Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
AICT Chang’ombe Choir - Saa ya Mwisho (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 24 бер 2023
- Shalom Shalom Mpendwa Katika Bwana!
Imekuwa baraka sana kukuletea wimbo huu wa saa ya mwisho ikiwa kama zawadi yetu ya Pasaka kwako.
LUKA 23:32-43
Wimbo huu unaeleza namna gani tunatakiwa kuutumia muda tulionao vizuri, mfano wa wanyang’anyi wawili walipokuwa pamoja na YESU msalabani, mmoja aliamua kuitumia saa yake ya mwisho vizuri, akasema ‘’Ee YESU! unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako” ingawa alikuwa mtenda dhambi lakini YESU alimwambia Leo hii utakua pamoja nami peponi.
Haijalishi umefanya maovu kiasi gani, umepitia magumu mangapi bado nyumbani mwa BWANA una nafasi unachotakiwa ni kutubu, kuacha njia mbaya na kumgeukia BWANA ili ukaurithi ufalme wake wa milele.
#Saayamwisho #pasaka #choir
SONG LYRICS;
Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
Iyo..oooh x2
Beti 1: Wanyang’anyi wawili msalabani wakiwa naye YESU
Wanangojea kifo msalabani wakingojea kifo
Wenye dhambi wawili msalabani wakiwa naye YESU
Saa yao ya mwisho msalabani wakingojea kifo.
Wenye dhambi wawili msalabani wakiwa naye YESU
Saa yao ya mwisho msalabani wakingojea kifo.
Solo 1 : Iye iye iye iye iye Baba ooh
: Iye iye iye iye iye ooh
Wa kwanza alianza kumwambia Bwana YESU
Kwa kejeli alianza kumwambia Bwana YESU
Ulijifanya MUNGU..mbona unateseka
Kama wewe ni MUNGU ebu jiponye sasa
Ulijifanya MUNGU, mbona unateseka
Kama wewe ni MUNGU ebu jiponye sasa tuponye na sisi
Yesu hakujibu
(Yesu hakujibu) x2
Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
Iyo..oooh X2
Solo 2 : Wa pili alianza kumwambia Bwana YESU
Kwa adabu alianza kumwambia Bwana YESU
Mimi ni mwenye dhambi
Naomba msamaha
Unikumbuke Baba unakokwenda Baba
Nimetenda maovu naomba msamaha
Unikumbuke Baba unakokwenda Baba..(Aaaah)
Unikumbuke Baba unakokwenda Baba..(Aaaah)
Solo : Yesu alijibu
Wote: (Yesu alijibu) x2
Leo hii utakua nami peponi
Leo hii utakua nami mbinguni
Leo hii..
Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
Iyo..oooh x2
SONG CREDITS TO;
Song Writer - Papaa Clement Buhembo
Video Director - Elidadi
Videographer - Amigo Johnson
Lights - Sengati
Audio - CVC Media
Tufuatilie kupitia
Instagram / cvcchoirtz_official
Facebook / cvc-choir
©2023 AICT Chang'ombe Choir | All Rights Reserved.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
kama umerudi hapa zaid ya mara mia like hapa
Kama unarudia rudia kipande cha solo wa pili bahati gonga like twende sawa😁
Sana, Sauti yake ooh inabariki, imekomaa
Hata yule wa kwanza ni hatarii🥳🥳
Bahati hajawahi kufeli
Bahati hajawahi kufeli yupo vizuri Sanaa kwenye kusoro na kumiliki jukwaaa
Waaaaaaoh!! CVC on. 🔥🔥🔥🔥,, Saa ya mwisho inakujaa🙌🙌🤗🤗
Aiseee sauti ya huyu dada ni kinanda tokea mimi mdogo anagonga key zake zilezile Mungu akubariki sana dada🎉
Mungu awabariki sana watumishi kwa uimbaji wenu, Endeleen hivyo hivyo na Tune ya Kanisa msije mkahama na kufuata tune za Mataifa Mengine. Nawapenda sana.
