yaaan hata mm nikiwa na mwanamke aanze kuomba hela namuacha..Mwanamke wa kumpa hela inabidi awe mkewangu ndo namuhudumia. ila wamtaani hapana wana shida kibao.
Hana akili huyo mama hata kidogo yaan wewe sio wakupewa pole watu walioko nje wanazulimiwa na ndugu zao tumbo moja wewe ukaenda kumuhudumia bwana kweli dunia imeisha
Huy kaka nitapel wa mitandaon usikute alikuw anamlog uwez jua huy sio akili zake 😢aiwezekan mihela yot hiy vit vyot ivyo tumpe pole 2 me naumia km mm jaman
Sindomana sikuhizi Wana ume wame jinweteka hawaongi hawaudumii kwasababu yamijimama kama hii isokuwa naakili sasa hapo sikamuowa yeye mwanaume nahiyo kaamshindwa sababu mama nimkubwa mwanaume nirika lamwanae ndomana huyo kijana kamkataa wajinga ndo waliwao
Tulikoo mijii ya watu jaman tuwee makin na wanaume wa mitandaon jaman 😅😅😅 me ctaki kabisaa Wanaume nyokkoo akukafany kitega uchumii weee falaa kwel weee hayaa mwenzk anakula laha na huyoo dada akee wee umebak puaa pwii
Hahahah pole yake hivi maisha ya uwarabuni kazi ngumu hivi unampaje mwanaume pesa kirahisi hivyo ?? Pesa zako ungejiwekea tuu wanaume siku hizi ni mtelezo wanataka kulelewa 😂😂😂 Wachache ni wenye kujitambua ila wengi wababaifu anakutafta akiwa alone akiwa kwake anafunga Data ,, dada jifunzeni kwa huyo dada maskini pole yake😢😢😢😢
Mungu atustiri na hii mitihani, ya kutapeliwa, huyu dada anataka riski ya ndoa ndio maana kajitia mzima mzima kumbe kaingia cha kiume. Usijaribu tena kutafuta mume mitandaoni, allah atamleta mwenye mapenzi na wewe ila hapa umeingia shule tayari sasa either upasi au ufeli
Haya mambo yanaumiza sana simcheki ujinga huyu Dada nampa Pole na aendelee kuvumilia Allah atampa hitaji la moyo wake naelewa alicho pitia kwasababu najua
Daaa mshikaji kashafungua biashara na kajenga nyumba anastarehe na mwanamke mwengine ila pole Sana dada angu maisha haya mafupi sidhani kama kitu Cha dhulma kitadumu pole Allah atakulipia ila pengine alikuchezea akili huyo mwanaume wako
Mmmh hata kama ni upwiru dada umezidi khaa😂 yaani Oman ufanye Kaz alafu ufuge bwana mmmh pole amekuramba usiamin watu hovyo jaman mie rial TU inaniuma sana😂
Mnakumbuka kilichomkuta Happiness miaka 7 mume wa ndoa ya kikirsto? Bila Mungu hutoboi kuna watu wa karibu wanatuliza sana., Mapezi popote hakuna cha online wala live🤲🙏🏽 Dada naomba unisaidie kusomesha mwanangu una pesa sana pia Oman ulikuwa unalipwa shi ngapi au ndo ulikuwa Canada ❤🥰
ujinga huwo sifanyi kwanza sipendi mambo ya kutongozana online wanaume wajanja sana akijua upo nje. Basi anakudangia😂😂😂 mdada katuangusha sana khaaaaaaaaaaa
Waswahili wanasema kunaakili za kuzaliwa na akili za shule ila wewe nikama zote huna😢mungu akupe nguvu tu hili lipote pole sana maana haya maisha yalivyo mangumu mwanaume anakukula hivi aaah pole sana
subhana llah huyo mwanamk nmemskiliz vizur san na nmemuelew yani daah! baadh yet sis wanaum wajing san ktk hii dunia yani mwanamk Kama uyo yani nilulu mwanang maisha yaliv Kua magum ivi afu mwanamk mpambanaji wallah yani mi ningempend san kutok moyon tena ningempend kwadhati simanishi nahitaj kulelew mim hapan kivyovyot elewa tu yani mnapig kazi mnajeng bonge ya mjengo nausafur wamaan aman furah na upend ndan ya nyumb eeeeeeh Allah nipe nafas moja namim itikia dua yangu namalizia kwa kusem pole san mam mtume anasem dhulma nikiza siku ya qiyama na Allah asema Amekula hasar mwenye kudhulum Allah akupe subra
Kwanza pole sana Dada yangu Kwa yaliyokukuta.We KWELI una mapenzi ya KWELI.Mimi NI mtu mzima WA makamo NA najielewa vzr NA nna shughuli zangu za kufanya kwahiyo km ukiwa tayari kuwa NA Mume mi niko tuombe Allah atuweke ukiwa tayari nipo.
