Je kama mtu sio muisilamu mwisho ataenda wapi ukweli wafichuka kimeeleweka vinzuri

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 79

  • @Fumokale
    @Fumokale 6 місяців тому +8

    Allah awajaalie kila la khairi ktk kazi nzuri munao fanya na Allah awajaalie IKHLAS...aaaminaaa

  • @abduljoshi38
    @abduljoshi38 Місяць тому +2

    Napenda vile kila swali unaulizwa unajibu kwa maandiko safi sana mashallah Allah akuzidishie elmu

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 6 місяців тому +5

    Nimewahi mashallah Allah awalipe janna

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 6 місяців тому +7

    asalamu aleykum warahmatulahi wa wa barakatu niko hapa chonjo mashaalah naongojea sana video yenu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @rahmaabdalla7643
    @rahmaabdalla7643 6 місяців тому +14

    Huyu kijana wa red salimu ,kazi yake nikusumbua hata ile side ya Eslaigh huwa anafukuzwa saa hii amefika huku na maswali ya Mungu ni mwanaume.Allah amuongoze

    • @iddyjuma8036
      @iddyjuma8036 6 місяців тому +3

      Namjua huyo n msumbufu..niko Tz lakn nishamuonaga akisumbuana na akina Abbas pale Isreee

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому +1

      Tumeelewa analeta ubishi tu

    • @IsmailBase-q6w
      @IsmailBase-q6w 6 місяців тому +1

      Assalaam alaikum sheikh huyo kijana wa red ni mbishi watu kama hao waachilie mbali wasikupotee muda

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      @@IsmailBase-q6w walykum msalam warahmatullah wabarakatuh yeah

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 6 місяців тому

      ALHAMDULILLAH mimi kujua haqi nikafuata.

  • @HamzaAkilimali
    @HamzaAkilimali 6 місяців тому +2

    Achana na huyo kijana, huwenda ana kasoro kichwani

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb 6 місяців тому +2

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...Allah awahifadhi nyote na awalalipe jannatul firdaus,,Huwa nafurahia mafunzo yenu.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote

  • @AshamMussa
    @AshamMussa 6 місяців тому +2

    AAWWABARAKATU Hamjambo nyote waumini wa
    Kweli Allah akubarik sana Salim na kikosi chako nimetulia nawasikiliza huku Zanzibar nasoma sana kupitia kwenu najivunia kuzaliwa ndani ya uislamu wakristo shida tupu poleni

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 6 місяців тому +1

    Mashalla ❤❤❤

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 6 місяців тому +5

    Jamaa kaleta mpya yesu kazaliwa kabla ya mamake

  • @samxx411
    @samxx411 6 місяців тому +6

    Sheikh Salim nimemsoma huyo red jacket yupo kiubishi zaidi, hajui ikisha anajifanya anajuwa lakini hajui na hataki kujuwa ila time waster...

  • @samxx411
    @samxx411 6 місяців тому +4

    Sheikh salim wakati mwengine hao wote wanakuwa kitu kimoja lengo lao ni kuharibu mkutano kwa kupoteza muda.

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh 6 місяців тому +1

    😅😅😅 daawah nikazi nzito kabisa musiwe musiwemukichukuwa muda murefu kwawatu kama hawo kama hawo

  • @SalumNyanza
    @SalumNyanza 6 місяців тому +1

    Mashaallah Allah awalipe masheh wetu kwa kazi kubwa mnayoifanya

  • @isaa_ogutu
    @isaa_ogutu 6 місяців тому +2

    Jamaa hachemuka kwa kutolewa bibilia😂😂😂😂

  • @josemu870
    @josemu870 6 місяців тому +2

    Barikiweni

  • @JUMARASHID-m9g
    @JUMARASHID-m9g 6 місяців тому +5

    Huyo dogo WA red n chizi ati ISsa n kiumbe wakwandza duniani

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 6 місяців тому +9

    Wa mwanzo leo nimefurahii

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 6 місяців тому +2

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @wadadoharam6793
    @wadadoharam6793 6 місяців тому +4

    Asalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh brother salim, ambia mzee Ali awe na subra

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 6 місяців тому +1

    MashaAllah.

