MZEE YUSUPH DIAMOND ANATAKA ASIKILIZWE YEYE BASI AJE ALIKIBA,HARMONIZE ANAHISI KAULI ITAMTISHA FIDQ
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
#wasafi,#diamondplatnumz,#alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba
,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#UA-camlive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonize,#afro east,#linawachoma,#chadema,#rostam,#dodo,#diamond platnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,#nikuone,#sijaona,tetema,niteke,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga, Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
#wasafi,#diamond platnumz,alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#UA-camlive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonizplatnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize remix,#tanzania,#tutorial,#tumewas
#hakunakulala,#raha,#nisamehe,#bedroom,
#yopeyoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
#nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,
#thestorybook,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko
#sukari,#waah,#hasara,#nobody,#wizkid,#davido,#burnaboy
#diamondplatnumz,#wana,#kwaru,buza#,jeje,#gere,#baclava,#harmonize,#wasafi,
#thestory book,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#waah#,hasara, #wananchiday2020,#wananchi,#yanga,#youngafricans,#yangasc,
#antonionugaz #yangaleo,#senzo,#alichokisemanugaz,#kambiyayangakigamboninibalaa,#mshindomsola,#wapesalamu,#shutikalitv,#simba,#azamtv,#azamtvmax,
#azamsports,#morrison,#hajimanara,#diamondplatnumz,#simbasc,
#manara,#wasafi,#globaltvonline,#barakampenja,#tuisilakisinda,
#ligikuu,#azamtv,#michezo,#highlights,#azamsportshd,#azamsports2,
#yanga,#sportarenawasafitv,#sportarena,#tanzanianews,#wasafitv
#diamondplatnumz,#wana,#kwaru,#hakunakulala,#raha,#nisamehe,
#bedroom,#missbuza,j#eje,#gere,#bachela,#dodo,#alikiba,#diamond,
#yope,#yoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
#nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,#thestorybook
,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#shusa
#wasafi,#diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,
#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,
#nikuone,#sijaona,#tetema,#kainama,#niteke,#tamu,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga,#sound,#wizkid,#davido,#burnahboy,#chrisbrown,
#despacito,#inama,#sukari,#shusha #harmonize,#uno,#ibraah,#corona,#covid19,#kondegang,
#kondemusicworldwide,#diamondplatnumz,
#wcbwasafi,#rayvanny,#mbosso,#zuchu,#lavalava,#halifa,#snopdoog,
#davido,african music,#afroeast,#eastafricansound,#afropop,
#bedroom,#kakatuchat,#sautisoul,#khaligraphjones,#nyanshisk,
#yemialade,#magufuli,#tiwasavage,#rema,#fire #boy,#joeboy,#skiibii,#gwajima,#joti,#cnn,#mpoki,#salimkikeke,#darasa,
#bongomovie,#netflix,#samatta,#quarantine,#onenight,#lockdown #swahiliflix #ikulumawasiliano #magufuliliveikulu #chatolive #youtubelive #instalive #jux #ladyjaydee #rostam #stamina #dogojanja #jumalokole #drkumbukauhondo #didashaibu #mashamsham #zarithebosslady #tanashadona #mamadangote #esmaplatnumz #queendareen #uchebe
#shilolenarommy #babalevo #wolper #kajalanaharmonize #auntezekiel
#kusah #wasafitvlive #simulizinasauti #Ayotv #rickmediatz #dizimonilne
#aristote #hamisamobeto #tiffa #koffieolomidenanandy #waa! #diamondnakoffieolomide #papamopao #mwananchidigital #Edigital #middlesimba #ptvtanzania #rayvannysoundofafricaalbum
Nakukubali mzee
Diamond anajiona mungu pesa zinammbeza
Tulia makalio ww
Mpuuzi sadala
@@karimujuma6595 uyo.sitv.nyenye ataalibu.muongeaji sana.atacharlfua
Amesema lini km anajiona ivo
Usifananishe mungu na diamond mpumbavu wewe
Wee mzee umechanganyikiwa... Dish limeyumba
Fact mzee
Sasa kumbe msemaji upo Steve wanini jamani
We mzee yussuf ni bora firauni kuliko ww
Wewe ni zaidi ya shetani!
kuntu 👍👍
Mzee yuko sahihi asilimia zote.Hao wapiga kelele si wanachama. Sema Diamondi anatafuta Kiki tu na KaFOA kake.
