john we mwehu hufai kabisa km unaona issue kuimbwa na wewe uombe uimbwe..na wewe muba uliza maswali ya akili na mimi nafurahi sana steve nyerere anavyowashushua..steve big up unafurahisha
mi sijajua jinsi nitateka hii sanaa ila nahakikisha nitapata mashabiki na sitaki kuishi ulaya steve big up----salama lazima nijibu maswali yako ila ngoja usikie nasema nini kwanza......Choggie wa KRC kumbuka hii
Namkubar sana stivu pamoja na kazi zake pamoja sana kk
Salama big up...wewe mkali! nataka nifate nyayo zako.. salam kutoka UK
john we mwehu hufai kabisa km unaona issue kuimbwa na wewe uombe uimbwe..na wewe muba uliza maswali ya akili na mimi nafurahi sana steve nyerere anavyowashushua..steve big up unafurahisha
LooooooL!... dats wat we xpect from a comedian!...keep it up bro!!..
best episode so far....
mi sijajua jinsi nitateka hii sanaa ila nahakikisha nitapata mashabiki na sitaki kuishi ulaya steve big up----salama lazima nijibu maswali yako ila ngoja usikie nasema nini kwanza......Choggie wa KRC kumbuka hii
salama ananifurahisha hongera sana
Yes, you are gud!!!!!
Kweli..JK ni bahati tangu Mwalimu Nyerere!TZ we are LUCKY!!
Big Up
huyu m'baba nampenda nimdaku mdaku....hahaha
Huyu Steve ni very funnyyyyyy....
uyu jama balaa.
goood sanaaa
Ahahahahahha! Steve ananivunja mbavu, go further man.
Anachekesha ka stive
Hahahahaha Steve umenifurahisha kitonga
hiyo ipo swa sana
steve u funny i salute u. try to do comedy in english dude
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yani nyerere is comedy
Steve una tumaliza mbavu.
YUPO JUU ZAIDI
anachekaga kama MAJUTO...lol
hahahhaaaa stive bana et coleo
Adnan Ramadhan junuzage majanga hayo
Haa haaa :D
Mchizi ni mkali lakini he lacks enough knowledge and experience.