@Rebeka Stephano, Mayala Budele + Wapiga tarumbeta wote, Diana, Bahati, Lydia Kashimba, Dickson Seni, Naomi Zebedayo na wengine wote Mungu awabariki sana
NAWAKUBALIGIIII MIAKA BUKUUUUUUUU
2023 Hatimaye kwaya pendwa mmerudi baada ya kitambo kirefu.
Sololist wa kiume Yuko vizuri
Mbarikiwa CVC
Lots of love from Kenya ❤ Bahati's voice is Soo young
Neema iwabebe na ivunje Sheria watumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏🙏 mbingu zitetee huduma yenu🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twawapenda sana 🙏
Amen
@@rachelsenni8919 nawaombea baraka tele🙏🙏🙏🙏
@@james008BOND7 asante sana na Mungu akubariki na kukupa haja ya moyo wako maana kutuombea ni upendo mkubwa sana
Amen🙏🙏🙏C.V.C mnatutia moyo sana kwa nyimbo zenye maadili🙏
Amina
Hahaha huyo voice ya mkaka amazing
Nawapenda Sana cvc nawaombea mzidi kuinuliwa
Asanteni kwa kubakisha ladha ya kwaya zetu.
Wimbo mzuri masolo wote safi, nakupenda sana CVC, hasa hao masolo list akinamama wawili duh! Mmenitoa mbali tangu enzi zile za album ya GUSA bado ningali mtoto duh! mmenilea vyema ndugu zangu. Mungu anaijua thamani yenu, then keep it up.
Yana ata mm nlikuw katoto xana enzi za GUSA 2009's,,,, 👍👍
Hii ndo yenyewe uwiiiii
You guys are blessed, I see new talents.....CVC❤❤
nyimbo zenu nzuri sana wapendwa♡nabarikiwa sana hasa ninapowaona BenjaminMack na bi.Esther Mkandia nawapenda sana
blessing one.... Papaa was a great songwriter!! may he R.I.P
Samuel Limbu Nakupenda bro
Ameen Babu
Amen
Oh so he did tis one too? a nice song asee
@@Architectzbn Yes
Aic wanajuwa tuwap heshma Yao maan hawjawah kuimba vibay
Hawabahatishi 🙌🏾📌🙏🏿
Much love to you CVC ❤️💯 Mungu azidi kuwatunza sanaaa
Sina swalii kabisa ila nawakubalii sana kijana na bahatii sio wapole pole
Powerful Powerful 🥰🥰🥰 Hongereni Sana CVC
Salluti nyingi nyingi na misi Sana mwalimu wangu Crement papa Ameacha urithi kwa wengine kwa utunzi mzuri
Sanaa nyimbo zinaishi miaka zaidi ya 20!
Who is addicted with this beautiful song just like me ....
BAHATI 🔥🔥🙌🙌
This my favourite choir
Hii kwaya wote mnaenda mbinguni sio kwa wimbo huu
Have been waiting for this new release 🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu awabariki sana kwa huduma mnayofanya kwa njia ya uimbaji🎤🎧
Me too nithaa neteele vyu
Kazi nzuri nabalikiwa sana natamani kila mda nisikilize saa ya mwisho
🎷🇹🇿🎶🎉 Asanteni ilabado tunasubiria zawadi nyingine wadau. Mungu aibariki huduma yenu Amen 🙏
Wimbo mzuri sana...mbarikiwe sana
My family CVC nawapenda Sana ♥️♥️♥️♥️🎹🎹🎹🎸🎸🎤
Wow what a nice song...saa ya mwisho msalabani ilikuwa ya maana sana
Mungu amefanya kuwa chuo cha uimbaji Tz
Mungu awabariki sana wapenzi ❤💗❤❤
The real choir ♥️
Loving this. Napenda nyimbo zenu CVC kwanzia Vunja. God bless you. 🇺🇸🇺🇸
Bahati Mungu akubariki sana, unaimba dada tena unaimba kweli, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi
Amen
Kwa kweli anagusa mioyo
Wimbo mzuri sana. Mungu awabariki sana watumishi.
Kila lililojema liwe juu yenu, m'barikiwe kwa kazi njema ya kumtangaza Kristo
Amen, glory be to God
Ameen
Aiseeeee YESU Ana watu ❤❤❤❤❤❤❤mnaimba hadi mwili unasisimka
Mungu ibariki CVC CHOIR AMEN👏
Silvester you are gifted! Keep serving our almighty Mungu anaenda kukuinua sana❤
I wish one day I'll visit AICT chang'ombe..,kwaya imeetulia vizuri.watching from Kenya 🇰🇪
Amen. Welcome Julius.
Hogeren sana MUNGU aedereee kuwatumia ujembe mzuli sana barikiwa wote
Mungu aendeleee kuwatunza mtuhubilie zaid na zaid
Very blessed
Best song 🔥🔥🔥
Nawapenda sana chang'ombe asee, mbarikiwe sana kwa huduma...
My favorite choir I love ❤️ it one and last forever.
The reminding about the last hour is very clear, everyone should obey and repent.
