WACHUNGAJI WAKIRI YESU SIO MUNGU BAADA YA KUNENA KWA LUGHA MPYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 121

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Рік тому +2

    Mashallah sheikh ramadhan Allah akueke pamoja na team yako uendeleze dawaah kote nchini wakiristo wazidi elewa uisilamu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Рік тому +2

    Huyo kijana Silas Allah atamuongoza InshaAllah.. akili yake ni safi..

  • @maherzain615
    @maherzain615 2 роки тому +11

    MashaAllah. Alhamdulillah Kwa Kuamka salama nakuwahi swala ya alfajiri. InshaAllah tujibidiishe Kwa kusoma suratul kahf na kumswalia mtume kwa wingi kwa cku hii tukufu ya jum'a.Allah atupe fadhla ya cku hii ,atusameh na atujalie tuwahi saatul ijaba

  • @rashidalfan8274
    @rashidalfan8274 2 роки тому +4

    Mashaallah Tabarakallah, kazi nzuri ustadh Ramadhan, uwa napenda nikisika, Allah awazidishie Elimu mlionayo kutoa watu kwenye Giza na kuwapeleka kwenye nuru ya uislamu,

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 2 роки тому +3

    Tunakupenda kwa ajili ya ALLAH shehe Ramadhani na kundi lako.ALLAH awakinge na hasad za dunia hii.Aamiyn.

  • @grealishteam5247
    @grealishteam5247 2 роки тому +3

    Allah akujaliyeni kila la kheri katika jitihada zenu

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 Рік тому +2

    Halaf kweki wuyu mtoto ni mkweli mungu amongoze ichaallah

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 2 роки тому +5

    Mashallah tabaraka Rakhman Alha awalipe kheri mashehe wetu kwa jitihada kubwa ya kufikisha dini ya haki

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Рік тому +1

    Mungu akupe nguvu nawepesi katika kaziyako hii tukufu shee ramazan kuriy

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 2 роки тому +2

    Masha Allah tabaraka Rahman Allah azidi kuwapa nguvu, afya muendelee ku itangaza dini ya haqi. Na wapenda kwa ajili ya Allah

  • @fadumarage2682
    @fadumarage2682 2 роки тому +2

    Wsnajikaza tu lakini wa najua dini ya ukweli ni kislamu mashaalaa Allah awaelekeze inshaala,

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 2 роки тому +3

    Masha Allah sheikh Ramadan kwa ulinganiaji mzuri mungu akupe umri mrefu uzidi kulingania

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 2 роки тому +3

    MashaAllah. JazakAllah for the Hard Work!
    Wa Islamu, supportini hii channel na Mali zenu!
    Kwani hawa WaKristo hawa jui Biblia yao ime andikwa na Wazungu, hivi juzi tuu, in 1611AD, by King James!
    Biblia ni Story Book ya Wazungu, that is why NENO UKRISTO na Neno 'Biblia' HAIKO katika Biblia zote!
    Those TWO Words dont exist!

  • @ggv866
    @ggv866 2 роки тому +1

    Mashaallah Allah akupe kila la kheri Sheikh Ramadan ..kwa juudi zako kwa kueneza dini ya Aki ya uislam

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 2 роки тому +3

    MUITE BILAL NIMEPENDA IYO❤️

  • @fatmamuhamad3762
    @fatmamuhamad3762 2 роки тому +3

    Asalamu aleikum Allah atuogoze soote in shaha allah

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 2 роки тому +3

    Ma sha Allah

  • @nooor1120
    @nooor1120 Рік тому +1

    Allahu akbar
    Allah azidi kukutieni nguvu kazi mnayofanya iendelee kwa wepesi daima.

