Amina sana tena uwaambie natamani Mungu ukuinue juuu kabisa ulihubili neno la kweli nasi kona kona nakuombea Mungu awe nawe akupiganie akulinde leo kesho hata milele
mungu akubariki sana mwinjilisti wangu napenda sana mtu anayezungumza ukweli ili tupone sema babaaa, usiogope vitisho vya mtu yeyote mungu ni mwema, na uponyaji hauuzwii jaman watu tunapotea.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Paschal. Usiogope tuko wengi tulio pamoja nawe. Tutakusapoti kwa kila jambo. Hao ni mawakala wa shetani tu wanaona shida siri zao kufichuliwa
Mtumishi wa MUNGU upo sahihi kwa 100% nakupenda sanaa Katika Kristo Yesu, Mimi mwenyewe nimekuwa nikikilashi sana kupitia Facebook hayo mahubiri ya mwamposa, na wengine kama yeye! husiogope MUNGU Yu pamoja naweee! Nyimbo zako zinanibaliki sana nikisikilizaaa
Songa mbele baba , Mungu mtetezi wako yupo atakupigania. Yesu alituambia tuwe tayari hata kufa 😢na tunayoambiwa gizani lazima tuyaseme nuruni 🙏🙏🙏 . Makamo wako mkuu ni yesu 💪💪💪
Hongera sana mtumishi,Mungu wa mbinguni akubaliki,nena maana dunia ilipofika Ni pabaya watumishi hawapendi kuambiwa ukweli,Amani ya Bwana iwe pamoja nawe katika huduma yako!
Ubarikiwe Tena kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ujasiri. Unapo mtumikiya Mungu kwa kweli na haki Unatangaza vita na shetani. Wajumbe wa shetani wote watakucukia kwa kweli iliyo ndani mwako. Acha Yesu Christo akutete na akuvike nguvu upate kushinda hila za shetani. Mungu akuinuwe kiroho na kimwili pia.
Kuwaonya hadharani ni halali maana hata wao ramli wanazopigia waumini wao kanisan huwa wanafanya wazi wazi. Big up sana mtumishi Paschal Mungu akujalie neema kubwa uendelee kutia mchanga vitumbua vya hawa wahuni wa mjini wanojiita watumishi.
Amen Mtumishi wa Mungu,Mungu amekuponya kwa makusudi,sema kweli na Mungu atakubariki,nakupenda Sana,nakumbuka wakati unaumwa tulikuwa tunaongea kupitia sms
🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏 Paschal umejaaa roho mtakatifu,wanaoshindana na roho mtakatifu wa Mungu aliye ndani yako Hao ni mashetani wanataka waendelee kutupoteza, wameshindwa tena wameshindwaaaa katika jina la Yesu, Amen 👏👏👏
Hata Yesu Mwenyewe enzi za kulihubiri neno lake Mungu aliyapitia yaya hsya mchungaji.Songa mbele na injili kwa kuwa hiyo injili uhubiriyo ni moto na inachoma hila potovu za muovu shetani ambaye ndiye pingamizi mkuu wa injili hii takatifu.Hamna maana yeyote katika usajili ws yeyote anayelikufuru neno la Mwenyezi Mungu katika huduma yake ila ni matapishi kwa yeye yule amuogopaye na kumhubiri Mungu wetu aliyehai amina.🤩🇰🇪
Wapi yesu alisema kuwa Yohana umekosea kuwaombea watu kwa kutumia dhana ya aina yeyote kaka tuwe makini usisapoti tuu chunguza kwa undani.karibu tuungane pamoja kulijua neno kwa la biblia kalibu sana
Mungu akusaidie baba kaza mwendo endelea na kazi ya bwana hivyo ni vitisho tuu vyakutaka kuharibu kazi ya bwana endelea baba kaza mwendo wala usikate wala kugeuka nyuma na mungu akusaidie kwa jina la yesuuuuuuuuuuuuhuuuuuuuuu
Que Dieu vous bénisse, serviteur de Dieu, vous dites la vérité, c'est pourquoi ils se battent, mais ne vous inquiétez pas de leurs paroles. usijali na maneno yao mtumishi wa mungu Paschal Cassian cha msingi tu simama imara na injili ya bwana wetu yesu kristo ubarikiwe sana tu
Shetani imeingia ndani yao ndo maana wana chuki na wewe the truth must be told, if they dont need the truth then come to kenya we need it especially me i neee to kno God more and i love that song, yenye umesema,WAMBIENI WATU UKUELI i lov it so much, tell them the truth man of God and be blesed.
