AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MSIKILIZE ROHO (Official Live Video)
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- #,MSIKILIZE ROHO ni wimbo wa Tisa katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kukusaidia kuisikia sauti ya MUNGU. MUNGU AKUBARIKI.
LYRICS
MSIKILIZE ROHO
Msikilize Roho wa MUNGU
Anavyo fundisha
Roho wa MUNGU ufundisha unyenyekevu
Roho wa MUNGU ufundisha kuwa na hekima
Upole, uelekevu, kutenda mema
Uvumilivu, kuishinda dhambi
Kushukuru kwa kila jambo
Kuwa samehe waliokukosea
Mwanadamu, mwanadamu, Mwanadamu
tembea na neema hii
Kwakuwa Muda sasa upo
YESU yupo kazini
Watenda kazi wake wapo kazini
Kungari muda sasa upo
Msikilize Roho
Msikilize MUNGU
Lisikilize neno lake
Usije shikwa na dhambi
Usije shikwa na mwovu
Usije shikwa na adui
Usije shikwa na dunia
Kungari muda sasa upo msikilize Roho
Msikilize MUNGU
Lisikilize neno lake
Kuna watu wamesahau
Kuwa MUNGU ndiye muumbaji
Wamesahau kuwa ndiye aliyeumba
Dunia na vyote
Wanatenda dhambi bila hata woga
Wamekuwa kama watu wa sodoma na gomora
Walitenda dhambi bila hata woga
Wakaiinua hasira ya MUNGU
Wakamkasirisha MUNGU
Walitenda dhambi bila hata woga
Watu wajifunze kupitia wewe MUNGU
Uinuliwe, U heshimiwe, Na usifiwe, BWANA MUNGU
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Song writer - Barthrolomew Magulu
AICT Chang'ombe Church
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
MUSIC DEPARTMENT
Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
Elisha Gurlaty (AUX 1)
Elia Mahuna (AUX 3)
Onesmo Peter (AUX 2)
Nestory Ntogwa(BASS)
Jeremiah Madaha (LEAD GUITAR)
Mayala Bubele (TRUMPET)
Charles Stenson (TROMBONE)
Meshack Wilson (TROMBONE)
Eliya Makaya (ALTO SAX)
Raphael Luhende (ALTO SAX)
Samson Mathew (DRUMS)
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro
Leo mimi naona likes za kutoka kwa Lydia kashimba
Huyo ni mtu na nusu kaka aisee usije ukamsahau dada bahati kweny backup
huyu mwimbaji nampenda hv ni msukuma
Ila mie napenda dada Magreth magenda, aliye na sauti kuu ya kumtoa nyoka pangoni.
Tujumuike hapa kuwapa likes watu wa trumpets, saxaphone🎷🎺🎺
Shout out to all Kenyans who love Aic. Chang'ombe . Tunawapenda sana Jamani . Kazi nzuri sana . Mungu awapandishe viwango juu Tena zaidi .... Mwapendeza... Likes za Wakenya ziko wapi? Leteni hapa...
❤❤❤
Lovely song 🎵 #loved this choir from their first song... May God bless you Chang'ombe choir..
Amen. Tunawashukuru sana na tunawapenda pia. Tunaamini mnatuombea
Mmi nawapenda sanaaa Kwanza huyu solo huwa namfatilia kwa sauti yake hope polepole nitamfikia tuu
wimbo mzuri sana
Tunabarikiwa toka Kenya
What a sweet song..... Soloist Mayank nao wajitahidi utulivu.... Wajifunze kupitia wimbo huu
Next live. Song tunasubiri wastahili
Lidya wangu bado yupo kweny chart Bado wamoto kbsaaa ❤
Wale wamama wengine wawili bado! atleast sasa moyo umesuuzika kumwona Lidya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Lydia kashimba huwa unaupako sana unaimba kwa hisia kali sana#MSIKILIZE ROHO#❤❤❤❤
This is AICT CHANG'OMBE that we have been knowing. Asanteni na mbarikiwe kwa wimbo huu wenye mguso wa aina yake na ladha ileee ya CVC 🔥🔥🔥
Hongera sana my beautiful brother wife
Amen
I used to listen to servant of God back in 2008 .. Nyimbo kama... Kuna mamba kivukoni, na dada wengine hapo. Happy to see her❤ much love from Kenya🇰🇪🇰🇪
Hii ndio chang'ombe yetu hizo zingine waachieni wengine I like the tone na favorite singinger wangu da Lidia ukweli unasehemu Yako peponi❤❤❤
Hongereni CVC,Hongera dada Lydia bado wa moto haswaaa,Mungu aendelee kukuinua
mwalimu Magullu hongera sana Mungu akutunze Kazizako zinaishi Popote ulipo ninazawadi yako
Mungu awainue huduma ifike mbali mbali mno. Na kila anayesikiliza akamwone Mungu kwa ukubwa.