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 10 місяців тому

    Allah akusahlishie n waislam wote tuifikishe dini ya kweli al islam

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 роки тому +3

    Mashaa Allah

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 роки тому +1

    MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah uzidi kumtangaza Allah nahakupe pepo ya fildas lnshaallah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 2 роки тому +2

    A have got wat to watch tonight Inshaaa Allah

  • @MwasemaMbwana
    @MwasemaMbwana 10 місяців тому

    mashaAllah.. shee Ramadhan kuria..

  • @fatmamuhamad3762
    @fatmamuhamad3762 2 роки тому +2

    Asalamu aleikum Allah awaipe kila kheri in sha allah

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 2 роки тому

    Unajua kuwakamata ustadhi kwa maswali tu Allah azidi kukuongoza kwenye kheri

  • @minaniyasini7834
    @minaniyasini7834 2 роки тому

    Allah awalipe kila la kheri kwa jitihada mnazo zifanya

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 10 місяців тому

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 2 роки тому +2

    Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @saeedisa9798
    @saeedisa9798 2 роки тому +2

    Asanteni sana

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Рік тому

    Mungu akuhifazi akulinde shehe ramaza mana unamueleza kwautulivu kabisa mungu akuwezeshe zaidi wwe najop lako mumbgu awajaze heri

  • @khadijanigogo698
    @khadijanigogo698 Рік тому

    Mashallah tabarakallah

  • @MussamuidineMuidine-oi6oc
    @MussamuidineMuidine-oi6oc Рік тому

    Eu gostei tou em Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @sadiqmwafrica6759
    @sadiqmwafrica6759 Рік тому

    MashaAllah, well done Ramadhan

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 2 роки тому +1

    Masha ALLAH ALLAHU AKBAR

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 2 роки тому +2

    Mashaallah

  • @KhatibuIssa-k7h
    @KhatibuIssa-k7h Рік тому

    Mungu awabariki

  • @عبداللهباحميد-ن4ق
    @عبداللهباحميد-ن4ق 2 роки тому

    MASHA ALLAH Tunaombea ALLAH Awape Umri Na Afya Njema Na Awabariki Kwa Kzi Zuri Mnayo Ifanya

  • @bahatikenia39
    @bahatikenia39 2 роки тому +1

    Mashaalah

  • @doubleminded2079
    @doubleminded2079 Рік тому

    Ningetamani mutembee meru in shaa Allah

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 2 роки тому +4

    Jamani yule mzee Yussuf yupo ulikuwa ukifatana nae ? UST Ramadhan

    • @salmanassor8732
      @salmanassor8732 2 роки тому

      Yaani mie niliuliza wala sikupata jibu siku nyingi hatujamuona mzee wetu

  • @elpibedeoro215
    @elpibedeoro215 2 роки тому

    Ma shaa Allah..Ustadh Rama...Daa'wa ina utamu yake..Allah azidi kuwapa subra na afya

  • @Maryam-h4y1q
    @Maryam-h4y1q Рік тому

    Mashalla allahmdulilah ❤😍

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Рік тому

    Mnavyojua kuzusha mambo mko vizuri

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 2 роки тому

    MashaAllah huyo kijana pastor mdogo mmfuatilie in shaa Allah atasilimu

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 роки тому

    Shukrani Sheikh kwa kuelimisha watu kuhusu Mwenyezi Mungu. Ni vyema watu wajulishwe kwamba Uislamu ni Dini ile iliyokuwa ndio Dini ya Baba yetu Adam na ndiyo Dini ya haki ile ilikuwa ya Mitume na Manabii. Dini inahusu kuamini kwamba Mungu ni mmoja. Na kuamini kwamba hakuna mungu wa haki ila Allah.
    Waroma ndio waliofundisha watu kusema Mungu ni Baba. Je ni ukweli?

  • @majaliwamraba8699
    @majaliwamraba8699 Рік тому

    Mashallah bring them to our truth religion Ustadhi Ramadhani tell them in Muslims ww don't hate any body but we welcome all

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 роки тому

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin kazi nzr sana mola awazaidishi Iman

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 2 роки тому +1

    Thanks for the great work of daawa Ustadh Ramadhan kurya may Allah reward you jannah

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 2 роки тому

    Maashaallah baarakallah..

