Mkasi - S01E03 Masoud Kipanya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 гру 2011
  • follow mkasi on / mkasitv and like us on / mkasitv
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 46

  • @TheTuney
    @TheTuney 12 років тому +2

    hahahah Masoud nakupenda sana ..yaani unaongea ukweli mtupu.. 'kuna watu wanakula kwa mikono miwili na wengine mpaka kwa miguu'

  • @kmtenga
    @kmtenga 12 років тому +2

    good job salama I love u,masoud kadata kabisa hahaa anasema ukweli mtupu,salama usiache kupost episodes hapa tuenjoy raha hizi,pia itakuwa vizuri ukifanya mahojiano na wasanii hasa wanaobaniwa ili tujue ukweli kama kipanya alivoongea kuhusu cloudsfm na management yao

  • @rinnionnTV
    @rinnionnTV 12 років тому +1

    Real talk KP!Tanzania inahitaji vichwa kama hivi.

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 4 роки тому +1

    Huyu jamaa ana akili sana
    Naitizama tena 2019 November

  • @tumpiliksye
    @tumpiliksye 11 років тому +4

    Tanzania ni kisiwa cha vipaji , kichwa kingine hiki

  • @TheAlesry
    @TheAlesry 12 років тому +2

    Salama big up hili bonge la show, wewe makali sis

  • @linegreen23
    @linegreen23 12 років тому +1

    Hii Inakubalika kabisa na kwa kweli ni moja ya kipindi cha Kitanzania nitakachokua nakifuatilia sana, Inaonekena kipindi hiki kinafunguka sana katika mambo mbali mbali, Big up Salama huu ndio ubunifu tunao uzungumzia kila siku, endelea kuwadaka waje wafunguke ki ukweli kabisa..!

  • @4weston4
    @4weston4 12 років тому +1

    Kipanya wewe ni zaidi ya nouma, nakukubali sana.

  • @MREMBOMIE
    @MREMBOMIE 12 років тому +1

    hadidhi yako ni nzuri sana!!!!!!!! hasa sehemu unaayo sema kuwa: watangurie vilema ,watoto, wajawazito na wafuate wenye nguvu... kwa bahati mbaya hili halipo tanzania... haswa wanaume wa kila umli wanazarau sana wasio jiweza! ... mfano kwenye daradara utakuta gibaba zima limejiweka kwenye seat na mbele yake una mama mjamzito au mwenye mtoto anasukumwa , hakuna nafasi...

  • @peteramos9043
    @peteramos9043 Рік тому +1

    2023

  • @hamadishee4636
    @hamadishee4636 6 років тому +1

    God bless you bro kipanya the only gifted media personel in tanzania

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 5 років тому +1

    Safi sana kp na wote hapo

  • @ellyobedy1753
    @ellyobedy1753 2 роки тому

    Hatari kumbe miaka10 ishapita kwel siku hazigandi

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi1327 5 років тому +1

    2019 gonga like

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 6 років тому +2

    Kipindi pekee ambacho salama amekua msikilizaji yaani masoud ni noumaaaaa......

  • @ndewerokkrekamoo3982
    @ndewerokkrekamoo3982 6 років тому +2

    Masood is a genius

  • @halimojaimman6301
    @halimojaimman6301 9 років тому

    Dah Moja Bonge la SHOW.. SUDI Alinyalisha Sana Katika FIKRA HURU

  • @cuthbertbruce2098
    @cuthbertbruce2098 6 років тому +1

    Namkubali sana huyo jamaa

  • @Namestn
    @Namestn 10 років тому

    Among the artist that I admire n appreciate in TZ ths guy is among them...he is real n wise....he uses well his talents n connects with the society.... Good work Salama, keep it up....bro...keep t real....we support u.

  • @1992alemi
    @1992alemi 12 років тому +1

    This show is better than the so called TAKE ONE

  • @sadathassan7059
    @sadathassan7059 5 років тому

    Respect mkuu

  • @enockshija5512
    @enockshija5512 6 років тому

    Kp you are so creative. I real appreciate and salute you.May God enrich you no matter how the world looks you.Never mind it.

