Kila la kheri lakini nawakumbusha2 wachezaji wangu mkiwa safarini kama hivyo jitahidi sana kuwa mnatumia mda mwingi sana mnaomba dua mwenyezimungu awafakishe salama.
Niitakie kila la kheri INSHAALLAH timu yetu pendwa young Africans (Yanga) mfke salama salmini na INSHAALLAH MUNGU awalinde na awasimamie kwa kila jambo na atujaalie ushindi mnono kwa kila mchezo yaaa Rabbal aaalamin Birahamatika yaaa Arhamma raaahiminn 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
young Africans is the best team in Africa, there is no example, it is a very happy team for all the players, they enjoy life very much, that's why every player wants to play, young Africans is a threat team in Africa
Ninachokionabkwenye hili chama langu la yanga.kila idara ina Watu mahili Sana. Kiukweli hawa idara ya matangazo NI nyoko.videos na picha zao na jinsi wanavyoripoti matukio NI amazing. Nawakubali sanaaaa. YANGA MBELE DAIMA NA NYUMA MWIKO.
Kama unamini yanga itakuwa timu tishio Africa tujuane kwa like🎉
Safari njema allah awe nanyi kila mlifanyalo tupo nyuma enu kwa dua daima mbele nyuma mwiko 💚💛🇹🇿
Kama unaamini Yanga hii itakuwa tishio Africa nzima gonga like chap tufahamiane.
Kabixa mzee baba 🙌 🙏
kbsa
Lakini Kuna IHEFU msisahau😅
Yang Kwa mwak huu ni tishio 🙏🙏🙏
Tena ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 wa kuotea mbali msimu huu wajipange sana
Kila la kheri lakini nawakumbusha2 wachezaji wangu mkiwa safarini kama hivyo jitahidi sana kuwa mnatumia mda mwingi sana mnaomba dua mwenyezimungu awafakishe salama.
Inshaallah
INSHAALLAH BIRAHAMATIKA YAAA ARHAMMA RAAAHIMINN 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Naam
Musonda na Aucho wanaenjoy sana
Mungu awatangulie wananchi ngoja niongezee kipaji nami nije niwasapoti
Kama Umemsikia DICKSON JOB Akisema "MBONA WATAKOMA PALE KATI" Na Cleotus Chota CHAMA Akifurahishwa Na Hilo Gonga Like Hapa!!
Dah Yaaan yanga ni big up sana
Niitakie kila la kheri INSHAALLAH timu yetu pendwa young Africans (Yanga) mfke salama salmini na INSHAALLAH MUNGU awalinde na awasimamie kwa kila jambo na atujaalie ushindi mnono kwa kila mchezo yaaa Rabbal aaalamin Birahamatika yaaa Arhamma raaahiminn 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Natokea mkoa wa songwe niawatakie wote wachezaji wangu safari njema mungu awalinde.
Safi.sana.chamaletu.molaawafikishe.salama.kwa.mzee.madiba.
Kila laheri chama langu mungu awatangulie❤
Mungu ibariki young Africans forever
Chama unafurahi kweli umefika mahali sahihi na mungu akubariki katika jina la YESU kristo Amen
TIMU YANGU. PENDWA. MUNGU AKULINDENI NAMFIKE SWALAMA 💚💛💚💛💚🇴🇲🇴🇲🇴🇲 FROM OMAN
waoooh mmenikumbusha mwaka 2019 wakat na mie niko ndan ya chombo nikielekea huko huko SOUTH AFRICA..KILA LA KHERI KWENU
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 💚💛💚💚💚👏
Daah aucho na mosonda dam dam yani 🔰🔰🔰🔰
Nawaombea baraka tele mungu atupe furaha daima
Dawa ya msimu inaandaliwa 💚💚💚💚
That's my team bravooo 💚🖤💚
Yani yanga wangepost ata Giza ningeangalia💛💛💛💚💚
😂😂😂😂
@@paulmushi2428kheeee😅😅😅
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimeipenda hio
😂😂😂😂😂
Tunaenda kuanzia pale tulipoishia,...