  • @kenyachristianapologeticsp9635
    @kenyachristianapologeticsp9635 2 роки тому

    What a great woman,,,debunk refuse lies on the spot

  • @florenceflorence1170
    @florenceflorence1170 2 роки тому

    Waislam wanabudu Muhammad

    • @mohamedhozi8110
      @mohamedhozi8110 2 роки тому

      Soma wwe isije ukaenda motoni kwa kumuabudu yesu...unakosa kumuabudu mungu

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 роки тому

      Unaona wewe unaabudu miungu yenu mitatu Paulo, Maria na yesu unaona waislam hatujitambui kama nyinyi mnaojiita wakiristo? Usitusemee bali pambaneni na ukafiri wenu

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Рік тому

      @@fatumamwalimu5765 au sio tunamuabudu Paulo na Maria ? Quran yenu ndio inawafundisha hivo endelea kuamini hivo mashekh wanakudanganya nawe unapokea tu bila kutumia akili ushakuwa mtu mzima ww jitambue

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn Рік тому

      ​@@madetetv6576Toa andiko km waislam wanaabudu Muhammad

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Рік тому

    Kuna tofauti Kati ya mchungaji na Mapadre.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 роки тому +1

    Nyinyi nnafyata watu masokoni eti tuelezee ukristo ukoje. Huko ni kukosa sera. Karibuni neema bado ingalipo kwa yesu kristo. Hao mnaohojiana nao hawana ukriso wowote. Wapowapo tu. Kama mafungu ya bamia mnapoteza mda wenu kuwaulizia habari za kristo

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Рік тому +1

      Wewe ndiye huna kazi,umeishia ku comment ujinga kwakuwa hutaki kusikia ukweli

  • @kenyachristianapologeticsp9635
    @kenyachristianapologeticsp9635 2 роки тому

    Shekh mbona kutumia uongo

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 2 роки тому +2

    There's no any Christian apologist /pastors who can explain the meaning of Begotten son because they know truly it can't fit in God's majesty . It's a kuffru

    • @kennedyireri1813
      @kennedyireri1813 2 роки тому

      A name pastor has no monopoly of Godliness but them that are called have the knowledge. I'm not a pastor but I'm privileged to understand.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 роки тому

    Acheni ujinga kila wakati mnamkashifu yesu. Hebu muongeleeni yule anaewahusu..mbona mnafosi kuna nini kinaendelea.

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 Рік тому

    Shekh Ramadan usimwachie mtafute wuyu pasta mtoto

  • @albusaidi5132
    @albusaidi5132 2 роки тому

    ii sehemu inaitajika kupafanyia mchango kwa kuweka msikiti na markaz itakuwa vizuli kupafanyia alambee

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 роки тому

    Usifanye usanii kwenye imani ya mwingine. Wewe amini unachokiamini. Usilazimishe mwingine atoke kwenye imani yake akufyate wewe .hebu jalibuni kuwa wastaarabu jamani. Kawatafuteni wapagani labda watawaelewa .tangu niko tumboni nasikia yesu kristo ni bwana. Leo hii from know were unibadilishe dini. Ukiwa kama nani. Nina wazimu. Kueni wastarabu

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 роки тому

    Aheri nyinyi mnapitapita tu kuuliza habari za mokozi babu zenu walikua walitumia majambia. Eti wanaitafuta pepo .hahahahaha walikua mbali sana.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 роки тому

    Nyinyi simnaenda peponi. Ninini tena kinawawasha kupitapita kuumuulizia kristo.kama sio uchokozi. Mnatapatapa mini kumchunguza kristo