Duuh bonge la upumbavu Kwan hawamfatilii gea vipind vyake mpaka wakiwa na majanga haya mambo yanawakuta wengi na tunajifunza ee ela zote hizo jaman na kaz za Oman zilivyo ngumu unatapeliwa na janaume la tiktokkarogwa huyu labda ee pole 😢😢
Yan naliya huku nashangaa jamani mtu unatoka nyumban unamajukumu kibao hio nguvu yakutoa hizo pesa inatoka wapi jaman hata mumewangu naaza kuwaza Kwanza na kunawanangu pia😢
Mshenzi sana wedada mbona sie tupo miaka uku izopesa unazosema watuma unafanya kazi gani mana tujuze Oman ipi mnapenda sanakutunga vitu kutuaribia tuacheni bwana sie twapata riziki bwana aache ujinga mtu umjui ata kama wamjua mwanamke unatakiwa kuudumiwa vipi wendio ujifanye mwanaume acha yakukute ila izo pesa watoto hauna wewe jamani mweu wewe😂😂😂
Ndugu mim namiaka 7 Oman nimeshika milion 30 na kitu pia hua nafanya kaz miaka 2 tu nalud naenda kufanya maendeleo yangu baada ya apo narudi tena kzn kiufup situnziwi furus ata mwarabu nilisha kataa
Tusimlaum huyu dada usikute walimroga huyo Jamaa na dada Ake ,, pia gea na timu yako tunaomba mumsimamie huyo dada apate haki yake ya pesa Kwa mwanasheria muhim awe na risit za pesa alizokua anamtumia huyo Kaka hatua za kisheria zihusike huyo Kaka NI tapeli mkimuacha anaendeleaj kutapeli wengine
Yani mimi sahi nipo hapa Saudi nipate mjinga anidanganye we vile ninayo choka na warabu na baridi sahi mimi kwanza nikipona namba ngeni hublock sahiyohiyo😂😂😂
Pole sana jmn wanawake tuliopo omani baaz yetu tunatamani sana ndoa lkn we mama jmn ndo mmbo yote hayo ujue mwanaume akikutaka na anaekupend awez kuanz napesa awez kukuomb pesa awez kukuomb video call ukiwa uchi yn uyo gem linaanz nitapeli roh pole sana
Mm kiukwel mme wangu sijui nitakutana nae wp ila jibu hatokula hata mia yngu nikiwa kama mwanamke hata kama ninahela kumzidi yy ni never kula pesa yangu mtaendelea kitapeliwa kila siku yani ww dada nimjiga kwelkwel
Si hangemuowa tu wasilam ndoa nne mwisho angeowa uyo anaempenda na uyo mma ila uchawi upo jmn unatoa pesa kama mweu chochote unacho ambiwa haupingi wala msimtukane uyu mama yan arikuwa anarosito ya ndoa ndio shida hii ndoa za mitandaon
Kwani wenzetu hizi pesa mnaziokota au ndio kwa shuruba hizi mimi ndiyo nimtumie mwanaume pesa. Hiyo hapana kwa kweli hata mume wangu situmi pesa asubiri nirudi tutafanya mipango tukiwa pamoja
Da gea kwa kwa nn hataki kumtaja jina au kumsema tuu mn mtu maarufu km huyo bora mumuweke wazi ili wengine wapate funzo sababu upuuzi huo kila siku watu watakua wanapigwa sababu wanafichwa ila da salma umenikera mtaje tu km ni kawina tukamwagie povu sie tuna hadira na hiyo pesa pesa mm nilikua naituma hapa mm nikikuambia nipe hutaki kumbe unaigonga kwa huyo kawina aisee ila cawina mungu anakuona
Pole sana dada kwakweli kakubia vitu lakini hakukupata kukuchezea mwili wako hapo umemshinda kwa hilo na vitu vyako ukipata sawa ikiwa hukupata uko salama mwili wako na roho yako pia.