All the best my team
Mungu awasimamie muende Salama na mrudi Salama pia mkafanye vizuri huko kwa timu zote mtakazo chezanazo InshaAllah mrudi na UBINGWA
Mungu awafanyie wepesi katika michezo mnayoenda kucheza amiin 🙏
Mungu awatangulie wanajeshi wetu
Yanga hii ni tatizo jipya la Africa ❤
Mwenyezi mungu awabariki katika safari yenu
Alf linatokea lizee uko limeshiba mbege Linasema nyoko nyoko dedeq zak
Sio mbege tu ,naona hadi gongo imo mle
Tupo vizuri
Kila la kheri Chama langu
Niwatakien safari njema wanangu wa yanga naipenda sana timu yangu ya yanga
Timu yangu Bora nawapenda sana
Asante.mungu.kweri.yanga.tamu.wape.saramu
Tunaimani na timu yetu ipo vzr kila idara ✍️
Mashindan mema💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚🧡💚🧡💚👍👍👍👍🙏🙏🙏
yanga bingwa 💚
atari sanaa tunawatakia safari njema
Mungu awatangulie na awasimamie
young Africans is the best team in Africa, there is no example, it is a very happy team for all the players, they enjoy life very much, that's why every player wants to play, young Africans is a threat team in Africa
Naombeni ndugu zangu msikilize huu Wimbo wa mzee magoma
ua-cam.com/video/u3_W_tELZ3s/v-deo.htmlsi=xbNCNKG4dqejSYGn
Hadi raha jamani💚💚💛💛
Aucho na musonda ni ndugu😂😂😂😂😂
Shekan dogo anafurahi kuewa na yanga
Kama unaamini mwaka huu yanga itakuwa tishio African gonga like chapu
Yanga kuwa bingwa haiepukiki kama kifo2
Tuwaombeeee wafikee salaam
Hatari sana
Yanga 2pen rahaaa mashabik wen jmn daaah❤❤❤🎉🎉🎉
The club above all 🔰
Safi sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Ndani ya pipa
Uhakika Kwa yanga da Africa
Niwatakieni safari njema Allah awajaalie mafanikio ktk kila hatua inshaallah ❤❤❤
daa aise mmenikumbusha mwaka 2023 safali ya Qatari full kuinjoy
Ninachokionabkwenye hili chama langu la yanga.kila idara ina Watu mahili Sana. Kiukweli hawa idara ya matangazo NI nyoko.videos na picha zao na jinsi wanavyoripoti matukio NI amazing. Nawakubali sanaaaa.
YANGA MBELE DAIMA NA NYUMA MWIKO.
Mungu awalinde wananchi safarini
Huyo Magoma anasemaje
Mungu awatangurie timu yenye uwepo mkubwa tanzania
YOUNG AFRICANS ni Bayern leverkusen watupu
Aucho na musonda wanaenjoy tu
Magoma mwehu sana
Mungu awape nguvu,tunawaombea kaanze na hao tuwe na mwanzo mzr
Safi mashujaa wetu!
🙌🙌👋💚💛💚💛💚
Chama anacheza game kama languuu😂😂
I'm very happy 😁😁😁 good my team
Mungu ibariki yanga ibariki Tanzania
Wawooooo
Angani kwa kwenda mbere makoro bastuu mpaka matako kuota uperee😂😂😂😂
Mungu pamoja nanyi wapambanaji wetu
Ila jmn kwahyo Cha Ni mwananchi kweli 💛💛💚💛💚
Kwaiyo hapo goma likitunguliwa tumepoteza wachezaji wote😅😅😅
Mwenyezi Mungu atulinde
Timu hii ndo tumpe mzee magoma labda tumpe ile y wanawake
Nmegundua kwanini Chama kipaji chake ni kikubwa na kinaendelea kukua
Saw mnaenda south ndo babu kaju na farid mcheze drafti
Allah awatangulie wapambanaji wetu
💚💚💚💚💚💛💛💛💛
💚💛🔰
Wakwanza Mimi
Kwa mara ya kwanza kwenye ndege uo ni ushamba
SAFARI NJEMA,KILA LA HERI MUNGU AWATANGULIE. AMINA . NAIPENDA TIMU YANGU YANGA.DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Yanga tamuuuuu 💚💛
Kila la heri. Tupo pamoja.
Mabosi bwana sisi yanga karibuni chapioni zabia watapenda kuisoma namba ya Tanzania kua niipi
DUA TU KILA HATUA NA MAFANIKIO MEMA
Yanga ni Bonge la dudeeeeeee 🎉🎉😂😂😂
We raha kama hizi halafu mingoma anataka kutibua furaha yetu kumbafu zake😠😠💚💛🔥🔥
Atakufa vibaya yule Babu atakufa km firaun
Au km inawezekana mungu amuangamize km walivyoangamizwa waliopita
Mpuuzi sana na msura wake kama ubao wa matangazo
Mkate tiketi za yanga day na mnunue Jez
Mnanimbusha na Mimi pia nikiwa Aeroflot nikielekea Moscow urusi...😅😅😅😅
All the best
🔥🙏
dua muhimu jmn kulikoni hata kucheza game
💚💚💚💚💚💚
🎉🎉🎉🎉🎉💚💚💛💛
Hii ndo maan halisi ya furaha
🔥🔥🔥🔥
Hatuna habari na wazee sisi sio shida zetu tufocus na ya muhimu
💚