Hivyo ndivyo huwa wanadanganywa Kanisani ili wapotee na huwa wakali kwa Waumini wao wakimuona Muumini anauliza swali/maswali ya kumkwamisha kwa Mchungaji Muumini hajibiwi ipasavyo (hafundishwi ukweli) na atakemewa, ataambiwa anapepo mchafu anaemwongoza kuuliza swali/maswali na anaweza kufukuzwa asishiriki kuabudu tena katika hilo Kanisa.
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatu tuko pamoja Sheikh Ramadhan. Allah atujaalie Swaum zetu ziwe nizenye kuswih na atutakbalie dua zetu in Sha Allah
Shetani/Ibilisi anao Wafuwasi wengi ikiwemo Juma na wa mfano wake Juma. Tumwombe Allah atukinge na Shetani na Vitimbi vyake Shetani I'll tupate kuupata mwisho mwema. ***Aaamin***
TabarakhAllah Ustad. MashaAllah you shown so much patience with this Hosea 9:7 possesed juma! Huyu Juma ana Roho Mtukutu, tena sana!😆. Mbona hawa elevi ya kwamba Biblia ni Vitabu zilizo TUNGWA na Wazungu , hivi juzi tuu! Kng James, ambaye alikuwa ni Shoga, ndiye aliye iandika Biblia pamoja na 46 Writers! Salim Ndenda alikuwa ana sema kweli, watu wengine ni kama MaNyaani, hawa tambui Uwongo! Wana fuata tuu, kama Ma Kasuku!
Juma anasema "WANAFUWATA VILE WANAFUNZWA" kwamaana wanafuwata tu hata kama wanaongpewa na kufumzwa uwongo na hao Walimu wao huko Kanisani ! Yaani wanarithi kukariri na kulithishana Uwongo !
@@alhaddajmohammed4768 Si jui hawa wata elewa lini ya kwamba Biblia ime Tungwa tuu, na Wazungu! Hii ugonjwa wa ku tetemekia Mzungu uko kila mahali Africa! Huwa wana fikiria Wazungu ni kabila ya Mungu wao! Mpaka wame ji bandika ma jina za Kizungu pia, na wana wa ' Copy' Wazungu katika kila khitu! Kama kuji paka 'Plaster' na Tissue, wakati wame kwenda haja! Na Wana Wake wao ku tembea Uchi! I dont know when they will learn?
Juma anakwepakwepa maswali na anajibu kwa kujitetea tu aonekane amejibu Swali/maswali bila kujuwa (anajuwa) ajuwa anajibu Pumba kwa kutetea imaan yake na kutetea maslahi yake ya kidunia ! Hata Yesu yuko na roho sababu ni binAdam/kiumbe.
this is so intresting Hosea 9 saba. Jama huyu anatega mkristo wetu hapa "Huyo nabi nimpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu" lakini hazingati hii "kwasababu ya uovu wake na kwasababu uadui umekuwa mkubwa" kuna maroho tofauti ulivyosema lakini kulingana na hii Neno ni zile roho za uadui na Uovu.
Yesu anayo kazi ya kumjibu Mungu kwa jinsi Wakristo wanavyo mpachika Yesu sifa/wadhifa ambao si wake/hana; -anasamehe dhambi na anaokoa/mwokozi nk ya Uzushi mwingi Wakristo wanamtungia/wanamzushia Yesu ! Yamezuka na yanaendelae kuzuka Makanisa na Madhehebu kedekede na yote hayo Makanisa na Madhehebu hujinasibisha na Yesu (wao ni wafuwasi wa Yesu/wanamfuwata Yesu) ! Hivi atakaporejea Yesu atashiriki/atashirikiana na Wauini wa Kanisa gani na Madhehebu gani?! Maana Makanisa na Madhehebu ni mengi lakini hutofautiana jinsi ya kufanya ibada na siku za ibada hurofautiana !
Nyakati wa pili saba tatu: Hakuna mahali pameandikwa kutofautisha mwanamke na mwanamke. unamchanganya unamsomea kusujudu na tunataka jibu la kutenganisha Male and female. swali lako lina mchanganya. ufunuo kumi na moja moja Hekalu ni jengo la mungu kanisa ni umati wa watu wanao abudu mungu. usipochunga waislamu huruka bibilia hawasomi neno na sababu wanasoma vipande vya neno
There is great weaknesses with you,pride that comes before a fall,judging and playing Holy me game.Kila mtu afuate Mungu mwenye ataenda kuishi naye milele.