Uyu alikua anakupanga bimdashi😂pole kukutolea barua haikua na sbb kumuamini mm hat mtu anitolee mahari cmpi hata mia😂😂😂😂tatizo lenu mnapenda kuolewa cjui nan anawapa ujinga huu
Hv hamna wazazi wenye maisha magumu muwatumie hela😅 mwanamke unahudumia vp mwanaume kwa mfano daaah🙆🏼♀️ mimi achana na kodi situmi hata bando kwa mwanaume🤣
Uyu dada hivi ngoja kwanza dada geah unauhakika anaakili timamu uyu mwanamke 😢katudhalilisha sana wanawake wa Tanzania pumbavu😂😂
Muunguj Huyu mtu wa zenji
😂😂😂
Kweli au bongo movie?
Mimi mwenyewe najiuliza hivyo
Ana akili timamu ndo maana anasema hajafanya tendo la ndoa miaka 8
Huyu Mama Shida Ilikuwa Ndoa😂😂😂😂Jamani Musishindane Na Muda Wa Mungu Kuwenii Wavumilivu..Ndoa Za Mitandano Ni Utapeli Tu!
Usimcheke uwo ni mtihani wa mwanamke mwenzetu mtihani tu umemkuta
😢nachukia mwanaume wakuniomba hela namchukia mara moja
Yaan ww kama mm na block kabisa
😂😂😂mimi pia
Kazi ngumu hivi huku😢
yaaan hata mm nikiwa na mwanamke aanze kuomba hela namuacha..Mwanamke wa kumpa hela inabidi awe mkewangu ndo namuhudumia. ila wamtaani hapana wana shida kibao.
Mimi wakwanza, yaani mwanaume akitaka nmchukie aniombe pesa
Hana akili huyo mama hata kidogo yaan wewe sio wakupewa pole watu walioko nje wanazulimiwa na ndugu zao tumbo moja wewe ukaenda kumuhudumia bwana kweli dunia imeisha
Mama mzaz anakula pesa na uongo juu sembuse mtu hata mjui si ujinga huo
Chili huyo ataakiongea unamuona hayupo sawa
Huy kaka nitapel wa mitandaon usikute alikuw anamlog uwez jua huy sio akili zake 😢aiwezekan mihela yot hiy vit vyot ivyo tumpe pole 2 me naumia km mm jaman
Jamani pole sana mama Allah akujalie update mume mwema.Kwa uwezo wa Allah utapata tu Muislam mwenye kujua dini atakuoa tu.