Pascal ikwaumeitwa na Mungu basi simama kama Paulo kwa waroma walausiwaogope. Kwamaanawoga nimtego,natena ukweli unakata kamakisu kwayule asie mkweli basi simamakama Elia pazasauti. Mpaka Mungu mwenyewe atakaposema inatosha. 🙏 🙏 🙏
Asante Baba mwamposa amefika uku Mozambiqui na weng Sana wanakwenda kununua, mafuta..Mimi nimepona kwa sababu yakukufatiliya sana nikamjua kabisa uuyu tapli
❤Mungu akubariki sana kwa hilo kaka. Unanibariki sana kaka kwa kuongea UKWELI. Maana UKWELI unamuweka mtu HURU. Ili tuwe huru mbali na uovu ni lazima tulijue Neno la Kweli. Neno la Kristo Yesu kweli kweli. Ubarikiwe sana kaka. Usiogope wala kuionea haya Injili.
Amina baba Mungu akubariki sana mtumishi nawapenda sana Pascal cassian pamoja na Mbarikiwa Mwakipesile Mungu akutunze na kukuhifadhi "je tuwasikilize ninyi kuliko Mungu"
Injili ilinza kwa mateso, itaisha kwa mateso tunaomba kwa wanao sema kweli tuko nyuma yako, sisi tunahila kilichondani ya manabii wauwongo, barikiwa baba
Mtumishi Mungu akusaidie Roho Mtakatifu huwa anajitukuza wewe simama wito wako Mungu kakuita kuponda watumishi WA Mungu hiyo sio vema hubiri neno watu wamfuate Mungu. Kutaja majina ya watu katika mahubiri Yako SI proper. Jitahidi kusimamia wito wako. Manabii wameitwa na Mungu na niwapakwa mafuta huo uinjilisti una mtumikia Mungu yupi. ROHO MTAKATIFU ni mwelevu sana. Nakushauri acha kuwapaka watumishi WA Mungu
Mungu ni pamoja nawe Mimi niko mbali nakuona nakusikiya Jesus's hopefully is above you usiogope kusema ukweli wa Mungu tutakuombea Dunia imefika mwisho jibulangu ni Amen kumbuka poul Amen 🙏
Hallelujah hallelujah kaka yangu 🙏🙏🙏 hiyo ni Kweli!! Maana jina analolitumia ni la yesu christo unayemuamini, sasa nilazima ulitetee jina la christo lisiendelee kuhaibika kwenye mahuduma zao za mafuta na maji 😢. Kuliko watu walifuate neno ili wapone ki Roho na kimwili, matokeo yake wanafata mafuta na maji 😢
Muinjilisti wa mahubiri mazuri ya kutengeneza njia ya ujio wa Kristu Yesu, songa mbele. Mungu wa kweli, akuwezeshe na kukushindania. Dunia imeharibika. Waganga wametaka wapitie Jina la Yesu Kristu ili wapate mali ya dunia. Mtumishi Paschal Cassian nakuunga mkono. Mungu atusamehe ku kupungukiwa.
Ni kweli kabisa usipowaambia watu ukweli utahukumiwa. Ni vizuri umesema ukweli na utakuwa Safi mbele ya Mungu. Mungu akuzingire na Malaika wake na akufunuke na damu ya yesu. Atakaye jaribu kukugusa moto ya yesu imuchoma kabisa katika Jina la yesu amen 🙏
Unatakiwa kuombewa sanasana tuko vitani vita ni kali sana tunaomba Yesu akulinde akufunike akukumbatie akufiche akuatamie ee Yesu mlinde yohana ni sauti ya mtu iliayo nyikani
Mungu akubariki mtumishi piga kelele usiache watu wanadanganywa hivihivi mwenye sikio na asikie neno roho anayaambia makanisa Mungu akuzingire kwa damu ya Yesu
Mtushi wa Mungu songa mbele,, kumbuka Mungu kukuacha hadi leo Nikuokoa dunia maana watumishi wengi wa leo wamekuwa wakifanyisha biashara kwenye dini,, ila wewe Nimungu kweli anakutumia barikiwe sana
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. Utapingwa kwa sababu ya kweli uliyoisema. Ila nondo ishawaingia. Kanisa la Leo tuache umazingaombwe kwenye Mazabahu ya Mungu.
Dume la yesu toka Tanzania nakupenda sana waambie kweli wanafiki wamemzoea mungu.usiogope passical mungu yu pamoja nawe aliekuepusha ajali alikuwa na makusudi nawe.
Uko sawa kabisa maana wanaoweza kusema ukweli ni wachache,wewe SEMA na tuko nyuma Yako kwa maombi.Mungu akutie nguvu wala usiogope.soma wafilipi 1:21,27
Usiope mtumishi wewe toa ujumbe wa Mungu hata akina Paulo walifungwa ukifungwa atakuwa ameruhusu aliye kutuma neno la MUNGU wanalifanya kimazoea ....Mungu aendelee kukutunza
Hakika sauti ya mtu aliaye nyikani, ukiguswa na Neno la Mungu, jambo la msingi ni kubadilika tuuu, acha longo longo. Mungu akubariki sana mtumishi Pascal Kasian🙏🙏🙏💕💕💕
Waache Mungu Mwenyewe,hawaukumu,wewe waombee tumia hekima,hakuna mkamilifu,Chini ya just,simama na Mungu wako kwauaminifu ,tumepona kupitia mwamposa na tumeacha ulevi na uzinzi,mwache auze
Mtumishi wa mungu hayupo awezaye kukunyamazisha,na huyo makam inaonekana na yeye ni mmoja wao, hata ingekuwa ni mim ungenitaja,kwa nini nikosee halafu nikionywa nianze kujifichia kwa viongoziii? Watubu tena watubu
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, hivyo ni vitisho vya shetani kukudhoofisha ili usiseme kile ambacho Mungu amekuagiza useme. Songa mbele Mtumishi wa Mungu, shetani fumba kinywa chako kwa Jina la YESU. AMEEN.