Tokaa PHEPO! Huyo Phepo ilim ingia huyu Juma kwa sababu Nguruwe ali kosekana! Ai, truely Possessed! Acts 19:2, hakuna khitu kama 'Holy Spirit' inside you! Ndacha yuko wapi? Akwende zake na huyu Phepo wa Kanisani! Ndio Biblia ime tambua vizuri wakati inapo sema Ma Shaitani, Phango zao Zimo KANISANI Revealations 2:12-17
ukisoma Romans 7,14 inachanganya. tuanze juu paulo kwanini akasema ivotusome Warumi 7, 8 Paulo anasema lakini dhambi ilipata nafasi kwa ile amri, ikafanya ndani yangu namana ya kutamani. so ukisoma 14 utaelewa sababu ni ipi, haustali kusoma 14 bila kupitia 8. already sin is in us. na paulo anakiri. kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni. utapata jibu pale genesis mungu alipo iweka kifo.
Sheikh umemkamata pazuri pasta...!...ndio kawaida Yao hao, ukimkamata vizuri wanajificha kwenye roho, hahahaaa Hawa jamaa ni wajanja sana..!....na ndio wanapowaibia waumini...!
ua-cam.com/video/3Qar3aoilfI/v-deo.html. Hawawezi kupunguza kasi ya Islam, Mecca hiyo, na sheikh anasoma aya za Quruani zinazo husika na Watu wa Kitabu ambazo ni hizi:- إِنَّ أَوَّلَ بَيْتٍ وُضِعَ لِلنَّاسِ لَلَّذِي بِبَكَّةَ مُبَارَكًا وَهُدًى لِلْعَالَمِينَ Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote. (Quran 3 : 96) فِيهِ آيَاتٌ بَيِّنَاتٌ مَقَامُ إِبْرَاهِيمَ ۖ وَمَنْ دَخَلَهُ كَانَ آمِنًا ۗ وَلِلَّهِ عَلَى النَّاسِ حِجُّ الْبَيْتِ مَنِ اسْتَطَاعَ إِلَيْهِ سَبِيلًا ۚ وَمَنْ كَفَرَ فَإِنَّ اللَّهَ غَنِيٌّ عَنِ الْعَالَمِينَ Ndani yake zipo Ishara zilizo wazi - masimamio ya Ibrahim, na mwenye kuingia humo anakuwa katika amani. Na kwa ajili ya Mwenyezi Mungu imewajibikia watu wahiji kwenye Nyumba hiyo, kwa yule awezae njia ya kwendea. Na atakaye kanusha basi Mwenyezi Mungu si mhitaji kwa walimwengu. (Quran 3 : 97) قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لِمَ تَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَاللَّهُ شَهِيدٌ عَلَىٰ مَا تَعْمَلُونَ Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnakanusha ishara za Mwenyezi Mungu, na ilhali kuwa Mwenyezi Mungu ni Shahidi kwa yote mnayo yatenda? (Quran 3 : 98) قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لِمَ تَصُدُّونَ عَنْ سَبِيلِ اللَّهِ مَنْ آمَنَ تَبْغُونَهَا عِوَجًا وَأَنْتُمْ شُهَدَاءُ ۗ وَمَا اللَّهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnamzuilia aliye amini Njia ya Mwenyezi Mungu mkiitafutia kosa, na hali nyinyi mnashuhudia? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. (Quran 3 : 99) يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنْ تُطِيعُوا فَرِيقًا مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ يَرُدُّوكُمْ بَعْدَ إِيمَانِكُمْ كَافِرِينَ Enyi mlio amini! Mkiwat'ii baadhi ya walio pewa Kitabu watakurudisheni kuwa makafiri baada ya Imani yenu. (Quran 3 : 100) وَكَيْفَ تَكْفُرُونَ وَأَنْتُمْ تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ آيَاتُ اللَّهِ وَفِيكُمْ رَسُولُهُ ۗ وَمَنْ يَعْتَصِمْ بِاللَّهِ فَقَدْ هُدِيَ إِلَىٰ صِرَاطٍ مُسْتَقِيمٍ Na vipi mkufuru hali nyinyi mnasomewa Aya za Mwenyezi Mungu na Mtume yuko kati yenu? Na mwenye kushikamana na Mwenyezi Mungu basi huyo ameongozwa kwenye Njia Iliyo Nyooka. (Quran 3 : 101)