Pole sana ndugu, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi insha Allah
Kwanza uyu mama ok Oman alikuwa na kz gan mana sio kwa mimilioni iyooo mbona hii aniingii akilini
Liongo hili tuna miak minne Oman na atuna pesa km izo😂
Umeona maana kwa mkataba wa miaka2 haifiki m ishirini 😊
Muongo afu mshamba 😢
Uyo kaka mjinga sana hajui kula na kipofu mbwa huyo
Hana akili
Kila anae dhulum kesho akhera anacho chakujibu kwa Allah
Mume anatakiwa akuhudumie wewe na sio wewe umuhudumie yeye pole sana dada ivo vitu vyote yeye ndo alitakiwa avinunue na sio wewe😢😢
Sindomana sikuhizi Wana ume wame jinweteka hawaongi hawaudumii kwasababu yamijimama kama hii isokuwa naakili sasa hapo sikamuowa yeye mwanaume nahiyo kaamshindwa sababu mama nimkubwa mwanaume nirika lamwanae ndomana huyo kijana kamkataa wajinga ndo waliwao
Mshamba Sana huyu dada jamaniiiiio pole sana
Pole sana dada yangu mtihani wallahi 😢 ulikuwa unaniya njema kabisaa ila uyo mkaka Allah atakulipia
Simpipole mkosefu waakili
Mwanamke mjinga wewe , hata mwanaume hawezi kuhudumia mwanamkekama hivyo , yaan ulikua unaoa , sasa ndo ujipange urudi kwenu
Mh mpe pole mwenzagu sio yake ayo😢
😂😂😂 nyege ndo chanzo unazan kama akili yake ya kawaida angekuwa Tz angefanya upuuzi huo
Kumbe wajinga kama mimi wapo bado Duniani😂
Uchawi upo ndugu huyu Dada sio akili yake
Da geha mwambie tu uyo dd arudi tu Oman kama ana nauli nimtumie pesa
Tulikoo mijii ya watu jaman tuwee makin na wanaume wa mitandaon jaman 😅😅😅 me ctaki kabisaa
Wanaume nyokkoo akukafany kitega uchumii weee falaa kwel weee hayaa mwenzk anakula laha na huyoo dada akee wee umebak puaa pwii
Midam umefanya kwa nia safi bas Mungu atakulipia kwa nia yako pole sana dada dua ya alie dhulumiwa hairudi
Hahahah pole yake hivi maisha ya uwarabuni kazi ngumu hivi unampaje mwanaume pesa kirahisi hivyo ??
Pesa zako ungejiwekea tuu wanaume siku hizi ni mtelezo wanataka kulelewa 😂😂😂
Wachache ni wenye kujitambua ila wengi wababaifu anakutafta akiwa alone akiwa kwake anafunga Data ,, dada jifunzeni kwa huyo dada maskini pole yake😢😢😢😢
Mungu atustiri na hii mitihani, ya kutapeliwa, huyu dada anataka riski ya ndoa ndio maana kajitia mzima mzima kumbe kaingia cha kiume. Usijaribu tena kutafuta mume mitandaoni, allah atamleta mwenye mapenzi na wewe ila hapa umeingia shule tayari sasa either upasi au ufeli
Wasichana wa Oman mmezidi😂😂dubai wezenu dubai hatuna ujinga huo
Huyu ni mzaliw wa oman nasiyo mfanya kzi wa oman kam ulivo waza ww mjinga san huyu
@@omanoman2044 mjinga niww
Haya mambo yanaumiza sana simcheki ujinga huyu Dada nampa Pole na aendelee kuvumilia Allah atampa hitaji la moyo wake naelewa alicho pitia kwasababu najua
Hiyo yote ni shida ya ndoa Mungu wajalie ndowa wanawake wote wasioolewa mana wanaugua wazimu wa ndoa uku
Huyo kijana tunamtaka mashaghalah tumchambe kwann atuingizie mjini madam wetu😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimtajee?
Mbwa wew had uku
😅😅😅
Mtajee😅@@user-sb3ls4pb1g
😂😂😂umeona eeh
Achana na maisha ya mtandaoni akuna mausiano ya mtandaoni kuweni makini
Shauri langu wanawake wazee mtafuteni wanaume kidogo lika mkaribiane.
😂😂😂😂kwakweli
Pole Sana dada In Shaa Allah Mungu atakuzidishia moyo wa huruma na mapenzi. Na hakika umejifunza ktk mtihani huu.