BWANA, Mungu wetu; uliye muumba wa vyote ktk njina la Yesu kristo. Mtumishi wako huyu tunamwombea kwako mtunze na umlinde. Nyosha njia yake na isafishwe kwa uweza wako Yesu Kristo! Ameeeeeeeen.
Mungu akufunike mtumishi kwa kusema kweli, bibilia yasema usiogope wauwao mwili mwishowe hawana la kufanya Tena Bali muogope Mungu anaye uwezo wa kuua halafu ahukumu Tena kuenda jahanamu God bless true servant of God
Barikiwa sana mtumishi Mungu akusimamie kwenye kila ulitendalo kama paulo mtume wa Kristo aliipigania imani mpaka hata kukubari kufa ikiwezekana na ndio maana mtume Paulo alisema siionei haya injili kwasababu niuweza wa Mungu uuletao wokovu kwa kila atakae amini. Soma Warumi 1:16 ila ukitaka kumuelewa saw saw Pascal mtumishi wa Mungu soma kuanzia hiyo hiyo Warumi 1:15 mpaka mstar wa 32 utaelewa sana sana kwakua huyo Pascal mimi namfananisha na mtume Paulo isome historia ya Paulo alikuaje mwanzo na mwisho alikuaje alafu fuatilia na historia ya huyu mtumishi wa Mungu pascal utaona ufanano wao alafu cha ajabu unaweza ukakuta hata yeye Pascal hajui kwamba utendaji wake wa kazi ya Mungu anafanya kwa kipawa kama alichokuanacho mtume paulo
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
Mm nakupenda San mungu amejitukuz kwako mtumish usiogp mm nilanz kukufuatilia nilipo maliza darasa LA saba 2020 huwez kunyamasishwa nakupenda Sana nakosa LA kusema
Nakuombea sana Mungu azaidi kubariki kukuinua na kukutumia watumishi wengi sasa wanaangalia mafanikio yao si kuihubiri kweri endelea na Mungu yuko pamoja nawewe kama mikaya
Amen mtumishi songa mbele na huduma Mungu alie kuita anakujua vema sema tupone Ombi langu kwa Mungu akulinde na awe upande wako uingiapo na utokapo neema yake iwe juu yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi ya mungu wameacha wanacho bishania hakuna mantik yoteyote angalia watumishi wakubwa waromani katholic hukuti kituhiki angalia mwambosa mwingira kuhani Musa nk wako bz na kz ya Bwana....wanatushisha viwango Hawa vya kiiman
Ubalikiwe kaka Mungu alikuokoa namaiti ili utuhubilie kweli mm binfsi nakushukulu sana kaka kupitia nyimbo zako ulinifanya nimwage mafta ya nwaposa pamoja na maji Mungu akutuze uwaokoe b awengine
Amina sana tena uwaambie natamani Mungu ukuinue juuu kabisa ulihubili neno la kweli nasi kona kona nakuombea Mungu awe nawe akupiganie akulinde leo kesho hata milele
mungu akubariki sana mwinjilisti wangu napenda sana mtu anayezungumza ukweli ili tupone sema babaaa, usiogope vitisho vya mtu yeyote mungu ni mwema, na uponyaji hauuzwii jaman watu tunapotea.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Paschal. Usiogope tuko wengi tulio pamoja nawe. Tutakusapoti kwa kila jambo. Hao ni mawakala wa shetani tu wanaona shida siri zao kufichuliwa
Ubarikiweeeee mnooo, chapa injili ya kweli ya Yesu Kristo, isiyo chakachuliwa.
Mtumishi wa MUNGU upo sahihi kwa 100% nakupenda sanaa Katika Kristo Yesu, Mimi mwenyewe nimekuwa nikikilashi sana kupitia Facebook hayo mahubiri ya mwamposa, na wengine kama yeye! husiogope MUNGU Yu pamoja naweee! Nyimbo zako zinanibaliki sana nikisikilizaaa
Mungu akutie nguvu simamia kweli, niko pamoja na wewe barikiwa sana
mtumishi wa mungu usiogope hivo n vitisho baridi kwanza nyimbo zako zime n pariki snaa mungu yupo pamoja nawewe 🙏🙏
Tupe Mandiko yasemayo kuwa mafuta yamesha nguvu au kupitwa na na wakat,mtumish unatafuta Kiki na watumishi wamungu ,utapotea kuwa makini ,huku si
Sema baba wanadamu tupone
AMINA 🙏 baba, siku zote msema kweli huchukiwa na walio wakosaji,mungu akulinde mtumishi wa mungu.
