Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mrisho Mpoto Ni mkulima ninayemuamini maana kauli zake hazina utata ziko wazi asilimia 💯Niko mbioni najipanga ntamtafuta kwa kweli
Nimependa sana naitaji kuji unga kwenye mradi uo
Agricultural is backbone of owner economy
Safi ,somo zuri
Je nyanya inaweza kupandwa katika shamba la tambarare?au ni lazima matuta?
Safi sana!
Nakwelewaga sana.
Jamani hizo chemical unanitumia anajuwa kwamba ni sumu mbaya kwa miili yetu wenzetu wanajaribu kulima bila dawa nyiye mnashauri nitumie dawa .kupanda .kukuzia. kuzuia wadudu hizo zote ni chemical ambazo ni nomaaaa kwa binadamu Lima Asilia bana
Somo la chokaa sijaelewa jamn
Safi saana ila naomba ufafanuzi umuhimu wa Mbolea Ya calsiaum nitrate
East West Seed mkombozi kwa wakulima wadogo wadogo. Mbegu bora kwa mapato mazuri. Where quality meets the farmer👍
Mawasiliano na hiyo kampuni tafadhali
KWELI TUNAOMBA MAWASILIANO NASI TUWATAFUTE
Fiu
Napataje trays
Asante baba somo zuuuuriiiii
Naomba no ya huyu mtaalam niweze kimtumia
Nahitaji.shamba.darasa
Naomba namba kwa mahitaji ya mbegu please
Mrisho Mpoto Ni mkulima ninayemuamini maana kauli zake hazina utata ziko wazi asilimia 💯
Niko mbioni najipanga ntamtafuta kwa kweli
Nimependa sana naitaji kuji unga kwenye mradi uo
Agricultural is backbone of owner economy
Safi ,somo zuri
Je nyanya inaweza kupandwa katika shamba la tambarare?au ni lazima matuta?
Safi sana!
Nakwelewaga sana.
Jamani hizo chemical unanitumia anajuwa kwamba ni sumu mbaya kwa miili yetu wenzetu wanajaribu kulima bila dawa nyiye mnashauri nitumie dawa .kupanda .kukuzia. kuzuia wadudu hizo zote ni chemical ambazo ni nomaaaa kwa binadamu Lima Asilia bana
Somo la chokaa sijaelewa jamn
Safi saana ila naomba ufafanuzi umuhimu wa Mbolea Ya calsiaum nitrate
East West Seed mkombozi kwa wakulima wadogo wadogo. Mbegu bora kwa mapato mazuri. Where quality meets the farmer👍
Mawasiliano na hiyo kampuni tafadhali
KWELI TUNAOMBA MAWASILIANO NASI TUWATAFUTE
Fiu
Napataje trays
Asante baba somo zuuuuriiiii
Naomba no ya huyu mtaalam niweze kimtumia
Nahitaji.shamba.darasa
Naomba namba kwa mahitaji ya mbegu please