri au aliteuliwa ili awe mtalii wa nchi za watu.
Two African's kidney was stolen in Jordan....... Alot of innocent Africans who come to work in your country are being killed and tortured mercyless every day by you people . Does Allah accept this? Does Islamic teach us to do that? BLACK OR WHITE.... MUSLIM OR CHRISTIANS ARE ONE PEOPLE WORSHIPING ONE GOD IN THIS WORLD! May Allah forgive you people because YOU do not know what you are doing! ("CLEAN OUTSIDE BUT INSIDE ARE EVIL AND WICKED!")😭😭😭😭
Mama Kaenda marekan alivopokelewa na wapambe tu ata eshima ajapewa kama omani wapende wanaokupenda napia uwongee na mfalme. Visa ziwe wazi nanyie msitubanie uwanja wa ndege mtuache tuje kupambana na maisha yetu
Wrong heading. Kabla hujaandia make sure unaandika correct, hujui uliza. Oman hakuna President ni Sultan. Halafu umeweka picha Qaboos ambaye amefariki karibu miaka 2 sasa.
Mfunguliwe muanze kutukana watu mseme mnateswa mnabakwa mnachinjwa nakuibiwa mafigo sio bora hivi walivyofunga mtapumzika makwenu jamani mbona kazi nyingi biashara ipo fanyeni muishi kwa amani
@@m.mmarckus6298 yangu manini mkipewa ukweli mnahamaki wakati matusi mpaka balozi kayaskia hakuna muoman alojibu walikaa kimya ulimwengu mzima wameskia kashfa na matusi walotukanwa wa Oman kwahiyo mama Samia awaombee msamaha au vp maana hata yy ameskia yote ya mitandaoni.sasa jibu la mwarabu ndio kiboko amewafungia hakutaka nchi ichafuliwe ndio mana hakuna mtu alojibu matusi na rizki popote ipo km mungu ameandika upate Oman mbona uvumilivu hamna midomo tu kutukana watu.
@@m.mmarckus6298 sasa Oman hawataki matatizo walishafanya ubinaadam wakaingiza kila kabila matokeo yake wameyaona unadhani watafunguwa kuingia wafanyakazi wa nyumba hivi kumefungwa bado matusi yanaendelea ingekuwa mwarabu katukana mbona angesakwa akahukumiwa miaka 20 jela na fain juu na kipigo lakini Oman hawakutaka ushenzi jibu lao hilo safi sana
Wewe ndio una akili kwasababu unajibukitu ambacho kikowazi yeye Raisi akisema waachwe waishi uko akuna polisi ataenda kupigana nawamasai lakiniwewe inaonyesha ujuimamlaka ya Raisi ndiounajibukijinga
271190
جاء في "صحيح البخاري" عن أبي بكرة أنه قال:" لما بلغ النبي صلى الله عليه وسلم أن فارسا ملكوا ابنة كسرى قال: ( لن يفلح قوم ولوا أمرهم امرأة) ،
اخوكم من الصومال
Am proud of you mama ❤ am not tannzanian am from kenya but thnx for visiting us and all Africans
❤
Mashaallah tabaraka rahman Mwenyezi Mungu
Subhan allah. Alhamdo. Lillah. Allah. Ho. Akbar. Duaa. From. India.
Mama mjifunze hapo Oman nchi kavu jangwa inayotegemea petrol lkn ina uchumi mzuri miundo mbinu mizuri Pesa stable inayozidi thamani dola na Euro kwa miaka mingi sana,kusafi kuzuri hakuna rushwa huduma za faya pia wako vzr sana ...sisi tunakila kitu madini mengiiii tunawazidi na nchi yetu kubwaaaa kuliko wao lkn NCHI yetu hufananishi na Oman hata kidogo ..mjiulize Jua Kali hapo joto Kali hapo lkn Ac kila NYUMBA na umeme haukatiki.basi sisi tuhamie oman wao waje hapa wakae miaka 50 wabadili kisha sisi turudi.
😂😂😂😂😂
Oman nchi tajiri sana waoman wa nataka kufanya kazi baridi lko miezi 6 joto miezi 6 umeme upo hana wasi wasi
Unadhan petrol na tende ni uchumi mdogo oman yote ni mafuta jangwa ni mafuta lote hamuwafiki waoman Tanzania hamna ishu
Ushafanya tathmini vizur mafuta yao na hayo madini yenu?
