hongereni Sana tbc kwa kipindi kizuri kama hicho. hapo tbc 1 kulikuwa na kipindi kizuri Cha mifugo na uvuvi saivi mbona akipo ? Onesheni kile kipindi pia nacho ni kizuri
Nimegundua mnatangaza mbegu ya nyanya kilimo cha nyanya na kifahamu sana huyo kijana wa kwanza haelewi chochote kwenye kilimo huyo ni muundaji wa mbegu
Hiyo mbegu nitaipata wapi mm
Safi sana.....!!!
Nafurah sana kuona vijan wanapambana saf sana hata mimi nataman sana kuingia kweny kilimo
hongereni Sana tbc kwa kipindi kizuri kama hicho. hapo tbc 1 kulikuwa na kipindi kizuri Cha mifugo na uvuvi saivi mbona akipo ? Onesheni kile kipindi pia nacho ni kizuri
Nilikuwa mfuatiliaji mzur San wakile kipindi,,jackline dd mwendeshaji namkubali San yule dada
Naweza Pata mawasiliano ya mkulima
Ukipata nipe na me please
TBC muwe mnatuletea makala kama hizi,zinajenga,zinainua vijana na uchumi wa wengi,hongera kwa kipindi chenu,huu ndo uhalisi wa chombo cha taifa
Vijana kama Hawa watafutiwe motaji mokubwa na serikal
Hunger kijana wangu
Namba no zake please za huyo kaka
Hongera Sanaa aisee
Inapendeza sana,kijituma
Nimegundua mnatangaza mbegu ya nyanya kilimo cha nyanya na kifahamu sana huyo kijana wa kwanza haelewi chochote kwenye kilimo huyo ni muundaji wa mbegu
Ni nzur sana
Safi sana, nafurahi kuona vijana wakijitambua!
Hongera xana kijana
Safi sana kijana
Hongera sn blooo km vp tusaidie namba ya WhatsApp ili tujifunze kutoka kwako