KAA HAPA SE01 EP25 FULL SHOW | KILIMO CHA NYANYA NA TIKITI SEHEMU YA KWANZA | SHAMBA DARASA MKURANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Shamba darasa, mafunzo ya kilimo.
    #East-West Seed Tanzania #KaaHapaSe01 #Mkuranga

КОМЕНТАРІ • 19

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Рік тому +2

    Mrisho Mpoto Ni mkulima ninayemuamini maana kauli zake hazina utata ziko wazi asilimia 💯
    Niko mbioni najipanga ntamtafuta kwa kweli

  • @neemamichael9531
    @neemamichael9531 3 роки тому +2

    Nimependa sana naitaji kuji unga kwenye mradi uo

  • @vedastusgodfrey5186
    @vedastusgodfrey5186 2 роки тому +1

    Agricultural is backbone of owner economy

  • @florencecoster5769
    @florencecoster5769 4 роки тому +4

    Safi ,somo zuri

  • @josephissara3599
    @josephissara3599 19 днів тому

    Je nyanya inaweza kupandwa katika shamba la tambarare?au ni lazima matuta?

  • @astonswai798
    @astonswai798 4 роки тому +2

    Safi sana!

  • @milemo604
    @milemo604 4 роки тому +2

    Nakwelewaga sana.

    • @godfreymushi6966
      @godfreymushi6966 4 роки тому

      Jamani hizo chemical unanitumia anajuwa kwamba ni sumu mbaya kwa miili yetu wenzetu wanajaribu kulima bila dawa nyiye mnashauri nitumie dawa .kupanda .kukuzia. kuzuia wadudu hizo zote ni chemical ambazo ni nomaaaa kwa binadamu Lima Asilia bana

  • @xhaxgerald1836
    @xhaxgerald1836 4 роки тому +3

    Somo la chokaa sijaelewa jamn

  • @johnmwangove9928
    @johnmwangove9928 4 роки тому +2

    Safi saana ila naomba ufafanuzi umuhimu wa Mbolea Ya calsiaum nitrate

  • @trudatemba6844
    @trudatemba6844 4 роки тому +3

    East West Seed mkombozi kwa wakulima wadogo wadogo. Mbegu bora kwa mapato mazuri. Where quality meets the farmer👍

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому

    Asante baba somo zuuuuriiiii

  • @paschaljoseph4419
    @paschaljoseph4419 Рік тому

    Naomba no ya huyu mtaalam niweze kimtumia

  • @husseinkombomwachikobe8828
    @husseinkombomwachikobe8828 Рік тому

    Nahitaji.shamba.darasa

  • @Papaahansmo
    @Papaahansmo 2 роки тому

    Naomba namba kwa mahitaji ya mbegu please