Sahihi kabisaa lakini kumbuka ukitaka kujenga nyumba madhubuti lazima iaziye kwenye msingi kwanza ndio nyumba itakuwa madhubuti sasa tz hao viongozi wenyewe ndio wamwanzo wa kuihujumu nchi vipi tutasonga mbele nawala hofu ya Mungu hawana kabisaa ndiokwaanzaa wanahofu ya kupungua malizao nakufilisika wapo imara kuiba hata mtu akiwa swalihina vipii lakini nikiongozi mwizi hatusongi mbele na fitna ndio haisemekii huko Muhimbili ndio balaa mgonjwa ukienda majina lingine maiti sababu pesahuna utashangaa ndio inaitwa hospital kubwaa Mungu tuteteee walalahoi sasahivii ndio wanakifanyia wanavyotaka wao
Reconnecting back Tanzania to the world 🌎🌍 congregations your excellency
Still the country goes worst the gaslione up, panya road up, ngoro crasis , people crying of hard life , etc
Mama nenda nao vizur hao utafaidika na nchi yko wao ni watu wazur hata wametajwa kwenye hadithi za mtume
S.a.w
I love so much Mama yangu I'm from Uganda. Ugandan Tanzanian.
Two African's kidney was stolen in Jordan....... Alot of innocent Africans who come to work in your country are being killed and tortured mercyless every day by you people . Does Allah accept this? Does Islamic teach us to do that? BLACK OR WHITE.... MUSLIM OR CHRISTIANS ARE ONE PEOPLE WORSHIPING ONE GOD IN THIS WORLD! May Allah forgive you people because YOU do not know what you are doing! ("CLEAN OUTSIDE BUT INSIDE ARE EVIL AND WICKED!")😭😭😭😭
Sema kile umependa au anavyoruka mipaka ndio unapenda tutajie unayovutiwa nayo kwake
@@elizabethpetro1258 I like everything about her Elizabeth.
@@sknapoleonshoo3145 shoo who said that I'm from Jordan ?
Yetu macho ila yana mwisho doctor john akuwahi kwenda kokote jamani kwanza ni garama huku watu wanakula mlo mmoja mafuta bei IPO juu
Kwa viegezo vya mtume (saw) haitakiwi mtu ambae si maharim kumpa mkono na nikuvuka mipaka allah atuhifadhi
Yani mtihani
Tafuta hela wewe
Acha ujinga kka huyo ni Rais na ameruhusiwa awasalimie wenyeji wao
@@aoman5214 ww Muislam lakini?
Kazi mnayo ndugu zetu.
Mashaallah mashaallah karibu sana mamaetu kipenzi cha watu wotee
Karibu omani mama yetu raisi wetu
Nakupenda sana mama samia you are really Mom ❤️
Masha Allah karibu mama sie tuko na waoman tunaishi kama home🇴🇲🇹🇿
Karibu Oman🇴🇲mama Samia🇹🇿💕
Ñjooo tuteee mama wanao wadogozako
Asante sana.
@@hawaamohammed6687 akutete nini
Poleni Wamasai Ngorongoro
Oman 🇴🇲 hakuna rais kuna mfalme kwahio kapokewa na mfalme 😄 🤣 😂 😆
Sultan
Sultan pia wanamuita rais Habbty
🤣🤣
You all looking for weaknesses
Mashaallah mama piga kazi
Mungu akutangulie kwa kila hatua mama Samia uongozi si lele mama
Pamoja
Tumependa rais samiya suluh kusifia inchi yetu oman mungu amzidishie upendo oman na tanzania karibu tena oman
Oman sio rais ni Sultan kwa lugha nyepisi Mfalme na picha ya sulta Qabus kesha fariki sasa sultan Haitham🙋🏻
Hii media ya kipumbavu sana studio zake zinajua mipasho na kunengua tu!
@@karyori69 yahni
@@karyori69 wewe mjinga
@@alialamoudi9729 sasa unabisha? Juzi kapandisha mtu mashetani studio!
@@karyori69 🤣🤣🤣🤣
Mashallah Allah mlinde kipenzi changu rais wangu ninaempenda mama Samia suluhu hassan I love you very much my president 🥰
Karibu mama i hope kesho tutakuwa sote Albustan maapema sana utatukuta pale
Wasafi ni media kubwa lakn mna baadhi ya waandishi wa hovyo sana wenye uelewa mdogo sana sana, OMAN ina RAIS..!????