@@alhaddajmohammed4768 Utakoma kuita wakristo makafiri.wako na dini na wanamjua mungu.kama uislamu mnafunzwa hivyo basi jiwekee moyoni mwako.Hizi ni dharau na kujiona first class kwa mungu
@@alhaddajmohammed4768 ukweli wenu ni huo wa kukaa na majini na kuabudu miungu tena ni vizuri umetanguliza pole kwamaana pole yko ni msiba tosha kwa kutokuelewa na kufahamu ukweli
👏👏👏👏👏👏👏 congratulations pastor . The Bible says a canal man will never understand the things of the spirit. So ATA umuhubirie morning to evening hata elewa NENO
😂😂😂 SINDANO imeingia jiyooo Yamotoooo 😂😂😂HOSEA 9 : 7 Siku za Kupatilizwa Zimekuja na Siku za Kulipa Zimefika IZISRAELI Atayajuwa Hayo HUpo Nnabii Ni MPUMBAVU Na Huyo MTU Mwenye Roho ANAWAZIMU, 😂😂😂😂😂😂
what is this holy spirit thing that only you guys can understand,,,what is the rocket science about it? you deny straight forward things and then u hide behind holy spirit,,,,
Sheik Ramadan MashAllah unaenda nao vizuri Allah akupe umri na Afya uzidi kutetea Dini yake.
Masha Allah hii ndio kazi bora ya kutangaza dini ya Allah
the patience of sheikh ramadhan is on another level
Juma ana chekesha kweli, ubishi tuu iko kazi hapo, maskini, asa yaarab Mwenye Enzi Mungu amu onyeshe njia ya ilio sahihi
Hivyo ndivyo huwa wanadanganywa Kanisani ili wapotee na huwa wakali kwa Waumini wao wakimuona Muumini anauliza swali/maswali ya kumkwamisha kwa Mchungaji Muumini hajibiwi ipasavyo (hafundishwi ukweli) na atakemewa, ataambiwa anapepo mchafu anaemwongoza kuuliza swali/maswali na anaweza kufukuzwa asishiriki kuabudu tena katika hilo Kanisa.
Sheikh Ramadhan mashaallah kwa uvumilivu ..kutoa mtu kwa roho mtukutu nikazi ilinichukua 1full year to believe in the real deen alhamdulillah
soo deen la kweli ningani
@@christinemutua6139 deen ya kweli nikumwamini Mungu nimmoja hazai na hazaliwi na kuamini mitume yake yote bila kubagua
atiii avaaana mtu mwenye roho anakwepa wapiii .... MASHALLAH USTADH Ujumbe ufike kote kote
Kazi mzuri Ust.Ramadhan na wenzako.Juma ajitetea na kusema," inategemea" kubali yaishe
Mashallah sheikh ramadhani kwa kazi mzuri ya kulingania uisilamu, Allah akulinde na kila balaa mwisho wa siku wataelewa tu
Jazzaka Allah ustadh Ramadhani , Wakristo Wameishaa Taratibu, pole pole , Lazma Makanisa Yabadilike yote kuwa miskiti.
Mashallah mashallah ramadhan bin kaguoo tukoo pmja Sanaa Allah akupe pepoo ilyo juuu zaid
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatu tuko pamoja Sheikh Ramadhan. Allah atujaalie Swaum zetu ziwe nizenye kuswih na atutakbalie dua zetu in Sha Allah
Amiin
Amin
Ameen
Allah awalinde masheik wetu mnafanya kazi nzito sana wajazakallahu khair
Huyu kijana ana maneno mengi Allah akulipe kheri shehe wetu na akuzidishie subra maana hii kazi inahitaji subra sanaaa
Shetani/Ibilisi anao Wafuwasi wengi ikiwemo Juma na wa mfano wake Juma.
Tumwombe Allah atukinge na Shetani na Vitimbi vyake Shetani I'll tupate kuupata mwisho mwema.
***Aaamin***
Amiin 🤲
May Almighty Allah bless and protect you
Mashaallah Shekh Ramadhan taratib huna papara na kutoa mafunzo, Naikubali kazi yko muungu akuzidishie nguvu tuko pamoja.
