MANENO YA CHAMA BAADA YA KUPEWA JEZI NAMBA 17 NA FARIDI MUSA |

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 369

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 2 місяці тому +20

    Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 2 місяці тому +12

    Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 2 місяці тому +9

    Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 2 місяці тому +42

    Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 2 місяці тому +5

    Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 2 місяці тому +6

    Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 2 місяці тому +47

    Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 2 місяці тому +5

    Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa2896 2 місяці тому +6

    Mungu ,watunze wasipate majeraha
    Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza.
    Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu
    Aminaa

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 2 місяці тому +14

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @octavianluambano9081
    @octavianluambano9081 2 місяці тому +16

    Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 2 місяці тому +7

    Faridi is incredible player. Well done

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 2 місяці тому +22

    Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 2 місяці тому +37

    Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍

    • @ShakiraMasoud-ox5tj
      @ShakiraMasoud-ox5tj 2 місяці тому +1

      Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 2 місяці тому

      ​@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo

  • @yussufshaaban1013
    @yussufshaaban1013 2 місяці тому +3

    Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 2 місяці тому +18

    Farid much respect wananchi tunakupenda ❤

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 2 місяці тому +5

    Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 2 місяці тому +42

    Farid ni mtu wa mungu sana

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 2 місяці тому +4

    Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih

  • @jumambwambo
    @jumambwambo 2 місяці тому +8

    Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan7298 2 місяці тому +36

    Ahsante farid mussa malick

  • @JosephEthan-z6o
    @JosephEthan-z6o 2 місяці тому +5

    Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤
    LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 2 місяці тому +2

    Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...

  • @NgasaLuhamba
    @NgasaLuhamba 2 місяці тому +4

    Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 2 місяці тому +3

    Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 місяці тому +1

    Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @JusminSaid-zi6id
    @JusminSaid-zi6id 2 місяці тому +2

    Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah

  • @ShukranKawind
    @ShukranKawind 2 місяці тому +27

    Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 2 місяці тому +11

    Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂

  • @raymondkisinga4374
    @raymondkisinga4374 2 місяці тому +12

    Big Up Farid Musa👏👏

  • @FredyPeter-rn2il
    @FredyPeter-rn2il 2 місяці тому +10

    Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm 2 місяці тому +69

    Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns

  • @BonifasMjuni-zi1wg
    @BonifasMjuni-zi1wg 2 місяці тому +8

    Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb 2 місяці тому

      Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali..
      Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 2 місяці тому

    Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.

  • @LuckyAden-cd7wo
    @LuckyAden-cd7wo 2 місяці тому

    Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 2 місяці тому +5

    Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 місяці тому +6

    Respect kwako Farid Mussa

  • @gwantualexis4064
    @gwantualexis4064 2 місяці тому +7

    Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃‍♀️‍➡️..😅😅

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 місяці тому

      😂😂😂

    • @HadiaMohammed-ec2dn
      @HadiaMohammed-ec2dn 2 місяці тому

      Hahaha kama sio yy

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb 2 місяці тому +1

      Hapo anawaza mchakato wa kujipambania kwenye kupata nafas na kuzitumia vzur... Maana nayy Sasa kazini kwake Kuna kaz

  • @AdolfJosephmassawe
    @AdolfJosephmassawe 2 місяці тому +3

    Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 2 місяці тому +9

    Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 2 місяці тому

    Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 2 місяці тому +6

    Narudia tena kusema
    MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 2 місяці тому +6

    Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 2 місяці тому +18

    Asante kaka Farid Musa

  • @Shadia544
    @Shadia544 2 місяці тому +10

    Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 місяці тому

    Kumbe Kiswahili kinapanda vizuri maa'shaallah 💚💛💚💛

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 2 місяці тому +3

    Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko 2 місяці тому +7

    Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂

  • @steamtvtz
    @steamtvtz 2 місяці тому +5

    Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 місяці тому +9

    😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz 2 місяці тому +1

      😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 місяці тому

      Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan 2 місяці тому

      Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 2 місяці тому

      @@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 місяці тому

      @@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.

