MashaAllah. Alhamdulillah Kwa Kuamka salama nakuwahi swala ya alfajiri. InshaAllah tujibidiishe Kwa kusoma suratul kahf na kumswalia mtume kwa wingi kwa cku hii tukufu ya jum'a.Allah atupe fadhla ya cku hii ,atusameh na atujalie tuwahi saatul ijaba
Mashaallah Tabarakallah, kazi nzuri ustadh Ramadhan, uwa napenda nikisika, Allah awazidishie Elimu mlionayo kutoa watu kwenye Giza na kuwapeleka kwenye nuru ya uislamu,
MashaAllah. JazakAllah for the Hard Work! Wa Islamu, supportini hii channel na Mali zenu! Kwani hawa WaKristo hawa jui Biblia yao ime andikwa na Wazungu, hivi juzi tuu, in 1611AD, by King James! Biblia ni Story Book ya Wazungu, that is why NENO UKRISTO na Neno 'Biblia' HAIKO katika Biblia zote! Those TWO Words dont exist!
Shukrani Sheikh kwa kuelimisha watu kuhusu Mwenyezi Mungu. Ni vyema watu wajulishwe kwamba Uislamu ni Dini ile iliyokuwa ndio Dini ya Baba yetu Adam na ndiyo Dini ya haki ile ilikuwa ya Mitume na Manabii. Dini inahusu kuamini kwamba Mungu ni mmoja. Na kuamini kwamba hakuna mungu wa haki ila Allah. Waroma ndio waliofundisha watu kusema Mungu ni Baba. Je ni ukweli?
Unaona wewe unaabudu miungu yenu mitatu Paulo, Maria na yesu unaona waislam hatujitambui kama nyinyi mnaojiita wakiristo? Usitusemee bali pambaneni na ukafiri wenu
@@fatumamwalimu5765 au sio tunamuabudu Paulo na Maria ? Quran yenu ndio inawafundisha hivo endelea kuamini hivo mashekh wanakudanganya nawe unapokea tu bila kutumia akili ushakuwa mtu mzima ww jitambue
Nyinyi nnafyata watu masokoni eti tuelezee ukristo ukoje. Huko ni kukosa sera. Karibuni neema bado ingalipo kwa yesu kristo. Hao mnaohojiana nao hawana ukriso wowote. Wapowapo tu. Kama mafungu ya bamia mnapoteza mda wenu kuwaulizia habari za kristo
There's no any Christian apologist /pastors who can explain the meaning of Begotten son because they know truly it can't fit in God's majesty . It's a kuffru
Usifanye usanii kwenye imani ya mwingine. Wewe amini unachokiamini. Usilazimishe mwingine atoke kwenye imani yake akufyate wewe .hebu jalibuni kuwa wastaarabu jamani. Kawatafuteni wapagani labda watawaelewa .tangu niko tumboni nasikia yesu kristo ni bwana. Leo hii from know were unibadilishe dini. Ukiwa kama nani. Nina wazimu. Kueni wastarabu
Neno limesema kila goti litapigwa mbele ya yesu na kila ulimi utakili kuwa yesu kristo ni hakimu. Acheni kutapatapa. Siku inakuja mtakapotapatapa vizuri
Mungu wa haki ni Allah (s w) na Dini ya haki ni uislamu na mtume muhammad (s.a.w) ni mtume wa allah na ni mtume wa ulimwengumzima Allah akuongoze uijue haki kabla ya kukufikia umauti
wanasema kila siku dini haipeleki mtu mahali,wakati Bibilia yenyewe inataja Dini mara mingi tu,wakijaza form wanaandika Dini,sasa mi nashangaa imani ya hawa wakristo is it brainwashing au mafundisho gani haya
Wislam muda wa kurudi masihi YESU KRISTO umekaribia achanane na mambo ya kukazania din uislamu uislamu kumbekeni YESU ndie ufufuo na uzima yeye anachombo Cha kuchujia nafaka
Haya lete andiko linalosema yesu ni chombo chakuchujia, sasa ikiwa yesu hakufundisha huo ukiristo wenu mlioletewa na Paulo mbona msifunguliwe macho wakati mmekua kondoo waliopotea na wachungaji wenu waliwapoteza ,yesu anakuja kuwakataa wale wanaojiita wakiristo na atavunja misalaba
Vingependeza mkaenda kuwashawishi wahidi na budha .huyo mtume wenu alizaliwa ameukuta ukristo ndio kawaambia muupige vita ukristo yeye mwenyewe hajui chimbuko la ukristo mnakurupuka tu .kama machizi
God is one but in three persons ?, that is blasphemy, it does not make sense and till today Christians themselves are saying and admitting that it is mysterious and they cannot explain. They will come with stupendous examples like egg, water etc. Please have mercy on Jesus and stay, believe and follow your master, Paul.