Amen. Thank you Changombe. My Wait has come to an end.
The Spirit of God leads, let's listen to Him.
Great song.
Kenya listening 🎉🎉🎉❤
Kwa kweli Twafaa kumasikiliza Mungu kila wakati. Mungu azidi kuwainua na kuzidisha neema.
Hawa ndio soloists na ambai kamwe hatutaki wabanduke ..Lydia kashimba
Nyimbo ya rohoni sana❤ mbarikiwe sana
Woyoooooooooooooooooooooo😅
My song ❤❤❤❤❤❤ aloo nilisubiria saana hii nyimbo barikiweni saana CVC and love you my sister Lydia
Nawafatilia saana kutoka ZANZIBAR ❤
Tupo teyari kupokea ujumbe wa Mungu na wapenda sana calvin kutok buzuruga mwanza T.J
Nyie huu wimbo unautulivu flani ivi afu unauwepo wake wandani yani hauna kelele ujumbe umetulia❤ hongereni sana utukufu ni kwa MUNGU mwenyewe atusaidie utulivu ili tuweze kusikia ROHO akisema nasi.
Napenda sana sana,wimbo mzuri san nimeupenda sana sana,,nauona na kuusikia utulivu katika wanamuziki na waimbaji
Ema sax Rapha , Nestory Bass, Jeremiah solo nawakubali sana yuko wap Steve jamanii
Yes,kumsikiliza Roho mtakatifu ndiyo habari ya maana sana.
Aisee wimbo ni mzuri sana,utulivu wa hali ya juu sana, hongereni sana na Mungu awabariki
Hongereni sana team
Wimbo mzuri na ujumbe wenye nguvu mno
Mbarikiwe sana 🎉❤
We wanted to hear a choir sing for once and here you're ❤❤❤
Hakika siri ni kumsikiliza roho.. Nimezidi kubarikiwa. Amina Hallelujah.
Lydia uko vizuri sana
This is CVC which I knew since I was young,much congrats,glory be to God
Much love from Kenya. Your songs started blessing me as a Sunday School girl. Mbarikiwe sana❤
God find favor in you blessed souls for portraying such an imagine of glory❤
Naona wamesikia vilio vyetu Mungu awabariki sanaa
Wale wamama watatu, watatu Dio uyo sasa😂
😂😂😂@@tomkyalo1107
Hongereni sana Kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri pia mwenyezi mungu azidi kuwainua
Wimbo mzuri sana muziki pia mzuri wa viwangi vya juu, ila video haivutii kuangalia kabisa
Tuzidi kumsikiliza MUNGU
Amina mzidi kufanya kazi mzuri ya mungu
Tumsikilize roho🙏🔥
Roho mtakatifu ni muhimu kumsikiliza
🇰🇪🇰🇪 from Kenya ,loving it❤❤
Hii mipigo ya vyombo ndio ilinifanya nikajua kuwa hawa ni AIC choir hata kama mtu hajasema jina. Ninapenda sana, ninashukuru mmerudi kwenye code yenu.
Hakika hawa Watumishi wanapiga kazi tunawaombea songeni mbele na tunawapenda uimbaji wetu mm ninaukubali kabisa mbarikiwe
SANA,ila bado nalia na anayewarecodia live,sauti na picha bado haipo sawa,natamani wajifunze zaidi Kwa NEEMA gospel kwaya ,maana live recording zao zipo clear sana.
Hongereni sana watumishi Mungu awainue sana
Pokea sifa na utukufu BWANA Yesu KRISTO
Well-done CVC for your effort works, and God continues blessing y'all. Greetings from U.S. I always love how you inspire me and touch my heart by listening to your songs. 👌🙏🤝👏👍
Amen. Glory be to God. Pray for us.
@@rachelsenni8919 Amen🙏. God is good.
Bora mlivyorudi kwenye mfumo wenu,
Mungu atukuzwe.
Kabisa, hii ndo tunayoijua. Naunga mkono hoja
Mpendwa wewe huwa unasikiliza kama kazi ya Mungu au wewe kazi yako kukosoa tu vya mwilini? Be positive sisi hatuko kujionyesha au kushindana na mtu bali kumtukuza KRISTO aliye ndani yetu haijalishi wimbo ukoje kwa wanadamu lakini mioyo yetu inamwinua KRISTO.