  • @_kidayyo
    @_kidayyo 2 місяці тому +6

    Faridi hanaga baya🔥🔥🔥👏

  • @SüddyThíägø
    @SüddyThíägø 2 місяці тому +7

    Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛

  • @amidoibraimo6021
    @amidoibraimo6021 2 місяці тому

    Ongera Faridy kwa uweledi ulionae big up sana

  • @MichelEliya
    @MichelEliya 2 місяці тому

    Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 2 місяці тому

    Mungu akubariki farid musa malick for the love

  • @SaimonPaul-r2v
    @SaimonPaul-r2v 2 місяці тому +6

    Kubali sana faridi musa

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 2 місяці тому +2

    Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc 2 місяці тому +5

    Naipenda sana yanga

  • @AtuAtu-v9f
    @AtuAtu-v9f 2 місяці тому

    Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz 2 місяці тому

    Farid ur man full of love to the fellow player

  • @CalvinMbaraka
    @CalvinMbaraka 2 місяці тому

    So wise Farid much respect

  • @fikcountry5547
    @fikcountry5547 2 місяці тому

    Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕

  • @mkombozimella8436
    @mkombozimella8436 2 місяці тому

    Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 місяці тому +9

    Mshery anategea😂😂

  • @SarhaSaid
    @SarhaSaid 2 місяці тому +8

    Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote

  • @CosmasCosam
    @CosmasCosam 2 місяці тому

    Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew

  • @tintin0019
    @tintin0019 2 місяці тому +8

    OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA

    • @paulnzilo7252
      @paulnzilo7252 2 місяці тому

      😂😂😂😂 meno aina gani huchangia kupata injury?

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 місяці тому +2

    Twatotela baiche for playing for WANANCHI

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 2 місяці тому +1

    ❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana

  • @BeckaJunior
    @BeckaJunior 2 місяці тому +1

    Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅

  • @VanesaKeneth
    @VanesaKeneth 2 місяці тому

    Farid mungu akutangulie muungwana sana

  • @RazakciAbdulRazakciAbdul
    @RazakciAbdulRazakciAbdul 2 місяці тому

    Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba

  • @ErastoAmosy
    @ErastoAmosy 2 місяці тому

    Umetisha farid bigp saana

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 2 місяці тому +1

    Big up kwa Farid Musa ❤

  • @RamsoPedro
    @RamsoPedro 2 місяці тому +10

    Yanga bwana mko Vizuri

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 2 місяці тому +6

    Chama mbona kama amepania sana 😅😅

  • @HamisKibungulu
    @HamisKibungulu 2 місяці тому +1

    Big up faridi ndo uhungwana huo

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 2 місяці тому

    Chama mwenyewe kakubali "yaani kwa mazoezi haya ni sahihi mlivotupiga zile 5"😅😅

  • @pascaljonathan6865
    @pascaljonathan6865 2 місяці тому

    Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu 2 місяці тому

    Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 2 місяці тому

    be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 2 місяці тому

    Mtu wa maana kabisa Farid Musa, mzidi kudumu katika hilo pendo wachezaji wetu.

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 2 місяці тому +4

    Big up farid mussa

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉 naombeni tu mfocus na mambo yenu msijekutolewa mchezoni kwa figisu zozote zile

  • @elisantemoses1602
    @elisantemoses1602 2 місяці тому

    ❤❤❤ faridi ni mtu na nusu haswa

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 2 місяці тому

    Safi sana Faridi, umeonyesha Umoja, na ni Is hara nzuri sana.
    Kwa Umoja huo, Ajae mbele yenu nu Halali yenu, maana YANGA ilisha on a Mazuri na Mabaya, kilicho Dalia ni kupiga nao tu
    🖐kwa🐔

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 2 місяці тому +3

    Uta ng'aa sana msimu ujao, 12 ni namba ya baraka

  • @shabaniiddi510
    @shabaniiddi510 2 місяці тому

    Farid unajua sana mdogo angu sema endelea kukaza utafika mbali sana na kukubali kinoma

  • @KiletoKahima
    @KiletoKahima 2 місяці тому

    Asante sana upendo wenu

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 2 місяці тому

    NATAKA kuona combination ya Aucho, Mkude, Chama na Pacoume

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 2 місяці тому

    Hapo wanapngelea simba jike shirikisho

  • @DavisSongolo
    @DavisSongolo 2 місяці тому +1

    Ukomavuuu mkubwa sana kwa Farid 👏👏👏

  • @ChachaWambura-ol2lq
    @ChachaWambura-ol2lq 2 місяці тому +1

    Hapo sawa kama kapewa jezi yake kazi ipo

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 2 місяці тому +1

    Ewaaaah..wamekwisha sasa😂

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 2 місяці тому

    Hiyo Avic Town Nizaidi Yahuko Walikoenda Hao Jirani Zetu Kuzurura.

  • @agustinombawala5527
    @agustinombawala5527 2 місяці тому

    safi kabisa na Mkude nae epewe jezi yake namba 20 mana MAUYA kasepa

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnaga 2 місяці тому

    Farid respect 💪💪💪💪🙏

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 2 місяці тому

    Like za dada alovaa tight nyekundu na weusi ❤

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 2 місяці тому

    Eeehee km alivyotamani Aucho wamekutana kucheza pamoja.

  • @ellymtz6886
    @ellymtz6886 2 місяці тому

    Safi sana faridi Musa..🙏🏻