Asante sana mchungaji , giza na nuru havi changamani, Mungu akubariki
Ubalikiwe sana Mtumishi hiyo Ndiyo kweli Watu wana takiwa Kujua..waziache Njia zao Mbaya..🙏🙏🙏🙏
Songa mbele baba , Mungu mtetezi wako yupo atakupigania. Yesu alituambia tuwe tayari hata kufa 😢na tunayoambiwa gizani lazima tuyaseme nuruni 🙏🙏🙏 . Makamo wako mkuu ni yesu 💪💪💪
Amen Pascal cassian
😊
Amém
amen amen mtumishi wa Mungu weka number ya sim nikupigiee ninashida unishauli kitu mtumishi wa Mungu
Mungu akutangulieee mtumishiii wa Mungu uendeleeeee kutufudishaa na akuepusheee na rohoo za husdaa
Ameeen, mungu akitie nguvu mtumishi wa mungu,maana huu ukweli unaousema lazima wakuchukie aseee sio kwa nondo hizi,,barikiwa sana🙏🙏🙏
Hongera sana mtumishi,Mungu wa mbinguni akubaliki,nena maana dunia ilipofika Ni pabaya watumishi hawapendi kuambiwa ukweli,Amani ya Bwana iwe pamoja nawe katika huduma yako!
Ubarikiwe Tena kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ujasiri. Unapo mtumikiya Mungu kwa kweli na haki Unatangaza vita na shetani.
Wajumbe wa shetani wote watakucukia kwa kweli iliyo ndani mwako.
Acha Yesu Christo akutete na akuvike nguvu upate kushinda hila za shetani. Mungu akuinuwe kiroho na kimwili pia.
Uko sawa Paschal. wanaopinga ni vipofu wa Neno la Mungu. Endelea kusema kweli ya Mungu
Kuwaonya hadharani ni halali maana hata wao ramli wanazopigia waumini wao kanisan huwa wanafanya wazi wazi. Big up sana mtumishi Paschal Mungu akujalie neema kubwa uendelee kutia mchanga vitumbua vya hawa wahuni wa mjini wanojiita watumishi.
Amen Mtumishi wa Mungu,Mungu amekuponya kwa makusudi,sema kweli na Mungu atakubariki,nakupenda Sana,nakumbuka wakati unaumwa tulikuwa tunaongea kupitia sms
Asante mtumishi tunakupata sana mungu akulinde
Nipo Musoma Baba Nakupenda pambana tunakuombea
🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏 Paschal umejaaa roho mtakatifu,wanaoshindana na roho mtakatifu wa Mungu aliye ndani yako Hao ni mashetani wanataka waendelee kutupoteza, wameshindwa tena wameshindwaaaa katika jina la Yesu, Amen 👏👏👏
Endelea s
Njia ambayo mungu ametumia ni kufikisha ujimbe Kwa njia ya uiambaji. Msitetee uovu
Hata Yesu Mwenyewe enzi za kulihubiri neno lake Mungu aliyapitia yaya hsya mchungaji.Songa mbele na injili kwa kuwa hiyo injili uhubiriyo ni moto na inachoma hila potovu za muovu shetani ambaye ndiye pingamizi mkuu wa injili hii takatifu.Hamna maana yeyote katika usajili ws yeyote anayelikufuru neno la Mwenyezi Mungu katika huduma yake ila ni matapishi kwa yeye yule amuogopaye na kumhubiri Mungu wetu aliyehai amina.🤩🇰🇪
Wapi yesu alisema kuwa Yohana umekosea kuwaombea watu kwa kutumia dhana ya aina yeyote kaka tuwe makini usisapoti tuu chunguza kwa undani.karibu tuungane pamoja kulijua neno kwa la biblia kalibu sana
Mwenyezi Mungu akutangulie akufunike kwa damu ya mwanae mpendwa Yesu Kristo adui asipate nafasi juu yako
Mungu akusaidie baba kaza mwendo endelea na kazi ya bwana hivyo ni vitisho tuu vyakutaka kuharibu kazi ya bwana endelea baba kaza mwendo wala usikate wala kugeuka nyuma na mungu akusaidie kwa jina la yesuuuuuuuuuuuuhuuuuuuuuu
Que Dieu vous bénisse, serviteur de Dieu, vous dites la vérité, c'est pourquoi ils se battent, mais ne vous inquiétez pas de leurs paroles.
usijali na maneno yao mtumishi wa mungu Paschal Cassian cha msingi tu simama imara na injili ya bwana wetu yesu kristo ubarikiwe sana tu
mwenyezi mungu akulinde na akupambanie kwenye Vita yako mtumishi
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Shetani imeingia ndani yao ndo maana wana chuki na wewe the truth must be told, if they dont need the truth then come to kenya we need it especially me i neee to kno God more and i love that song, yenye umesema,WAMBIENI WATU UKUELI i lov it so much, tell them the truth man of God and be blesed.