Mashallah sheikh ramadhan Allah akueke pamoja na team yako uendeleze dawaah kote nchini wakiristo wazidi elewa uisilamu
Huyo kijana Silas Allah atamuongoza InshaAllah.. akili yake ni safi..
MashaAllah. Alhamdulillah Kwa Kuamka salama nakuwahi swala ya alfajiri. InshaAllah tujibidiishe Kwa kusoma suratul kahf na kumswalia mtume kwa wingi kwa cku hii tukufu ya jum'a.Allah atupe fadhla ya cku hii ,atusameh na atujalie tuwahi saatul ijaba
Mashaallah Tabarakallah, kazi nzuri ustadh Ramadhan, uwa napenda nikisika, Allah awazidishie Elimu mlionayo kutoa watu kwenye Giza na kuwapeleka kwenye nuru ya uislamu,
Tunakupenda kwa ajili ya ALLAH shehe Ramadhani na kundi lako.ALLAH awakinge na hasad za dunia hii.Aamiyn.
Allah akujaliyeni kila la kheri katika jitihada zenu
Aamin 🤲
Halaf kweki wuyu mtoto ni mkweli mungu amongoze ichaallah
Mashallah tabaraka Rakhman Alha awalipe kheri mashehe wetu kwa jitihada kubwa ya kufikisha dini ya haki
Mungu akupe nguvu nawepesi katika kaziyako hii tukufu shee ramazan kuriy
Masha Allah tabaraka Rahman Allah azidi kuwapa nguvu, afya muendelee ku itangaza dini ya haqi. Na wapenda kwa ajili ya Allah
Wsnajikaza tu lakini wa najua dini ya ukweli ni kislamu mashaalaa Allah awaelekeze inshaala,
Masha Allah sheikh Ramadan kwa ulinganiaji mzuri mungu akupe umri mrefu uzidi kulingania
Allahuma ameen 🤲
Ameen.
MashaAllah. JazakAllah for the Hard Work!
Wa Islamu, supportini hii channel na Mali zenu!
Kwani hawa WaKristo hawa jui Biblia yao ime andikwa na Wazungu, hivi juzi tuu, in 1611AD, by King James!
Biblia ni Story Book ya Wazungu, that is why NENO UKRISTO na Neno 'Biblia' HAIKO katika Biblia zote!
Those TWO Words dont exist!
Mashaallah Allah akupe kila la kheri Sheikh Ramadan ..kwa juudi zako kwa kueneza dini ya Aki ya uislam
MUITE BILAL NIMEPENDA IYO❤️
Asalamu aleikum Allah atuogoze soote in shaha allah
Wa aleyikum salam warahmatullahi wabarakatuh
Ma sha Allah
Allahu akbar
Allah azidi kukutieni nguvu kazi mnayofanya iendelee kwa wepesi daima.
Allah akusahlishie n waislam wote tuifikishe dini ya kweli al islam
Mashaa Allah
MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah uzidi kumtangaza Allah nahakupe pepo ya fildas lnshaallah
A have got wat to watch tonight Inshaaa Allah
mashaAllah.. shee Ramadhan kuria..