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 роки тому

    Fafanua wachungaji wako aina nyingi. Kuna wachungaji wa ngombe wa mbuzi. Ni wachungaji wapi hao wanaomkana mokozi .jiongeze mwislam. Mnacholwa tu

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 роки тому

    Neno limesema kila goti litapigwa mbele ya yesu na kila ulimi utakili kuwa yesu kristo ni hakimu. Acheni kutapatapa. Siku inakuja mtakapotapatapa vizuri

    • @mrjagenmuuz5704
      @mrjagenmuuz5704 2 роки тому

      Nyie ndomtakao tapa kwani yesu atawqkana nyote mnaosema kua yeye ni mungu

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Рік тому

      @@mrjagenmuuz5704 Dini zishakuwa kampeni za uchaguzi saizi wanafatwa masokoni

    • @jumabaj5149
      @jumabaj5149 Рік тому +1

      Mungu wa haki ni Allah (s w) na Dini ya haki ni uislamu na mtume muhammad (s.a.w) ni mtume wa allah na ni mtume wa ulimwengumzima
      Allah akuongoze uijue haki kabla ya kukufikia umauti

    • @munawwarbashir2680
      @munawwarbashir2680 Рік тому

      Nyny ndio Yesu atawakana siku hiyo na kuwaambia yeye sio Mungu wala sio mwana wa mungu sasa tafakari vizr

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Рік тому

      @@munawwarbashir2680 sisi tunamgoja yesu nyinyi viziwi mnangoja nani?mmelalia masikio

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Рік тому

    wanasema kila siku dini haipeleki mtu mahali,wakati Bibilia yenyewe inataja Dini mara mingi tu,wakijaza form wanaandika Dini,sasa mi nashangaa imani ya hawa wakristo is it brainwashing au mafundisho gani haya

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 роки тому

    Wislam muda wa kurudi masihi YESU KRISTO umekaribia achanane na mambo ya kukazania din uislamu uislamu kumbekeni YESU ndie ufufuo na uzima yeye anachombo Cha kuchujia nafaka

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 2 роки тому

      Zabur 23....Usiwe mvivu wa kusoma kitabu chako na usikubali kusomewa..Ungemjua Yesu vizur ungejisalimisha kwa ALLAH .

    • @lovemwantiti8130
      @lovemwantiti8130 2 роки тому

      @@aishahazary4097 mwambie huyo ajue aside ijutia nafsi yake

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 роки тому

      Haya lete andiko linalosema yesu ni chombo chakuchujia, sasa ikiwa yesu hakufundisha huo ukiristo wenu mlioletewa na Paulo mbona msifunguliwe macho wakati mmekua kondoo waliopotea na wachungaji wenu waliwapoteza ,yesu anakuja kuwakataa wale wanaojiita wakiristo na atavunja misalaba

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Рік тому

      @@fatumamwalimu5765 mbona unamponda Paulo wewe alikuchomeka penyewe nini?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Рік тому

      @@madetetv6576 kumbe Paulo alikuchomeka!!! Sasa huo ndio ushetani wenyewe, acha kuchomekwa penyewe

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Рік тому

    Vingependeza mkaenda kuwashawishi wahidi na budha .huyo mtume wenu alizaliwa ameukuta ukristo ndio kawaambia muupige vita ukristo yeye mwenyewe hajui chimbuko la ukristo mnakurupuka tu .kama machizi

  • @janieali5521
    @janieali5521 2 роки тому

    God is one but in three persons ?, that is blasphemy, it does not make sense and till today Christians themselves are saying and admitting that it is mysterious and they cannot explain.
    They will come with stupendous examples like egg, water etc.
    Please have mercy on Jesus and stay, believe and follow your master, Paul.

  • @husnanancyatieno2391
    @husnanancyatieno2391 2 роки тому

    Mashallah Tabarakallah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 2 роки тому

    Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 2 роки тому +1

    Masha Allah

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani1455 Рік тому

    MashaAllah

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 2 роки тому

    Mashaallah