Jamani tusimlaumu uyu dada lamda karogwa na uyo mwanaumw
Siwezi siwezi kutoa rial yangu kwa mwanaume labda awe mume wangu wa ndoa naye mume wa ndoa siwezi mpa hela nyingi maana hawaaminiki
😂😂😂😂
Kweli kabisa
Daaa mshikaji kashafungua biashara na kajenga nyumba anastarehe na mwanamke mwengine ila pole Sana dada angu maisha haya mafupi sidhani kama kitu Cha dhulma kitadumu pole Allah atakulipia ila pengine alikuchezea akili huyo mwanaume wako
Yan tena majumba ya kifahari
Saw lakin aitodun dhulma sio mzur vit vya dhulma waga avidum
Me nahisii alikuloga yani kwa jinsi kazi za oman zinavyoumizaaaaa 😢😢
Wanaume pia siku hizi wanaloga
Yaaan hatar kwa kweli
Ndy Dada Geah wanaume wenye maneno mazur wengi wao matapeli yan wanawake tuwe makin kwel
Mungu akufanyie Wapesi dada pole sana mungu atakulipia inshallah 😊
Uyu mama anatia kinyaa hata kumsikiliza sio mzima kabisa jamn
Yaani hilo kaka litapata laana hapa duniani,litateseka mara milion,atapotexa mpaka st ya mwisho.Atakatika mikono yote.
Acheni masihara heka heka za mwaume unazifanyaje mwanamke???
Wajina ndo waliwao, ukijifanya umefumba Macho bs wajanja watakufumbua.
Mmmmh shoga una moyo hongera kazi zetu hizi zilivyongumu kweli unapata ujasiri wapi wakumpa mtu pesa uliyekutana naye mtandaoni
Mungu atakufanyia wepesi utaipata haki yako
Nimekuonea huruma kwa kupoteza mahela yote hayo, ila ulikuwa unadanganywa kitoto sana duuh huyo mwanaume alijua kukupumbaza😢😢
miaka nane na nusu uja shiriki tendo la ndoa du dada ujengewe sanam lako kwahio kuanzia mwka 2014 mpka leo hiii 2024 dada ubarikiwe
sijui hakili wanaziweka wapi eti nini😅😅😅😅
Yaani nashangaa sana
Hizo hela ulikuwa unaokota oman au umekaa miaka mingapi omn mpka umepata pesa zote hizo na ukasahau umri unaenda
Kwanza hixo milioni 20 tu sijui miaka mingapi?
Mmmh hata kama ni upwiru dada umezidi khaa😂 yaani Oman ufanye Kaz alafu ufuge bwana mmmh pole amekuramba usiamin watu hovyo jaman mie rial TU inaniuma sana😂
Miye nusu riali 😂😂😂😂acha hiyo riali kamili miye nusu inaniuma
@@saay4273 hahaha 🤣🤣 yaani sijui wenzetu wanawezaje ,
Mnakumbuka kilichomkuta Happiness miaka 7 mume wa ndoa ya kikirsto? Bila Mungu hutoboi kuna watu wa karibu wanatuliza sana., Mapezi popote hakuna cha online wala live🤲🙏🏽 Dada naomba unisaidie kusomesha mwanangu una pesa sana pia Oman ulikuwa unalipwa shi ngapi au ndo ulikuwa Canada ❤🥰
Kila cku watu wanalizwa lakn hawajifunz tu
😂😂😂😂nimecheka kama mazuri huyo dada ni nyege gani za kutunza mwanaume usie mjua hata sura😂😂😂😂
Nyege kujiendekeza tu
Hela nyingi huyu inawezekana hakuwa shaghala 😂😂mana shaghala hio mihela yote labda hakua na familia inayomtegemea alikua anahudumia mwanaume 😢
Ata akusema alivyo rudi kafikia kwao
Hata mm. Nimesemahivyohivyo
Dhana sio nzuri
Pole dada wewe ni mtu wa Mungu sana masikini inauma sana
KAMA MTU WA MUNGU ASINGEFANYA UPUZII HUO YAAN MTU MZIMA KABSA SIO MTOTO
Kweli nimeamini mapenzi ni upofu ila dada yangu kama una mganga wako kamroge mimi niko nyuma yako nakusapoti