Caroline Atieno tutoe wapi wachungaji kama huyu
Upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu. Nakuombea SONGA mbele USIOGOPE vitisho vya wanadamu. Siri za shetani ni lazima zifunuliwe na watu waje kwa Yesu.
Pascal ikwaumeitwa na Mungu basi simama kama Paulo kwa waroma walausiwaogope. Kwamaanawoga nimtego,natena ukweli unakata kamakisu kwayule asie mkweli basi simamakama Elia pazasauti. Mpaka Mungu mwenyewe atakaposema inatosha. 🙏 🙏 🙏
Uko sahihi mtumishi
Kweli kabixa
I love so so so much Your songs especially the new song very very nice song O love ❤️😍💖❣️💕 it
Mbarikiwa na Paschal nawapenda Bure, mmoja anagonga kwa anjili na mwingine kwa nyimbo, endeleeni tu.
Ata Mimi et
Hata mimi eti
Ukweri kaka Mungu akubariki sana kaka Asante sana kwakutufundisha neno la mungu
Asante Baba mwamposa amefika uku Mozambiqui na weng Sana wanakwenda kununua, mafuta..Mimi nimepona kwa sababu yakukufatiliya sana nikamjua kabisa uuyu tapli
@Jacline David dada soma tena umuelewe
O
Amina sana mtumishi wa mungu barikiwa sanaaa ninkufatilia Toka wimbo wa Dunia kwaheri mungu akulinde
Mtumishi wa mungu mungu akubariki na akulinde unayosema ni sahihi kabisa taji lako mbinguni ni kubwa sana sana
Amina mtumishi ongea ukweli sikuzote ukweli unauma nakuombea mungu akutie nguvu usitishiwe na wanadamu wewe mwangalie mungu tuu
❤Mungu akubariki sana kwa hilo kaka. Unanibariki sana kaka kwa kuongea UKWELI. Maana UKWELI unamuweka mtu HURU. Ili tuwe huru mbali na uovu ni lazima tulijue Neno la Kweli. Neno la Kristo Yesu kweli kweli. Ubarikiwe sana kaka. Usiogope wala kuionea haya Injili.
Asante sana kaka kwa kuendelea kuisema kweli Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu
Amina baba Mungu akubariki sana mtumishi nawapenda sana Pascal cassian pamoja na Mbarikiwa Mwakipesile Mungu akutunze na kukuhifadhi "je tuwasikilize ninyi kuliko Mungu"
Mbarikiwa Mwakipesile na Pasco Kassin ni Moto wa kuotea mbaliii
Amen ni kweli kabsa Mtumishi wa Mungu pascal,Nabii mkuu ni Yesu pekee, kazi Moja wapo za Watumishi wa Mungu ni Kuonya,Kukaripia na kutia moyo.
Hapo ndipo mtumishi injili lazima isonge mbele kwa ukweli Mungu akujalie neema Na tunakupenda sana 🙏🙏🙏
Kilamumoja anavitavyake huyuamefikiya hapohakuna wakumuzuiya anapita atafikalevo yengine huyuanaaza yukomahali pangumu ambapo wezakewalipita wanaedambele pole utafikatu nimekujibu kiulimwengu Waroho badouko porini nyikani kamayohana hujamubatiza yesu hizomeseji hungezijibu ungeimbawimbotu ukifatananao utabakihapo kwamabishano nasikiyahuruma ya Mungu ukweli achananao usiwajibu kamawatakuhitaji kweli watakuitaofisini achakuwajibu diowanakulengeza hivyohiyo ombasana mutumishi
Mungu akupe wigo wa ulinzi
Injili ilinza kwa mateso, itaisha kwa mateso tunaomba kwa wanao sema kweli tuko nyuma yako, sisi tunahila kilichondani ya manabii wauwongo, barikiwa baba
Mtumishi Mungu akusaidie Roho Mtakatifu huwa anajitukuza wewe simama wito wako Mungu kakuita kuponda watumishi WA Mungu hiyo sio vema hubiri neno watu wamfuate Mungu. Kutaja majina ya watu katika mahubiri Yako SI proper. Jitahidi kusimamia wito wako. Manabii wameitwa na Mungu na niwapakwa mafuta huo uinjilisti una mtumikia Mungu yupi. ROHO MTAKATIFU ni mwelevu sana. Nakushauri acha kuwapaka watumishi WA Mungu
Mungu ni pamoja nawe Mimi niko mbali nakuona nakusikiya Jesus's hopefully is above you usiogope kusema ukweli wa Mungu tutakuombea Dunia imefika mwisho jibulangu ni Amen kumbuka poul Amen 🙏
Nimekuelewa sana ....mtumishi Mungu akutetee na kukupingania na akufikishe salaama ktk safar yako
Hallelujah hallelujah kaka yangu 🙏🙏🙏 hiyo ni Kweli!! Maana jina analolitumia ni la yesu christo unayemuamini, sasa nilazima ulitetee jina la christo lisiendelee kuhaibika kwenye mahuduma zao za mafuta na maji 😢. Kuliko watu walifuate neno ili wapone ki Roho na kimwili, matokeo yake wanafata mafuta na maji 😢
Muinjilisti wa mahubiri mazuri ya kutengeneza njia ya ujio wa Kristu Yesu, songa mbele. Mungu wa kweli, akuwezeshe na kukushindania. Dunia imeharibika. Waganga wametaka wapitie Jina la Yesu Kristu ili wapate mali ya dunia. Mtumishi Paschal Cassian nakuunga mkono. Mungu atusamehe ku kupungukiwa.