Aibu sana hii
🤣🤣🤣
Waandishi wa mchongo
@@josephstephen1079 hahahaa
Huyo rais samia na wa honyo
No one perfect
Dah Kama kugekua na tunzo ya kuzurura huyu mama ageshida huo urimbukeni unafuja pesa za walipa Kodi jitaidi umpite kikwete kwa kutembea uchukue tuzo uvuje rekodi
Wee pumbafu sana..kiongozi akialikwa analipiwa kila kitu hatoi pesa yako hata senti..
Wa oman ni watu wema sana mimi nlifanya kazi huko maskat NA nchi ina uchumi watafanya kazi NA wa naye ujuzi NA uaminifu
@@mzuvendi sawa kabisa
Mashallah💖💖
Tunauzwa tu..kweli mwenda zake tulisema ni mmbaya lakini sasa ndo akili yangu inafunguka kuona haya
Na bado sio wewe tu yupo mtu alimkejeli Magufuli alimuita majina yote mabaya, na alipokufa alifurahi sana cha kustaajabisha amerudi Tanzania amekaa miezi mitano tu ameondoka juzi tumekutana cha kwanza kuniambia ni nakisikia bibaya sana mpaka sasa, Magufuli kweli alifanya kazi kubwa sana na mpaka leo angekuwepo Tungekuwa mbali sana maana nimetembwa Tanzania nimeona alikuwa na nia njema mno na Tanzania.
Wacha Ujinga kwani yeye ndio wakwanza Raisi wa Tanzania kwenda Oman Nyerere alipo kwenda muliuzwa Kikwete chuki zenu kwa Samia tu roho mbaya na ujinga uliopindukia ndio zilokugandeni
Unauzwa umekuwa kahaba
Chuki Yako Kwa aiwezi fanya wote tumchukie Amefanya kazi kubwa sana na anajitahid mnooo ukitaka kujua Ilo jaribu kuwaza Angekuwa Mama Yako Angeweza usisahau Kama yeye ni Mwanamke ukipata jibu litunze .
@@mustaphahassan589 😃😃😃
Mungu afanye wepesi kwa kile kilicho mleta walah
Ayaaaaa,magu alikuwa anawatesa kumbe ss safari Kama zote jitaidi mama utapita kikwete🇹🇿🇹🇿🌹🌹🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🤓
Moaka aimalize dunia yaani aisee kiukweli alikuwa hajafaidi ndege Sasa anazifaidi na kwa kuwa no mwanamke kila nchi itamwita sisi nhoja tuangalie tuu mwezi tz mwezi ulayaa
Kwa kuwa waarabu wenzie hakina korona huko hakuna barakoa ila watz kila Kona aliko anavaa barakoa
Acheni kutaja wafu
Karibu mama tupo uku Oman Inshalaah kesho tutakua pamoja
Naangalia nikiwa Iraq ❤️
Ambae hajui kiarabu aniambie nimtafsirie mazee hii lugha ni Tamu kuliko kizungu
Ebu tulia wataangaliq
Mimi apa sijui
Enatosha kwamba mtume mohamed lugha yake kiyarabu NA ameteremshiwa gruani kwa kiyarabu
Huyu mama anaimaliza hii nchi, unaweza kukuta huyu mama si Raia wa Tanzanie,, jeshi mtusaidie mali za nchi, anazilimaliza, mbona marais wenzake hawaji tanzanie,toka kawa Rais
Matope no sense
Waje wapewe nini, yy hapo haondoki bure
Mali z nchi gani Tanganyika or Zanzibar 🤣😅
akili za matako
Tuache chuki binafsi, mama kazi iendelee kama si raia basi ccm hawana akili kumtafuta mgeni na kumpa uongozi.
Kwakweli mapokezi yaliyofanywa ni mazuri sana tena sana tunamwombea RAIS WETU MAMA SAMIA MWENYEZI MUNGU MPATIE HEKIMA ZOOOTE AWAPATE WATU MASHUHURI KWETU KUFANYA YALE WALIYOKUBALIA .MUNGU WALINDE VYEMA VIONGOZI WOOOTE WARUDI SALAMA .