Waaoooooooooooow tunawapenda wana chang'ombe 🇹🇿
Amen nimepata Wimbo Wa Maombi
Mungu azidi kuwainua CVC... Hii ni Taasisi, damu ya Yesu iwafunike...
Kazi nzuri, naomba Tu mubaki na identity yenu ya uimbaji Ile Radha yenu isipotee.
CORRECT
Aiseeee mnaimba mnaimba mnaimba mnaimba tena YESU awatunze🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Masolo mmeutendea haki wimbo huu🎉🎉🎉,, solo wa kwanza wa kiume ni sura ngeni kwangu lakini anastahili pongezi nyingi maana yuko vizuri sana kwenye vocal na kuimba kwa hisia!!!❤❤
Kali sana..nawapenda kabisa...wimbo wa pasaka ndo huu...
Kazi nzuri mbarikiwe watumishi kwa huduma nzuri. Mungu awakumbuke
Mbarikiwe sana, Mwenyezi Mungu azidi kuwatia nguvu katika kuitenda kazi yake.
Mungu azidi kuwatumia, kwaajili ya utukufu wake
Nawapenda sana watumish wa MUNGU Hamjawai kukosea ety.Hkika MUNGU Nimwema..Aendlee kuwainua kila iitwapo Leo...DADA Bahati hakika MUNGU Ankutmia vyema,,,,kaka nawe umetisha,,
Wa 2190 😊😊😊😊😊
Amina Hallelujah
Mungu awabariki mnoo watumishi ,Kwa wimbo mzuri wa #saa ya mwisho. Hakika saa ya mwisho inakuja , nimebarikiwa.
Amen Mtumishi Hasante sifa na utukufu tumludishie Mwenyezi Mungu.
Hamjawahi kukosea hata mala Moja
Jamani sijamwona lidya
Lydia nadhani yupo kwenye zawadi ya pili ya sadaka pamoja na Diana
Hakika saa ya mwisho inakuja 🙇,,Mungu awabariki kwa kazi nzuri 🔥🔥
Hongereni CVC, Bahati 🙌
Yesu ni Mwema.Tuzidi kuombeana na kumshukuru Mungu
Barikiwa na saa ya mwisho
Dah hyo solo mwananke nawenzake wapo wawili nyimbo zao znanibariki Sana 🤝😊
25/3/2023. God bless all of you. Keep serving God
Nawapenda mno wapenzi,,,, Mungu awatie nguvuu
Ameen, mbarikiwe watumishi wa MUNGU 🙏
Mbarikiwe
2 nd soloist is always on top
Mungu ni mwema tuliingojea kwa hamu sana hii zawadi ya PASAKA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😊
Iko sawa sana Mungu awabariki lakn mbona sijamuona Mombeki hapo kwenye kusolo anaweza sana yule mtumishi 🎉🎉
We thank God for this song., #Saayamwisho
Kwakweli wimbo mzuri mno,Kaka umeimba vizuri sanaaaa,dada bahati umeimba kwa utulivu mpaka Raha mbarikiweee
CVC mnajua sana abarikiwe zaidi mtungaji Wa huu wimbo
Unikumbuke baba alipo YESU 🙌😢🙏👏
Nimepona kwa uimbaji
Jamani wadogo zangu Silvester na kamoga Mungu azidi kuwainua
Mungu awabariki sana kazi yenu ni njema sana
Mungu ni mwema. Hakika saa ya mwisho yaja. Hongereni Kwa kazi nzuri CVC❤❤❤
Hakika mnazidi kuifanya kazi kubwa kulitangaza neno la Mungu kupitia uimbaji. Ahsanteni sana CVC kwa wimbo mzuri🙏
Ukitoka saa ya mwisho unaingia ELOHIM Asante Yesu
Mbarikiwee sanaaa CVC
Mungu awazidishie baraka nyingi
Nawapenda mno. Barikiweni watumishi.
Mie ni mwana AIC bibirioni nawapenda Sana❤❤❤❤
hii ni Choir❤
nzuri sana barikiweni wapendwa
Mbarikiwe zaidi wanakwaya wetu
Mungu awabariki ndugu zangu
Steve, sikuoni!! Mmeimba vzr. Hongereni. CVC.
Mungu awabariki sana .
Nawapenda mnooo,Mungu awatunze
Kazi nzuri sana !! Mungu awabariki sana
Good job
💥🔥 after long waiting. Zawadi ya Pasaka
My favourite choir😍 love u guys
MBARIKIWE WATUMWA WA YEHOVA 🙏