Hii ni sauti ya mtu aliyaye nyikani tutengeneze njia zetu Yesu analudi upes Mungu tusaidie.
Amen
Huo wimbo unaitwaje tafadhali
@@chengeson NI KWELI KABISA MTUMISHI NENO LA MUNGU LINASEMA WAZI KWAMBA MUMEPEWA BURE. TOWENI BURE
HUYO MAKAMU WA RAIS YUPO KATIKA HEKIMA YA KIDUNIA AMBAYO NI UPUMBAVU MBELE ZA MUNGU
@@josebambo1419mwamposa
Mungu azidi kukutumia mteule maana hii vita sio yako bali ni ya Mungu na wanao jiinua kukuvunja moyo Mungu atashughulika nao naamini.🙏🙏
Natamani neema kama iyo iwe juyangu Mungu anitumie kama wewe na kuzidi ili ulimwengu ufaamu kuwa wapo watumishi was Mungu wa kweli
⁰0⁰0
Amina mtumishi wa Mungu, neno la Mungu likikuchoma ujue unatakiwa kubadilika, ujumbe wameupata manabii wauongo waupokee ujumbe. Hawataki wanataka ujumbe umewafikia.
Ni kweli kabisa usipowaambia watu ukweli utahukumiwa. Ni vizuri umesema ukweli na utakuwa Safi mbele ya Mungu. Mungu akuzingire na Malaika wake na akufunuke na damu ya yesu. Atakaye jaribu kukugusa moto ya yesu imuchoma kabisa katika Jina la yesu amen 🙏
Amina 🙏 barikiwa sana kaka songa mbele Iman ni njema Kwa Kila mmoja
Uko sahihi kabisa, usiyumbishwe tena simamia msimamo wako anaeinuka kupngana na wewe atashindana na kusudi la Mungu na Mungu atashughulika nae!
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu wahambiye yote kabisa siku zote ukweli lazima usemwe ukweli unahuma wewe songa mbele Mungu yuko upande wako
Unatakiwa kuombewa sanasana tuko vitani vita ni kali sana tunaomba Yesu akulinde akufunike akukumbatie akufiche akuatamie ee Yesu mlinde yohana ni sauti ya mtu iliayo nyikani
Mtumishi endelea kusema kweli na mungu azidi kuwa na wewe daima kweli inapo semwa kwa wabaya lazima inajeluhi nyimbo zako zinabaliki sana
Kweli mtumishi wa Mungu wambie wapone maana wanaangamia kwa kukosa maarifa bwana akusaidie sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, na akulinde Mana umekubali kuihubiri kweli katika nyakati hizi za mwisho👏👏
Hongera Paschal Mungu akutunze dhidi ya hao wanaopingana Na wewe Mungu akupiganie Na akutunze
Ameeen nimekuelewa San mtumishi ubalikiwe
Ubarikiwe na BWANA kwa kazi njema ya Mungu.
Amen,huo ndio upendo wa Mungu kwa Kila mwenye pumzi,,,maana Moto wa milele Hauna mtu maarufuu 🙏🌹.
Mungu akubariki mtumishi piga kelele usiache watu wanadanganywa hivihivi mwenye sikio na asikie neno roho anayaambia makanisa Mungu akuzingire kwa damu ya Yesu
Mtumishi wa mungu nskupa pongez kubwa sana kwa kuimba nyimbo zinazo tufungua macho narikiwe sana myumishi nakukubali🙏🙏🙏👏👏👏
Roho wa Mungu akutie nguvu
Mtushi wa Mungu songa mbele,, kumbuka Mungu kukuacha hadi leo Nikuokoa dunia maana watumishi wengi wa leo wamekuwa wakifanyisha biashara kwenye dini,, ila wewe Nimungu kweli anakutumia barikiwe sana
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. Utapingwa kwa sababu ya kweli uliyoisema. Ila nondo ishawaingia. Kanisa la Leo tuache umazingaombwe kwenye Mazabahu ya Mungu.
Ubarikiwe Sana mtumishi Cassian nakuelewa sana
Mungu atakuripa kwa kazi unayoifanya wala usiogope vitisho vya adui wanadamu hawapendi kuambiwa ukweli Mungu akutie nguvu
Dume la yesu toka Tanzania nakupenda sana waambie kweli wanafiki wamemzoea mungu.usiogope passical mungu yu pamoja nawe aliekuepusha ajali alikuwa na makusudi nawe.
