@@AnziChaula-u9zsio kocha ndugu , baleke na Chadrack boka taarifa zao zilichelewa kuingizwa kwenye system ya Caf kwahiyo mechi za awali hawakuruhusiwa kucheza mpaka mechi baada ya Vital'O ndo wataruhusiwa wote wacheze
@@AnziChaula-u9zsio kocha ndugu , baleke na Chadrack boka taarifa zao zilichelewa kuingizwa kwenye system ya Caf kwahiyo mechi za awali hawakuruhusiwa kucheza mpaka mechi baada ya Vital'O ndo wataruhusiwa wote wacheze
Hatuhitaji wanafki kwenye kujenga yanga ni taasisi kubwa ,kwenye swala la Haji wacha nifafanue ,kuna manufaa wanayapata wachezaji wafadhili wasemaji na club , wanachama mashabiki hawanuafaiki na chochote.maoni tuu.tulikuwa hatuhitaji ,tunakosa wanachama kwa ujinga wa trending..Mimi binafsi Haji simtaki ,hatutaki mamluki yataturudisha nyuma.kwa mfano wasemaji na wafadhili wanapata deals tofauti kupitia nembo ya taasisi na hakuna asilimia yoyote ambayo club nataasisi itanufaika nayo.maoni tuu katika kulijenga taifa.
Dube salute kwako umechukua yellow card kwa ajili ya timu
Hii inaitwa Bora lawama kuliko fedhea
@@kisimachauponyajiKLPT-IFUNDA😊😊😊😊
Master key 🗝️ .. free kick 🔥
Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi
Mungu aijalie yanga❤❤❤❤
Yanga tamu GSM mungu akuongezee miaka
Mzize wa moto sana kipindi hiki
Huyu jamaa akitangangaza mechi zetu tunaanzia 4
Bravo wananchiiiiiiiii 🔰🖤💛✅⚽⚽⚽
Hatutaki kabisa MAZOEA,... yeyote Lazma AKALIE
Yanga kwa ujumla wenu tunawashukuru sana kwa burudani murua
Dube tumepataa
Wonderful my team ❤❤❤
Maforward watulie wanapopata mipira toka kwa viungo kocha alifanyie kazi hili tena kwa kila mchezaji.
Sawa bush kocha
Jamani yanga noma
Yanga bingwa 🏆🏅
😂😂😂😂vital,O mtoto kautaka mtoto kautaka mtoto kautaka mtoto kautaka mtoto kautaka mtoto kautaka mtoto kautaka 💚💛🇹🇿🔥💪
👏👏👏💚💛💚💛
Marudio itakuwa kama Simba Tu ,, chums mbili moja
Kwani waoo wanasemajeee
Hii Yanga haizuiliki jaman
Asante
Pacome is better than Chama kwahiyo pacome aanze mimi sio kocha lakini mawazo yangu
Ila dube kama hatakuwa na majeruhi msimu huu atakwa hatari sana
💛💚💛💚
ata mm napenda awe anatangaza mechi za yanga zote
Japokua tumeshinda lkn tumecheza chin ya kiwang ilibidi iwe 6
Pamj xan
Haizuilik kwa kumfunga vitalooo😂😂😂😂
Tumeshawazoea makolokwinyo endeleeni kuteseka 😂😂😂
Kwan ww hujawah kufungwa na yanga
We hujafugwa
Huyu nae kumbe semaji la makolo lete timu yako uchezee koki amelowa unateseka ukiwa wap😢😢😢😢😢😢😢😮
Tena Vitalo o nibora kuliko kolo yeye anacheza club bingwa kolo anacheza shirikisho
Hawa gem ya marudio wanaweza kuchezea zaidi ya nne😂
Hawa bila wasi wakibana sana ni mkono
Huyu dube nazan tim za tz zinaon waxje mpa lawama bureeee maan anayoyafany uko powa wasije wakajikuta wakawa wanachezea 7 kila gam
Kuachana naushindi huu ila gharib mzinga nibonge lamtangazaji uwezo anao 🎉
Kwa kweli hapa tumepata Charles Hillary mwingine.
Hata simba pia hatuzuii😂😂😂😂
Usiombe ukutane na Dar young Africain
❤❤❤ yanga
Yanga bingwa
Yangaaaa hatariiiii
Chama katoa pasi ya maana kweli kwa dube
🎉yanga
Walikunya sup mapema
Aisee!😅😅😅
Tunaomba zile hidden camera tafadhali
Dubeeeeeeeeeeeee😅😅😅😮😮😮
wamepigwaa
Tupo ugenini mjue😂😂😂😂
Yanga Bingwa
🇹🇿💛💚💛
Tunataka highlights iwe na dakika kama 30
Mbona Baleke Simuoni?kwa kweli mm naumia sana.
Koch atakua kaon hakidhi vigez
@@AnziChaula-u9zsio kocha ndugu , baleke na Chadrack boka taarifa zao zilichelewa kuingizwa kwenye system ya Caf kwahiyo mechi za awali hawakuruhusiwa kucheza mpaka mechi baada ya Vital'O ndo wataruhusiwa wote wacheze
@@AnziChaula-u9zsio kocha ndugu , baleke na Chadrack boka taarifa zao zilichelewa kuingizwa kwenye system ya Caf kwahiyo mechi za awali hawakuruhusiwa kucheza mpaka mechi baada ya Vital'O ndo wataruhusiwa wote wacheze
Hatuhitaji wanafki kwenye kujenga yanga ni taasisi kubwa ,kwenye swala la Haji wacha nifafanue ,kuna manufaa wanayapata wachezaji wafadhili wasemaji na club , wanachama mashabiki hawanuafaiki na chochote.maoni tuu.tulikuwa hatuhitaji ,tunakosa wanachama kwa ujinga wa trending..Mimi binafsi Haji simtaki ,hatutaki mamluki yataturudisha nyuma.kwa mfano wasemaji na wafadhili wanapata deals tofauti kupitia nembo ya taasisi na hakuna asilimia yoyote ambayo club nataasisi itanufaika nayo.maoni tuu katika kulijenga taifa.
Yangaaa
شو اسم المباراه
😂😂😂😂😂