Kazi ni ni ngumu. Ramadhan uko sahihi kabisa, Allah atakulipa. Hao akina Juma wajipoteza Kwa ukorofi na hawapendi haki.
Allah akupe afya njema n elimu n hekim n akupe pepo kesho akhera
Masha Allah great dawaah sheikh
Masha Allah shiekh Allah Akulipie inahitaje subura hii kazi
unafel wapi pastor jifunze neno ili ujibu kwa Usahihi sema Amen
Shalom Mungu Akufunulie roho mtakatifu
Allah akulipe mashaallah
Mungu akuzidishie ramadhn
TabarakhAllah Ustad. MashaAllah you shown so much patience with this Hosea 9:7 possesed juma!
Huyu Juma ana Roho Mtukutu, tena sana!😆.
Mbona hawa elevi ya kwamba Biblia ni Vitabu zilizo TUNGWA na Wazungu , hivi juzi tuu!
Kng James, ambaye alikuwa ni Shoga, ndiye aliye iandika Biblia pamoja na 46 Writers!
Salim Ndenda alikuwa ana sema kweli, watu wengine ni kama MaNyaani, hawa tambui Uwongo! Wana fuata tuu, kama Ma Kasuku!
Juma anasema "WANAFUWATA VILE WANAFUNZWA" kwamaana wanafuwata tu hata kama wanaongpewa na kufumzwa uwongo na hao Walimu wao huko Kanisani !
Yaani wanarithi kukariri na kulithishana Uwongo !
@@alhaddajmohammed4768 Si jui hawa wata elewa lini ya kwamba Biblia ime Tungwa tuu, na Wazungu!
Hii ugonjwa wa ku tetemekia Mzungu uko kila mahali Africa!
Huwa wana fikiria Wazungu ni kabila ya Mungu wao! Mpaka wame ji bandika ma jina za Kizungu pia, na wana wa ' Copy' Wazungu katika kila khitu!
Kama kuji paka 'Plaster' na Tissue, wakati wame kwenda haja! Na Wana Wake wao ku tembea Uchi!
I dont know when they will learn?
Koran ikaandikwa Na nani we umechamganyikiwa
SubhanaAllah.HuuMuswiba
RamadHan Ni mzuri sana yeye sio mkorofi mungu akubariki
masha Allah, jazaaka Allah khairan
Mtu mwenye roho anawazimu😂😂 shukran ustadh wataelewa tu✊
❤❤❤❤❤❤shekhe ramadhan mungu akulpe kher
Wallahi Kuna watu wabishi kweli hata baada ya kusoma na kuelewa bado niwabishi ila Allah awaongoze .
Juma anakwepakwepa maswali na anajibu kwa kujitetea tu aonekane amejibu Swali/maswali bila kujuwa (anajuwa) ajuwa anajibu Pumba kwa kutetea imaan yake na kutetea maslahi yake ya kidunia !
Hata Yesu yuko na roho sababu ni binAdam/kiumbe.
İdd Mubarak Ustaz Sheikh
Pastor amewaka moto 🤣🤣🤣 this is the best clip yet
Juma ni mpishani kweli kweli , shida yake hapendi kuskiza mafunzo mazuri..lakini tunaelewa hali yao
Jumaah anatetea ukristo wake. Hana ubushi
Mashallah Akhy Ramadhan,
Ramadhan Mubarak...
Allah akulipe.
Mashallah Tabarakallah
this is so intresting Hosea 9 saba. Jama huyu anatega mkristo wetu hapa "Huyo nabi nimpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu" lakini hazingati hii "kwasababu ya uovu wake na kwasababu uadui umekuwa mkubwa" kuna maroho tofauti ulivyosema lakini kulingana na hii Neno ni zile roho za uadui na Uovu.
Ahhahu akbar. Ikiwa hali ya wachungaji wa kikristo ni hii,je waumini wao wako katka hali gani? Allah atunusuru inshallah.
MashaAllah
Hahaha! Nyinyi nyote mko sawa bro
Mwelezee Pole pole
Yesu mwenyewe anasema yeye ni mwana wa Adamu wapambe wanampinga mpaka Yesu na kumuita mwana wa God msiba huu .
