Migogoro ya viwanja tanzania,ni stress. Natumaini klinik hii itasaidia katika hili. Hongera Tanzania,asante serikali yetu kwa kuendelea kutatua matatizo yetu
Alichokifanya ni kama tangazo, tutashukru kama wananchi walio wengi na hasa wanyonge kama watapata hiyo huduma. Nchi yetu ukiwa hujulikani kupata huduma au haki yako si jambo rahisi na hasa kwa sasa.
Ni mwanzo mzuri lkn kuwa na hati hakukupi usalama wa ardhi Yako asilimia mia.corrupt land officers wakiwatumia wavamizi wao wa viwanja wanaofaidika nao wanatoa hati juu ya hati nyingine.baadhi ya Maafisa ardhi wengi Bado hawana maadili na ndio chanzo Cha vurugu nyingi zisizoisha ktk maeneo mengi ya ardhi nchini na watendaji corrupt wa kata na serikali za mitaa.
Kuna haja ya kuwa na vazi la taifa. Tumesha promote tamaduni za wazungu na waarabu vywakutosha. Nafikiri mpaka wao wanatudharau kwa sbb nasisi tumejidharau.
Onesmo kavaa suti, Mondi kavaa Kiarabu, Waziri kavaa kiofisi, kuna walinzi wamevaa kibodyguard. Wapo walovaa vitenge na casual wear zingine. Nafkiri Bora kila mtu akavaa vile anavyoona yeye anakua huru ili mradi hayupo uchi. Vazi la taifa hapo inamaana wangekua kama wapo darasani Uniform 😆😆😆😆
Thawb ama kiswahili ama Kanzu ni vazi Arabic na ndo wailamu huvaa sisi wa Africa kutoka Tanzania na Mombasa Kenya tunavaa style ya Oman sana sana kuanzia zama zamababu zetu kuanzia ukoloni Sasa @alextercisio huyo ni Muslim na kanzu ndo vazi yake
@@nkongokijr7053 tena uelewe uarabu sio dini na wala sio kigezo kuwa wanachokifanya wao ndio chakuangaliwa kama hujuwi waarabu haohao ndio waliomfukuza mtume pale kwao makka!ndio maana Allah anasema:m'bora ni mchamuungu na sio kabila
Migogoro ya viwanja tanzania,ni stress.
Natumaini klinik hii itasaidia katika hili.
Hongera Tanzania,asante serikali yetu kwa kuendelea kutatua matatizo yetu
Hongera sana sana.Waziri Kwa kubuni mbinu hii ..migogoro itapungua sana ...Mungu akuhifadhi Jerry....
Alichokifanya ni kama tangazo, tutashukru kama wananchi walio wengi na hasa wanyonge kama watapata hiyo huduma. Nchi yetu ukiwa hujulikani kupata huduma au haki yako si jambo rahisi na hasa kwa sasa.
Tunapambana kumilikishwa lakini inachukuwa miaka
Njooo Monduli waziri maana huku watu wa ardhi wanatuchanganya mi mwenyewe nina mgogoro wa kiwanja changu nilichouziwa na mtu
Ni mwanzo mzuri lkn kuwa na hati hakukupi usalama wa ardhi Yako asilimia mia.corrupt land officers wakiwatumia wavamizi wao wa viwanja wanaofaidika nao wanatoa hati juu ya hati nyingine.baadhi ya
Maafisa ardhi wengi Bado hawana maadili na ndio chanzo Cha vurugu nyingi zisizoisha ktk maeneo mengi ya ardhi nchini na watendaji corrupt wa kata na serikali za mitaa.
Kwaiyo uyo alie vaa kanzu ili ndo vazi lake linalo mfanya awe wa kawaida
Alijua waziri atamnyenyekeea😂😂
Kwasababu ni 🌟 ndo maana mnampabania
Ni vya matajiri tuu ivi,kama masikini nenda
❤❤❤
mnajikoosha wakati wananchi nnazungusha rushwa ma2mbo yamejaa rushwa
morogoro mbona mfanyi ivo au kwa dar tu
Mbona hapo dodoma hati bafo changamoto jamani.???