Mungu aendelee kukutumia mtumishi nabarikiwa sana kuna muda napona kupitia tuu nyimbo zako
Yesu alisema falme haziwezi kufininiana Musa mwacha awe frmason angewakama fremason ? Mm nitasali Kwa Musa mwacha
Mungu sio mungu✌
@Jacline David ndio nishachagua
Uko sawa kabisa maana wanaoweza kusema ukweli ni wachache,wewe SEMA na tuko nyuma Yako kwa maombi.Mungu akutie nguvu wala usiogope.soma wafilipi 1:21,27
Sema tu baba Tena ongeza voice nakupenda Sana MUNGU aKulinde akuongonze aKulinde akuokoe nawaendao kinyume nawew wapigwe kwadamu ya ya YESU aliye hai
NPO nyuma yako mda mlefu sana,nakuombea kwa MUNGU azid kukulinda ili uzid kuitangaza kweli yake milele,by NYEMO wanyotanjema 🎤🎧🎤
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu usiogope piga kaz injili yako naielewa sana
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huo mzuri, na uafikie pia watumishi wengine huku Kenya
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu,Mungu akulinde usiku na mchana
Utuzwe sana na bwana Mungu 🙏🙏 uko sahihi kabisa
Imani ni Nini? Mungu tusaidie tuwaombee.
Usiope mtumishi wewe toa ujumbe wa Mungu hata akina Paulo walifungwa ukifungwa atakuwa ameruhusu aliye kutuma neno la MUNGU wanalifanya kimazoea ....Mungu aendelee kukutunza
Ufalme wa Mungu,unatekwa na wenye nguvu kama wewe,Damu ya Yesu ikufunike!!Songa mbele usirudi nyuma mtumishi tupo pamoja,tunakuombea!
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Paschal , neno linassema kemea , karipia, na mtu yoyote asikuzarau 🙌 keep going 💪
Mnaopinga someni comment za watu ndo mtajua watanzania wengi wanahasira na manabii
Mwehu wewe nenda milembe
Hakika sauti ya mtu aliaye nyikani, ukiguswa na Neno la Mungu, jambo la msingi ni kubadilika tuuu, acha longo longo. Mungu akubariki sana mtumishi Pascal Kasian🙏🙏🙏💕💕💕
Neema ya Yesu kristo ikulinde mtumishi. Umepona kwa kusudi la Mungu.
Mungu hakusaindie mtumishi wa mungu hakutie nguvu songa mbele sema kweli hat bibilia inasema watakuja mnabii wa uongo
Ukweli unaweka mtu uhuru kwa maisha ya nyakati hizi watu hawapendi ukweli wa MUNGU hizi n nyakati za mwisho MUNGU akubariki mtumishi
Ubarikiwe sana mtumishi wa Baba tunahitaji watumishi wakweli tumechoshwa namawakala wa shetani usihongope Mungu alikutuma upoupande wako
Waache Mungu Mwenyewe,hawaukumu,wewe waombee tumia hekima,hakuna mkamilifu,Chini ya just,simama na Mungu wako kwauaminifu ,tumepona kupitia mwamposa na tumeacha ulevi na uzinzi,mwache auze
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu , Mungu wa Mbinguni akubariki na kukutia nguvu na hakuna silaha yoyote italayofanikiwa juu Yako!!!
Daah mwamba wa Bss 2008 Umeupiga mwingi sana madam LITA mungu akupe maisha marefu uwatoe wakina Pascal Wengine Amiina
🙏🙏
Mtumishi wa mungu hayupo awezaye kukunyamazisha,na huyo makam inaonekana na yeye ni mmoja wao, hata ingekuwa ni mim ungenitaja,kwa nini nikosee halafu nikionywa nianze kujifichia kwa viongoziii? Watubu tena watubu
Amen.mtumishi wa mungu waambie ukweli waelewe👍👍.
Waohao ndio huenda huko miujiza ndio maana hawataki ukweli🙏🙏🙏
Ukweli unaumiza na ukiwa mtu wa kuongea kweli kwa dunia ya leo jibu ni kwamba utapigwa vita mno.
Mungu akulinde sana PASCAL
Kaza buki cassian kila hatua mungu yuko na wewe
Hujatujibu swali letu bado tatizo unapaniki sana broo
Wewe unahukumu na umeona ndonjia ya kutokea kimaisha
Dada Muombe Mungu reheme na hekima za kiMungu za kuona vya rohon
Sema kweli baba angu pascal Cassian mungu hakusaindie mtumishi mungu , mungu hakutie nguvu tunakuombea
Mungu akupiganie wanadam hawapendi ukweli washindwe katika jina lamungu wanazaridi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, uko sahihi. Onya, shauri, Tia moyo , kemea. Maandiko yako wazi, timiza kusudi la Mungu
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, hivyo ni vitisho vya shetani kukudhoofisha ili usiseme kile ambacho Mungu amekuagiza useme. Songa mbele Mtumishi wa Mungu, shetani fumba kinywa chako kwa Jina la YESU. AMEEN.
