TBC SHAMBANI NDANI YA SHAMBA LA MRISHO MPOTO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 37

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 2 місяці тому +1

    Asante mujomba nyanya muhimu hatazambia inapesa

  • @solomonkongoa2786
    @solomonkongoa2786 2 роки тому +1

    Kazi nzuri TBC SHAMBANU, naomba utuhabarishe na hari ya masoko pia, asante

  • @labanrutto9624
    @labanrutto9624 Рік тому +1

    Here to listen to TZ swahili. Such a lovely language when spoken by those who know how. Amazed at the wealth of ag. vocabulary I never heard of before!

  • @SelinaGeorge-k7y
    @SelinaGeorge-k7y 3 години тому

    💯👍

  • @TheMacdonald230
    @TheMacdonald230 2 роки тому +9

    Natamani sana Elimu kama hizi ndizo zingepewa kipaumbele vijana kusikia, na ningependekeza hata kwenye usafiri wa umma badala ya watu kuangalia miziki basi wapate fursa ya elimu kama hizi..

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 2 роки тому

      🇮🇱Ndg Mac. Nakubaliana na wewe Kwa zaidi ya 100% 👍
      Huwa nami nakereka sana kuangalia bongo flavour hasa zile za utupu, HAZISSIDII LOLOTE.

  • @HappnessYohanaRohongo
    @HappnessYohanaRohongo Рік тому +1

    Kazi zuri sana

  • @fuchijonas2179
    @fuchijonas2179 2 роки тому +1

    Asante mpoto, nimejifunza kitu

  • @kefasimwashitete4766
    @kefasimwashitete4766 Рік тому +1

    Jamani mkulima mdogo nimevutiwa na kilimo hicho,naomba niwatembelee

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому +1

    Nice

  • @BwangoAsb
    @BwangoAsb 2 роки тому +2

    huu wimbo nautafuta sana

  • @adammbungu6781
    @adammbungu6781 Рік тому

    Nice🔥🔥🔥

  • @pondaalexyambaz9262
    @pondaalexyambaz9262 2 роки тому +1

    Kila mmoja angeamka hakuna atakae kuwa maskini nielimu nzuri mno tatizo ni kuamua wengi wanaogopa hasara

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому

    Kweli ndugu yangu mrisho.

  • @mpokimwasimba
    @mpokimwasimba Рік тому

    Aisee

  • @marievo
    @marievo Рік тому

    Hellow nmelipenda somo nami pia ni mkulima wa nyanya lkn liko tatizo moja la kudondosha maua Yani kiknyo Cha ua kinakua Cha njano na baadae ua linadondoka naomben mnisaidie namna ya kuondoa tatizo hilo

  • @ROBANJAVA
    @ROBANJAVA 2 роки тому

    Amazing

  • @feisalricardofais3597
    @feisalricardofais3597 Рік тому

    i like you mjomba 🍅

  • @camilajohnson9307
    @camilajohnson9307 2 роки тому +1

    Mjomba kweli kabisa

  • @marievo
    @marievo Рік тому

    Jaman nisaidien namna ya kuliondoa tatzo la kudondosha maua

  • @raheemaathumani8663
    @raheemaathumani8663 2 роки тому

    Naomba mnisaidie wataaramu

  • @christopherfredy7269
    @christopherfredy7269 Рік тому

    Naomba nambayawasambazajiwambegu

  • @prospermkude9811
    @prospermkude9811 10 місяців тому

    Mbegu Gani umetumia

  • @charlesnzowa4283
    @charlesnzowa4283 Рік тому

    👍👍👍👍

  • @jishoshamahega7043
    @jishoshamahega7043 2 роки тому +2

    tunapataje mawasiliano ya hii kampuni kwa msaada zaidi?

  • @mahamudubakari5895
    @mahamudubakari5895 2 роки тому

    Nitawapata vp naomba mawasiliano

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 7 місяців тому

    Mpoto mtu sana

  • @genichenurdin409
    @genichenurdin409 Рік тому

    Duh

  • @zabronmwakanyamale5413
    @zabronmwakanyamale5413 2 роки тому +1

    Mnaongea vitu vya maana Sana tafadhali naomba mawasiliano yenu nimeamasika nawaitaji

  • @Salumathumani-ld8ob
    @Salumathumani-ld8ob Рік тому

    Ako,Dani,naomba,mamba,yako

  • @husseinkombomwachikobe8828
    @husseinkombomwachikobe8828 Рік тому

    Nahitaji.wataalam.nisaidie

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 2 роки тому

    Tunaomba mawasilino

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Рік тому

    Asante sana kwa SoMo la nyaya,pengine nyanya inapokuwa na vidoadoa vyeupe kiutaalamu inatokana na Nini? Na madhara yake ni yapi?

  • @emmamarijani6657
    @emmamarijani6657 2 роки тому +1

    Nitawapata wapi contact pls

  • @emmamarijani6657
    @emmamarijani6657 2 роки тому

    Naomba naba ya mtaalamu

  • @wokovummilla5034
    @wokovummilla5034 Рік тому +1

    Hiyo gundi inaitwaje? Na nyanya ipi inafaa kulimwa masika na ipi inafaa kiangazi

    • @amonzachary2718
      @amonzachary2718 Рік тому

      Gundi inaitwa sticker boss ipo maduka ya pembejeo ukiulizia wanakupatia alafu mbegu zipo nying za makampun tofauti tofauti kama hawa unaowaona wana mbegu ya kiangazi mpya inaitwa dhahabu F1 na nyingine inaitwa Imara F1 ya masika ila pia unaweza kuilima kiangazi na kuipa maji yakutosha xnaa