ujinga huwo sifanyi kwanza sipendi mambo ya kutongozana online wanaume wajanja sana akijua upo nje. Basi anakudangia😂😂😂 mdada katuangusha sana khaaaaaaaaaaa
Yani huyu mama nichizikweli yani
Mijana ume sikuhizi ina danga sana
Mmmm Pole sana dada wanaumewengi ni matapeli sisi wengine pia tumetapeliwa hivo wanasema watatuoa kumbe waongo mola ata mlani huyo kijana
Hongera kwa wema utaenda peponi kwa mahaba hayo kwa kazi za huku zilivyokuwa ngumu halafu unakuwa mjnga kiasi hivyo kwa hayo sikuamini kabisa
Waswahili wanasema kunaakili za kuzaliwa na akili za shule ila wewe nikama zote huna😢mungu akupe nguvu tu hili lipote pole sana maana haya maisha yalivyo mangumu mwanaume anakukula hivi aaah pole sana
Kazi nilijua mfanyakazi uku ! Kazi uku mgumu jamani ndugu zangu tufanye kwa malengo msikubali Kuwahonga hao viumbe awana shukran
Saut ndogo😂😂😂
Msaidie kutanganza mwenzio😂😂😂😂
Yaani watu wanaamini watu waongo wanawapa vitu vingi, wakati kuna watu wana shida ya kweli na kusaidiwa mtihani
Kumbe kuna watu wanateseka na mapenzi kiasi hiki looohhh 😢😢😢
Hatar ivyoo!
Huyu mama inatakiwa achapwe viboko kwa sababu ni hajielewi
Tena hajielewi kabisa
Yanivyakutosha😂
Kwanza huyo unae Sema ni ddke ni muonqo c ddke ni mkewe huyo alipata mjinga😂😂😂
Uyu ni mzanzibar
subhana llah huyo mwanamk nmemskiliz vizur san na nmemuelew yani daah! baadh yet sis wanaum wajing san ktk hii dunia yani mwanamk Kama uyo yani nilulu mwanang maisha yaliv Kua magum ivi afu mwanamk mpambanaji wallah yani mi ningempend san kutok moyon tena ningempend kwadhati simanishi nahitaj kulelew mim hapan kivyovyot elewa tu yani mnapig kazi mnajeng bonge ya mjengo nausafur wamaan aman furah na upend ndan ya nyumb eeeeeeh Allah nipe nafas moja namim itikia dua yangu namalizia kwa kusem pole san mam mtume anasem dhulma nikiza siku ya qiyama na Allah asema Amekula hasar mwenye kudhulum Allah akupe subra
Hana akili huyo
TULIOSOMA QUBA TUJUANE 📌📌📌📌📌
Yaani nisitengeneze maisha ya ngu nimpe mawanaume pesa wapi nimerudi omani niko hoai huipati pesa yangu tumedhilumiwa sana ila kea sasa weeeee
Pole Sana dada tuwemakini mashagala oman wanaume wengine matapeli
Kwanza pole sana Dada yangu Kwa yaliyokukuta.We KWELI una mapenzi ya KWELI.Mimi NI mtu mzima WA makamo NA najielewa vzr NA nna shughuli zangu za kufanya kwahiyo km ukiwa tayari kuwa NA Mume mi niko tuombe Allah atuweke ukiwa tayari nipo.
Pole sana Mwanamke mwenzetu Allah atakulipia wewe hukuwa na nia mbaya
Tabu yote ya Omani unampa mtu hela humjui hakilihuna utopolo huo unaongea pumbavu
Mm nikiongea nitaalibu malizen nyie machawa wangu😂😂😂
Duuh bonge la upumbavu Kwan hawamfatilii gea vipind vyake mpaka wakiwa na majanga haya mambo yanawakuta wengi na tunajifunza ee ela zote hizo jaman na kaz za Oman zilivyo ngumu unatapeliwa na janaume la tiktokkarogwa huyu labda ee pole 😢😢
Yan naliya huku nashangaa jamani mtu unatoka nyumban unamajukumu kibao hio nguvu yakutoa hizo pesa inatoka wapi jaman hata mumewangu naaza kuwaza Kwanza na kunawanangu pia😢
Alirogwa si bure kaaaah!!!!!!!!
