Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,
Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣
Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha, Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa
Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.
miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako
🤝🤝🤝🤝
Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.
Wanauza mech wachezaji tena
Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.
Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.
😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa
Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂
Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri
Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki
Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅
Mzeee said 😅😅😅😅😅😅
Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali
Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage
Timu nzuri hii
Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂
Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.
Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa
Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo
noma sana
Oya milaji salut Sanaa kaka
Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,
Hiki kipindi kizuri sana.
Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.
Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik
Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe
Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu
2nataka part3 dodi🎉🎉
Huyo wa Azam bwege kweli
ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui
Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.
Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂
Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza
Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani
Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli
Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿
Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha
Mm yanga ila uy God mpl aujui
Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.
Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah
Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa
Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa
Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu
@@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako
Acha matusi@@abelimaganga417
god bwege tuu kaona simba
Uyo anaongelea uxhabiki
Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga
😂😂😂😂😂😂 kimeumana
Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣
Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha,
Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu
Unawatee Kwa sababu ww niyanga
Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu
Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira
Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira
@@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu
Xavi mtupu
Hakuna rushwa niku zidiwa
😂😂😂
CJamuona mikoi kisugu hApo
Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka
Fei anadharauliw kwasababu hana passport ya nje
@@mussahamad404 passport ya nnje ni ipi hio
waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane
Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara
😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Exactly brooo❤❤❤
Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga
Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?
Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki
Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu
Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana
@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.