Twaha ni bondia wa daraja la chini sana. Ngumi zake hazivutii hata kidogo. Mganda alishinda sema mcheza kwao hutuzwa. Twaha akifikisha umri wa huyo jamaa atakuwa hawezi kucheza hata kidogo.
Yani kama ushindi ni wa points Twaha hakutakiwa kushinda hii mechi, katika round 10 nafikiri Twaha angalau round 4 kajitahidi kidogo kucheza ila hizo 6 zote kapigwa. Twaha havutii kiuchazaji hana technics wala tactics yeye anacheza tu kwa kukinga na kupiga kwa kutumia nguvu na aina yake ndio hiyo hiyo tu. Nikwakua tu huyu mganda hakua na nguvu za kutosha za kumdondosha na umri pia umechangia, lakini kiuchezaji alikua bora sana alikonesha vitu kadhaa vya kiufundi.
Twaha kiduku anapenda ngumi. Ajifunze ngumi za waliofanikiwa kama Lenox na aache kujifunika usoni hizo ngumi kizamani zishapitwa nawakati lazima uwe open mpinzani umuone muda wote . Ushauri jiunge kambi za jeshi hapa Dar utajua ngumi nautawabonda sana naupunguze sifa ngumi hujui
Twaha anatumia nguvu nyingi maarifa kidogo.Mwalimu wake ana kazi ya kufanya.Vinginevyo mwalimu wake apishe wengine hili ni pambano la pili shughuli inayofanyika ulingoni haisisimui.USHINDI UPATIKANE KWA MAPANA siyo kwa mashaka hivi.
mimi ni shabiki wa kiduku, lakini naona kama kiduku ameishiwa maarifa kabisa, nafikiri shida ni kocha, hana maarifa kabisa yakuweza kumbadirisha bondia, maana bondia kila laundi anakuja kwa staili ile ile habadiriki kabisa,
Mm ni mtanzania ila hapa ameshinda jamaa wa uganda twaha ndugu yetu apa umebebwa na usije ukanengeneka ukaingia kwa mwakinyo kitakachotokea is dead ❤tunakupenda tafuta mwalimu
Kiwango kimeshuka sana, hujabqdirisha mchezo Tangu umeanza,ngumi zote mpinzani anaziona, huna uper cut wala huk, no body punch, no jab, mm shabiki yako sijaridhika kabisa, leo mm nahesabu umepigwa. Umepooza sanaaa.
Nimemuona Twaha kwa mara ya kwanza ana athari za kupoteza lile pambano na msouth amejenga kutojiamini akihisi sisi washabiki wake tumekata tamaa na yeye.Rudisha kujiamini champion ulipo tupo
Twaha ananguvu lakini Hana maarifa bado ni bondia ambaye hajapata mwalimu sahihi wa ngumu hawa waalimu wanaomfundisha twaha uwezo wao wa kufungisha ngumi ni mdogo Sana hivyo anacheza twaha cku akikutana na mabondia wenye maarifa atapigwa mapema sana
Twaha ana pigana kizamani sana sio ki professional ndo maana alipigwa na yule bondia wa South Africa tena kirahis Twaha anatakiwa atafutiwe kocha mwingine mwenye uwezo mkubwa
Kama imewezekana kumtangaza Twaha mshindi ktk pambano hili ilishindikana nini kumtangaza Dullah Mbabe mshindi ktk pambano lake dhidi ya Katompa? Kusema ukweli Twaha amepigwa! Clear punch za kutosha zimetua kichwani mwake na mwenyewe alishakata tamaa baada ya game kumalizika. Tukiamua kubeba watu wetu basi tuwabebe wote sio kuchagua.
Twaha Bado, ukikutana na bondia aliyeshiba km wew ni rahic kupigwa, target huna afu nguvu za miguu pia hamna. Kwa Mwakinyo bado sana hata usijidanganye utapigwa vibaya
Hakuna bondia hapo! Mi naona walevi wawili.Ndio maana Mwakinyo anasema mabondia wa uswahilini,Huwa wanaletewa mabindia walevi.Kiduku hawezi pigana na Mwakinyo ata jiabisha.
