Here to listen to TZ swahili. Such a lovely language when spoken by those who know how. Amazed at the wealth of ag. vocabulary I never heard of before!
Natamani sana Elimu kama hizi ndizo zingepewa kipaumbele vijana kusikia, na ningependekeza hata kwenye usafiri wa umma badala ya watu kuangalia miziki basi wapate fursa ya elimu kama hizi..
Hellow nmelipenda somo nami pia ni mkulima wa nyanya lkn liko tatizo moja la kudondosha maua Yani kiknyo Cha ua kinakua Cha njano na baadae ua linadondoka naomben mnisaidie namna ya kuondoa tatizo hilo
Gundi inaitwa sticker boss ipo maduka ya pembejeo ukiulizia wanakupatia alafu mbegu zipo nying za makampun tofauti tofauti kama hawa unaowaona wana mbegu ya kiangazi mpya inaitwa dhahabu F1 na nyingine inaitwa Imara F1 ya masika ila pia unaweza kuilima kiangazi na kuipa maji yakutosha xnaa
Asante mujomba nyanya muhimu hatazambia inapesa
Kazi nzuri TBC SHAMBANU, naomba utuhabarishe na hari ya masoko pia, asante
Here to listen to TZ swahili. Such a lovely language when spoken by those who know how. Amazed at the wealth of ag. vocabulary I never heard of before!
💯👍
Natamani sana Elimu kama hizi ndizo zingepewa kipaumbele vijana kusikia, na ningependekeza hata kwenye usafiri wa umma badala ya watu kuangalia miziki basi wapate fursa ya elimu kama hizi..
🇮🇱Ndg Mac. Nakubaliana na wewe Kwa zaidi ya 100% 👍
Huwa nami nakereka sana kuangalia bongo flavour hasa zile za utupu, HAZISSIDII LOLOTE.
Kazi zuri sana
Asante mpoto, nimejifunza kitu
Jamani mkulima mdogo nimevutiwa na kilimo hicho,naomba niwatembelee
Nice
huu wimbo nautafuta sana
Nice🔥🔥🔥
Kila mmoja angeamka hakuna atakae kuwa maskini nielimu nzuri mno tatizo ni kuamua wengi wanaogopa hasara
Kweli ndugu yangu mrisho.
Aisee
Hellow nmelipenda somo nami pia ni mkulima wa nyanya lkn liko tatizo moja la kudondosha maua Yani kiknyo Cha ua kinakua Cha njano na baadae ua linadondoka naomben mnisaidie namna ya kuondoa tatizo hilo
Amazing
i like you mjomba 🍅
Mjomba kweli kabisa
Jaman nisaidien namna ya kuliondoa tatzo la kudondosha maua
Naomba mnisaidie wataaramu
Naomba nambayawasambazajiwambegu
Mbegu Gani umetumia
👍👍👍👍
tunapataje mawasiliano ya hii kampuni kwa msaada zaidi?
Nitawapata vp naomba mawasiliano
Mpoto mtu sana
Duh
Mnaongea vitu vya maana Sana tafadhali naomba mawasiliano yenu nimeamasika nawaitaji
Ako,Dani,naomba,mamba,yako
Nahitaji.wataalam.nisaidie
Tunaomba mawasilino
Asante sana kwa SoMo la nyaya,pengine nyanya inapokuwa na vidoadoa vyeupe kiutaalamu inatokana na Nini? Na madhara yake ni yapi?
Nitawapata wapi contact pls
Naomba naba ya mtaalamu
Hiyo gundi inaitwaje? Na nyanya ipi inafaa kulimwa masika na ipi inafaa kiangazi
Gundi inaitwa sticker boss ipo maduka ya pembejeo ukiulizia wanakupatia alafu mbegu zipo nying za makampun tofauti tofauti kama hawa unaowaona wana mbegu ya kiangazi mpya inaitwa dhahabu F1 na nyingine inaitwa Imara F1 ya masika ila pia unaweza kuilima kiangazi na kuipa maji yakutosha xnaa