Inawezekana
Uchawi upo nyie😅
@@rehemafeysali4444 kabisa Maana siyo kwa Kaz za Oman ukahonge hela zote hizo kisa Abdallah kichwa wazi
Mshenzi sana wedada mbona sie tupo miaka uku izopesa unazosema watuma unafanya kazi gani mana tujuze Oman ipi mnapenda sanakutunga vitu kutuaribia tuacheni bwana sie twapata riziki bwana aache ujinga mtu umjui ata kama wamjua mwanamke unatakiwa kuudumiwa vipi wendio ujifanye mwanaume acha yakukute ila izo pesa watoto hauna wewe jamani mweu wewe😂😂😂
Yani mjinga mpka natamani nimpige makofi
Kweli ni uongo ina maana alikuwa anapokea rial 1000
Huyu alikuwa analipwa shi ngapi kwa mwezi jmn? Naomba kuliza saiv rial 1 ni shingap kwa Tz
@@dorcaskidoti249saiz ni elfu 6 na mia 5 ukituma kwa moneygram
Ndugu mim namiaka 7 Oman nimeshika milion 30 na kitu pia hua nafanya kaz miaka 2 tu nalud naenda kufanya maendeleo yangu baada ya apo narudi tena kzn kiufup situnziwi furus ata mwarabu nilisha kataa
Mungu anipe mume sahihi 🙏
@rachemuhehe7789mm nipo vp?
Ni Nyege au kz zilivyo ngumu nachoka mm ndio mana kaka zetu hawafanyi kz kwa sababu ya Watu km nyie mfunge huyu mbwaaa mamaeee
Hili dada km chizi sijui ndo nyege😮
😂😂😂😂😂
Minyege inawasumbua Hawa Bora kudanlodi exxx uangaliege tu
Mtu humfahamu unamhudumia hivi, kweli una moyo wa huruma.
Bonge la zuzu yaani
Sahia njoo Mimi nikuone hapa oman na sitaki kitu chochote kwako
Huyo atakua anaye mke masikin kachunwa mama wawatu
Huyo Dada nampa Pole ebu nitumieni namba yake
Tusimlaum huyu dada usikute walimroga huyo Jamaa na dada Ake ,, pia gea na timu yako tunaomba mumsimamie huyo dada apate haki yake ya pesa Kwa mwanasheria muhim awe na risit za pesa alizokua anamtumia huyo Kaka hatua za kisheria zihusike huyo Kaka NI tapeli mkimuacha anaendeleaj kutapeli wengine
Kabisa me naumia jaman daaah huy kak ni tapel wa mitandao usikut ndo kaz yak na kamlog huy😢
Yani mimi sahi nipo hapa Saudi nipate mjinga anidanganye we vile ninayo choka na warabu na baridi sahi mimi kwanza nikipona namba ngeni hublock sahiyohiyo😂😂😂
Hiyo nilaana kwa upande wote mwanaume unapomfanyia mwanamke hivyo napia hata haifai mwanamke kunfanyia hivyo ni laana inatembea na nyayo zako.