Mapambano yote ya tarehe 26/12/23 boxing Tanzania mkenya🇰🇪,mganda na yule m south Africa walishinda lakini majaji wa Tanzania wakawapa ushindi mabondia wa Tanzania Bure kabisa
Azam tv muwe na aibu bas hata kwa captions zenu .kiusahihi mnashusha vipaji na mvuto wa ngumi Tanzania.kwa ngumi gan bas? Msiwabweteshe vijana wetu waone boxing ni upumbavu😢 nmejiskia hata kumchallenge twaha kwa ngumi hzo😂 punguzeni kusifia uongo angalau mueleze ukwel .kwanzia watangazaji wenu mpaka media yenu ni utumbo kwny boxing ingawa ndo mnaibeba tz kwa sector hio
Asee kwakwel kilichotokea jana n jambo la aibu mnoo. Twaah amebebwa wazi wazi, ata kam n uzalendo kwanza ila sio kwa uzalendo wa hovyo km ule sebyara alistahili kushinda. Ni aibuu kwakwel munatupotezea muda wetu kukesha alafu munafanya mambo meusi meusi
Sijajua katika kuamua matokeo watu wanaangaliaga kitu gani,,sana. Twaha niliyekuwa naona MCHEZO wake siku za nyuma..simuoni tena,,naumona twaha mzito mwenye mbinu za kawaida sana,watu wanataka ngumi so maneno,,namuona mpinzani aliyekuja na MCHEZO mzuri ila mpinzani wake kamtoa mchezoni,,this is not fear...ningeambiwa niamue..ningempa mpinzani
Kiduku tafuta mwalimu huyo mwalimu anakujaza kifua tu mbinu hakuna levo ya mwalimu na wewe haiendani amekutowa mbali sawa ulipofikia akuache usonge mbele
Watanzania watu wa ajabu leo tunamuona twaha hana kitu bondia mwakinyo tuu ila huyo mwakinyo akipanda ulingoni kiatu kinabana huyo mwakinyo hana lolote mm bola uniambie bondia kidunda nitakuelewa na sio mwakinyo
bondia bora tanzania ni mwakinyo angekuwa amemaliza huo mchezo kitambo sio hao ambao wanapigana mwili mzima🇰🇪
0:34
0:34
Twaha ni bondia wa daraja la chini sana. Ngumi zake hazivutii hata kidogo. Mganda alishinda sema mcheza kwao hutuzwa. Twaha akifikisha umri wa huyo jamaa atakuwa hawezi kucheza hata kidogo.
Tunafurahi mtanzania anaposhinda, lkn Twaha jifunze kulenga target na mazoezi ya miguu ongeza. Mwakinyo anakuzidi vingi usiendelee kumlilia
Ana ngumi zakizaman Makota kota Ina bidi abadilike sana
Mabondia wote hao walevi tuu😂😂😂😂😂
hamna bondia hapo,halafu mnambeza mwakinyo no moja tanzania mwaninyo pigana na mambondio wa nnje tanzania unafiki tu
Twaha kwakweli, kiwango kimechuka sana kwa namna hii huwezi ku maliza round Tano kwa Mwakinyo.
Ngumi zakizamani sana twaa kiduku unazngua sana tafta kocha ngumi zako znachosha san
Twaha hatakiwi kuambari
Shafii
Twaha ameisha siyule tunayemjua bendera chuma mlingoti chuma
*Eti hana maarifa naalieshinda ninani acheni roho mbaya zenye wivu twaha tuwakilishe vyema Mungu akupe afya t*
Yani kama ushindi ni wa points Twaha hakutakiwa kushinda hii mechi, katika round 10 nafikiri Twaha angalau round 4 kajitahidi kidogo kucheza ila hizo 6 zote kapigwa.
Twaha havutii kiuchazaji hana technics wala tactics yeye anacheza tu kwa kukinga na kupiga kwa kutumia nguvu na aina yake ndio hiyo hiyo tu.
Nikwakua tu huyu mganda hakua na nguvu za kutosha za kumdondosha na umri pia umechangia, lakini kiuchezaji alikua bora sana alikonesha vitu kadhaa vya kiufundi.
