VITASA | HARUNA SWANGA VS ASHRAF SULEIMAN
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Hii ngumi tuiiteje? Bondia Ashraf Suleiman amekula KO kutoka kwa 'mjeda' Haruna Swanga kwenye raundi ya pili ya pambano hilo.
#MtataMtatuzi #VitasaNight #UsikuWaVitasa #MwakinyoVsAllotey #GoldenBoyPromotion #Vitasa #Boxing #MtataMtatuziSeason2
💪💪💪💪💪💪
Ngumi bila mandonga sio tamu
Huyu Ashraf mazoezi hamna aache ngumi sasa
Nilishasemaga huyu swanga atakuja kuua mtu ulingoni
Mnauakika uyuu ni mwanajeshi
Sema pendo njau mpuuzi sana huyu refa anapenda sana kuhesqbu haraka harka kumaliza pamban sjui anashida gani
Unataka mpka mtu afe ndo ahesabu cyo?
Ulevi wa kupenda ugomvi nakupigana unawafanya mabondia wakongwe bado watamani kucheza hata kama mili tayari haina tena uwezo.Ashrafu ni mtu alietoa mchango mkubwa sana katika Boxing ya Tanzania.Haswa upande wa visiwani.
kwakweli mwakinyo hafai kabisa kwenye nchi hii maan hapendwi na yeye mwenyewe naamin ndo anayataka mwenyew anajigamba ajue hii nchi ina wenyewe arulie2 aache maneno
Sasa mwakinyo kosa lake nn Wacha ushoga wewe iyo ni kazi sio vita tuu.fatilia vzr nn kimetokea
Mwakinyo Leo hajakosea
unajua sababu au unalaumu tu kama hujuwi kaa kimyaa kama mm