BALAA LA MRISHO MPOTO AINGIZA MILIONI 20 NDANI YA MIEZI MITATU, ATAJA SIRI..
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- BALAA LA MRISHO MPOTO AINGIZA MILIONI 20 NDANI YA MIEZI MITATU, ATAJA SIRI..
Msanii Mrisho Mpoto amewataka watu waingie kwenye kilimo kwani kinalipa sana ambapo kwa ushuhuda wake katika kilimo amelima shamba dogo la nyanya na kuvuna zaidi ya milioni 20 kwa muda mfupi sana wa miezi mitatu tu.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:www.youtube.co....
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe bit.ly/globaltv...
Mzuri Sana kweli 💖
Ok, kumbe ni imara! Ahsante kwa hamasa
Asantee
Safi mpoto, unafaa kuigwa
Mi mwenyew nime kuelewa mpoto lkn umekosea mahesabu sio milion 20 ni milioni 28 na mia8. Ata ukifuga kuku wakienyej inakutoa kabisa na unakua don mjini.
Ww ndo umekosea hesabu 250*80000! 🤔
Asante mpoto kwa kunitia hamasa,hivi hiyo mil 20 ww umewekeza sh ngapi?naomba kujua
Acha mi nikuambie pia mi ni mkulima wa nyanya ten mzoefu apo so zaidi ya milioni tatu
❤❤❤
Ebu nambie Aina ya mbegu uliyopanda
Hebu tutajie aina ya mbegu uliyozalisha Mr Mpoto
Habari mjomba naomba unitajie jina LA hiyo mbegu
Ametumia mbegu ya Imara F1
Mpoto naomba sapoti yako kuhusu hao watalam nipo mkuranga eneo la goko nalima nyanya
Ulifanyaje na ulitumia mbegu gani,pia ulihudumia kwa madawa gani mpaka utarajie kuvuna cret250 ndani ya eneo dogo hivyo!?
Je hao eastwest seed ili wakupe mbegu zenu na masharti yenu yakoje ili kupata mkopo wa mbegu na madwa
Mpoto napataje namba yako Kaka? Nipo mbeya tafadhar.
Tatizoo ni hao wataalam wenu wanalinga sana , bure inakuwa gharama kubwa
Safi sana mjomba
Mjomba mimi natamani kuwa kama wewe
Mm niunganishe nae anipe kazi ya kusimamia kazi namba yangu 0746086651