Waangalia nn mpka wasema hivyoo mbona hii twaha kacheza vyematu
Twaha kiduku anapenda ngumi. Ajifunze ngumi za waliofanikiwa kama Lenox na aache kujifunika usoni hizo ngumi kizamani zishapitwa nawakati lazima uwe open mpinzani umuone muda wote . Ushauri jiunge kambi za jeshi hapa Dar utajua ngumi nautawabonda sana naupunguze sifa ngumi hujui
Twaha yuko vizuri
Mwanang twaha Bado anahitaji shule mpaka najiuliza why nimembandika kweny salon yangu
Twaha anatumia nguvu nyingi maarifa kidogo.Mwalimu wake ana kazi ya kufanya.Vinginevyo mwalimu wake apishe wengine hili ni pambano la pili shughuli inayofanyika ulingoni haisisimui.USHINDI UPATIKANE KWA MAPANA siyo kwa mashaka hivi.
bdo mwakinyo is btter
Uamuzi sijaukubali hata kidogo Kuna upendeleo kiduku,kabebwa Sana
Twaha ameshuka kiwango sana, sijui ana tatizo gani, labda umri unamtupa mkono sana.
Sipotezi muda wangu tena kuangalia mapambano ya twaha kiduku,Bado sana ajifunze mengi kupitia kwa mdg ake Hassan Mwakinyo
mimi ni shabiki wa kiduku, lakini naona kama kiduku ameishiwa maarifa kabisa, nafikiri shida ni kocha, hana maarifa kabisa yakuweza kumbadirisha bondia, maana bondia kila laundi anakuja kwa staili ile ile habadiriki kabisa,
Mm ni mtanzania ila hapa ameshinda jamaa wa uganda twaha ndugu yetu apa umebebwa na usije ukanengeneka ukaingia kwa mwakinyo kitakachotokea is dead ❤tunakupenda tafuta mwalimu
Kiwango kimeshuka sana, hujabqdirisha mchezo Tangu umeanza,ngumi zote mpinzani anaziona, huna uper cut wala huk, no body punch, no jab, mm shabiki yako sijaridhika kabisa, leo mm nahesabu umepigwa. Umepooza sanaaa.
Kiduku yupo vizuri ukimpa nafasi anakulambisha mchanga ila kama ana loose confidence
Twaha ongez maarifa kama yakutumia JEBU,SHOULDER STYLE, BORDER PUNCH, HEAD MOVEMENT,FAKE PUNCH na piga mazoezi ya wepes sana
We unaweza kuyafanya ayo
Nimemuona Twaha kwa mara ya kwanza ana athari za kupoteza lile pambano na msouth amejenga kutojiamini akihisi sisi washabiki wake tumekata tamaa na yeye.Rudisha kujiamini champion ulipo tupo
Daaaaah tz boi umebebwa
Uyoo ndo ana mtaka mwakinyo kwa ngumi izoo yan anatumia nguvu nyingi akil kidogo
Ivii twaa uyuuu ndio yuree au uyuu ndugu yakee simuerewi ujuee unapigana naa mzee anakusumbua mpaka kwa pwent ataa Mimi uyoo afiki raund 4 nauwaa kabisaa😂😂😂
Twaha amechoka sana , au amekuwa Mzee!
Twaha ananguvu lakini Hana maarifa bado ni bondia ambaye hajapata mwalimu sahihi wa ngumu hawa waalimu wanaomfundisha twaha uwezo wao wa kufungisha ngumi ni mdogo Sana hivyo anacheza twaha cku akikutana na mabondia wenye maarifa atapigwa mapema sana
Umbea ci ukamfundixhe ww unae wez
Wacha watukane lakini huo ndio ukweli anaamini nguvu zaidi kuliko maarifa ya ngumi
Upo sahihi kabisa Bora wewe una jicho la mbali
Nikweli bro umenena
Yes upo sahihi ndo maana pambano lililopita kabla ya hili alipigwa kirahisi sana kwa kuwa mpinzani wake alitumia akili mno.
