Daaah huyu jamaa ni muuaji Sana kachukua pesa akajikàusha dada wawatu ndio akazoa zaruba la kusingiziwa amlipe huyu dada kwa kumzalilisha kumbe kaacha watoto wawili kijijini looo jamani arudi akalee familia yake kijijini, pole Sana dada angu Halima.
Daaah nakupndag Bure Mungu anavyokutumia mwamuzi ukiwakilisha ufalme wa Mungu kama hekima Ile ya suleimni ishi miaka Mungu akutunze uwasaidie watu wake
baba nitakesha leo usiku nabii unikomboe baba nyota yangu irudi naalie kuwa anaitumia afee kabisa mtumishi amenitesa kwa muda mrefu nabii nisaidie na mimi nipate pesa na Mungu aibariki kazi yamikono yangu nikafanikiwe kupitia kazi hii maana ndoninayo itengemea baba kunipa riziki ya watoto wangu mtumishi Mungu azidi kukupa nguvu utukomboe sisi tunao onewa na wachawi kwa Jina la yesu kiristo aliye hai Mungu wa kiboko ya wachawi ainuliwe juu juu juu juu zaidi ameni
Wanawake tuna roho chfu sana kwa wanawake wenzetu mke alikuwa amewaka moto kwa binti wa watu swali ni atamsamehe mme wakekwa kutenda mara 777😂😂😂😂😂 apewe sifa YESU KRISTO kwa aliyotenda.
Lichomeni moto hapo2Mtamsafishaje hugo halima??Pole halima,Fukuxa hixo mbwa xote.Recho ulimpendea nn hilo surambaya?Mungu asante kwa kuonyesha ukweli.Hilo ni jambaxi lilipe hela xa wa2.Jambaxi hilooo.
Pastor si vema kuwaambia waendelee kuishi pampja kwa sababu huyo mwanamume ana wake zake huko kijijini. Ushauri wangu ni watu wahalalishe ndoa kama ulivyo utaratibu wa kiMungu. Vinginevyo hapo inakuwa tu ni kuja kupiga bao kwa mganga.
Daaah huyu jamaa ni muuaji Sana kachukua pesa akajikàusha dada wawatu ndio akazoa zaruba la kusingiziwa amlipe huyu dada kwa kumzalilisha kumbe kaacha watoto wawili kijijini looo jamani arudi akalee familia yake kijijini, pole Sana dada angu Halima.
BWANA ASIFIWE baba tabili maisha ya ndoa yangu na kipato changu nazurumiwa sana
Mchungaji nakupenda ulivo mwawazi hufichi unawaumbua mungu kukuzidishie miaka mingi uishi aminaa
Daaah nakupndag Bure Mungu anavyokutumia mwamuzi ukiwakilisha ufalme wa Mungu kama hekima Ile ya suleimni ishi miaka Mungu akutunze uwasaidie watu wake
Ahsante Yesu. Nabii uishi umri mrefu. Halima pole sana mwanangu. Kaza but, Mungu anaweza yote.
Umetufurahisha sana
mtumishi wa mungu nikomboe mmi na familia yangu nakuomba sana baba
Amina paster naomba unisaidie na maombi mm ni everlyne kutoka kenya
bwana yesu asifiwe mutumishi wamungu ubarikiwe namungu nabariki mama alie kusaa mungu akuinue amina
Mungu akubariki baba kuokowa maisha ya Halima
baba nitakesha leo usiku nabii unikomboe baba nyota yangu irudi naalie kuwa anaitumia afee kabisa mtumishi amenitesa kwa muda mrefu nabii nisaidie na mimi nipate pesa na Mungu aibariki kazi yamikono yangu nikafanikiwe kupitia kazi hii maana ndoninayo itengemea baba kunipa riziki ya watoto wangu mtumishi Mungu azidi kukupa nguvu utukomboe sisi tunao onewa na wachawi kwa Jina la yesu kiristo aliye hai Mungu wa kiboko ya wachawi ainuliwe juu juu juu juu zaidi ameni
Hakika nibwana pekee ndiyo awezaye kuyafanya haya, ubarikiwe sana nabii
Ee mungu naomba unishaidie maisha yangu
Amina
Baba shikamoo naitwa lotha naomba uniombee baba MUngu anifungulie milango yamafanikio naumwombee baba yangu na mama piano baba asante ❤
Shalom baba. Mimi naitwa Edith naomba unisaidie kwa kuwa napitia wakati mgumu sana.