  • @luluemerald5380
    @luluemerald5380 11 років тому

    Bravo Kipanya...........

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 11 років тому +1

    Nyerere kwa wakati wake kama akisema tumefika mbali kabisa watu wanavaa viatu ni makosa hata kabla ya hiyo uhuru tulikuwa tunavaa viatu kama kawaida ,lakini ameturudisha nyuma sana kielimu na elimu yetu ni ya chini sana hadi leo.

  • @bakarikishaa4889
    @bakarikishaa4889 4 роки тому

    Kipanya gifted

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 років тому

    Napenda busara zako Masoud

  • @VictorChrispinSamson
    @VictorChrispinSamson 12 років тому +1

    Real shit with real stars... Salama, Deuces!

  • @gabbymaster1
    @gabbymaster1 12 років тому +1

    wenye vipaji tupo wengi sana ila fulsa ndo chache sana ...... lakini nafikiri kila jambo lina wakati wake

  • @MOchyze89
    @MOchyze89 12 років тому +1

    nimeipenda story ya cake\

  • @tequasuphatetareq9858
    @tequasuphatetareq9858 7 років тому

    Masoud ni nouma miaka mingi.

  • @123456789012470
    @123456789012470 12 років тому

    wanakula na miguuu hahahahaaahahhaha!

  • @abrahimali3628
    @abrahimali3628 5 років тому

    Mkapa hanakitu alichofanya labda kuuwa wapemba

  • @abdallahmakassy3003
    @abdallahmakassy3003 5 місяців тому

    0:17

  • @reyreh
    @reyreh 10 років тому +2

    i hate mcng any cngo show....good job!!!!

  • @danyrobertz2078
    @danyrobertz2078 10 років тому

    Tz ni noumaa kwa sasa

  • @MREMBOMIE
    @MREMBOMIE 12 років тому

    na akiingia kwenye gari anaangalia kama kuna mtoto aliekaa kwenye seat na anamwambia a ondoke il yeye akae... AIBU KUBWAAA!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @mussahmanyehe267
    @mussahmanyehe267 5 років тому

    Kipara kinanyorewa jaman nm sn

    • @neemaemanuel8113
      @neemaemanuel8113 4 роки тому

      Sudi nakuelewa japo nilikua sikuelewe ss nakuelewa kupitia mwanao ,mwnao kanielimisha sana pliz sudi naomba tuwasiliane mitandao yngu 0756360274

  • @ammy20able
    @ammy20able 12 років тому +2

    masudi sura linang'aa kama kitumbua hahahahaaaaaa

    • @jacobonael885
      @jacobonael885 6 років тому

      Wee unaangalia kung'aa husikilizi maneno, badilika

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 6 років тому +1

    Kipanya hajaulizwa swal kaanza story mwenyew

  • @MzeeNyundo
    @MzeeNyundo 11 років тому

    Kwa swala la watangazaji kuigana - ni kweli kabisa ya kwamba waTz hajui kubuni na wale wanaobuni, munda mwingi haki zao hazilindwi kwa maana wanaoiga wabunifu ndio wanafaidika.... sheria inabidi zilindwe. Tz ina kila kitu, tunaweza kufanya kila kitu na labda kwenye level ya nchi tajiri ulimwenguni... Ambacho hatuna ni Haki, haki ya muundaji ilindwe na iheshimike ili waTz na nchi itajirike. Bila kuheshimu sheria, hatutafika kokote.

  • @kerinasiyame4080
    @kerinasiyame4080 12 років тому

    HEY SALAMA MIMI NAITWA MAMA KENNEDY NAISHI AMERICA BOSTON NAPENDA SANA KUANGALIA MKASI NAONA SANA WANAWAKE WENGI . MIMI NA WEWE TUNAWEZA KUFANYA BUSINESS YA VIPODOZI ZAIDI MAWASIANO NUMBER YA SIMU 6176696084 PIA NINA WEBSITE YANGU YA BUSINESS NAOMBA NUMBER YAKO NITAKUPIGIA ILI TUONGEE ZAIDI .