@rachelsenni hapana sisi wengine sio AIC lakini mlitugusa kwa style ile ya nyuma leo mmeturudisha relini ndio kristo tunamtukuza lakini hii ni kazi ya sanaa pia..ule u south Africa hapana kwa kweli hapa ndio CVC ilipo
Kweli Katika kwaya ya Tz nabarikiwa sana na kwaya hii
Ongera kwa kazi ya Mungu
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
@@rachelsenni8919 Anastaili sifa
Tulalapo n'a tuamkapo ni nguvu zake
Hongereni sana CVC, mmeanza kurejea kwenye Brand yenu. Hii ndo CVC tuliyoizoea
Mbarikiwe sana wapendwa kwa nyimbo zenye upako Kila wakati,!❤ nawapenda mno🙏🙏
Wow beautiful congrats may the lord bless you for doing his work you are really blessing to me 🙏
Mimi napenda hiio AIC Chang,ombe kutoka Tanzania.
A.I.C Chang'ombe kazi nzuri sana, hongerah muno Mungu awalinde
Tunaendelea kula baraka❤
It has been always Aic Shinyanga and Aic Chang'ombe since my childhood, but AIC Chang'ombe to the top🎉
Glory be to God
Napenda AIC Shinyanga pia, akiwemo dada Magreth magenda ,na sauti kuu iliyonyooka ,na huyo dada akipaza sauti jamani MILIMA inatikisika!
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu .
Ni wimbo wa nyakati...kumsikiliza ROHO WA MUNGU NA KUACHILIA KILA KITU.
Mungu akawape kuvuna watumishi wa Mungu.
Kazi yenu sii BURE!❤❤🎉
Mama yetu soteee....nlikua nauliz album mzim mama hayupoooooo
Mbarikiwe. na Mungu azidi kuwainua
Lidyaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Glory to God🙏🙏🙏Mungu awazidishe!!!!!,Twawapenda
Nimeirudia mara nyingi🙌🙌
Song top, choreography top, dress top, you guys mko juu tu sana.
This is the Changombe I know. Asante kurudisha standards zenu. Baraka tele
Uyu mama ni mzuriii , anamapozii kama yoteee❤
Hapo sasa.Uimbaji wa utaribu poa sana.Unyororo wa mziki inapenye pole pole hadi mshiba wa damu.Endeleeni hivo ndugu wapendwa. Mungu na awabariki na neema yake.
Wow this is so lit, bless up guys 🙏
Mbarikiwe sana nyinyi ni wa viwango vya juu
Real test of chang’ombe
Be blessed & may God enlarge your territories.
asante kwa kaz nzuri tunaendelea kubarikiwa
Kenyan here tunawataka jcc please nairobi
Tusikilize roho wa Mungu 🙏
🎉🎉🎉🎉...kali sana...yaani kwa kieango kingine
Wimbo mzuri sana sana na umepangika kuanzia music sauti
Sitaacha kuwasikiliza wapendwa nawapenda saaaaana
Nakupenda sana Lyidia una upako sana ukiimba
That message 🔥🔥
Anayepandisha hizi nyimbo anazi convert vibaya jaman
Lydia nilikumis saaana❤❤
MUNGU AWABARIKI SANA AIC CHANG'OMBE, NAWAPENDA SANA MUNGU AWAINUE NA PIA AWAPE MOYO WA KUMUHOFU YEYE, AMEN NAWAPENDA SANA
Mungu awabariki, mmeimba vizuri sana
Kwaya zote zimejiboresha sanaaa
Hot song🎉
Mbarikiwe sana yan mnanibariki sana
Hii ni kali sana.
AMEN AMEN AMEN 🙏 🙌 👏
Woow MUNGU awabariki sana ❤
much 🥰🥰🥰from Kenya
I really touched by your songs. Getting you loud and clear from Kenya. Mungu awainue kwa kazi yake
Watu wa miliki ya mung❤❤
❤❤❤ msikilizee rohoo🎉🎉
Disi nimekuona mdg wangu
Mungu azidi kuwainua
Aic chang’ombe huwa nawaelewa sana kila nikiingia you tube lazima niangalie ka mna nyimbo mpya in short Mungu awabariki jmn
Injili Iendelee🔥🔥🔥🔥🔥
Naskia injili
hongela kwaya nzuri suti nzuri maandishi bola ya wimbo kutoka🇷🇼 tuna wapenda❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mbarikiwe sana wapedws
Amina cvc nawapenda sana
Kwaya niipendayo!! Mimi nawakubali sana masolo wangu wa wanguvu ninyi. Nawafuatilia sana wapenzi wangu
❤❤Ameen zidi kuinuliwa
Hongera 🎉❤