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 6 місяців тому +2

    Assalam alaikum.....huyu wa mwanzo anapoteza mda tu hana ata swali 😢😢😢

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 6 місяців тому +1

    MashAllah MashAllah MashAllah

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl 6 місяців тому +2

    Waaleykumusalama

  • @KhamisAli-o9r
    @KhamisAli-o9r 6 місяців тому +1

    Asslam alaikum warahmatullah...leo ni kama time ilitumiwa vbaya,mawaidha yalikuwa mazuri mno Allah awahifadhi walimu wetu na azilinde sauti zenu Ameen..Sheikh Ali anachemka na kuingilia watu wa nje anatoa watu kwa reli,Allah awape subra

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 6 місяців тому +1

    Masha Allah.

  • @ramadhaningulinga217
    @ramadhaningulinga217 6 місяців тому +1

    Shaikh salim mungu awajalie afya njema muendelee kutoa elimu kenya kuna giza sana

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 6 місяців тому +1

    MashaAllah Tabarakah Rahman

  • @rahmaali6662
    @rahmaali6662 6 місяців тому +1

    Yaani Astaghfirullah kufuru ..huyu jamaa alievaa kikoti red kajua kupoteza mda yaani anataka aseme yeye tu asikilizwe akieleweshwa anaruka dah subhanallah

  • @abdirizakali6223
    @abdirizakali6223 6 місяців тому +2

    Mwenyezii mungu awalipiee in Sha Allah

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 6 місяців тому +1

    Allah amuogoze walim ngu.ampe hekma,elimu n afya

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 6 місяців тому +1

    Aslama aleikum waramtulah wabarakatu waah ati Mungu kaaza astaghfirullah

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @alyumaraos
    @alyumaraos 6 місяців тому +1

    A.alaikum mungu awape subra sana ktk hii kazi ya daawa ni ngumu sana ila masheik wetu tunawaomba mwalim Aly afanye subra anyamaze amuachie mwalim Salim yy asome t mbona kila siku tunalalamika kuhusu hilo.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin inn shaa Allah

  • @IshimaelMajani
    @IshimaelMajani 6 місяців тому +1

    Huyo kijana amevuta bagi Wachana na yeye aende kuvuta bangi

  • @Ismaelnoton2543
    @Ismaelnoton2543 6 місяців тому +1

    Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh. Huyu ni kusumbua tu na wala hataki kuelewa ama kukubali

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 6 місяців тому +1

    Wuyu kiboko mungu na yesu wame Mumba adamu

  • @ZamzamMakoto
    @ZamzamMakoto 5 місяців тому +1

    huyu red n sumbua tu

  • @PeterNyagimwisa
    @PeterNyagimwisa 5 місяців тому

    Mungu akujalie kijana unajua kenye unasema,, soma biblia hawa wataaokoka ,,

  • @nayef3903
    @nayef3903 6 місяців тому +1

    Watu wa kuwaste time mpeni dakika tano

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 6 місяців тому +1

    Achana na yule fala hajielewii

  • @asl6295
    @asl6295 6 місяців тому +1

    Kumbe kituko cha TZ umeskia Shekhe

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Yeah tumepata hizo habari Allah amuongoze arudi katika njia iliyo sawa

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 6 місяців тому +1

    Hawa walizoea ushuhuda kuliko maandiko

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @ahmedali279
    @ahmedali279 6 місяців тому +1

    mzee ali tulia

  • @JUMARASHID-m9g
    @JUMARASHID-m9g 5 місяців тому

    Huyo dogo n shoga hamjielewi sheikh salim

  • @samxx411
    @samxx411 6 місяців тому +1

    Ikisha sheikh salim mwambie sheikh Ali awe mvumilivu kwasababu hao fujo ndio wanataka ili msifanikiwe.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 6 місяців тому +1

      Sheikh Ali hamusikii mtu coz ingekua asikie comment nyingi Sana yuwaona Leo kitu kibaya zaidi NI hapo kuchochea ati vijana watakupiga hyo mambo gani sasa ?

  • @ZaharanMalik
    @ZaharanMalik Місяць тому

    Nan ameona Aly ni msumbufu

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 6 місяців тому +1

    Westing of time wallah huyo kijana afaa awachwe

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o 6 місяців тому +1

    Quran 50:30 na sahih Bukhari hadith number 4848
    Inasema Allah yuko na mguu.Tuelezeni zaidi kuhusu mguu please

  • @LemiguesLeonard
    @LemiguesLeonard 6 місяців тому

    Nyie ni wa mwilini mtayajuaje ya rohon?

  • @suleimantsanje2939
    @suleimantsanje2939 5 місяців тому

    amevuta bangi huyo kijana