Pole Sasa dada angu Allah amekujulisha mapema huyo ni mwanaume wa namna gani
Pole sana mamangu ila ndio umepata funzo hivo siku nyengine utakua mwalimu kwa wenzio sasa so sad indeed 😢😢
Dada wafanya kz gani oman mbona una mijihela hivyo ? Mpemba kimemramba😁😁😁😁
Jiongeze 😂😂😂😂 hapo
ameyatimba😅😅😅
Anakosha hammam😂😂😂
@@user-fy9pw2zr8l 😆😆tena kayatimba haswaaa
@@husnathabiti4114 hapana jaman mbona cc hatuna? 😥😥
Dada gea wapo wengi sana usipokuwa makini unaria
Pole sana jmn wanawake tuliopo omani baaz yetu tunatamani sana ndoa lkn we mama jmn ndo mmbo yote hayo ujue mwanaume akikutaka na anaekupend awez kuanz napesa awez kukuomb pesa awez kukuomb video call ukiwa uchi yn uyo gem linaanz nitapeli roh pole sana
Mm kiukwel mme wangu sijui nitakutana nae wp ila jibu hatokula hata mia yngu nikiwa kama mwanamke hata kama ninahela kumzidi yy ni never kula pesa yangu mtaendelea kitapeliwa kila siku yani ww dada nimjiga kwelkwel
Si hangemuowa tu wasilam ndoa nne mwisho angeowa uyo anaempenda na uyo mma ila uchawi upo jmn unatoa pesa kama mweu chochote unacho ambiwa haupingi wala msimtukane uyu mama yan arikuwa anarosito ya ndoa ndio shida hii ndoa za mitandaon
Mm hata nguvu ya kuongea nisingekuwa nayo wallah babangu na mamangu walinambia mwanangu amini rohoyo
Kwani wenzetu hizi pesa mnaziokota au ndio kwa shuruba hizi mimi ndiyo nimtumie mwanaume pesa. Hiyo hapana kwa kweli hata mume wangu situmi pesa asubiri nirudi tutafanya mipango tukiwa pamoja
Da gea kwa kwa nn hataki kumtaja jina au kumsema tuu mn mtu maarufu km huyo bora mumuweke wazi ili wengine wapate funzo sababu upuuzi huo kila siku watu watakua wanapigwa sababu wanafichwa ila da salma umenikera mtaje tu km ni kawina tukamwagie povu sie tuna hadira na hiyo pesa pesa mm nilikua naituma hapa mm nikikuambia nipe hutaki kumbe unaigonga kwa huyo kawina aisee ila cawina mungu anakuona
Anaitwa Bakari
Pole sana dadangu maana huyo kijana ni mjinga sana. Usjali dada allah atakulipia Pole utapata wa kwako tena wa maana
Daah pole sana dada ,Allah akufanyie wepesi upate mume mwema
Yaan hata awe mziri kiaina gan kwenye hela samahan mda wa kupumzika hakuna umetutia aibu wanawak
Pole sana utapata mume mwema mama.
Pole sana dada kwakweli kakubia vitu lakini hakukupata kukuchezea mwili wako hapo umemshinda kwa hilo na vitu vyako ukipata sawa ikiwa hukupata uko salama mwili wako na roho yako pia.
Dada nikweli umetapeliwa hivi hata kujiongeza jamani 😢😢😢
Hamna usiombe yakukute yasikie kwajirani tu!
Kila sk vinaongelewa vp hivyo hivyo hamsikii wacha viwarambe mnjifanya fundi mapenzi .ndo ukome hata pole sikupi
Huyu dada alikuwa anafanya kazi gani mbona pesa nyingi sana
Ni rahia wa Oman ila ni mtazania
Sasa anataka😂serikal imsaidie nini
Duuuh hiyo ndio bongo dar es salam bhuan😂😂😂 mama wa watu kapenda bila kumjua mtu
Wish u the best dear.
Pole Jaman.Usiamin mtu kirahisi.Matapeli ni Wengi Jaman.Hela zote hizo ungefanya biashara ingekua kubwa.Ebu wanaume Acheni dhurma
Pole sana mama mungu atawajalia unakata haki yako
Uyu alikua anakupanga bimdashi😂pole kukutolea barua haikua na sbb kumuamini mm hat mtu anitolee mahari cmpi hata mia😂😂😂😂tatizo lenu mnapenda kuolewa cjui nan anawapa ujinga huu
Pole Sana Dada tuweni makin jamn daah
Maskin bibi wa watu upwiru umempoza 😢
😂😂
Eti bibi 😂😂😂 hana utu uzima huo namjua ila katuangusha sana
😂😂😂😂kwahiy huyu dada akili zake aliweka wapi😂😂😂
Kwenyematakoyake😂😂😂😂😂
Chupini mwake
Mejinun 😁😁 huyo
Hv hamna wazazi wenye maisha magumu muwatumie hela😅 mwanamke unahudumia vp mwanaume kwa mfano daaah🙆🏼♀️ mimi achana na kodi situmi hata bando kwa mwanaume🤣