Twaha ana pigana kizamani sana sio ki professional ndo maana alipigwa na yule bondia wa South Africa tena kirahis
Twaha anatakiwa atafutiwe kocha mwingine mwenye uwezo mkubwa
Hamna kitu mtu wa Uganda alistahili ushindi sema huku kubebana ndio mkienda njee mnapigwa
Kama imewezekana kumtangaza Twaha mshindi ktk pambano hili ilishindikana nini kumtangaza Dullah Mbabe mshindi ktk pambano lake dhidi ya Katompa? Kusema ukweli Twaha amepigwa! Clear punch za kutosha zimetua kichwani mwake na mwenyewe alishakata tamaa baada ya game kumalizika. Tukiamua kubeba watu wetu basi tuwabebe wote sio kuchagua.
Uganda Ndio kashida acheni Upendeleo.
I am big fan wa twaha lakin kwa ii sijaonaga maajabu yoyote ya twaha kwl uko chini ya kiwango kabisa
Kiduku
Mimi hapa namsifu mohammed...twaha anavamia tu
Live kiduku bado😢😢
Twaha Bado, ukikutana na bondia aliyeshiba km wew ni rahic kupigwa, target huna afu nguvu za miguu pia hamna. Kwa Mwakinyo bado sana hata usijidanganye utapigwa vibaya
Mwakinyo mwenyewe jina tu hamna kitu
Nyie nao chezeni na nyinyi
TWAHA KIDUKU HUY CY MWL BORA KWAKO. JITAHIDI KUTAFUTA MWALIMU SAHIHI KWAKO ILI AKUPE MAARIFA ZAIDI
Mh ongeen tu umeshawah kupanda ata kwa dk 3
Donlod
Pambana kaka Twaha Allah atakujalia huna baya kaka
Hakuna ngumi hapo
Hakuna bondia hapo! Mi naona walevi wawili.Ndio maana Mwakinyo anasema mabondia wa uswahilini,Huwa wanaletewa mabindia walevi.Kiduku hawezi pigana na Mwakinyo ata jiabisha.
Mapambano yote ya tarehe 26/12/23 boxing Tanzania mkenya🇰🇪,mganda na yule m south Africa walishinda lakini majaji wa Tanzania wakawapa ushindi mabondia wa Tanzania Bure kabisa
Twaha nguvu unazo bro lakn tumiya akili ukipata bondia mzur atakulaza huna tekiniki jitahid kutumiya akili kuliko nguvu
Mganda ameshinda kwa macho yangu nimeona cio Twaha
Hasani mwakinyo atabaki kuw juu tu twaha amna kitu mbundia wa miaka iyo bado anakusumbuwa mpka ukaisabiane nae point kweli
1234
Twaha ngumi hazijui. Jab ndio kila kitu kwenye kupigana. Yeye anatumia maguvu tu. Corner yake pia hawamshauri
Mshindi kapangwa
Azam tv muwe na aibu bas hata kwa captions zenu .kiusahihi mnashusha vipaji na mvuto wa ngumi Tanzania.kwa ngumi gan bas? Msiwabweteshe vijana wetu waone boxing ni upumbavu😢 nmejiskia hata kumchallenge twaha kwa ngumi hzo😂 punguzeni kusifia uongo angalau mueleze ukwel .kwanzia watangazaji wenu mpaka media yenu ni utumbo kwny boxing ingawa ndo mnaibeba tz kwa sector hio
Twaa. Mzito speed yake yakawaida sana
Sho sho
Mcheza kwao utuzwa ndio kitakachotokea
Twaa kiduku ushakwisha umechoka sana
Mjomba twaha huna mwalimu
Box cyo mchezo WA taarabu ulirax box ni kufungua mikono ione Kane mcfanye haruuc au furara
Hili sio pambano....Twaha kapigwa
KILA MTU ANA NAMNA YAKE YA MCHEZO, NA MBONA ANASHINDAGA, KAMA KUBORESHA NI SAWA ILA ANAPAMBANA
hakuna bindia hapo nguvu bila akili bado hujasema twaha
Asee kwakwel kilichotokea jana n jambo la aibu mnoo. Twaah amebebwa wazi wazi, ata kam n uzalendo kwanza ila sio kwa uzalendo wa hovyo km ule sebyara alistahili kushinda. Ni aibuu kwakwel munatupotezea muda wetu kukesha alafu munafanya mambo meusi meusi
