Mtanzania apigwa KO | Mwinyi Mzegela vs Sabari J | Mo Boxing - 30/09/2022
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2022
- Tazama jinsi Mtanzania Mwinyi Mzegela alivyopigwa KO dhidi ya Sabari J kwenye usiku wa Mo Boxing , Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
- Спорт
Hiyo nzuri Sana maana hao wangemaliza round hizo ubingwa angepewa mtanzania tu kwa ninavyowajua majaji wetu.
🇮🇳India power 🔥
🥊தமிழன்🇮🇳💪😎
ONGELEN MABOSS
WAKITANZIA KWA KUUJUA
VZL MCHEZO WA BOXING
NA KUUPA NGUVU YA KUHUSIMAMIA
NAJUA APA AJIRA MUMEZIONGEZA
KWA VIJANA WA KITANZANIA
asant big boss #AZAM vs boss #MO
🇹🇿🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💪💪
Mnaongea sana wachambuzi utazan tunaangalia movie za kina achecheeee 🤣
Congratulations macha 🇮🇳🇮🇳🇮🇳🇮🇳SABARI🇮🇳🇮🇳🇮🇳🇮🇳
Kwani Upendo Njau jana ulikuja na Upako wa KO tu tena za kukaribia kufa mtuuuu......😄 🤣
Khatarnak counter attack 💥💥💥
Jamaa yetu kalishwa tambuu dah 😢😢😢
😂😂😂😂😂
Yaani mpk ZIMEMPALIA...!..
daah mtaniulia anko wangu jaman 🤣🤣🤣
Bora mandonga mtu kaz tatizo apig kwa targets alafu kuna Point part nying anaziach kulingana na kimo cha mwenzake then ayupo fasta ila yuko vzur kasoro zake ni ndogo
Heshima Ya ngumi imerejea Asanten Azamtv
Ipo siku atakufa mtu ndio mtatulia
Kuna rafiki yangu alikuwa anapiga ngumu boxing akaandaliwa pambano rafiki yangu akawa anapigwa ngumi za tumbo itabidi adondeke chini game ikaisha baada ya hapo akabanwa haja alijisaidia kila kitu anakwambia alijaza sinki ilikuwa kidgo anye na utumbo kwa hyo ngumi zisikie tu kwa mandonga
Wale wale wahindi mnao wadharau kua ni dhaifu ndo wanawapiga hapa hapa kwenu TENA kwa KO MBAYA
Sa mwinyi mbona ka Mzee 🤔
Wabongo maneno mengi huyo muhindi kamzidi sana huyo mwana yani kayakanyaga
Boxer sana
Sana
U inspire. Bro
Mbona kama kamng'oa jino moja
Huyu mdosi anapiga NGUMI mbaya TENA za kushtukiza
Brigadier Sabari !! Funga Kalomo!!
Serekali ya Tanzania ijaribu kuwapatia kazi wana nch vyenginevyo tutakuja kupoteza nguvu kazi ya vijana wetu kwasababu watakuja kuuliwa ulingoni kutokana na njaa zao😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣
Duuu
😂😂😂😂😂nimecheka kichizi
Mass bro 🔥🔥🔥💙
Yaani hizi pesa nyoko kabisa watu wanalipa kuona mnatoana meno 😂😂😂
Super bro.
Mtanzania alikuwa amechoka sanaa lazima alale tu
Camera man upo juuu sana picha zinaonekana ndogo
Ibrahim clasic
Uandishi wenu Azam. Andika Mwinyi Bondia kutoka Tanzania. Mpe hadhi ya jina lake kwanza.
Huyo amepigwa ngumi mchomoko
Pole san
Super sabari bro❤️
Yes really, SABAR anajua..!..his from India where , GUJRAT..?
Hapo mandonga angekufa mapema sana jama mbaya sana
Commentators are talking to Much, give we viewers a break please
Au Mhindi kabebwa..?😜
😂😂😂
Mbongo kqpigika kweli kweli sio poa
Huyo baniani puru ni hatari sana
KATUMWA KUTOKA TANDALE HAYA RUDISHA MAJIBU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wabongo jeuri nyingi
Boxing nzur , wapambanaji wote wazuri ila wale wamexico wawili mmetupiga , hawana uwezo , hata panching zao ni nyepesi
Mwinyi skills poor
Hamnaga jema watz
Huu mchezo watu wanacheza tu lakini ni hatari sana
Nampenda sana pendo ndauka
aya waaandae sasa maeneo au eneo maalum la.boxing
Yaani unapigwa na kuchi kuchi hotahe ??
anajua kupigana
Kidevu cha mwinyi ni kigumu
Nikajua meno yameng'olewa, bora mtangazaji ulivyosema
Ibrahim classic
Mmmh make apo kwanza nicheke,kidevu cha mzengera kigumu😂😂🐀
Wabongo kelele nyingi Yaani Kachori bagia na pili pili kaamsha popo 😂😂😂
😂😂😂
tunaelewa kwamba mchezo huu ni mgumu lakn huyu jamaa ni hafai kuwa bondia tena wa kutegemewa na sjui ngumi hiz huwa anafanyia wapi mazoez ngumi haina nguvu bado utulivu hana tu kiujuma ni mmbovu mmbovu wa kutupwa sio wa kubetia hata mia .
Safi
Ila mbongoo kapigwa na kucikuchi hotaeeee
Kwahiyo mo kaamia kwenye ngumi
Tafuta hela
Haya mautopolo mengine muwe mnayapeleka huko yanatuaibisha tu pumbavu haya
kuelezea ngumi
Mmmh
Ngumi kaziii nyieee mkitakakujua kama ngumi nikaziiiii muuuulizeni mandongaaaa
Kapigwa mtu Kama ngoma
Huyu Sabar aje apigane na mandonga
Nyie watangazaji vipi? Mnamtetea mbongo bure tu.
MO ameleta mabondia Azam shiw zenu mnaleta utopolo,hii ndio Ngumi tunazozitaka sio kina mandonga
Mbona hana Broadcasting yake huyo MO. Acheni kuleta maneno we unaona hapo kuna ushirikiano wa biashara kuna mo na azam tv. Acheni porojo
@@beatbyrich2891 Azam anafanya biashala yake ya kuonesha live,lakini hausiki kuleta MABONDIA Azam akiwa na mapambani yake mabondia wake kinamandonga hawana akili ata ya mchezo wenyewe.
Chuki zitakuuuwa
Panda WW upambane
Vera level sabari😍😍
Mandonga wa pili
Analeta ngumi zamtaani huku
...wamemzabaaa...
Kabamizwa vizuri tu. Ni kama jino limerushwa !?
TWAAKIDUKU
🤣🤣🤣
Hl😅😅😅😅😅
Ngumi daahh huu mchezo
Mwinye mzengele kawa kiande kiasi ichi
@@yussufpazzi6715 ...yaani ni KACHAKAA vibaya sana..!
Watnzania ifke mahla tbdlke xo kpgwa kzmbe agstno wa dodom
Mtanzania wetu sijui kala kiepe ndo kaingia ulingoni mbona ngumi haina kishindo, kama anagusa gusa tu
Unasema ile ngumi haina kishindo?ahahaha ile straight counter punch imenasa kwenye kidevu asilimia zote!
@@almuhtaramzamil kachoka choka sana wengine cjui wazamini wamemlixha white soup ndo maana anaogelea nilijifunza ngumi kwa matumla keko mwezi mmoja ila xtopigana hivyo
Pole san