Yesu anayo kazi ya kumjibu Mungu kwa jinsi Wakristo wanavyo mpachika Yesu sifa/wadhifa ambao si wake/hana;
-anasamehe dhambi na anaokoa/mwokozi nk ya Uzushi mwingi Wakristo wanamtungia/wanamzushia Yesu !
Yamezuka na yanaendelae kuzuka Makanisa na Madhehebu kedekede na yote hayo Makanisa na Madhehebu hujinasibisha na Yesu (wao ni wafuwasi wa Yesu/wanamfuwata Yesu) !
Hivi atakaporejea Yesu atashiriki/atashirikiana na Wauini wa Kanisa gani na Madhehebu gani?!
Maana Makanisa na Madhehebu ni mengi lakini hutofautiana jinsi ya kufanya ibada na siku za ibada hurofautiana !
❤❤❤
Mkaidi sana Juma
Anatetea Ugali wake na kuibomowa Akhera yake !!!
Huyo mhubiri ako vizuri sana biblia huwezi kusoma msitari mmoja ukaelewa ni usome ujue maana kabisa
🤣🤣🤣 pole sana sheikh watu
Truth harts
Napenda mafunzo za straight path, mafunzo kali kabiza
Wakati yesu atarudi enyewe dunia itashangaa
Nyakati wa pili saba tatu: Hakuna mahali pameandikwa kutofautisha mwanamke na mwanamke. unamchanganya unamsomea kusujudu na tunataka jibu la kutenganisha Male and female. swali lako lina mchanganya. ufunuo kumi na moja moja Hekalu ni jengo la mungu kanisa ni umati wa watu wanao abudu mungu. usipochunga waislamu huruka bibilia hawasomi neno na sababu wanasoma vipande vya neno
There is great weaknesses with you,pride that comes before a fall,judging and playing Holy me game.Kila mtu afuate Mungu mwenye ataenda kuishi naye milele.
Hakuna kila mtu afuat mungu ataenda kuishi nae. Afuatwe mungu kimaandiko.kwaajili nyinyi hamufati maandiko
Naye ni mmoja tu. Sasa kama Yesu ndo njia alafu njia mnaiacha. Mini naona Wakristo walifunzwa kuruka ruka
Wanaruka sana maswali. Alafu kumbekeni Ramadhani (mwalimu) hajalazimisha mtu. Amekuja kuelewesha tu
Akuna kila mtu na mungu wake ,mungu ni moja
Juma una wazimu bhanaaa 😅😅😂😂umesoma mandiko mwnyewe 😂😂😂
Dahh waislam wanahangaika
Wakristu ni watu wa kushangaza sana
Juma kushipa huyu😊
Pastor amekuwa emotional 😂😂😂😂😂
Juma anawazimu eti hapana na mandiko kasoma mwenyewe 😂
Mhubiri mrongo ajitetea na roho😂😂 Hana kitu huyu akadanganye wakristo kanisani
walaali juma amenitekesha sana 😂😂
Assalam Aleykum waramathullah wabarakatu nenda nae uyo eti an rooh naatak kukubali an wazimu🇰🇪😂😂😂
Wakorinto wa 2 , 6:16 ina eleza kuwa sisi ni hekaru!! ya Mungu
Hosea 9:7
Siku za kupatilizwa zimekuja, siku za kulipa zimefika; Israeli atayajua hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu
Kuna tafauti kanisa na hekaru vipi nyinyi wakirsto ata bibilia amhijui,.
Kala divai anaiogopa quruan
juma ajitetea 😂😂😂
Tokaa PHEPO!
Huyo Phepo ilim ingia huyu Juma kwa sababu Nguruwe ali kosekana!
Ai, truely Possessed!
Acts 19:2, hakuna khitu kama 'Holy Spirit' inside you!
Ndacha yuko wapi? Akwende zake na huyu Phepo wa Kanisani!
Ndio Biblia ime tambua vizuri wakati inapo sema Ma Shaitani, Phango zao Zimo KANISANI
Revealations 2:12-17
ukisoma Romans 7,14 inachanganya. tuanze juu paulo kwanini akasema ivotusome Warumi 7, 8 Paulo anasema lakini dhambi ilipata nafasi kwa ile amri, ikafanya ndani yangu namana ya kutamani. so ukisoma 14 utaelewa sababu ni ipi, haustali kusoma 14 bila kupitia 8. already sin is in us. na paulo anakiri. kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni. utapata jibu pale genesis mungu alipo iweka kifo.