Asalamu aleikum Allah awaipe kila kheri in sha allah
Unajua kuwakamata ustadhi kwa maswali tu Allah azidi kukuongoza kwenye kheri
Allah awalipe kila la kheri kwa jitihada mnazo zifanya
Masha Allah tabaraka Allah
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh
Asanteni sana
Mungu akuhifazi akulinde shehe ramaza mana unamueleza kwautulivu kabisa mungu akuwezeshe zaidi wwe najop lako mumbgu awajaze heri
Mashallah tabarakallah
Eu gostei tou em Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
MashaAllah, well done Ramadhan
Masha ALLAH ALLAHU AKBAR
Mashaallah
Mungu awabariki
MASHA ALLAH Tunaombea ALLAH Awape Umri Na Afya Njema Na Awabariki Kwa Kzi Zuri Mnayo Ifanya
Mashaalah
Ningetamani mutembee meru in shaa Allah
Jamani yule mzee Yussuf yupo ulikuwa ukifatana nae ? UST Ramadhan
Yaani mie niliuliza wala sikupata jibu siku nyingi hatujamuona mzee wetu
Ma shaa Allah..Ustadh Rama...Daa'wa ina utamu yake..Allah azidi kuwapa subra na afya
Mashalla allahmdulilah ❤😍
Mnavyojua kuzusha mambo mko vizuri
MashaAllah huyo kijana pastor mdogo mmfuatilie in shaa Allah atasilimu
Shukrani Sheikh kwa kuelimisha watu kuhusu Mwenyezi Mungu. Ni vyema watu wajulishwe kwamba Uislamu ni Dini ile iliyokuwa ndio Dini ya Baba yetu Adam na ndiyo Dini ya haki ile ilikuwa ya Mitume na Manabii. Dini inahusu kuamini kwamba Mungu ni mmoja. Na kuamini kwamba hakuna mungu wa haki ila Allah.
Waroma ndio waliofundisha watu kusema Mungu ni Baba. Je ni ukweli?
Mashallah bring them to our truth religion Ustadhi Ramadhani tell them in Muslims ww don't hate any body but we welcome all
Mashaallah jazakumllah kheir amiin kazi nzr sana mola awazaidishi Iman
Thanks for the great work of daawa Ustadh Ramadhan kurya may Allah reward you jannah
Maashaallah baarakallah..
What a great woman,,,debunk refuse lies on the spot
Waislam wanabudu Muhammad
Soma wwe isije ukaenda motoni kwa kumuabudu yesu...unakosa kumuabudu mungu
Unaona wewe unaabudu miungu yenu mitatu Paulo, Maria na yesu unaona waislam hatujitambui kama nyinyi mnaojiita wakiristo? Usitusemee bali pambaneni na ukafiri wenu
@@fatumamwalimu5765 au sio tunamuabudu Paulo na Maria ? Quran yenu ndio inawafundisha hivo endelea kuamini hivo mashekh wanakudanganya nawe unapokea tu bila kutumia akili ushakuwa mtu mzima ww jitambue
@@madetetv6576Toa andiko km waislam wanaabudu Muhammad
Kuna tofauti Kati ya mchungaji na Mapadre.
Nyinyi nnafyata watu masokoni eti tuelezee ukristo ukoje. Huko ni kukosa sera. Karibuni neema bado ingalipo kwa yesu kristo. Hao mnaohojiana nao hawana ukriso wowote. Wapowapo tu. Kama mafungu ya bamia mnapoteza mda wenu kuwaulizia habari za kristo
Wewe ndiye huna kazi,umeishia ku comment ujinga kwakuwa hutaki kusikia ukweli
Shekh mbona kutumia uongo
There's no any Christian apologist /pastors who can explain the meaning of Begotten son because they know truly it can't fit in God's majesty . It's a kuffru
A name pastor has no monopoly of Godliness but them that are called have the knowledge. I'm not a pastor but I'm privileged to understand.
Acheni ujinga kila wakati mnamkashifu yesu. Hebu muongeleeni yule anaewahusu..mbona mnafosi kuna nini kinaendelea.
