Tatizo la Yanga ni kutaka kucheza na akili za viongozi wa Simba. Walifanikiwa kiasi msimu uliopita kwa sasa wanajua wamerudi watu wenye akili nyingi hivyo wanajaribu wanashindwa
Sasa Simba karudi nani mwenye akili nyingi? Na nani katoka mwenye akili kidogo? Yanga GSM hajaenda kutafuta Wachezaji mwenyewe, Lakini Simba MO yeye mwenyewe kaenda sokoni, Je tuseme hawaaminiani?
Sio kweli flavian nakataa kwani okra kinachosababisha aachwe ni nidham nasio kwamba hana uwezo mzuli uwanjani
Ocra anakipaji kukubwa
Na aliyemleta jobe je??
Tatizo la Yanga ni kutaka kucheza na akili za viongozi wa Simba. Walifanikiwa kiasi msimu uliopita kwa sasa wanajua wamerudi watu wenye akili nyingi hivyo wanajaribu wanashindwa
Sasa Simba karudi nani mwenye akili nyingi? Na nani katoka mwenye akili kidogo? Yanga GSM hajaenda kutafuta Wachezaji mwenyewe, Lakini Simba MO yeye mwenyewe kaenda sokoni, Je tuseme hawaaminiani?
ebbychipo8010 kwani wewe simba saido hakuwa makombo
Yanga ni wala makombo ya simba
😂😂😂 kumchukua bernad Morrison, kumchukua saidoo sawa ila kusajiliwa Baleke na chama yanga makombooo