Mama kaja Alhamdulillah
Mimi ni muoman nime changanyika na mtanzania. Naipenda sana Tanzania. Naipenda sana Oman. Kote ni kwetu. Naziombea dua hizi nchi mbili, tupendane na tuelewane. Na tuwe na subira. Tanzania itainuka tu. Kwa uwezo wa ALLAH. Sichagui, cbagui. Nawapenda wote. 💕🇹🇿🇴🇲
Very good In Shaa Allah
Wellcome mama yetu Samia Suluhu
Big up mama
Mama shikana na Prof Wajahkoya mfanye kazi kwa kuondoa Corruption East Africa na Africa mzima
Maashaallah mama yetu
Karibu mama yetu mpendwa
They have history of sayyid saeed
Huku hakuna rais kuña sultan karibu sana mama etu tunafurah kukuona nchin oman pia karibu
mashallah ❤
Wamasai umeenda kuwauza ww
Masha alaah Mama Samiya izi nifura
Watu wanateseka alafu wewe una safiri mdaa wote mama pesa za wananchi mama
Unateseka kwa shida zako wacha nchi ifunguliwe
Kwani kabla ya 2021 uliokua unakula raha au ulikua milionea
@@jitukorofi9517 ifunguliwe na nini kwa kusafiri nchi za watu kila siku anafata nini kwenye nchi za watu anaacha kutatua matatizo ya nchi yake ana kazi ya kusafiri au aliteuliwa ili awe mtalii wa nchi za watu.
@@cheupesewing3549 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Najiuliza TU why wenyewe wasije??
Two African's kidney was stolen in Jordan....... Alot of innocent Africans who come to work in your country are being killed and tortured mercyless every day by you people . Does Allah accept this? Does Islamic teach us to do that? BLACK OR WHITE.... MUSLIM OR CHRISTIANS ARE ONE PEOPLE WORSHIPING ONE GOD IN THIS WORLD! May Allah forgive you people because YOU do not know what you are doing! ("CLEAN OUTSIDE BUT INSIDE ARE EVIL AND WICKED!")😭😭😭😭
Karibu saana mama Samia Suluhu Hassan na ujumbe wako
Wamenifrasha kitu kimoja tu hawajavaa barakoa saaaafi imani
Duh naomba siku Moja niwe raisi hata kwa ndoto Ili nione watakavyo kuwa wananipokea pokea😀
😂😂😂ila wew🖖
Oman si Rais ni Sultan ambaye kavuka level ya mfalme.
Wao wote waislam wanapeana mikono na mwanamke kwa sheria ipi ya kiislam au ndio serikali haina dini???
Ndio serikali haina dini
Mashalla samiya
Mashallah
Tunakutakia kila la heri mh Rais wetu Mama SSH
Waooo mama samia kalibu xana🤣😘😘😘
Mama kakuja 😍😍tukutane kesho kuleee💃💃
Jamn mtuwakilishe wengine tusiowezakufika
@@rahelifredrick8460 ucjal nitakuchulia na soda yako😂😂
🇮🇳🇮🇳INDIA
Sio rais wa oman
Wenzetu wana Mfalme
Nasiye watt wako tunajambo letu mama
MashaallaBadshaSIANATH
AlAmeem
Aiss
Aiss
Aiss
Aiss
Ponda pesa za walipa kodi mama kufa kwaja
😬😬😬
Tija ya hizi ziara ipo kweli? Maana life linazidi kuwa gumu
Mama anaupiga mwingi
Waarbu ni matajiri ache alete pesa kaka
Hiyo picha uloiweka ni Marehemu Sultan na sio ya Sultan wa sasa aibu tupu kwakweli kwenu
Mbona barkoa sizioni ila tz Mibarakoa kila pahara hapo sijaona
Mama Kaenda marekan alivopokelewa na wapambe tu ata eshima ajapewa kama omani wapende wanaokupenda napia uwongee na mfalme. Visa ziwe wazi nanyie msitubanie uwanja wa ndege mtuache tuje kupambana na maisha yetu
Wapemba na wa Oman ni wa moja.
Zinjiibar zinjiibar.
Wrong heading. Kabla hujaandia make sure unaandika correct, hujui uliza. Oman hakuna President ni Sultan. Halafu umeweka picha Qaboos ambaye amefariki karibu miaka 2 sasa.
Duh.. Sijui Huku mikoani atakuja Lini? Kweli Royo Tua
Ila mwanahabari hiyo picha umeweka ya marehem kaboos Sasa ni haitham
Ziala nyingi mbona! hatutapigwa mnada kweli.
