MASOUD KIPANYA; HUWEZI KUPEWA MILIONI 20 UKAHAMA MEDIA/KIGEUGEU SANA/MATAJIRI WATAMCHOKA/KANIKERA
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Tumepiga Story na Masoud Kipanya
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````
Sasa hiki ndo kimemfanya mwija areact😂😂😂....Mwija kweli hakujisoma
👏🏾👏🏾👏🏾🫶🏾Hongera sana Allah Akufungulie zaidi na Zaidi
Hapo aliposema kuhamahama ndio palipomgusa mwijaku akajihis akajua anasemwa yeye 😂😂kimemramba atauza jumba lake auze alipe deni mdomo umemponza ana mdomo sana mwijaku kujihisi tu amekutana na chuma cha chuma😂😂😂tufundishie baba
Hicho kitu mtuu anaenda kuitangaza biashara au brand ya mtu baada ya kuzungumzia au kumuuliza maswali yanahucu event hilo mnakocea ww unadhani huyo mchina anawonaje bado tupo nyuma kweliiiiii anatuonaa kama watu wa ajabu event inaucu mabati nyie mnaulza habari za mtu binafsi
Mabati yashaongelewa hapo Hicho Ni kipind cha maswali na majibu
Nahisi najini mahaba kwer kifua cha dada kimenikoshaaa au unzinzi unanisumbua
Mpe Yesu Kristo Moyo wako,zaburi 119:9,
Yes, wewe ni mtu makini, hata majibu yako makini sana. Majibu TATA. BIG UP.
Mbona hajataja mtu... Amejibu alichoulizwa.... 😂😂😂 Mwijaku hajitambui
Yaan mwijaku akili halina kabisa halijatajwa jina,nimeamini ukiwa mwizi hata ukiona police lazima utoke nduki.Masood usimsamehe huyo mwijaku mpeleke mahakamani yaani ukimsamehe utakuwa umetuchanganya Sana unajua hiyo biashara aliyosema haramu tutaishi nayo na Kila mafanikio yako utakayokuwa unapiga tutasema ni zile biashara haramu alizosema mwijaku.Yaan usimsamehe kirahisi kihivyo
Umeongea vizuri sana,na umetoa ushauri, sasa jitu limekueupuka bro dili nae
Umeongea kwa hekima sana. Sema sababu Sisi kama jamiii tumelea Majinga mtu anajibu kwa kukurupuka, Mtie adab iwe funzo kwa Wengine
Kwa wasio mjua masoud, kaka yake masoud na Boss Joe na ruge walianzisha pamoja kampuni ya promosheni na kuandaa matamasha kabla ya kuanzisha Fiesta, so Masoud alikuwepo nyuma ya kaka yake kitambo
Sasa Mwijaku analipwa mipesa mingi kwa lipi sasa?
Mwijaku anastahili Adhabu,kwani anaehamahama ni yeye tu,mbona wenzie wapo kimya,Masoud hajamtaja mtu
Sikuona ubaya wa kauli ya Masudi mpaka yule bwege kupayuka
Mchina ansonekana hailewi kitu😂
Huyu mwandishi pia anatakiwa kushtakiwa kwa kuandika kichwa cha habari cha uchonganishi na cha uongo
Masudi ni mtu makini sn👏
Masoud una akili sana.....unajibu vyema mno
Ukiwa na akili kubwa utelewa kuwa crown media ni ya kipanya,,," tunamkimbiza nwizi kimyakimya"
Amna kitu na ww
Kumbe majibu ya Kipanya ni safi sana
Kaabisaa kuhama hama nako kuna shida zake maana hipo siku watu hawatokuamini tena na utapoteza mvuto
Si kama kitenge kapoteza mvuto
@@NeemaSawe-m3u kaabisaa kawa kama wadada wa Bar
Mijitu mizinzi dada ata haongei ila jitu limeona nyonyo
Sasa mwijaku yeye kuhamahama hata miaka 10 huna kaa mahali tengeneza cv yako vizur ndo uhame
Kinacho sunbua hapo ji crown media hahahaha shughuri ipoo
Good point kipanya
I appreciate you
Sasa mwijako mipov ya nn
Sasa mwijako mipov ya nn
Sema punguzeni Clickbait aisee ..... Zinawasaidia nn ..... Yan mnapata views AMBAO ni unique tu, ukinidanganya nikiClick nkakuta kitu tofauti na tittle Yako ntakua nnaAvoid video zako .. acheni kuClickbait, hazina faida ya long-term kwny channel
Media inaitwa Chazy unategemea nn😂😂😂
Mwanangu ukiona wanafanya ushenzi huu unawaripot tu kwa kwatoa sababu ya misleading content, minshamripot uyo
Car Development is the one among the critical system i advice you to consider Safety
Jaman mim sijamkiliza masudi hahhahah namwangalia mchina tu Hivi Betri haijavimba kwel huyo??
😅😅😅😅
👏👏👏
👍✌️👊.
yule dada amebarikiwa kifua😂
Kimeharibikaje
😂😂😂😂😂 we jamaa unamawazo ya hovyo kwelikweli
Fact kaka
Halafu jamaa huyi masud namjua jamaa anakunywa sna pombe
Weeeeee jileviiiiii 😂😂😂😊
Wewe muongo satifiketi yako nikama mchezaji timu hii ikipanda dau mchezaji ana chomoka pia utangazaji pia wamiliki wa rodio wakipanda bei kwa mtangazaji anachomoka acha kuwapotosha watangazaji anapo hama hama ndo atazidi kulipwa ghali zaidi atakea mchukua lazima amlipe ngali zaidi ili asichukuliwe na mwingine wana habari wana nguvu kubwa katika jamii kwanini mnaji shusha 😮😮😮
Kajifunze kuandika kwanza
Hujui lolote. Huyo jamaa anatengeneza Brand yake ili huko mbele apate thamani kubwa. Na ndivyo jamaa kwa sasa anatengeneza mkwanja mrefu sana.
Wewe inaonekana hata miaka 20 huna,bado ni mtoto hujui kitu. Kwa sisi wazoefu kazini tunafahamu Kipanya anaongea nini.
Ni muongo sana umesomea Shule gani huo uongo sikia hakuna mwandishi Habari anayelipwa mamilioni hakuna kinachombeba mwanahabari kuhama hama media ni yeye kutafta matangazo mengi ya biashara kwenye makampuni makubwa hakuna mshahara mkubwa ni muongo sana
Ujui unachokiandika
Aah upuuzi tu, zingatia hela mwengine yatakuja yenyewe
Umechemka sema sijui Elimu yako. Umri na Elimu yako ndivyo vinakuongoza. Huyu Masoud ni kichwa sana. Amekaa sehemu moja kutengeneza barand yake iwe na thamani kubwa ili baadae ale kuku kwa mrija na aweze kuajiri watu.Ukihama unaanza upya ndugu. Angalia hata mchezaji, mchezajii akihama anaanzia 0 kupata mashabiki.
Upuuzi wake nini mbona amejibu vzr tu! Uelewa wako mdogo.
Fact🙏🙏🙏
uyo dada anaziwa zuri aisee😊
Hata Mimi nimelipenda ukilinyonya du❤
😅😅😅😂😂😂acheni unzinzi bhanaaa
😂
😂😂😂😂😂😂wazinzi niwengi
Acha tamaa kijana😂