twaha akili ya ngumi hana kabisa abadilishe kocha ukitaka kumuona twaha mzuri apigane na dula mbabe
Twaha kiduku a k a Mr point
Sijajua katika kuamua matokeo watu wanaangaliaga kitu gani,,sana. Twaha niliyekuwa naona MCHEZO wake siku za nyuma..simuoni tena,,naumona twaha mzito mwenye mbinu za kawaida sana,watu wanataka ngumi so maneno,,namuona mpinzani aliyekuja na MCHEZO mzuri ila mpinzani wake kamtoa mchezoni,,this is not fear...ningeambiwa niamue..ningempa mpinzani
Ukweli brother am a Kenyan but hii wizi Wa boxing Sio poa
Twaha nakukubali ila kwa pambano hili umeniangusha
Twaha point chukua nyumbn tuu , pumzi inakata mapem sana
Twaha nguvu nyingi malifa kiduchu
Twaha mutaendelea kubebwa mpaka lini munaharibu mchezo ndio mukawa hanutoki njee ya tz hii gemu Twaha umepingwa haya umishinda kivipi
Twaha kashimda tu vizuri jamaa ni mgimu tu angeanguka
Bondia ambae Hana maarfa kabisa aan Yuko kaa kuku
Kiduku vurugu tupu, hajaonyeaha maajabu yoyote, ajipange upya
Show show
Kiduku tafuta mwalimu huyo mwalimu anakujaza kifua tu mbinu hakuna levo ya mwalimu na wewe haiendani amekutowa mbali sawa ulipofikia akuache usonge mbele
Shida ya twaha anaendekeza ushikaji na udugu kwenye kazi
Ila uyu twaha inamsaidia nguvu hana maharifa ht the way anatupa ngumi zake inathibitik iloo
Ingia wew ulingoni uone kama utatumia izo akili , mamaeeee 😂
Kumbe naww utopolo tu
Unaambiwa kweli usione ngumi ni rahis kama unavomkojolea mwanamke jombi
Tafut kazi ya kufanya twaha una nguvu kachome mkaa
Kuna namna Twaha anahitaji ama kupata mwalimu mwingine au yeye kuongeza mazoezi
Kiduku si bondia anarusha ngumi tu hapangili
HANA LOLOTE AISEEH. Huu Mzigo kashinde Mganda
Kiduku fanya mazoezi ya kua mwepesi mkino haitoki kwa mchezo unaocheza huta fika mbali mdogowangu
ni bondiya mzuri ila usitumie stail 1 uwe unabadisha.stail
Umeongea point na sio unafiki
duuuh kiduku akuna kitu
Jamn mwakinyo atabaki kua mwakinyo
Hii ni droo ya live kabisa
Hakuna dro hapo twaha kapigwa
Piga huyo Dereva wa malori😮😮😮😮
😅😅😅😅
😅😅😅😅
Acha ukuda we team mwakinyo
Kiufupi atafte kazi nyengine uyo twaa ajui kupigana nothing kabisa ana ki2
Tanzania tuandae vijana wapya Hawa wamechoka na mwakinyo Kawa mbabaishaji....tuandae wapiganaji wanao chipukia .
Uwe una mdanganya mpizani ili.askusome wapi una piga
Watanzani hatufanyi haki kabisa
Bora niletewe bondia tupigane family ipate ugali maragwe😂😅
Siku nimeona ngumi za kifala ni jana twaha kabebwa
Weweurikua unatakaje mbakamtu afe
Twaha huyo jamaa sio mzuri kiivoo lkn ukipata mtu mzuri anakuumiza unafosi kwenda unatanguliza kichwa twaha jitahidi
Acheni unafiki twaha kamtwanga huyu jamaa vizuri mpeni Maua yake
Ndy ngumi unapiga Ila tumia akili nyingi ukiwa ulingoni bro
Watanzania watu wa ajabu leo tunamuona twaha hana kitu bondia mwakinyo tuu ila huyo mwakinyo akipanda ulingoni kiatu kinabana huyo mwakinyo hana lolote mm bola uniambie bondia kidunda nitakuelewa na sio mwakinyo
Real
Mwakinyo anafaa kuwa chawa
Na sio bondia wa kuwakilisha Taifa
Kapigana na babu yake afu ushindi wenyewe hadi uutafute kwa tochi 😂😂😂...
Twaha anapiga nyuma ya kichwa