Kapokelewa na Raisi au mfalme wa Oman nyinyi waandishi vipiii
Awajasoma Ni baba kanituma wote
Masha Allah bola myamalize mipaka ifunguliwe me nimefulah sana mama kwenda oman
Yaani hicho ndoninachoomba mm .asiondoke bila kuliangalia hilo jamn.nahuo mkutano hili liwepo
Mfunguliwe muanze kutukana watu mseme mnateswa mnabakwa mnachinjwa nakuibiwa mafigo sio bora hivi walivyofunga mtapumzika makwenu jamani mbona kazi nyingi biashara ipo fanyeni muishi kwa amani
@@mamialsawafi8020 hayo ni yako siyo yetu.pia kila mtu kaandikiwa akatafute wapi ridhiki
@@m.mmarckus6298 yangu manini mkipewa ukweli mnahamaki wakati matusi mpaka balozi kayaskia hakuna muoman alojibu walikaa kimya ulimwengu mzima wameskia kashfa na matusi walotukanwa wa Oman kwahiyo mama Samia awaombee msamaha au vp maana hata yy ameskia yote ya mitandaoni.sasa jibu la mwarabu ndio kiboko amewafungia hakutaka nchi ichafuliwe ndio mana hakuna mtu alojibu matusi na rizki popote ipo km mungu ameandika upate Oman mbona uvumilivu hamna midomo tu kutukana watu.
@@m.mmarckus6298 sasa Oman hawataki matatizo walishafanya ubinaadam wakaingiza kila kabila matokeo yake wameyaona unadhani watafunguwa kuingia wafanyakazi wa nyumba hivi kumefungwa bado matusi yanaendelea ingekuwa mwarabu katukana mbona angesakwa akahukumiwa miaka 20 jela na fain juu na kipigo lakini Oman hawakutaka ushenzi jibu lao hilo safi sana
Mm haya bana
Umeuwa wananchi wetu kwaajili ya waarabu. Wewe zunguka tuu
Oman ni nchi tajiri duniani mwache alete pesa kaka
Mwambieni atutembelee hata huku kwetu moshi marangu ajue pia Tanzania kidogo
Imani hakuna raisi
Oman kuna sultan na sio rais na uyo ulomueka hapo Kwenye picha ya mbele teal ni marehemu ungemueka sultan wa ssa ingependeza zaid
Qaboos ni wa mbele kuweka daima
Wote ni sawa tu, hata Oman kwenyewe hawaondoi picha ya mfalme Qaboos.
Eeh kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪 kwa kweli rais Samia ametembea hope 2025 mtamrudisha kumalizia safari
😳😃
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😬😬😬😬
Mmandishi..Oman haina Rais
Ni Falme ao Sultan
Apo wakuona kama mtumwa tu watamani wakakuuze kwa wazungu
Heshima hio hakuipata huko kwa wazungu
haya haya wazururaji
Sisi oman tuna ufarume sio ulaisi bhana...mimi mwomani
Sema sultani wa oman sio laisi wa oman
Muandishi Raisi wa oman uliwah kumuona wapi
Oman ina Rais? Ama kweli kuna satu vilaza. Just simple research
Karibu mom
Mama ilikua uvae baibui moja Kali sana
Mama inabidii uje na huku Saudi Arabia
Thanks for respect Oman ungeanza na hawa marekani alipokelewa na wadau wa utalii hahahaha
Hawana adabu hao wa amrika hawakumpokea NA rsisi wao
Ila sultan haitham sio kwa mishavu hiyo 😂😂😂kama. Umeficha tende😉😉😉😉welcome. Mama. Samia wetu wnao tupo tunapambana na haliz zetu
Mama
Kumbe Oman Ina Raisi?
🇮🇳🇴🇲🇸🇦BadshaMashaalla
Awo unaowatembelea watakuja lini nchini kwako mama
Kwakweli huuni uzuni watu wanakufa ngoro ngoro mkubwaanazunguka kwawaarabu watu wabaya
Ulitak Rais akashike mtutu au Kwan Rais mwenyewe ndie kkongozi yaan nyie akili hakuna
Wewe ndio una akili kwasababu unajibukitu ambacho kikowazi yeye Raisi akisema waachwe waishi uko akuna polisi ataenda kupigana nawamasai lakiniwewe inaonyesha ujuimamlaka ya Raisi ndiounajibukijinga
Amends Nyumbani huyo
Karibu mama Samia tumefurahi kujakututembelea. Lakini nikiwa kama ni ndugu yako muislam nakusihi uveye baibu ungependeza zaid
Yah angependeza sana wangeonekana kama mfalme na malkia
Avae baibui kwani kaja kutangaza dini.
@@mbaroukhamza8508 hahahaha bora umemjibu ana kiherehere sana
Umesikia kaja matangani au kaja kufanya kazi iliyomleta na kurudi
shamba kama nini hili nungu nungu
Kwanin wanaburuza bendera chini
Hatuna mtu hapo
wasafi media mbona mnaweka picha ya Sultan Qaboos aliyefariki 2020! sasa hivi kiongozi wa nchi ya Oman ni Haitham Tarik..
5