Shallom je anapatikanaje nimekua nikipiga simu but aishikwi from kenya mombasa
Hii kweli ni kiboko ya wachawi😂😂😂mme wa recho hana haya kabisaa, pole halima. Pole recho kwa mume asie na utu, asante baba kiboko ya wachawi.
Mutumishi utuombee Sisi baba neema kwa mungu wako
Baba uchumiwangu na familiayangu haueleweki baba.mm timotheo phabian mmassi
Pole sana halima
Zefania kutoka singida nahitaji kazi pia mke wangu anasumbuliwa na mapepo
Amin
Mungu ni muweza wa kila kitu
Ningekua mm ndo halima huyu bosi wangu ningemfungulia mashtaka kwa kunidhalilisha
Nyie mnaosema nabii mwongo mpigweee kwa jina layesu 6:01
Wapigweeeee haswa na kesho waende wakatabiliwe...
Nyie mnaosema nabii mwongo mpigweee kwa jina layesu
Amen
Nanabii wauongo wengi sanaaaa Na wBsokombwa sadaka zao ni wanawake tu
Wanawake tuna roho chfu sana kwa wanawake wenzetu mke alikuwa amewaka moto kwa binti wa watu swali ni atamsamehe mme wakekwa kutenda mara 777😂😂😂😂😂 apewe sifa YESU KRISTO kwa aliyotenda.
Lichomeni moto hapo2Mtamsafishaje hugo halima??Pole halima,Fukuxa hixo mbwa xote.Recho ulimpendea nn hilo surambaya?Mungu asante kwa kuonyesha ukweli.Hilo ni jambaxi lilipe hela xa wa2.Jambaxi hilooo.
Pastor si vema kuwaambia waendelee kuishi pampja kwa sababu huyo mwanamume ana wake zake huko kijijini. Ushauri wangu ni watu wahalalishe ndoa kama ulivyo utaratibu wa kiMungu. Vinginevyo hapo inakuwa tu ni kuja kupiga bao kwa mganga.
KWANZA APIGE MAGOTI AMWOMBE MSAMAHAA. HIYO BOSI UCHWARA.
Hakika wewe Pr Dominic ni kiboko. Watanzania tuna bahati sana kukupata. Niombee na mimi hali mbaya sana.
Naitwa Magdalena nasingiziwa sana kazini narogwa sana nazimewa nachekwa,uchumi ni shida kubwa madeni kila mahali
Naitwa moses nipo gongo la mboto ninamatatizo mke wangu na mtoto yupo hospital naitaji maombi
Naomba kama kuna mtu mwenye namba ya simu ya Mtumishi huyu chonde
Mume ni mwema kwani kakubali mungu ni mwema
Naitwa paulo nikosingida uchumiwangu umeyumba naitaj maombi yako nabii mm nifund
Naitwa lipi Victoria naomba nisaidie niponye na ninaomba kila ninachokifanya nifanikiwe
Wanaume kama hawa wakera kwel
Mbona hapo BIBILIA HAKUNAA?.
😂😂😂😂😂 Uwiiiii
Mungu ni Mwema na mwisho wa ubaya aibu
Duuu mkome kulelewa
Alisema hatamsamehe Halima je halima atamsamehe yeye kwa kumsingiziaa kamuibia na je atamsamehe aliomuibia ambae ni mumee 😂😂😂 dunia hiiii
😂😂😂😂mbn mmeshindwa kuangalia watu wanaoendana na uboss muigize nao hao hamuoni wamechafua igizo make utafikili wao ndo wafanyakazi
Kamkorogo kanapita hapo
Ukamuacha ukaacha na ukobaaa sasa uko spamarket alienda kununua na nini 😂😂😂😂
😂😂😂😂wamesahau kuigiza vzr
Aibu yake hana hya
Hakika wewe nabii ni kiboko ya wachaw