Simba!
Siimba mkundu
Kwamba hati hazina Deed plan mkuu? Au baada ya hicho kikaratasi tena mtu abaki kusumbuliwa halmashauri?
Hiyo ni kila kitu sasa ndio hati mpya hizo
Hizo ni mbinu za uchaguzi wanajifanya wanawapenda wananchi
Kuna haja ya kuwa na vazi la taifa. Tumesha promote tamaduni za wazungu na waarabu vywakutosha. Nafikiri mpaka wao wanatudharau kwa sbb nasisi tumejidharau.
Onesmo kavaa suti, Mondi kavaa Kiarabu, Waziri kavaa kiofisi, kuna walinzi wamevaa kibodyguard. Wapo walovaa vitenge na casual wear zingine. Nafkiri Bora kila mtu akavaa vile anavyoona yeye anakua huru ili mradi hayupo uchi. Vazi la taifa hapo inamaana wangekua kama wapo darasani Uniform 😆😆😆😆
Toa kanzu ya watu wa Qatar ..Dubai na Saudi
Thawb ama kiswahili ama Kanzu ni vazi Arabic na ndo wailamu huvaa sisi wa Africa kutoka Tanzania na Mombasa Kenya tunavaa style ya Oman sana sana kuanzia zama zamababu zetu kuanzia ukoloni
Sasa @alextercisio huyo ni Muslim na kanzu ndo vazi yake
Kanzu ni vazi la waislamu sio warabu
Kanzu ni vazi la waislamu sio warabu
Hii kamba aliyoweka kichwani anafungia Nini 😅😅
Kwani ww dini gani
Waislamu ni wapotevu sana🤣🤣 mara wanavaa vikofia , Mara vikanzu , mara kama kichwani ....mambo yakuiga waarabu iyo😂
@@filskischannel9737Kaa kimya usiingie huko utaumia wewe mwenyewe ni maiti hujui chochote.
Hiyo ngata ya kubeba ndoo
@@uthmanmaluja7005 🤣
Huyu mtangazaji hajielewi anasema diamond ni msanii wa kizazi kipya ...hamna mtanfazaji hapo
Unajua maana ya kizazi kipya kaka? New generation usanii wake ni tofauti na usanii wa 70s, 80s,
Uyo mbunge slaa ana msada wowote uku ukonga,balabala mbovu kabisa,yani daa nammaind kinoma yani.
Hama
Sema bongo matajiri wakiwa hawataki kujulikana kama wana pesa hutafuta watu ambao wanaopenda majisifu huwatupia wao
nawewe umetafutwa nawangap
We usipoacha loho mbaya walah utakufa masikin
Dimo
DODOMA jiji unafuatilia Hati Hadi miaka Mitatu. Sasa hv watu wataacha kufanya kazi wawe waanafuatilia hati???
ni huzuni kwakweli
Diomond hilo vazi unalikashifu huelewiki,naichukia hii tabia
Hilo vazi wenzio waarabu wanabaka huku wamelivaa
@@nkongokijr7053 we muache alete ujinga wake
@@nkongokijr7053 sio waarabu wote ni hivyo unavyowafikiria!kuna wengine akili zao ni kama huyo msanii wako
@@nkongokijr7053 lakini hilo ni vazi tukufu na ndio ilikuwa vazi la mtume wetu kwaiyo ni haki yangu kuchukuzwa na hilo
@@nkongokijr7053 tena uelewe uarabu sio dini na wala sio kigezo kuwa wanachokifanya wao ndio chakuangaliwa kama hujuwi waarabu haohao ndio waliomfukuza mtume pale kwao makka!ndio maana Allah anasema:m'bora ni mchamuungu na sio kabila