😂🤣🐘💪🇧🇮
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙋♂️🙋♂️🙋♂️
Kweli
Mnamuhoji huyoo laana kumu sumaka
Lakini Steve nimoto juu mpaka wakenya huku tumejua mko nashirikisho,Steve hoyeee
Hunajipyaa Mzee wewwe niwivutu
Nice
10000000%
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Kama Kuna mbuzi yeyote yule ambae hamtaki stivu nyerere Basi aache mziki Kama hataki Basi atulie aongozwe na stivu pumbavu zao
We Mzee yussof ulienda hija Saivi unakata Viuno, Mwaname Kweli Rijali Na Wale Ambao M/mungu Aliwasifu Kuwa Hawa Ni Wanaume Ambao Hakuwashulishi kwao Biashara Na Mauzo Katika Kumtaja Mola Wao, Watakata Viuno , Kisha Umevaa Kanzu Na Kofika Huku Ukiongea Pumba Zako, Ama Kweli Wewe Unafirwa , Sasa Kule Makah Ulienda Kufanya Nini Msenge Weee? Kisha Ukalia Tena Kule Makaburini Pale MwanKwerekwe Ukionesha Umejaa Imani Kumbe Msengee Mnafiki Munatupoteze Kizazi Chetu Tu nyinyi
HasbinnAllah waniimal wakil huu ndio utu uzima ovyo
Sanaa yani anatia aibu
Nanyie wandishi wakatiwngne nimwehu tu. Hv mnakosaga watu wa kuwahoji eti!!!
Acha ufala lazima wawa oji afu Inaonekana kama hujielewi
Waje kwako basi 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
Ndo maana Diamond hapendi kujiinngiza kweny Makundi yenu, maana ata mawazo yake kama msanii watu wanayaacha wanaangalia Pesa zake na umaarufu wake. Hoja ni hii ya Nay “Mlitumia vigezo gan kumpata STEVE kua msemaji wa shirikisho" mnaishia ooh hawakuwepo Mara hawajajisajili... Jibuni swali, Vigezo gan mlivyotumia kumpata bwana Nyerere? Sisi tupo hapo tu
Hilo swali muulize anaekejeli uwepo wa Steve kama msemaji wa wasanii, Wao wanataka vigezo gani? Maana Steve ni mwanachama, msanii,anaimba na anaishi na wasanii,Kikubwa ni kupeleka hoja zako kwa Steve yeye aiwasilishe. Kwani wasemaji wa timu wana vigezo gani?. Hadi Steve akose hivyo vigezo acheni kufuata Maneno ya watu wasiotaka maendeleo ya wenzao kwenye mziki
Washaurini wakajisajili, wasiwe wapotoshaji tu.
Kwani diamond mungu?
@@hamzamkuti7257 Steve haujui Muziki na shida za wanamuziki, na wanamuziki wanahitaji mtu wakuwasemea ambae hata wakisahau kumwambia baadhi ya mambo ya kusema yeye mwenyewe aelewe shida wanazopitia. Alaf hamna mtu anamchukia Steve tunabisha he's not fit for the position mliyompa. Sasa kama nyie mnaona anafaa mtupe Vigezo mlivyoangalia??? Tunarudi tena kwenye swali ilo ilo
@@hamzamkuti7257 kwahyo Steve ndie msanii aliyejisajili peke yake? Acheni kuleta vihoja na kuacha kujibu hoja, mlimpata Steve kwa vgezo gan ????
Mkiungana wote hamumfikii Diamond hata Robo.
Mzee umezeeka huwez toa maoni ukiwa na chuki,,
Asiyo mtaka stev ache mziki akalime
Tabia za mtoto wa malaya au wa mababa mimi
Ye kaona hana faida na hyo mwachen na mtizamo wake usilazimishe mambo mzee
Tuachane na diamond ambae mnamsema kakosea kwasababu anapesa sana pia ni msanii mkubwa haya tujibu swali la Nay wa mitego mlitumia kigezo gani kumpata steve
Wasanii wote hawampendi mond yani wanavita nae kisa maendeleo,nay hata onekana mana sio mkubwa
Jmn daimond kusema kuwa kwake sio sawa haina maana et ndio lazma n konde au king waongee jmn hii sio demokrasia iyo amesema yy kwa mtazamo wake sio lazma wote wamfatishe
Wewe mwenyewe siulikuwaga UNAJIITA mfalme pumbavu kabisaa now wivuu utakuwa mbn kina ney wote walikataa ila dai asiongee ukweli kisa dai😏😏😏
Kwanini Steve hatutaki ubabe
Wenye akili watakuelewa mzee
WELL UNDERSTOOD!
