Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.
Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.
Mungu ,watunze wasipate majeraha Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza. Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu Aminaa
Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍
Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏
Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa
Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali.. Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia
😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko
Safi sana Faridi, umeonyesha Umoja, na ni Is hara nzuri sana. Kwa Umoja huo, Ajae mbele yenu nu Halali yenu, maana YANGA ilisha on a Mazuri na Mabaya, kilicho Dalia ni kupiga nao tu 🖐kwa🐔
Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid
Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.
Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana
Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu
Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.
Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen
Amen🙏🙏
Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari
Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰
Mungu ,watunze wasipate majeraha
Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza.
Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu
Aminaa
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga
Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏
Faridi is incredible player. Well done
Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤
Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍
Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅
@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo
Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin
Farid much respect wananchi tunakupenda ❤
Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏
Farid ni mtu wa mungu sana
Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih
Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa
Ahsante farid mussa malick
Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤
LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤
Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...
Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA
Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions
Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah
Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu
Ila watu 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂Akh nacheka zangu tuu mie😅😅
😂😂
Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂
Mke wa mtu huyo yupo kazini🤣
Oi😂😂😂😂🙌
😂😂😂😂
Mmmh balaaa😂
Big Up Farid Musa👏👏
Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF
Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns
Kazi iendelee
Ushindi uendelee furaha idumu na makombe yaendeleea
Makombe yaongezeke😅😅
Daima mbele nyuma mwiko
Ubingwa uendelee
Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid
Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali..
Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia
Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.
Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚
Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja
Respect kwako Farid Mussa
Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃♀️➡️..😅😅
😂😂😂
Hahaha kama sio yy
Hapo anawaza mchakato wa kujipambania kwenye kupata nafas na kuzitumia vzur... Maana nayy Sasa kazini kwake Kuna kaz
Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih
Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana
kwan unajua analipwa shingapi
Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana
Narudia tena kusema
MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!
Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉
Asante kaka Farid Musa
Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂
Kumbe Kiswahili kinapanda vizuri maa'shaallah 💚💛💚💛
Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha
Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂
Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20
😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko
😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana
Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂
Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂
@@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu
@@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.
Faridi hanaga baya🔥🔥🔥👏
Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛
Ongera Faridy kwa uweledi ulionae big up sana
Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛
Mungu akubariki farid musa malick for the love
Kubali sana faridi musa
Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏
Naipenda sana yanga
Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee
Farid ur man full of love to the fellow player
So wise Farid much respect
Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕
Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana
Mshery anategea😂😂
Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote
Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew
OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA
😂😂😂😂 meno aina gani huchangia kupata injury?
Twatotela baiche for playing for WANANCHI
❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana
Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅
Farid mungu akutangulie muungwana sana
Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba
Umetisha farid bigp saana
Big up kwa Farid Musa ❤
Yanga bwana mko Vizuri
Chama mbona kama amepania sana 😅😅
😂😂😂😂😂
Hahahaha,,,,,Mpira ni umri kaka!!
@@jumakapilima7295 Tusubiri tuone kama ni kweli. Kuna wazee wa kazi.
Big up faridi ndo uhungwana huo
Chama mwenyewe kakubali "yaani kwa mazoezi haya ni sahihi mlivotupiga zile 5"😅😅
Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee
Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤
We huogopi?
be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things
Mtu wa maana kabisa Farid Musa, mzidi kudumu katika hilo pendo wachezaji wetu.
Big up farid mussa
🎉🎉🎉🎉 naombeni tu mfocus na mambo yenu msijekutolewa mchezoni kwa figisu zozote zile
❤❤❤ faridi ni mtu na nusu haswa
Safi sana Faridi, umeonyesha Umoja, na ni Is hara nzuri sana.
Kwa Umoja huo, Ajae mbele yenu nu Halali yenu, maana YANGA ilisha on a Mazuri na Mabaya, kilicho Dalia ni kupiga nao tu
🖐kwa🐔
Uta ng'aa sana msimu ujao, 12 ni namba ya baraka
Farid unajua sana mdogo angu sema endelea kukaza utafika mbali sana na kukubali kinoma
Asante sana upendo wenu
NATAKA kuona combination ya Aucho, Mkude, Chama na Pacoume
Hapo wanapngelea simba jike shirikisho
Ukomavuuu mkubwa sana kwa Farid 👏👏👏
Hapo sawa kama kapewa jezi yake kazi ipo
Ewaaaah..wamekwisha sasa😂
Hiyo Avic Town Nizaidi Yahuko Walikoenda Hao Jirani Zetu Kuzurura.
safi kabisa na Mkude nae epewe jezi yake namba 20 mana MAUYA kasepa
Farid respect 💪💪💪💪🙏
Like za dada alovaa tight nyekundu na weusi ❤
Eeehee km alivyotamani Aucho wamekutana kucheza pamoja.
Safi sana faridi Musa..🙏🏻