Shekh Ramadan usimwachie mtafute wuyu pasta mtoto
ii sehemu inaitajika kupafanyia mchango kwa kuweka msikiti na markaz itakuwa vizuli kupafanyia alambee
Usifanye usanii kwenye imani ya mwingine. Wewe amini unachokiamini. Usilazimishe mwingine atoke kwenye imani yake akufyate wewe .hebu jalibuni kuwa wastaarabu jamani. Kawatafuteni wapagani labda watawaelewa .tangu niko tumboni nasikia yesu kristo ni bwana. Leo hii from know were unibadilishe dini. Ukiwa kama nani. Nina wazimu. Kueni wastarabu
Aheri nyinyi mnapitapita tu kuuliza habari za mokozi babu zenu walikua walitumia majambia. Eti wanaitafuta pepo .hahahahaha walikua mbali sana.
Nyinyi simnaenda peponi. Ninini tena kinawawasha kupitapita kuumuulizia kristo.kama sio uchokozi. Mnatapatapa mini kumchunguza kristo
Fafanua wachungaji wako aina nyingi. Kuna wachungaji wa ngombe wa mbuzi. Ni wachungaji wapi hao wanaomkana mokozi .jiongeze mwislam. Mnacholwa tu
Neno limesema kila goti litapigwa mbele ya yesu na kila ulimi utakili kuwa yesu kristo ni hakimu. Acheni kutapatapa. Siku inakuja mtakapotapatapa vizuri
Nyie ndomtakao tapa kwani yesu atawqkana nyote mnaosema kua yeye ni mungu
@@mrjagenmuuz5704 Dini zishakuwa kampeni za uchaguzi saizi wanafatwa masokoni
Mungu wa haki ni Allah (s w) na Dini ya haki ni uislamu na mtume muhammad (s.a.w) ni mtume wa allah na ni mtume wa ulimwengumzima
Allah akuongoze uijue haki kabla ya kukufikia umauti
Nyny ndio Yesu atawakana siku hiyo na kuwaambia yeye sio Mungu wala sio mwana wa mungu sasa tafakari vizr
@@munawwarbashir2680 sisi tunamgoja yesu nyinyi viziwi mnangoja nani?mmelalia masikio
wanasema kila siku dini haipeleki mtu mahali,wakati Bibilia yenyewe inataja Dini mara mingi tu,wakijaza form wanaandika Dini,sasa mi nashangaa imani ya hawa wakristo is it brainwashing au mafundisho gani haya
Wislam muda wa kurudi masihi YESU KRISTO umekaribia achanane na mambo ya kukazania din uislamu uislamu kumbekeni YESU ndie ufufuo na uzima yeye anachombo Cha kuchujia nafaka
Zabur 23....Usiwe mvivu wa kusoma kitabu chako na usikubali kusomewa..Ungemjua Yesu vizur ungejisalimisha kwa ALLAH .
@@aishahazary4097 mwambie huyo ajue aside ijutia nafsi yake
Haya lete andiko linalosema yesu ni chombo chakuchujia, sasa ikiwa yesu hakufundisha huo ukiristo wenu mlioletewa na Paulo mbona msifunguliwe macho wakati mmekua kondoo waliopotea na wachungaji wenu waliwapoteza ,yesu anakuja kuwakataa wale wanaojiita wakiristo na atavunja misalaba
@@fatumamwalimu5765 mbona unamponda Paulo wewe alikuchomeka penyewe nini?
@@madetetv6576 kumbe Paulo alikuchomeka!!! Sasa huo ndio ushetani wenyewe, acha kuchomekwa penyewe
Vingependeza mkaenda kuwashawishi wahidi na budha .huyo mtume wenu alizaliwa ameukuta ukristo ndio kawaambia muupige vita ukristo yeye mwenyewe hajui chimbuko la ukristo mnakurupuka tu .kama machizi
God is one but in three persons ?, that is blasphemy, it does not make sense and till today Christians themselves are saying and admitting that it is mysterious and they cannot explain.
They will come with stupendous examples like egg, water etc.
Please have mercy on Jesus and stay, believe and follow your master, Paul.
Mashallah Tabarakallah
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh
Masha Allah
MashaAllah
Mashaallah