🤣🤣🤣 Mzee umechemka,ona sasa umewahi kulijibu swali la kukutega limekugeukia ,leo hii wasanii wengi wamemuunga mkono dogo,Yusuph nafikiri utakuwa umejifunza kitu,don play with Diamond utaumia ww,🤣🤣🤣
Acha fujo dogo hi sio beef ya harmo na diamond
@@scribemelody kama sio bac nafikiri usingekomenti,ila imekupenya hivyo bac ww ndo unautimu hapa,ubongo mgando
Ovyooo
Tunapoteza mda kumsikiliza kigeu geu aliyesema kaacha mziki kamrudia Allah...!
Mzee kachanganyikiwa huyu
Diamondi anataka awe yy ni mungu mtu kila mtu amsujudie
Wivuu wabongo alafuu hamja somaa
Njaaa tu heti wana protocol za kuongoza au kuongopa media 🤣
Diamond anajipa ukubwa ambao Hana huo ukubwa,tatizo ni hiki chama WCB wanaona kitakuja waangusha wao,Lau ingekua ameekwa rayvany kua ndio msemaji basi naamini kusingetoka kauli mbaya kutoka Kwa diamond,WCB haitaki wasani wengine waendelee hio ndio shida
100% agree!
💯
Steve yey ni msanii wa muziki au bongo move emepotea kwa ajilii yakee unatkaa na bongo freva ipotee kuwa na ajilii kidogo
@@zuberiramadhani1927 kumbe nyie hamjui Steve,Steve kalelewa kwenye mziki na bendi ya ASHA baraka,alianza mziki tangu diamond hajafikiriwa katika tasnia
Wee ushazeekaa unakuja kuwasemea vijana hukuuu huna lolote wewe babu
mzee hebu acha hizo, kwani amesema DIAMOND peke ake??? au ndo ukubwa jaa
kaFOA kamebuma
Otile Brown once said" wasanii TZ wanamuogopa Diamond"
Anajiona serikali.The Late Magu ndo alifanya makosa kuwapa freedom hara wakifanya makosa wanajua hakuna kitakachotokea.
Anaogopewa NA machawa. Wake. Kwa mziki gani.. Mnafki huyu hapendi wasanii wenzie wapate
Kwa sababu ajafanya mziki na wewe sasa unachuki
Nchi ina watu mbumbumbu hiii!!!!!its not what you know its how you say it
Daah mzee yusuph leo kajipunguzia nyota yaan kabakia kopro sajenti
Humu Kuna mijitu isio na akili timamu iko tayali akosolowe hata baba yao mzazi itafurahi kuliko kukosolewa mondi 😄😄😄😄😄
uko sahihi
Imba taarabu😀😀 acha kuingilia bongofleva
Wee mzee, stivu yusufu atufai tu wewe mwenyewe umebebwa wewe msanii wa wa upande gani tatizo unaamaama
Acheni umbea nyie Kama wew kigeu geu
Mzee Yusuphu huna fikra kabisa yani sasa hivi umebutukq huna makali tulia tu wenye ncha kali waukosoe mmetumia kigezo gani kumchagua steve nyerer kuwa msemaji wa bongo fleva yani mtu ni comed unaweka awe msemaji wa bongofleva wapi na wapi fyuuu
Sio bongo flavour pekee , fuatilia vizuri
Wemzee hebu imba taalabu2 acha uzee wako hp
Unamuoji vp akiwa na brich ktk ndevu? Huyo ana dharau😠😠
Naiyo so bloch dada nihina.
Huna chochote .
Wewe mzee mziki wako ulibuma..kwa kujifanya kurudi tena
Wee mzee kakojoe ulale dini imekushinda utamuweza dai umackin mbaya kwahiyo hata Jambo likiwa cyo nzur akubali tu Zama hizo zishapita mbwa nyie
Huu ni Wivu tuu Mzee Yusuph.
Alafu Steave Hatumtaki ana Masihara Mingi. Mtu hajui hata Cord za Guiter wala. Alafu sio Diamond kasema ni Watanzani tunasema. We mzee Yusuph una nini Bwana.
😂😂#Alikiba jamani ka fanya conver ya #nawaza wimbo wake #diamondplatnumz njo apa uone maajabu🙄🤔😂
👇👇👇👇👇👇👇👇
ua-cam.com/video/sxp2hPIMxuY/v-deo.html