#TBC1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 19

  • @FathiaMzee
    @FathiaMzee 3 дні тому

    Hiyo mbegu nitaipata wapi mm

  • @kassimbilali5779
    @kassimbilali5779 4 місяці тому

    Safi sana.....!!!

  • @Rashidmabula-pt9hk
    @Rashidmabula-pt9hk 4 місяці тому

    Nafurah sana kuona vijan wanapambana saf sana hata mimi nataman sana kuingia kweny kilimo

  • @EdsonMbawala
    @EdsonMbawala 5 місяців тому

    hongereni Sana tbc kwa kipindi kizuri kama hicho. hapo tbc 1 kulikuwa na kipindi kizuri Cha mifugo na uvuvi saivi mbona akipo ? Onesheni kile kipindi pia nacho ni kizuri

    • @shabanally6973
      @shabanally6973 3 місяці тому

      Nilikuwa mfuatiliaji mzur San wakile kipindi,,jackline dd mwendeshaji namkubali San yule dada

  • @AgustinoKinyaga
    @AgustinoKinyaga 4 місяці тому +1

    Naweza Pata mawasiliano ya mkulima

  • @lameckkinimi7007
    @lameckkinimi7007 5 місяців тому +2

    TBC muwe mnatuletea makala kama hizi,zinajenga,zinainua vijana na uchumi wa wengi,hongera kwa kipindi chenu,huu ndo uhalisi wa chombo cha taifa

  • @maryibrahimu4824
    @maryibrahimu4824 5 місяців тому +1

    Vijana kama Hawa watafutiwe motaji mokubwa na serikal

  • @AndendekisyeMalinga
    @AndendekisyeMalinga 3 місяці тому +1

    Hunger kijana wangu

  • @aminaisuja6081
    @aminaisuja6081 3 місяці тому +1

    Namba no zake please za huyo kaka

  • @IsayaAbel
    @IsayaAbel 4 місяці тому +1

    Hongera Sanaa aisee

  • @naomybenedict1787
    @naomybenedict1787 5 місяців тому +1

    Inapendeza sana,kijituma

  • @kainimkini2073
    @kainimkini2073 2 місяці тому +2

    Nimegundua mnatangaza mbegu ya nyanya kilimo cha nyanya na kifahamu sana huyo kijana wa kwanza haelewi chochote kwenye kilimo huyo ni muundaji wa mbegu

  • @rehemaothuman3764
    @rehemaothuman3764 2 місяці тому

    Ni nzur sana

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 5 місяців тому

    Safi sana, nafurahi kuona vijana wakijitambua!

  • @bakarygau3044
    @bakarygau3044 4 місяці тому

    Hongera xana kijana

  • @JoshuaMpagaze
    @JoshuaMpagaze 5 місяців тому

    Safi sana kijana

  • @BupeKalonge
    @BupeKalonge 4 місяці тому

    Hongera sn blooo km vp tusaidie namba ya WhatsApp ili tujifunze kutoka kwako