John:5.43
I have come in my Father's name, and you do not accept me; but if someone else comes in his own name, you will accept him.
Huyu Juma ni mbishi sana. Lakini akielewa, atajirudi tu.
Huyu yuajifanya mjuaji ili hali hana lolote.
Juma ameniuwa Sana 😳
Mwnzo amesema huelewi kiwa huna roho mara huelewi kiwa hukuanzia juu.tushike wapi.
They have eyes but they don't see,they even have ears but they can't hear.these people troubled Jesus during his time
Hapa huyu jamaa hana kitu anaruka ruka tu
No one is holy.
Huyu ni mlevi
Sheikh umemkamata pazuri pasta...!...ndio kawaida Yao hao, ukimkamata vizuri wanajificha kwenye roho, hahahaaa Hawa jamaa ni wajanja sana..!....na ndio wanapowaibia waumini...!
wanakisoma kitabu hicho lakini hawakijui!!
Ni ukorofi tuu. Anakwepa kusoma Aya zingine.
😂
Wanashindwa na majibu alafu wajitia kutofahamu
Bona wakati munaeda kutafuta wafuasi mnatumia bibilià bonà usitumie Quran
Hizi Ndichu zimekuja siku hizi hawataki kusikia ukweli,wanasoma pale Bible will favour them,Pastor (BWAKIN😂😂😂
ua-cam.com/video/3Qar3aoilfI/v-deo.html. Hawawezi kupunguza kasi ya Islam, Mecca hiyo, na sheikh anasoma aya za Quruani zinazo husika na Watu wa Kitabu ambazo ni hizi:- إِنَّ أَوَّلَ بَيْتٍ وُضِعَ لِلنَّاسِ لَلَّذِي بِبَكَّةَ مُبَارَكًا وَهُدًى لِلْعَالَمِينَ
Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote.
(Quran 3 : 96)
فِيهِ آيَاتٌ بَيِّنَاتٌ مَقَامُ إِبْرَاهِيمَ ۖ وَمَنْ دَخَلَهُ كَانَ آمِنًا ۗ وَلِلَّهِ عَلَى النَّاسِ حِجُّ الْبَيْتِ مَنِ اسْتَطَاعَ إِلَيْهِ سَبِيلًا ۚ وَمَنْ كَفَرَ فَإِنَّ اللَّهَ غَنِيٌّ عَنِ الْعَالَمِينَ
Ndani yake zipo Ishara zilizo wazi - masimamio ya Ibrahim, na mwenye kuingia humo anakuwa katika amani. Na kwa ajili ya Mwenyezi Mungu imewajibikia watu wahiji kwenye Nyumba hiyo, kwa yule awezae njia ya kwendea. Na atakaye kanusha basi Mwenyezi Mungu si mhitaji kwa walimwengu.
(Quran 3 : 97)
قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لِمَ تَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَاللَّهُ شَهِيدٌ عَلَىٰ مَا تَعْمَلُونَ
Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnakanusha ishara za Mwenyezi Mungu, na ilhali kuwa Mwenyezi Mungu ni Shahidi kwa yote mnayo yatenda?
(Quran 3 : 98)
قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لِمَ تَصُدُّونَ عَنْ سَبِيلِ اللَّهِ مَنْ آمَنَ تَبْغُونَهَا عِوَجًا وَأَنْتُمْ شُهَدَاءُ ۗ وَمَا اللَّهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ
Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnamzuilia aliye amini Njia ya Mwenyezi Mungu mkiitafutia kosa, na hali nyinyi mnashuhudia? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda.
(Quran 3 : 99)
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنْ تُطِيعُوا فَرِيقًا مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ يَرُدُّوكُمْ بَعْدَ إِيمَانِكُمْ كَافِرِينَ
Enyi mlio amini! Mkiwat'ii baadhi ya walio pewa Kitabu watakurudisheni kuwa makafiri baada ya Imani yenu.