Kaka Usiogope sema kweli MUNGU atakua upande Wako Unanitia Moyo Sanaaaaa
Mimi naitwa Pastor Frank nipo dodoma mjini, Yesu Asidi kukupa Mafunuo
MUNGU aturehemu tupate Kuona mambo ya rohoni.🙏
Amina a wewesongambele
BWANA, Mungu wetu; uliye muumba wa vyote ktk njina la Yesu kristo. Mtumishi wako huyu tunamwombea kwako mtunze na umlinde. Nyosha njia yake na isafishwe kwa uweza wako Yesu Kristo! Ameeeeeeeen.
Ubarikiwe sana mtumishi WA mungu hii ndo injili Sasa
Injili iendelee mbele usimupe shetani nafasi God always wil protect u 🙏
Amen ndugu Pascal, waambiye kweli ya Bibilia. Songa mbele na iinjili usiogope siku za mwisho kutatokeya na manabii wawongo.
Namkubali Sana huyu brother Mwenyezi mungu akutangulie 💓🙏
Mungu akufunike mtumishi kwa kusema kweli, bibilia yasema usiogope wauwao mwili mwishowe hawana la kufanya Tena Bali muogope Mungu anaye uwezo wa kuua halafu ahukumu Tena kuenda jahanamu God bless true servant of God
Barikiwa sana mtumishi Mungu akusimamie kwenye kila ulitendalo kama paulo mtume wa Kristo aliipigania imani mpaka hata kukubari kufa ikiwezekana na ndio maana mtume Paulo alisema siionei haya injili kwasababu niuweza wa Mungu uuletao wokovu kwa kila atakae amini. Soma Warumi 1:16 ila ukitaka kumuelewa saw saw Pascal mtumishi wa Mungu soma kuanzia hiyo hiyo Warumi 1:15 mpaka mstar wa 32 utaelewa sana sana kwakua huyo Pascal mimi namfananisha na mtume Paulo isome historia ya Paulo alikuaje mwanzo na mwisho alikuaje alafu fuatilia na historia ya huyu mtumishi wa Mungu pascal utaona ufanano wao alafu cha ajabu unaweza ukakuta hata yeye Pascal hajui kwamba utendaji wake wa kazi ya Mungu anafanya kwa kipawa kama alichokuanacho mtume paulo
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
Amen mtumishi songa mbele baba...
Mm nakupenda San mungu amejitukuz kwako mtumish usiogp mm nilanz kukufuatilia nilipo maliza darasa LA saba 2020 huwez kunyamasishwa nakupenda Sana nakosa LA kusema
Mungu akuongezee Iman kaka mimi na familia yangu tunakufwatilia sana asante hata sasa kuna roho umeziokoa barikiwa mno
amen amen ukwel unauma apo umewagusa kaka onge ukwel wapone ao
Nakuombea sana Mungu azaidi kubariki kukuinua na kukutumia watumishi wengi sasa wanaangalia mafanikio yao si kuihubiri kweri endelea na Mungu yuko pamoja nawewe kama mikaya
Neno la Mungu ni upanga, usiogope Mtumishi wa Bwana, Mungu yupo pamoja nawe.
Amen 🙏 mtumishi wa Mungu usimuogope mwanadamu kile umepewa toa anaye taka kugeuka ageuke maonyo ya Mungu ni mazuri ubarikiwe sana
Yaani mimi niliokoka kutoka moyoni mwangu ,mtumishi wewe ndoulinisaidia,Mungu akupe maisha marefu uendelee kuokoa na wengine
Hajiamin momben mungu muweze kwenda sambamba watumishi jaman msifalakane wenyew njia nimoja,
Amen mtumishi songa mbele na huduma Mungu alie kuita anakujua vema sema tupone Ombi langu kwa Mungu akulinde na awe upande wako uingiapo na utokapo neema yake iwe juu yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mnabishania mtandaoni maslahi au nn?
@@fredndomba tunabixhana naww au🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi ya mungu wameacha wanacho bishania hakuna mantik yoteyote angalia watumishi wakubwa waromani katholic hukuti kituhiki angalia mwambosa mwingira kuhani Musa nk wako bz na kz ya Bwana....wanatushisha viwango Hawa vya kiiman
Sasa ninan hao unaowataj hakun mkubwa hapo kaa rohon ndugu Union jambo hulielew achan nalo amen🙊🙊
Paschal Mungu wetu YESU Cristo akulinde sana ebu songa mbele na injili ya ukweli.
Jambo mtumishi wa mungu siko mtazania ao siko muimbaji Ila Niko mushabiki Yako kutoka Burundi tafuta mawasuliano mazuri na watu wote
Ubalikiwe kaka Mungu alikuokoa namaiti ili utuhubilie kweli mm binfsi nakushukulu sana kaka kupitia nyimbo zako ulinifanya nimwage mafta ya nwaposa pamoja na maji Mungu akutuze uwaokoe b awengine