NONGWA ZA MSIMU (EP 02) | Mashabiki wacharuana ishu ya wachezaji kuuza mechi na kiwango cha Feitoto

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024
  • Azam TV
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 78

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 25 днів тому +7

    Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 24 дні тому +2

      Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 26 днів тому +3

    miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako

  • @kazembeally1619
    @kazembeally1619 25 днів тому +5

    Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 26 днів тому +3

    Wanauza mech wachezaji tena

  • @user-bj6lx9ss6n
    @user-bj6lx9ss6n 25 днів тому +1

    Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 25 днів тому +3

    Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.

  • @MoshiMrisho-e6m
    @MoshiMrisho-e6m 21 день тому +1

    😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 22 дні тому +2

    Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂

  • @MoiseMishenyimateranya
    @MoiseMishenyimateranya 21 день тому +1

    Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri

  • @sajigwelunogelominga2446
    @sajigwelunogelominga2446 26 днів тому +2

    Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 25 днів тому +2

    Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅

  • @osimtawa5392
    @osimtawa5392 26 днів тому +2

    Mzeee said 😅😅😅😅😅😅

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 21 день тому

    Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 17 днів тому

    Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c 26 днів тому +1

    Timu nzuri hii

  • @saidjuma-j3r
    @saidjuma-j3r 22 дні тому +1

    Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 25 днів тому +1

    Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 26 днів тому +2

    Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 19 днів тому

    Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo

  • @user-xz2vl8up5e
    @user-xz2vl8up5e 25 днів тому +1

    noma sana

  • @chiddmullo3241
    @chiddmullo3241 18 днів тому

    Oya milaji salut Sanaa kaka

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 26 днів тому +1

    Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,

  • @ToshNester
    @ToshNester 22 дні тому +1

    Hiki kipindi kizuri sana.

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 26 днів тому +1

    Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 25 днів тому +1

    Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 24 дні тому +2

    Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 21 день тому

      Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn 19 днів тому

    2nataka part3 dodi🎉🎉

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 21 день тому

    Huyo wa Azam bwege kweli

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 22 дні тому +1

    ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 25 днів тому +1

    Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.

  • @emasonindowo5321
    @emasonindowo5321 19 днів тому

    Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂

  • @jumaiddy441
    @jumaiddy441 25 днів тому +1

    Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza

  • @IddiHassan-mr3sb
    @IddiHassan-mr3sb 22 дні тому +1

    Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani

  • @jumaiddy441
    @jumaiddy441 25 днів тому +1

    Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 26 днів тому +2

    Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿

  • @ramadhanrashidmthailand9553
    @ramadhanrashidmthailand9553 22 дні тому +1

    Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha

  • @hassankumba6938
    @hassankumba6938 20 днів тому

    Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.

  • @user-ui4vt9vl6h
    @user-ui4vt9vl6h 21 день тому

    Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah

  • @enoshmhemakapaya
    @enoshmhemakapaya 18 днів тому

    Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 26 днів тому +7

    Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 26 днів тому +5

      Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu

    • @abelimaganga417
      @abelimaganga417 26 днів тому +1

      @@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 24 дні тому

      Acha matusi​@@abelimaganga417

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 20 днів тому

      god bwege tuu kaona simba

  • @user-ee8tm4du8h
    @user-ee8tm4du8h 22 дні тому +1

    Uyo anaongelea uxhabiki

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 21 день тому

      Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga

  • @user-hi6hf2wt1u
    @user-hi6hf2wt1u 22 дні тому

    😂😂😂😂😂😂 kimeumana

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 19 днів тому

    Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 19 днів тому

    Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha,
    Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 25 днів тому +1

    Unawatee Kwa sababu ww niyanga

  • @kaizerabilahi5958
    @kaizerabilahi5958 25 днів тому

    Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 26 днів тому +2

    Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira

    • @bone102
      @bone102 25 днів тому

      Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira

    • @abelimaganga417
      @abelimaganga417 25 днів тому

      @@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 25 днів тому +1

    Xavi mtupu

  • @BibeLunangela
    @BibeLunangela 25 днів тому +1

    Hakuna rushwa niku zidiwa

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 22 дні тому +1

    😂😂😂

  • @leeobite2507
    @leeobite2507 20 днів тому

    CJamuona mikoi kisugu hApo

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 26 днів тому +1

    Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka

  • @drallan6879
    @drallan6879 19 днів тому

    waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 19 днів тому

    Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 25 днів тому +1

    😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 25 днів тому +1

    Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.

  • @bone102
    @bone102 25 днів тому

    Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 24 дні тому +1

      Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?

  • @saidabdul832
    @saidabdul832 20 днів тому

    Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 25 днів тому

    Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu

    • @bone102
      @bone102 25 днів тому

      Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 24 дні тому

      ​@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 25 днів тому

    Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.