(Quran 3 : 100)
وَكَيْفَ تَكْفُرُونَ وَأَنْتُمْ تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ آيَاتُ اللَّهِ وَفِيكُمْ رَسُولُهُ ۗ وَمَنْ يَعْتَصِمْ بِاللَّهِ فَقَدْ هُدِيَ إِلَىٰ صِرَاطٍ مُسْتَقِيمٍ
Na vipi mkufuru hali nyinyi mnasomewa Aya za Mwenyezi Mungu na Mtume yuko kati yenu? Na mwenye kushikamana na Mwenyezi Mungu basi huyo ameongozwa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
(Quran 3 : 101)
Kuria ni kama anahoji mtoto mdogo na kejeli mingi anampeleka vile anataka laki sio vile ilivyo
juma aruka kama yuko kanisani😂😂
Huyo juma ijielew hatak kuelewa
Huyo nihao waliopigwa muhuri
🤣🤣
Kuria usitafute maneno ya kupiga mtu, tafuta Ile ya kufundisha😆
Apa akuna mtu amepigwa
Duu anamaneno huyo pasitar mapepe hatulii anaona Yuko kanisani
Hawa jamaa wakricto ni wabishi kweli kweli. Duh 🙄!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakristo wapelekwa km upepo maneno mengi bila ushahid. Kweli ukrsto biashara
Ukristo ni Wapagani/Makafiri wa Antokia.
Matendo ya Mitume 11: 25....
@@alhaddajmohammed4768 Utakoma kuita wakristo makafiri.wako na dini na wanamjua mungu.kama uislamu mnafunzwa hivyo basi jiwekee moyoni mwako.Hizi ni dharau na kujiona first class kwa mungu
Bwana Juma atatarika kama Nyoka alie mwagiwa petrol ⛽ 😁😁
Wapo wengi wa mfano wake Juma kwa kutetea Ugali wao na kupenda raha za Dunia na kuiwacha Akhera !
@@alhaddajmohammed4768 mtihani
Before Abraham Jesus was David called Jesus my lord
???
Kwani mungu aliposema 'amemtoa mwanae wa pekee' kwani ilisemwa ni yesu? Mungu mwanae wa pekee ni ephraim kutokana na biblia
Pole kwa kua hujui usemacho
@@aiahadoha4550 Awe pole na msiba mkubwa kwa asotaka kuujuwa na kuufuwata ukweli na haki.
@@alhaddajmohammed4768 ukweli wenu ni huo wa kukaa na majini na kuabudu miungu tena ni vizuri umetanguliza pole kwamaana pole yko ni msiba tosha kwa kutokuelewa na kufahamu ukweli
@@alhaddajmohammed4768 na Wala sio wote mtakaowapigia faliqk kwa hicho kitabu chenu Cha uongo
@@aiahadoha4550ndo elim yako ilipo ishia😂😂😂
Why they're scaring to read their own Bible?
Mchunganji gani huyu mrongo hujitetea na roho . Hizo roho zenu muteenda nazo motoni
Swali yangu mbona utumie bibilia and you say it's corrupt dies it mean your contradicting yourself
Lazima mfunzwe biblia kwanza kwa sababu mwasomewa huwasomi wenyewe!
@@shabanawino9426 kwanini utufunze najisomea mwenyewe
👏👏👏👏👏👏👏 congratulations pastor . The Bible says a canal man will never understand the things of the spirit. So ATA umuhubirie morning to evening hata elewa NENO
Huyyo roho mnayemsema Labda roho wa shetani anawaongoza kubadili maandiko.
What are those things of the spirit?😅😅😅
😂😂😂 SINDANO imeingia jiyooo Yamotoooo 😂😂😂HOSEA 9 : 7 Siku za Kupatilizwa Zimekuja na Siku za Kulipa Zimefika IZISRAELI Atayajuwa Hayo HUpo Nnabii Ni MPUMBAVU Na Huyo MTU Mwenye Roho ANAWAZIMU, 😂😂😂😂😂😂
what is this holy spirit thing that only you guys can understand,,,what is the rocket science about it? you deny straight forward things and then u hide behind holy spirit,,,,
😂😂😂
Anamanisha yeye mchafu, Quran haiguswi ila kwa waliotakaswa
Waliosujudu waliona moto nyinyi mnaosujudu mnakuwa mmeona nini?
MotoMaanayakeenolamungu
Yani huyu hafati bibilia anajitungia vyake tu
Kama mungu anahabudiwa kokote basi kusingetengezwa kanisa na mskiti??? Akili zake bure kabisaa
You are drawing the word out of context to suit what you are saying.